Ndio maana nakupenda na wala sijajuta kukfahamu...Sichepukagi hata siku moja. Njia kuu kwangu ndo mpango mzima. Ndo maana hata ulipoamua kuhangaikaaa mi nimetulia. Kuku Wangu mwenyewe VP untoe jasho? Nilijua utarudi tuu
Mkuu Mapi nasingiziwa tu hapa. Ila natibu ndoa, kurudisha mpenzi aliepotea, kushikizisha mwizi wa mkeo (lile tuko la Temeke ni moja ya kazi zangu) Natibu waliokosa maumbo ya namba nane, naongeza makalio na hipsi za kufa mtu, kusafisha nyota na kupandishwa vyeo..... Kumtoa M-PESA ndugu au mzazi au yeyote yule sina huo uwezo (kafara).
Bila kusahau tatizo sugu la nguvu za kiume... nina dawa toka Naijeria inamaliza tatizo kabisa (ni dawa ya mitishamba). Kama wahijaji tafadhani niPM.
Cc Ntuzu, Mentor, kiwatengu na Mr Rocky etc
Mr Rocky kakutenda? usimuamini huyo ana kila mtaa...
Ndio maana nakupenda na wala sijajuta kukfahamu...
Nakupenda my koku.
Usiwe na wasi wasi beibe miss chagga iko tayari kabis awe pitia tuu uchukue
Hapana mie nina mume wangu kilichonishtua ni hao michepuko wako
na Honey Faith tena
mume wako nani??
..usije kuanza tabia ya kuchepuka coz Mr Rocky, Ntuzu, First Born Na kiwatengu hawajatulia, japo wote hao Ni waume za watu.
Dawa ukiituma ikafanye kitu ambacho sio sawa na cha haki huwa inagoma. kwa hio hapo utaalamu wangu unagonga mwamba kaka
Yani umehalalisha Paroko ni mumeo....Astaghafurllah