Yohana1995
Member
- Mar 23, 2022
- 7
- 11
Vizuri vina gharamaUnakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri vina gharamaUnakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Tamaa mbele hao viumbeUnakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Ustaarabu ni kitu cha bure !Dada tuliza mshono
SwaLa la kufa lipo tu unaweza ukawa mtakatifu ukawahi kufa kabla hata ya mzinziwale wa ustawi ambao ukiwauliza walikuwa wanasema wanasoma course ya GPA bado wapo? kumbe wazaramo tu wametoka zao ambianse hapo wanajipanga mstari wakijifanya wanachuo. mtakufa kwa ngoma hadi mkome.
From what i know about women, mara nyingi ndani ya dakika 3 za kuongea na wewe lazima unakuta ashajua kabisa wewe ni mwanaume wa aina gani na lengo lako ni nini.Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Ugonjwa wa matende ndio uko hivi?
Hizo ngoma type ya huyo ndio wamejazana south Africa karibu asilimia 70 ya mademu wa south wapo hivyo halafu wanatongoza wenyewe wanaume hayo sio matende mkuu😁hilo ni zigo/mshangaziUgonjwa wa matende ndio uko hivi?
[emoji3][emoji3][emoji3]Waaaaahhhh[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]kwishaaaaaa
Naomba tufunge uzi
Huyu ni mtu au?
Vitoto vya chuo vina njaa kama viwavijeshi
Heee mbegu ya parachichi badala ya ubongo😂😂😂🙌From what i know about women, mara nyingi ndani ya dakika 3 za kuongea na wewe lazima unakuta ashajua kabisa wewe ni mwanaume wa aina gani na lengo lako ni nini.
So, kama ndani ya 24hrs ashakupiga mzinga mrefu hivyo, just know pale ulipoongea nae mpaka ukaomba namba, alishajua waziwazi kua ile sehem kwenye kichwa chako ambapo ubongo ulitakiwa ukae, imekaa mbegu ya parachichi.!
Acha makasiriko mkuu, pambana tafuta hela na uwe na sera zinazovutia,. Ukifika hapo wala hutahangaika kula tunda kimasihara
Amejiongeza kwenye upanaHizo ngoma type ya huyo ndio wamejazana south Africa karibu asilimia 70 ya mademu wa south wapo hivyo halafu wanatongoza wenyewe wanaume hayo sio matende mkuu😁hilo ni zigo/mshangazi
Mwambie aje achukue lodge, akija mnyandue kisha mpe unachowezaUnakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nn?
Mkuu hio Cozi Ardhi ipo kabisa na ndo cozi yenye watu wako busy 24/7. Sasa huyo cijui alipata mda wapi au walikutana kipindi cha likizoUsije ukawa umekutana na mwanafunzi wa mchongo, kwanza hakuna hiyo kozi hapo Ardhi University 😁