Kumbeee ....!!
Baba paroko mstaafu nini mbona washangaa?? Msalim nanii....i miss her.
Nani kakuambia nimestaafu?
Haaa samahani kumbe bado haujatangazwa.....haya paroko.
Naomba uje uchukue gari lako maana linakuuma.....ooh no.. Ntakuletea mwenyewe
Kutagazwa ni baada ya tukio kutokea
Hakuna kilichotokea ambacho kinahitaji kutangazwa
Ni nini hicho ambacho wewe unadai hakijatangazwa bibie?
teh teh namaanisha thamani yangu iko juu
we unaangalia ukubwa wa umri au mikono ya shati?Weeeeee hujamzidi my husband mkubwa atabaki kuwa mkubwa tu kwa vyote.
kiwatengu mimi ndiye mwenyekiti wa kudumu na hakuna alowahi kunipindua tangu nimpindue Baba V na mke wangu ni yuleyule umjuaye.... Chocs wa ukweli mwenye mautamu niyapendayo..joto langu la ukweli....hapa kifo tu ndo kitatunganisha....!
Rais ni Arushaone
Arusha Juu daima
BTW Nalimiss sana jukwaa letu
we unaangalia ukubwa wa umri au mikono ya shati?
- :flame:
Hivi bado hujamjua mtwasi wako vizuri enheee muuliza mdogo wangu atakwambia vizuri, usimchukulie poa, bahatika kuingia katika familia yetu utajua.
kwani niko nje sa hivi?
hahahahhaa haya bana ngoja nirudi nikitoka kwa Obama ntakucrash nione bodaboda man ikoje, ila usindondoshe mtaroni tuu
Karibu sana, Itakua boooonge la crash. nadhani ndio itakua ya mwisho cause the part gonna be hooooot!!!! like never before.. hunhunhuuuuu!!!:couch2:
siku izi mnaitana mashemeji?