Udhaifu katika katazo la kuuza vyakula mchana wa ramadhani Zanzibar

[emoji23][emoji23][emoji23] acha ufala[emoji16][emoji16]
 
Hayo unataka yafanyike katika nchi isiyo na dini?

Yaani wasio waislam wanyanyasike kwa sababu kuna watu wamefunga?

Halafu maana ya kufunga ni ipi kama wewe kwa vyakula tu unashindwa kudhibiti nafsi yako?
 
Una ushahidi gani
Huwezi kuta waromani wasabato, wana andika upumbavu upumbavu huu kila siku juu ya imani nyingine.

Hawa ni Wanaojiita walokole, ushahidi mimi naishi kwenye jamii najua walokole wanajiona wako sahihi sana.
Lakini dhiki za Dunia ni zilezile tena hawa jamaa ndiyo wanaongoza kuishi kwa kuomba omba.
 
Umeongea vitu vingi sana ambavyo sijavizungumzia kabisa

Umechukia kuitwa kafiri?,Je,Unafahamu maana ya kafiri?
Najua zaidi ya ujuavyo. Mwislam Safi na Mwenye maadili ya dini hawezi kumwita binadamu mwenzako kafiri au mshenzi.
Umefail na huna sifa ya kuitwa mwislam. Jina likufaalo ni unafki.
 
Bila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.
Mbona Zanzibar hawako mbali?
 
Ferry Dar es Salaam ni mali ya serikali na msikiti unajengwa hapo, na ni hatua chache sana kutoka ikulu ya Magogoni na ofisi ya Waziri Mkuu.
 
Bila waislamu mngepata uhuru nyie acheni zarau wakristo kipindi chakupigania uhuru mlikuwa choka mbaya kama sio yule jamaa kutugeuka waislam tungekuwa mbali sasa hivi halafu mnakuja hapa mnatuka dini iliyowaletea uhuru.
Mkuu wbu acha mawqzo mgando kwamba eti kuna mtu alikwamisha uislamu huu ni uongo wa wazi kabisa.

Uislamu hauwezi kwenda mbele kwa mindset zetu waislamu wengi zilivyo na wala tatizo sio yule mtu.

Kwa sababu shida inaanza kwa nini alichaguliwa huyo msijichague nyinyi waislamu ?

Kwa hiyo kama kosa ni la hao waliomchagua huyo asiyekuwa muislamu.

Tusimtupie lawama mzee nyerere wakati kuna mengi ya kwetu kwenye uislamu yanahitaji marekebisho.
 
Kwa hiyo mimi kwa kutoa bandiko hili nishakuwa mkristo sio ?

Waislamu tuna shida sana.

Juzi shekhe wa mkoa kasema ukweli kwamba wakristo wametuzidi katika elimu na afya basi waislamu wamwlaani vibaya na kusema yule shekhe ni kafiri tupu.

Sasa kwa akili za waislamu kama hizi huo uislamu wataufikisha wapi zaidi ya kulaumu tu.
 
Hayo unataka yafanyike katika nchi isiyo na dini?
Swali lako limekosa maana kwangu kwa sababu sistahiki kuulizwa mimi kutokana na mada yangu.

Labda uliweke vizuri.
Yaani wasio waislam wanyanyasike kwa sababu kuna watu wamefunga?

Halafu maana ya kufunga ni ipi kama wewe kwa vyakula tu unashindwa kudhibiti nafsi yako?
Soma mada vizuri alafu ndio uje uulize.

Au quote kipengele unachoona kimekupa shida kisha unauliza.

Sasa hayo maswali yako sijayaelewa mkuu
 
Hayo unataka yafanyike katika nchi isiyo na dini?
Swali lako limekosa maana kwangu kwa sababu sistahiki kuulizwa mimi kutokana na mada yangu.

Labda uliweke vizuri.
Yaani wasio waislam wanyanyasike kwa sababu kuna watu wamefunga?

Halafu maana ya kufunga ni ipi kama wewe kwa vyakula tu unashindwa kudhibiti nafsi yako?
Soma mada vizuri alafu ndio uje uulize.

Au quote kipengele unachoona kimekupa shida kisha unauliza.

Sasa hayo maswali yako sijayaelewa mkuu
 
(Nadhani) Sina uhakika sana, lakini kwa ninavyofahamu waislamu wanaswala zao za faradhi (lazima) ambazo zina muda maalum wa kuziswali.
Na kwenye kuswali lazima mwili uwe safi, nguo safi na sehemu ya kuswalia iwe safi yaani (twaahir-aka tohara), ndio maana penye jumuia kubwa Waislamu wanapigania sana wawe na sehemu kama hiyo iliyo karibu na walipo.
Tofauti na upande wa pili kule hata uwe na mavi na mikojo na najisi nyengine mwili nzima au kwenye nguo au sehemu panapofanyiwa ibada haina dhara unaweza tu kuendelea na ibada yako unayo jiamulia muda wa kuifanya.
Utofauti ndio huo lakini sio kwamba Waislamu wao wanajiona special saana kuliko wa dini nyengine.
 
Mbona Zanzibar hawako mbali?
Ushawahi kwenda zanzibar au unasikiliza story za vijiweni sasa zanzibar unafananisha na huku kule mtu wa kawaida kuwa na gari washazoea kiufupi vitu bei chee na wangekuwa mbali zaidi kama wangejitenga wakabaki wenyewe kula hakuna mambo yenu ya vitu kupanda bei wala hakuna mafisadi yanayokula hela za wananchi huku yanachekelea.
 
Alichaguliwa kwasababu alikidhi vigezo vilivyokuwa vinatakiwa kwa wakati ule sasa mzungu wa kipindi hicho ampe uongozi muislamu atamuendesha vipi waislam walikuwa matajiri toka zamani na mpaka leo matajiri wakubwa nchini ni waislamu hao waendelee kuhudhuria ndoa za jinsia moja kanisani na kuoa mke mmoja mpaka unakufa maana ndo ujanja waliobaki nao kiufupi wakristo waliigeuza nchi ya kwao ngoja siku waingie anga zetu kwenye mitihani walikuwa wanakata jina la mwamedi wanaweka Johnson na Jacob sema waislam tumetoka mbali pongezi kwa kigoma malima kwa kutupigania vijana wake sasa kuna waislam wasomi.
 
Najua zaidi ya ujuavyo. Mwislam Safi na Mwenye maadili ya dini hawezi kumwita binadamu mwenzako kafiri au mshenzi.
Umefail na huna sifa ya kuitwa mwislam. Jina likufaalo ni unafki.
Daah! Hii nchi katiba mpya inahitajika haraka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…