ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Sasa haya ya kununua mikononi mwa watu si ndio tabu zaidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How is it possibleSasa kitu kingine cha ajabu ni hizi crown athlete zinazouzwa Kwenye yard nyingi zinauzwa zikiwa zimeshushwa milage.... nilishangaa mwaka Jana nilienda yard Fulani kinondoni kila gari niliyouliza milage haizidi km 70000 kitu ambacho ni uongo.
Km mbona 0 mkuu?
Mkuu hii ya kuangalia seatbelt ndio naiona je kama mkanda uliharibika wakaubadili?
Kwa kweli ukitaka kujua mwaka kwa urahisi ni kuangalia VIN Vehicle Identifications Number ambayo ipo kwenye gari ni mchanganyiko wa number na herufi
Jedwali iko hapa na unaweza kujua ni ya mwaka gani na imetengenezwa wapi hata kama ni Malaysia
View attachment 2027551
View attachment 2027552
View attachment 2027553
View attachment 2027554
Gari za Japan hawani VIN number ya character 17. Hapa unaongelea gari za ulaya na Marekani tu.
Mbona hata za Japan zina VIN number? Au mimi ndio sielewi
View attachment 2046194
Mbona hata za Japan zina VIN number? Au mimi ndio sielewi
View attachment 2046194
Sijasema hawana VIN number ila nimesema hawana VIN number ya character 17
So apo wanatupiga syo?...[emoji1787]Gari za japan zilizo nyingi huwa inaniandikia hivo...
Kuna case chache ambayo ndio huwa inaleta real km.
So apo wanatupiga syo?...[emoji1787]
Hizo documents wanaweza wasikupe wanaficha kama unanunua yard, na wakakutengenezea na kadi ya gari (namba)Mileage halisi inapatikana kwenye invoice ya gari husika wakati wa importation hivyo ukinunua gari dai invoice ya imoortation kwa magari yalioingia TZ kabla ya April 2021 dai inspection certificate ya Japan ile pia ina OG mileagr ila kwa gari za Singapore hua hawaandiki mileage kwenye report yao
Nishaachaga kbs kudeal na mileage kama nanunua gar bongoSasa kitu kingine cha ajabu ni hizi crown athlete zinazouzwa Kwenye yard nyingi zinauzwa zikiwa zimeshushwa milage.... nilishangaa mwaka Jana nilienda yard Fulani kinondoni kila gari niliyouliza milage haizidi km 70000 kitu ambacho ni uongo.
Kuliko ninunue gar yard bora nimvue mwana aiseeNa Yard Mara nyingi ziko kwa ajili ya wakolomije.
Kuliko ninunue gar yard bora nimvue mwana aisee
Uko sahihi kabisa. Seat belt inaweza tumika ya mwaka wa nyuma. Mfano gari lililokuwa assembled February 2020, linaweza likawa na seatbelt ya Nov-Dec 2021. Maana ni accessories.Mkuu hii ya kuangalia seatbelt ndio naiona je kama mkanda uliharibika wakaubadili?
Kwa kweli ukitaka kujua mwaka kwa urahisi ni kuangalia VIN Vehicle Identifications Number ambayo ipo kwenye gari ni mchanganyiko wa number na herufi
Jedwali iko hapa na unaweza kujua ni ya mwaka gani na imetengenezwa wapi hata kama ni Malaysia
View attachment 2027551
View attachment 2027552
View attachment 2027553
. View attachment 2027554
Hii Case nimeizoea kukutana nayo wa watu na huwa naichukulia kawaida ila leo nimeshangaa kuikuta kwenye moja wapo ya Showroom hapa Dar.
Kikawaida gari nyingi tukitaka kuangalia mwaka ambao gari hiyo imetengenezwa huwa tunaangalia lebo iliyopo kwenye mkanda (yaani seat belt).
Lakini it seems kumekuwa na mchezo wa gari kuwekwa mikanda ya gari ambayo ni ya generation moja ila miaka tofauti.
Mfano Toyota Premio generation ya kwanza zimeanzia 2001 mpaka 2007. Hivyo inaweza ikatolewa mikanda ya premio ya 2006 ikafungwa kwenye premio ya mwaka 2002.
Hapo utaambiwa hiyo gari ni ya mwaka 2006 halafu utapigwa hela. Kwa kulipa bei ya gari ya 2006 wakati ni gari ya 2002.
Bahati mbaya sana sikuipiga picha lebo ya mkanda wa hiyo gari. Ila wakati napima report ilikuja kwamba ni gari ya mwaka 2001 hivyo sikuwa na sababu ya kuangalia mkanda.
View attachment 2009304
Tulikubaliana bei na mtu wa sales Fresh ila shida ikaja kujitokeza alipokuja Boss na akaclaim kwamba hiyo ni gari ya 2004. Na bei akapandisha for almost 1.5m zaidi.
Hapo tukawa tumeshindwana.
Kitu ambacho nimekizoea mara nyingi, mwaka uliondikwa kwenye mkanda huwa unapishana kwa mwaka mmoja tu na mwaka ambao unakuja kwenye Diagnostic report. Hiki ndio kitu ambacho ninakifahamu.
Ila miaka ikishakuwa mingi hapo kuna walakini. Na sielewi kama hii michezo inachezwa hapahapa mjini au huko gari zinakotoka.
Hapo sijagusia suala la Km, Maana Km nilizozikuta mpaka nimeona aibu.
Anyway ukiwa unanunua gari jitahidi kurukaruka na Chasis number ya gari hata mtandaoni labda unaweza kupata taarifa mbili tatu za hiyo gari.
Unaweza pia kusoma [emoji1484][emoji1484][emoji1484]
Thread 'Car diagnostic solutions' Car diagnostic solutions
Alamsiki
Ni very rarely mtu kufika kwenye serial number... Mara nyingi kilichoandikwa kwenye mkanda huwa kinakuwa 90℅ ukweli....kwani gari alina serial namba au inayoweza kukujulisha ili gani ni la mda gani