Udhaifu Mkubwa Jeshi la Polisi ni kutomkamata Musiba kwa Makosa ya Jinai

Udhaifu Mkubwa Jeshi la Polisi ni kutomkamata Musiba kwa Makosa ya Jinai

Huyu shetani alihamasisha;
1.watu kuuawa
2.kuvunjwa miguu
3. Kupigwa
Wakati akifanya haya watu wa dini walikaa kimya bila kukemea au kumpinga!
Leo hii sheria imechukua mkondo wake ndio wanainuka kumuombea!
Ni vyema wakae kimya kuliko kujidharaulisha mbele ya jamii ili huyu fisi maji awajibike kwa uovu wake!

Viongozi wa Dini ninaowakubali Ni Askofu Rugambwa (RIP) na Shekh Ponda Tu haya mazagazaga mnayoyataja yaliyowahi kuchukua pesa za mboga toka escrow hawana tofauti na wanayemtetea wamejaa dhambi kwenye kanzu hawana tofauti na shetani, Watu tunalia na tozo wao wanakija na utetezi wa MTU aliyewahi kuktukela
 
Kuua, kuhamasisha watu kuuawa, kutishia kuua au kushiriki kwa namna yoyote ile katika mauaji ni makosa ya jinai. Polisi hawastahili kusubiri kuambiwa wamkamate na kumfikisha mahakamani mtu anayefanya makosa haya.

Kwa uwazi kabisa, Musiba, tena kwenye TV na kwa kupitia magazeti yake alisikika wazi akihamasisha baadhi ya watu kama Tundu Lisu kuuawa, alisikika wazi akiwatukana watu kama Zito kuwa walikuwa wanagombania shoga. Kauli hizo zilisikika wazi kabisa, na kwa uhakika hakuna kiongozi wa Polisi ambaye hakumsikia.

Lakini kati ya aliowataja, mtu kama Lisu aliishia kupigwa risasi. Lakini wapo ambao mpaka leo wamepotezwa au kuuawa. Tuna uhakika gani kuwa hao walioshambuliwa kwa lengo la kuwaua, au waliopotezwa au waliouawa, hawakuafanyiwa hayo yote kwa kuhamasishwa na kauli za watu waovu kama Musiba? Au pengine hata Musiba mwenyewe kushiriki?

Kazi ya polisi ni pamoja na kuchunguza matukio yote yenye viashiaria vya uhalifu, na kisha kama kuna uhalifu uliothibitika, ni mhusika kufikishwa mahakamani. Kwa nini hilo halikufanyika dhidi ya Musiba? Au jeshi la Polisi ili kufanya kazi ni lazima liamriwe na viongozi wa kisiasa ambao siyo Polisi, ndiyo lifanye kazi? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa Jeshi la Polisi.

Shukrani nyingi sana kwa Mh. Membe kwa kuchukua hatua dhidi ya muovu huyu (mahakama imethibitisha). Nadhani Membe aliamua kuchukua hatua ya kumshtaki Musiba baada ya kuona Jeshi la Polisi limeshindwa kufanya kazi yake.

Na kwa vile mtu binafsi hawezi kumfungulia mhalifu wa makosa ya jinai kwa shtaka la jinai, aliamua kufungua kesi ya kuvunjiwa heshima. Na mahakama ikatoa hukumu. Hukumu hii japo siyo ya kumpeleka mhalifu Musiba gerezani, lakini angalao inamfanya Musiba alipie uhalifu wake.

Mhalifu anapoadhibiwa, inapeleka ujumbe mpana kwa wahalifu wengine au wanaotegemea kuwa wahalifu. Hatutaki Musiba wengine, hivyo ni vema ujumbe huu uwafikie Musiba wengine kwa ukamilifu. Mhalifu mmoja anapoadhibiwa sawasawa, unawalinda Watanzania mamilioni walio wema.

Jambo la kusikitisha ni taarifa kuwa eti kuna viongozi wa dini wamekuwa wakitumwa na Musiba kwenda kwa Membe kutaka Musiba asiadhibiwe. Hilo linasikitisha sana. Na tungependa kuuliza, hawa viongozi wa dini wakati Musiba anahamasisha watu wengine wauawe, walikuwa wapi? Walitoa kauli gani?

Je, wamechunguza kauli hizo za Musiba zilisababisha watu wangapi wauawe, kutekwa au kupotezwa? Wanaupata wapi ujasiri wa kusimama na muovu mmoja dhidi ya familia, marafiki na ndugu wa wale ambao jamaa zao au waliuawa, walishambukiwa au kupotezwa?

Tunamshukuru sana Mh. Membe kwa kulisimamia hili. Manufaa ya hili ni mapana sana, hasa kwa vizazi vya sasa na vya mbeleni. Na utekelezaji wa hukumu hii uwekwe wazi sana, utangazwe ili watu wajue kuwa uovu huwa hausimami milele. Watu wajivunie wema na siyo uovu unaoweza kukupa mafanikio na umaarufu wa muda mfupi.
Polisi wasingeweza kumkamata Musiba mkuu,alikuwa chini ya mamlaka kubwa zaidi ya Polisi na naamini Polisi walilijua hili.
 
Polisi wasingeweza kumkamata Musiba mkuu,alikuwa chini ya mamlaka kubwa zaidi ya Polisi na naamini Polisi walilijua hili.
Wamkamate sasa hivi ili watu wapelekewe ujumbe mzito wa jinai haifi.
 
Wapo wengi humu Jamvini wanofanana na musiba kwa maneno na mengineyo ati hawashikiki- na wengine humu humu kwenye uzi huu. Zamu zamu tu.
 
Siyo Musiba peke yake bali hata Paul Makonda au Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
Mpeleke mahakamani bush lawyer
 
Na yule aliyesema kuwa hata CCM isiposhinda wao ndio watatangazwa washindi naye alitumwa na nani?
Na yule aliyetutisha kuwa tutashitakiwa miga kwa kutetea madini yetu alitumwa na nani?
Watu kwa mikwara mbuzi bhana!
 
Kuua, kuhamasisha watu kuuawa, kutishia kuua au kushiriki kwa namna yoyote ile katika mauaji ni makosa ya jinai. Polisi hawastahili kusubiri kuambiwa wamkamate na kumfikisha mahakamani mtu anayefanya makosa haya.

Kwa uwazi kabisa, Musiba, tena kwenye TV na kwa kupitia magazeti yake alisikika wazi akihamasisha baadhi ya watu kama Tundu Lisu kuuawa, alisikika wazi akiwatukana watu kama Zito kuwa walikuwa wanagombania shoga. Kauli hizo zilisikika wazi kabisa, na kwa uhakika hakuna kiongozi wa Polisi ambaye hakumsikia.

Lakini kati ya aliowataja, mtu kama Lisu aliishia kupigwa risasi. Lakini wapo ambao mpaka leo wamepotezwa au kuuawa. Tuna uhakika gani kuwa hao walioshambuliwa kwa lengo la kuwaua, au waliopotezwa au waliouawa, hawakuafanyiwa hayo yote kwa kuhamasishwa na kauli za watu waovu kama Musiba? Au pengine hata Musiba mwenyewe kushiriki?

Kazi ya polisi ni pamoja na kuchunguza matukio yote yenye viashiaria vya uhalifu, na kisha kama kuna uhalifu uliothibitika, ni mhusika kufikishwa mahakamani. Kwa nini hilo halikufanyika dhidi ya Musiba? Au jeshi la Polisi ili kufanya kazi ni lazima liamriwe na viongozi wa kisiasa ambao siyo Polisi, ndiyo lifanye kazi? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa Jeshi la Polisi.

Shukrani nyingi sana kwa Mh. Membe kwa kuchukua hatua dhidi ya muovu huyu (mahakama imethibitisha). Nadhani Membe aliamua kuchukua hatua ya kumshtaki Musiba baada ya kuona Jeshi la Polisi limeshindwa kufanya kazi yake.

Na kwa vile mtu binafsi hawezi kumfungulia mhalifu wa makosa ya jinai kwa shtaka la jinai, aliamua kufungua kesi ya kuvunjiwa heshima. Na mahakama ikatoa hukumu. Hukumu hii japo siyo ya kumpeleka mhalifu Musiba gerezani, lakini angalao inamfanya Musiba alipie uhalifu wake.

Mhalifu anapoadhibiwa, inapeleka ujumbe mpana kwa wahalifu wengine au wanaotegemea kuwa wahalifu. Hatutaki Musiba wengine, hivyo ni vema ujumbe huu uwafikie Musiba wengine kwa ukamilifu. Mhalifu mmoja anapoadhibiwa sawasawa, unawalinda Watanzania mamilioni walio wema.

Jambo la kusikitisha ni taarifa kuwa eti kuna viongozi wa dini wamekuwa wakitumwa na Musiba kwenda kwa Membe kutaka Musiba asiadhibiwe. Hilo linasikitisha sana. Na tungependa kuuliza, hawa viongozi wa dini wakati Musiba anahamasisha watu wengine wauawe, walikuwa wapi? Walitoa kauli gani?

Je, wamechunguza kauli hizo za Musiba zilisababisha watu wangapi wauawe, kutekwa au kupotezwa? Wanaupata wapi ujasiri wa kusimama na muovu mmoja dhidi ya familia, marafiki na ndugu wa wale ambao jamaa zao au waliuawa, walishambukiwa au kupotezwa?

Tunamshukuru sana Mh. Membe kwa kulisimamia hili. Manufaa ya hili ni mapana sana, hasa kwa vizazi vya sasa na vya mbeleni. Na utekelezaji wa hukumu hii uwekwe wazi sana, utangazwe ili watu wajue kuwa uovu huwa hausimami milele. Watu wajivunie wema na siyo uovu unaoweza kukupa mafanikio na umaarufu wa muda mfupi.
Jiwe alikuwa Mshamba Sana , No wonder alikufa Kindezi sana
 
Polisi wangemkata mtu aliyekuwa anatumwa na Rais?

Au unadhani Musiba alikuwa anajianulia tu, na magazeti yake kupewa matangazo ya serikali?

Wangezuga basi hata kwa lugha zao kuwa uchunguzi bado unaendelea wakapotelea huko.

Hawa viongozi wetu wa dini kama wanatumwa na musiba basi tunashida kubwa.
Sasa watarajie kupokea maombi ya waharifu wengine wengi.
 
Kuua, kuhamasisha watu kuuawa, kutishia kuua au kushiriki kwa namna yoyote ile katika mauaji ni makosa ya jinai. Polisi hawastahili kusubiri kuambiwa wamkamate na kumfikisha mahakamani mtu anayefanya makosa haya.

Kwa uwazi kabisa, Musiba, tena kwenye TV na kwa kupitia magazeti yake alisikika wazi akihamasisha baadhi ya watu kama Tundu Lisu kuuawa, alisikika wazi akiwatukana watu kama Zito kuwa walikuwa wanagombania shoga. Kauli hizo zilisikika wazi kabisa, na kwa uhakika hakuna kiongozi wa Polisi ambaye hakumsikia.

Lakini kati ya aliowataja, mtu kama Lisu aliishia kupigwa risasi. Lakini wapo ambao mpaka leo wamepotezwa au kuuawa. Tuna uhakika gani kuwa hao walioshambuliwa kwa lengo la kuwaua, au waliopotezwa au waliouawa, hawakuafanyiwa hayo yote kwa kuhamasishwa na kauli za watu waovu kama Musiba? Au pengine hata Musiba mwenyewe kushiriki?

Kazi ya polisi ni pamoja na kuchunguza matukio yote yenye viashiaria vya uhalifu, na kisha kama kuna uhalifu uliothibitika, ni mhusika kufikishwa mahakamani. Kwa nini hilo halikufanyika dhidi ya Musiba? Au jeshi la Polisi ili kufanya kazi ni lazima liamriwe na viongozi wa kisiasa ambao siyo Polisi, ndiyo lifanye kazi? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa Jeshi la Polisi.

Shukrani nyingi sana kwa Mh. Membe kwa kuchukua hatua dhidi ya muovu huyu (mahakama imethibitisha). Nadhani Membe aliamua kuchukua hatua ya kumshtaki Musiba baada ya kuona Jeshi la Polisi limeshindwa kufanya kazi yake.

Na kwa vile mtu binafsi hawezi kumfungulia mhalifu wa makosa ya jinai kwa shtaka la jinai, aliamua kufungua kesi ya kuvunjiwa heshima. Na mahakama ikatoa hukumu. Hukumu hii japo siyo ya kumpeleka mhalifu Musiba gerezani, lakini angalao inamfanya Musiba alipie uhalifu wake.

Mhalifu anapoadhibiwa, inapeleka ujumbe mpana kwa wahalifu wengine au wanaotegemea kuwa wahalifu. Hatutaki Musiba wengine, hivyo ni vema ujumbe huu uwafikie Musiba wengine kwa ukamilifu. Mhalifu mmoja anapoadhibiwa sawasawa, unawalinda Watanzania mamilioni walio wema.

Jambo la kusikitisha ni taarifa kuwa eti kuna viongozi wa dini wamekuwa wakitumwa na Musiba kwenda kwa Membe kutaka Musiba asiadhibiwe. Hilo linasikitisha sana. Na tungependa kuuliza, hawa viongozi wa dini wakati Musiba anahamasisha watu wengine wauawe, walikuwa wapi? Walitoa kauli gani?

Je, wamechunguza kauli hizo za Musiba zilisababisha watu wangapi wauawe, kutekwa au kupotezwa? Wanaupata wapi ujasiri wa kusimama na muovu mmoja dhidi ya familia, marafiki na ndugu wa wale ambao jamaa zao au waliuawa, walishambukiwa au kupotezwa?

Tunamshukuru sana Mh. Membe kwa kulisimamia hili. Manufaa ya hili ni mapana sana, hasa kwa vizazi vya sasa na vya mbeleni. Na utekelezaji wa hukumu hii uwekwe wazi sana, utangazwe ili watu wajue kuwa uovu huwa hausimami milele. Watu wajivunie wema na siyo uovu unaoweza kukupa mafanikio na umaarufu wa muda mfupi.
Kwani wakati musiba anamtukana membe viongozi hao wadini hawakuwepo mbona hawakumkanya musiba?acha membe amnyooshe
 
Back
Top Bottom