Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂🤣🤣🤣😅😅😅😆😆😁😁😄😃😃😀😀Na hizi tozo Njaa ndio imefika mahalo pake
Kuna kitu kimoja nilifanya uchunguzi na haya ndiyo majibu ya uchunguziUnakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nini?
MmhKuna kitu kimoja nilifanya uchunguzi na haya ndiyo majibu ya uchunguzi
1:wengi wao sio wanachuo ni wadangaji kwa kivuli cha wanachuo
2:wamekalili baadhi ya kozi kwenye vyuo walivyojipachika uanafunzi😂😂
3:Muulize jina la lecture ata mmoja utaskia kizunguzungu😂
Dear naomba hela ya Adakwani baba yake na mama yake wamefsriki?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nini?
Tatizo wanaume wakiwa real hampendi mnataka uongo ili muwe comfortable kuwakubalia huo ndio ukweli.Inategemea umemuonyesha wewe ni mtu wa aina gani, kama umejitapa una pesa nyingi, gari kali aah anaona kwako simu it's a minor thing. So Be a gentleman acha masifa sifa.[emoji3]
Atoe mbususu watu waburudikeHebu wape mtiririko wa vile mambo yanatakiwa kwenda
Enhe,ukichukua namba kesho yake mchana afanyaje?
Mwanamke bila uwongo haiwezekani.Tatizo wanaume wakiwa real hampendi mnataka uongo ili muwe comfortable kuwakubalia huo ndio ukweli.
Haiwezi ikawa tu imetokea wanaume wanakuwa waongo kwa wanawake bila sababu yaani wajiskie tu kudanganya.
Kwanini mnadate na wanafunzi wa chuo? Muwaache watoto wa watu wasome. We ukiwa na binti yako yuko chuo utafurahi akiwa anadatedate tu watu huko club sijui wapi.Unakutana na mwanachuo club/baa eg. Samaki Samaki unamuelewa unachukua namba kesho yake mchana smart phone imeharibika anaomba laki 8 akanunue Simu mpya.
Hivi mnawazaga nini?
Wanataka pesa ambazo wa umri wao hawanaKwanini mnadate na wanafunzi wa chuo? Muwaache watoto wa watu wasome. We ukiwa na binti yako yuko chuo utafurahi akiwa anadatedate tu watu huko club sijui wapi.
Wanafunzi wa chuo wanatakiwa wajielewe sana, hasa hawa wa miaka 20 hadi 24, wao bado ni wadogo wakipata janga lolote katika umri huo wataathirika vibaya maana bado wadogo na hawajui dunia na binadamu wakoje hasa.
Kama mwanafunzi wa chuo anadate ni bora adate na mwanafunzi mwenzie ama mtu wa rika lake
Baada ya mwezi unarudi Tena, Kama huna timeUna mkaushia tu kama haukuchukua namba vile, mkikutana tena unamchangamkia vizuri zaidi, kesho kutwa unaacha shobo naye....asipojileta aachane naye afanye mambo mengine [emoji23][emoji23]