Hahahahahaha inabidi nicheke unasema hamna hiyo koziUsije ukawa umekutana na mwanafunzi wa mchongo, kwanza hakuna hiyo kozi hapo Ardhi University [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha inabidi nicheke unasema hamna hiyo koziUsije ukawa umekutana na mwanafunzi wa mchongo, kwanza hakuna hiyo kozi hapo Ardhi University [emoji16]
Baada ya kuendekeza ufuska,somesha wako,wasije wakadangaUnakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nini?
Hiyo ni clever au ni wizi?! Una pongeza watu kwa tabia za kipuuzi.Siku hizi wana ujanja mwingi sana hawa watu,anakuwa na smartphone na kitochi,mkianza tu mahusiano utapewa namba ya kitochi na smartphone inafichwa,halafu baada ya siku mbili anakwambia alikuwa na smartphone ila iliharibika ndio maana anatumia kitochi,sasa hapo mzee kwakuwa umeshaonyesha umependa,na una li-Iphone lako lazima ujipinde kumnunulia simu ya maana ili anagalau mfanane,aisee these people are very clever...
Ugentleman bila uongo kwa Tanzania hauendi. Utaonekana muuza mchicha tu. Uongo ni kirutubisho muhimu kwa wadada wa tz kupewa.hivi mtu akija kwako akajitambulisha kuwa ni mwananchi wa kawaida na hana mchongo wa maana ila amekuelewa sana anaomba muwe pamoja utamchukulia serious kweli?
Ya kweli haya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes, Mimi kuna vitu vya mwanzo huwa naangalia kabla hata sijajua ni mwananchi wa kawaida or not. Jinsi unavoongea ustaarabu wako nk. Sasa ukija na hizo swagger una gari zuri, nyumba aah ni mapema sana kuanza kuniambia hayo ntaona kama una jeuri na kuringishia vitu vyako.
Kamba tu Kamba Mexicana La Cavela😂Ugentleman bila uongo kwa Tanzania hauendi. Utaonekana muuza mchicha tu. Uongo ni kirutubisho muhimu kwa wadada wa tz kupewa.
Umesahau GARI. Wakiona gari wanachanganyikiwa zaidi hata Kama umeazimaUgentleman bila uongo kwa Tanzania hauendi. Utaonekana muuza mchicha tu. Uongo ni kirutubisho muhimu kwa wadada wa tz kupewa.
Swagga za Salvador Solenza wa de la finca los dos de loscascabela dela samparinya.Kamba tu Kamba Mexicana La Cavela[emoji23]
AiseeHebu wape mtiririko wa vile mambo yanatakiwa kwenda
Enhe,ukichukua namba kesho yake mchana afanyaje?
Amekuona fala-farasi.Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nini?
NomaAmekuona fala-farasi.
Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nini?
We mzee wa mwaka 1967 bado unapiga punyeto tuKuliko nitoe laki 8 Bora nikapige punyere tu