Udangaji kwa wanachuo umezidi

Hiyo ni clever au ni wizi?! Una pongeza watu kwa tabia za kipuuzi.

Ni sawa na mtoto wako aanze tabia za kupekua pochi za wageni na kuiba hela halafu umejua useme my child is very clever.

Sema these people are so so stupid.
 
Ya kweli haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.

Hivi mnawazaga nini?

The way ulivyomuingiliaaa Ndo the way ataishiii na ww ..we umemwambia una campuni ya magari na umepaki range kwa nini asikusauleeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
The way ulivyomuingiliaaa Ndo the way ataishiii na ww ..we umemwambia una campuni ya magari na umepaki range kwa nini asikusauleeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuliko nitoe laki 8 Bora nikapige punyere tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…