Udanganyifu NHIF, Ndugu Waoana Wapate Kadi ya Bima

Udanganyifu NHIF, Ndugu Waoana Wapate Kadi ya Bima

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umebaini kuwapo udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wanachama na viongozi wa dini kwa kufungisha ndoa batili ndugu wa familia moja ili wakidhi vigezo vya kuwamwanachama wa Mfuko huo kama mke na mume. Hayo yalibainishwa jana katika mkutano wa wadau wa mfuko huo kwa Mkoa wa Mtwara, wakati Meneja wa Mkoa wa Mfuko huo, Dk. Adolph Kahamba, akiwasilisha tarifa mbele ya mkutano huo.

"Kuna tukio lilitokea nadhani vombo vya habari vilitoa hapa Mtwara kwamba mtu amefunga ndoa na dada yake ili apate bima ya afya, kwa hiyo kumekuwa na udanganyifu na bahati nzuri viongozi wa dini mpo mtusaidie ili kuweka maadili."

"Ofisi yetu ina kesi shekhe ana 'confess' (kiri) bwana mimi kwa kweli nilidanganya nikafungisha ndoa ya uongo mtu na dada yake ili apate bima ya afya," alisema Dk. Kahamba.
 
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umebaini kuwapo udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wanachama na viongozi wa dini kwa kufungisha ndoa batili ndugu wa familia moja ili wakidhi vigezo vya kuwamwanachama wa Mfuko huo kama mke na mume. Hayo yalibainishwa jana katika mkutano wa wadau wa mfuko huo kwa Mkoa wa Mtwara, wakati Meneja wa Mkoa wa Mfuko huo, Dk. Adolph Kahamba, akiwasilisha tarifa mbele ya mkutano huo.

"Kuna tukio lilitokea nadhani vombo vya habari vilitoa hapa Mtwara kwamba mtu amefunga ndoa na dada yake ili apate bima ya afya, kwa hiyo kumekuwa na udanganyifu na bahati nzuri viongozi wa dini mpo mtusaidie ili kuweka maadili."

"Ofisi yetu ina kesi shekhe ana 'confess' (kiri) bwana mimi kwa kweli nilidanganya nikafungisha ndoa ya uongo mtu na dada yake ili apate bima ya afya," alisema Dk. Kahamba.
umaskini unatusumbua sana watanzania baadhi yetu
 
Mtu na dada kivipi! Kwenye Uislam dada yako ni yule wa baba mmoja na mama mmoja au wa mama mmoja au wa baba mmoja lakini mtoto wa mjomba,wa shangazi, wa baba mkubwa au wa baba mdogo,wa mama mkubwa au mama mdogo hao wote ni vyakula kama vyakula vingine japo upande wa mila na tamaduni kuna mitazamo tofauti
Mfano jamii nyingi za ukanda wa pwani ndoa hizi ufungwa sana lakini upande wa bara ndoa hizi ni nadra kutokea.
 
Mtu na dada kivipi! Kwenye Uislam dada yako ni yule wa baba mmoja na mama mmoja au wa mama mmoja au wa baba mmoja lakini mtoto wa mjomba,wa shangazi, wa baba mkubwa au wa baba mdogo,wa mama mkubwa au mama mdogo hao wote ni vyakula kama vyakula vingine japo upande wa mila na tamaduni kuna mitazamo tofauti
Mfano jamii nyingi za ukanda wa pwani ndoa hizi ufungwa sana lakini upande wa bara ndoa hizi ni nadra kutokea.
Sasa unataka kubishana na uwongozi wa NHIF!wwe ni Wakili by professional!!?? Naomba kuuliza!!
 
"Kuna tukio lilitokea nadhani vombo vya habari vilitoa hapa Mtwara kwamba mtu amefunga ndoa na dada yake ili apate bima ya afya, kwa hiyo kumekuwa na udanganyifu na bahati nzuri viongozi wa dini mpo mtusaidie ili kuweka maadili."
Duh!
Kama huyo data akipata mume halisi itakuwaje? Atamiliki vyeti viwili vya ndoa?!
 
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umebaini kuwapo udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wanachama na viongozi wa dini kwa kufungisha ndoa batili ndugu wa familia moja ili wakidhi vigezo vya kuwamwanachama wa Mfuko huo kama mke na mume. Hayo yalibainishwa jana katika mkutano wa wadau wa mfuko huo kwa Mkoa wa Mtwara, wakati Meneja wa Mkoa wa Mfuko huo, Dk. Adolph Kahamba, akiwasilisha tarifa mbele ya mkutano huo.

"Kuna tukio lilitokea nadhani vombo vya habari vilitoa hapa Mtwara kwamba mtu amefunga ndoa na dada yake ili apate bima ya afya, kwa hiyo kumekuwa na udanganyifu na bahati nzuri viongozi wa dini mpo mtusaidie ili kuweka maadili."

"Ofisi yetu ina kesi shekhe ana 'confess' (kiri) bwana mimi kwa kweli nilidanganya nikafungisha ndoa ya uongo mtu na dada yake ili apate bima ya afya," alisema Dk. Kahamba.
Kazi kweli kweli
 
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umebaini kuwapo udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wanachama na viongozi wa dini kwa kufungisha ndoa batili ndugu wa familia moja ili wakidhi vigezo vya kuwamwanachama wa Mfuko huo kama mke na mume. Hayo yalibainishwa jana katika mkutano wa wadau wa mfuko huo kwa Mkoa wa Mtwara, wakati Meneja wa Mkoa wa Mfuko huo, Dk. Adolph Kahamba, akiwasilisha tarifa mbele ya mkutano huo.

"Kuna tukio lilitokea nadhani vombo vya habari vilitoa hapa Mtwara kwamba mtu amefunga ndoa na dada yake ili apate bima ya afya, kwa hiyo kumekuwa na udanganyifu na bahati nzuri viongozi wa dini mpo mtusaidie ili kuweka maadili."

"Ofisi yetu ina kesi shekhe ana 'confess' (kiri) bwana mimi kwa kweli nilidanganya nikafungisha ndoa ya uongo mtu na dada yake ili apate bima ya afya," alisema Dk. Kahamba.
NHIF isiwapangie wanachama tegemezi wa kuingizwa kwenye orodha ya mwanachama.

Kama ni nafasi 5 aachwe mwanachama achaguwe anamuingiza nani anaweza kutowa sadaka kumuingiza hata mtoto yatima.
 
NHIF isiwapangie wanachama tegemezi wa kuingizwa kwenye orodha ya mwanachama.

Kama ni nafasi 5 aachwe mwanachama achaguwe anamuingiza nani anaweza kutowa sadaka kumuingiza hata mtoto yatima.
Ni kweli kabisa utaratibu wa watu wa bima kupanga lazima umuweke mzazi wako ni wa kipuuzi kwa sababu kuna watumishi wengi hawajawahi kuwaona hao wazazi bali wamelewa na kusomeshwa na watu baki .Mfano wajomba shangazi au mama wakubwa au wadogo.Mara nafasi za wategemezi lazima awe mke wa ndoa mpaka uweke cheti hivi hawa mbwa hawajui kuna ndoa za kimila nazo ni halali ?Na watoto lazima uwe umewazaa mtumishi mwenyewe kama huna kizazi nafasi zinabaki huku unaendelea kukatwa mshahara wako.Ifike mahali sheria ibadilishwe Mwenye mshahara aweke watu anaotaka wanufaike kisheria pasipo kupangiwa na hao watu wa bima lasivyo kujiunga na bima ya afya kwa mtumishi iwe ni hiari.
 
Na Bado watu watafoji sana maana wanawalazimisha nani aingie kwenye bima badala ya mtu kuachiwa amue nani anamuweka
 
Ni kweli kabisa utaratibu wa watu wa bima kupanga lazima umuweke mzazi wako ni wa kipuuzi kwa sababu kuna watumishi wengi hawajawahi kuwaona hao wazazi bali wamelewa na kusomeshwa na watu baki .Mfano wajomba shangazi au mama wakubwa au wadogo.Mara nafasi za wategemezi lazima awe mke wa ndoa mpaka uweke cheti hivi hawa mbwa hawajui kuna ndoa za kimila nazo ni halali ?Na watoto lazima uwe umewazaa mtumishi mwenyewe kama huna kizazi nafasi zinabaki huku unaendelea kukatwa mshahara wako.Ifike mahali sheria ibadilishwe Mwenye mshahara aweke watu anaotaka wanufaike kisheria pasipo kupangiwa na hao watu wa bima lasivyo kujiunga na bima ya afya kwa mtumishi iwe ni hiari.
Kuna wapumbavu wamepewa Madaraka utadhani hawajakulia haya maisha yetu.

Familia nyingi hakosekani mtoto au Watoto ambao ni extended family unawalea.

Sasa kama unawalea na kuwasomesha matibabu wanapata kwa nani? Ni ujinga na kujisahau.

Inachotakiwa ni mwanachama yeye ndio atajaza idadi ya tegemezi alioruhusiwa idadi na atamuweka nani hilo ni jukumu na maamuzi ya mwanachama mwenyewe siyo mambo ya kupangiana.
 
Back
Top Bottom