Udhaifu gani wa mwenza wako umeamua kukubaliana nao na kuendelea na mahusiano?

Udhaifu gani wa mwenza wako umeamua kukubaliana nao na kuendelea na mahusiano?

Haka kamama kangu kembamba karefu kidogo kana gubu, visilani na hasira za karibu sana, mwanzoni nilikalamba vibao na mangumi nikakarudisha kwao miezi mitatu hivi ila sasa hivi nimeamua kuvumilia TU na naona Kila kitu kinaenda vema.


HALELUYAA....
Haahaahaa
Umetisha
 
😂😂😂😂😂
Haka kamama kangu kembamba karefu kidogo kana gubu, visilani na hasira za karibu sana, mwanzoni nilikalamba vibao na mangumi nikakarudisha kwao miezi mitatu hivi ila sasa hivi nimeamua kuvumilia TU na naona Kila kitu kinaenda vema.



HALELUYAA....
 
Duh! Una embe dodo Mkuu hawa wa hivi huwa hawaachwi. Hotelini omba taulo kibao mnatandika sakafuni mnafanya yenu. 😂😂
Anasquirt Sana,
Mechi ikikolea Sana kitanda kinageuka stendi kuu ya mwendo Kasi msimu wa masika pale jangwani.

Kila mwaka nna bajeti ya godoro jipya,
Kipind tunapanga na hatuna mtoto ilkua tabu Sana kuanika godoro.

Nowdays tuko kwetu, tuna watoto na godoro tunaanika nje Kama kawaida na Hakuna wa kutuuliza

Hotel/lodge,
Tukiwa vacation au Mechi za dharura sn inabd tupige tumesimama, na sio kitandani.

Kwenye gar,
Ilnibidi nishone seatcover za leather.
(Kuna sikU gari ililowa wkt tunaagana nikaifunga na nkasafir bila KUiSAFISHA, nlivorud harufu kali nlokuta niliizira gari mwezi mzima)

Bedroom,
Ilinibidi kununua sofa maalum la leather kuhimili starehe yake.

Sema Nini[emoji2]
Mwanamke anaesquirt Ni Raha Sana wazee [emoji39]

Ule umoto Moto wakati bao linatoka, unahamasisha Sana.

Hasa akiwa analia uku miguu na joint ZOTE zikivibrate[emoji39]
 
Back
Top Bottom