Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
My baby is just so sweet, mengine mi sijui....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemela punguza kelele....😁Wa kwangu hana madhaifu ni mimi hua nampigia kelele za kumkosesha amani...
😀
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Anamajibu ya kuudhi sana muda mwingine, imagine unamuuliza mtu mmekula Tambi na nini anakwambia na mdomo
Anamajibu ya kuudhi sana muda mwingine, imagine unamuuliza mtu mmekula Tambi na nini anakwambia na mdomo
HaahaahaaHaka kamama kangu kembamba karefu kidogo kana gubu, visilani na hasira za karibu sana, mwanzoni nilikalamba vibao na mangumi nikakarudisha kwao miezi mitatu hivi ila sasa hivi nimeamua kuvumilia TU na naona Kila kitu kinaenda vema.
HALELUYAA....
Anajua vile nilivyo na wivu juu yake...Shemela punguza kelele....😁
Wivu ndio uhai wa mapenzi, kama ni hilo tu nipo pamoja na wewe..... mapenzi yaendeleeAnajua vile nilivyo na wivu juu yake...
Mwenzako waniona iyo.....[emoji16][emoji38]Mzembe kitandani, nina mwaka na miezi kadhaa sijala naniliu yake. Nimejifunza kuchepuka
Ndo matatizo ya kuoa wajukuu zake kabudi[emoji2]Kuniongelesha mambo ya siasa
Haka kamama kangu kembamba karefu kidogo kana gubu, visilani na hasira za karibu sana, mwanzoni nilikalamba vibao na mangumi nikakarudisha kwao miezi mitatu hivi ila sasa hivi nimeamua kuvumilia TU na naona Kila kitu kinaenda vema.
HALELUYAA....
Mko kwenye mahusiano kwa muda gani?Huyu wangu kila nikimtafutia weakness siioni, nafikiri yeye ndio kakubaliana na weakness zangu
Sijui yuko wapi jamani chawa wako mweeh. Umemissika mama MuinjiliMama mtumishi nimemmiss chawa wangu sanaaa mbona amekuwa adimu hivi jamani Evelyn Salt
Kabla ya ndoa 3 years, baada ya ndoa 3 yearsMko kwenye mahusiano kwa muda gani?
Wivu ndio uhai wa mapenzi, kama ni hilo tu nipo pamoja na wewe..... mapenzi yaendelee
Uchawi na uchafu
Anasquirt Sana,
Mechi ikikolea Sana kitanda kinageuka stendi kuu ya mwendo Kasi msimu wa masika pale jangwani.
Kila mwaka nna bajeti ya godoro jipya,
Kipind tunapanga na hatuna mtoto ilkua tabu Sana kuanika godoro.
Nowdays tuko kwetu, tuna watoto na godoro tunaanika nje Kama kawaida na Hakuna wa kutuuliza
Hotel/lodge,
Tukiwa vacation au Mechi za dharura sn inabd tupige tumesimama, na sio kitandani.
Kwenye gar,
Ilnibidi nishone seatcover za leather.
(Kuna sikU gari ililowa wkt tunaagana nikaifunga na nkasafir bila KUiSAFISHA, nlivorud harufu kali nlokuta niliizira gari mwezi mzima)
Bedroom,
Ilinibidi kununua sofa maalum la leather kuhimili starehe yake.
Sema Nini[emoji2]
Mwanamke anaesquirt Ni Raha Sana wazee [emoji39]
Ule umoto Moto wakati bao linatoka, unahamasisha Sana.
Hasa akiwa analia uku miguu na joint ZOTE zikivibrate[emoji39]
Bora muongo utamzoea na ukimshushua kila wakati mwisho anaacha
Ila wa hivi sasa [emoji23][emoji23]View attachment 1929722
Ana madhaifu yake [emoji1787] sema tu unamfichia bwana
Huyo mzuri mkuu...[emoji2][emoji2]Kuniongelesha mambo ya siasa