trisha cute
Senior Member
- Dec 1, 2020
- 194
- 608
Thank you amen I receive [emoji120]Wacha niku-add kwenye list ya maombi asubuhi,Mungu akutie nguvu katika hilo mkuu...
Thats love...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you amen I receive [emoji120]Wacha niku-add kwenye list ya maombi asubuhi,Mungu akutie nguvu katika hilo mkuu...
Thats love...
Ahsante Sana kwa ushaur wakoMwambie awe anatafuna majani ya Mpera ma 3 au ma 4 kila siku kwa dk 15 au tafuta Kidaka cha ndizi, kikatekate umchemshie awe anakunywa yale maji utakuja kuwashuhudia humu wananzengo.
Nimekuelewa sis thank you [emoji3526][emoji123][emoji8]Hello, sex as in penetration mnaweza msifanye, lakini mapenzi mnaweza kufanya.. hope umeelewa sis.
[emoji8]
EenhWangu ni malaika...
Wa kwangu hana madhaifu ni mimi hua nampigia kelele za kumkosesha amani...Eenh
Kwahiyo wako hana madhaifu yoyote
Auntie ni kwamba mashabiki wa simba unatuchukia kiasi hiki [emoji2296][emoji2296][emoji2296]Ni shabiki wa simba.
Hahahhaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli tunavumilia mengi mno kwenye haya mahusiano basi tu
Ana madhaifu yake [emoji1787] sema tu unamfichia bwanaWa kwangu hana madhaifu ni mimi hua nampigia kelele za kumkosesha amani...
[emoji3]
Ana madhaifu yake [emoji1787] sema tu unamfichia bwana
He can't do sex kabisa amepata sukari tukiwa kwenye mahusiano but nimeamua kuwa nae Kama jinsi alivyo ,Ana vitu vingi Sana ninavopenda toka kwake zaidi ya sex
Hana madhaifu...Ana madhaifu yake [emoji1787] sema tu unamfichia bwana
Pole sana mamy Mungu atamsaidia shem na kurudi kwenye hali yakeHe can't do sex kabisa amepata sukari tukiwa kwenye mahusiano but nimeamua kuwa nae Kama jinsi alivyo ,Ana vitu vingi Sana ninavopenda toka kwake zaidi ya sex
Mama mtumishi nimemmiss chawa wangu sanaaa mbona amekuwa adimu hivi jamani Evelyn SaltUmsalimie sana Evelyn Salt
Mmh yaani hapo unasema acha nimjaze tu ila madhaifu yake ninayajua mengi na yeye anajua kama najua [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakuelewa vizuri tu na ile kauli yakoHana madhaifu...
Kaja utamu na Raha mwanzo mwisho...
Mimi ndiyo hua nampaga jakamoyo...
Siwezi kumjaza... Naongea ukweli...Mmh yaani hapo unasema acha nimjaze tu ila madhaifu yake ninayajua mengi na yeye anajua kama najua [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nakuelewa vizuri tu na ile kauli yako
Boss nipo sanaa we ndio sikuoni jamani, nahisi mzigo wa mahaba umekuelemea 😂😂Mama mtumishi nimemmiss chawa wangu sanaaa mbona amekuwa adimu hivi jamani Evelyn Salt
Hahhaha jamani nimefurahi kukuona chawa wangu mda sana hatujaonana jukwaaniBoss nipo sanaa we ndio sikuoni jamani, nahisi mzigo wa mahaba umekuelemea [emoji23][emoji23]
We jamaa umesababisha nimecheka kwa watu hatarBora muongo utamzoea na ukimshushua kila wakati mwisho anaacha
Ila wa hivi sasa [emoji23][emoji23]View attachment 1929722