Udhaifu wa hoja kwamba Hamza alitekeleza mauaji kwa sababu alidhulumiwa na polisi

Udhaifu wa hoja kwamba Hamza alitekeleza mauaji kwa sababu alidhulumiwa na polisi

Kwanza Marehem Hamza hakuwa mtu mshambamshamba wa kudhulumiwa kirahisi kiasi hicho, ni mtu aliyekulia mjini mambo mengi ni muelewa, kiasi kwamba sheria za madini anazifahamu,nadhani ni tatizo jingine ndo lilimfanya kuchukua maamuzi hayo ikiwa pamoja na kuchanganyikiwa kiakili kwa ugonjwa usiojulikana
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
 
Exactly,, kama ulitumia intentional violence and intimidation kumuua huyo mtu inorder to achieve political aims,, basi utakua ni gaidi...

From the definition...
Kwa mfano juzi mtu mmoja alivamia watu huko New Zealand akawachoma visu ilahawajafa na serikali ikasema huo ni ugaidi, hapo walikosea ama hawakukosea kulingana na definition yako ya ugaidi?

"New Zealand PM Ardern says supermarket stabbing was 'terrorist attack' - BBC News" New Zealand PM Ardern says supermarket stabbing was 'terrorist attack'
 
Ukiita kisasi inakubalika vzr, ila sio ugaidi..

Haiwezi kuwa ugaidi kama raia hawakuuliwa na walionekana wakiranda mbele yake !!

Hichi kitu ndo mnashindwa kuelewa !!
Kwani Nani alisema ugaidi Ni mpaka walengwe Raia Tu? Hiyo definition mmetolea wapi?
 
Kwanza Marehem Hamza hakuwa mtu mshambamshamba wa kudhulumiwa kirahisi kiasi hicho, ni mtu aliyekulia mjini mambo mengi ni muelewa, kiasi kwamba sheria za madini anazifahamu,nadhani ni tatizo jingine ndo lilimfanya kuchukua maamuzi hayo ikiwa pamoja na kuchanganyikiwa kiakili kwa ugonjwa usiojulikana
Now ur talking. Wanao sema ALIDHULUMIWA ni washamba washamba wasio jua wanacho kiongea
 
Ili aitwe gaidi inabidi akidhi vitu viwili
1. Intentional violence and intimidation kwa raia.... Hii imekidhi
2. Need to achieve political aims... Hapa ndo Kasheshe ilipo !

Did he have any political aims ? If yes what were they ?
UmekaririshwA kwenye madesa dogo. Maliza hiyo llb yako pita law skul kisha nenda mahakamanj uone kama just kujua tu hizo crime ingredients kutakusaidia chochote.

Ur still a Learner
 
Watanzania wengi wana utindio wa ubongo wa asili mtu ana video enzi za uhai wake ambazo alikua kashka bastola huku akiimba nasheed za Isis na kabla ya kuuwawa moja kat ya watu waliokuwepo kwenye ile daladala alimrecord akijipiga kifua huku akisema mwambien siro anauwa waislam ila sisi vijana wa kiisam tuko tayar kufa kwaajili ya Allah.watu wakasema video ime tengezwa siyo ya kweli lakin muda huo huo hakuna ushahid wowte juu ya maongez ya kudai kutapeliwa madin yake, hata konda wa ile daladala alikir akimsikia akiyasema maneno hayo juu uislam.

Inawezekana alikua akitaman siku moja afanye vitendo vya kigaidi akiamin ni jihad pengine tu hakua na connection ya kujiunga na vikund vya kigadi akaamua aanze na bastola yake aliyomilikishwa kihalali kwakua alionekana mwema kumbe moyon ana mambo mazito.

Uislam unachafuliwa na wapuuzi Kama kina Hamza ambao wanafanya mauji kwa iman ya jihad lakin hakuna jihad yoyote zaid ugaid, din inatumika tu kulisha watu sumu kwakua huko ndo rahisi kuwajengea watu visas lakin lengo siyo kuupigania uislam japo vijana wapuuuzi Kama kina Hamza wanaamin wamekufa kwaajili ya kuupigania uislam.
Mwenyezi Mungu amjaalie Moto wa jahannam inshaallah (kwakua Quran imekataza kutoa nafsi zisizo na hatia)
 
Watanzania wengi wana utindio wa ubongo wa asili mtu ana video enzi za uhai wake ambazo alikua kashka bastola huku akiimba nasheed za Isis na kabla ya kuuwawa moja kat ya watu waliokuwepo kwenye ile daladala alimrecord akijipiga kifua huku akisema mwambien siro anauwa waislam ila sisi vijana wa kiisam tuko tayar kufa kwaajili ya Allah.watu wakasema video ime tengezwa siyo ya kweli lakin muda huo huo hakuna ushahid wowte juu ya maongez ya kudai kutapeliwa madin yake, hata konda wa ile daladala alikir akimsikia akiyasema maneno hayo juu uislam.

Inawezekana alikua akitaman siku moja afanye vitendo vya kigaidi akiamin ni jihad pengine tu hakua na connection ya kujiunga na vikund vya kigadi akaamua aanze na bastola yake aliyomilikishwa kihalali kwakua alionekana mwema kumbe moyon ana mambo mazito.

Uislam unachafuliwa na wapuuzi Kama kina Hamza ambao wanafanya mauji kwa iman ya jihad lakin hakuna jihad yoyote zaid ugaid, din inatumika tu kulisha watu sumu kwakua huko ndo rahisi kuwajengea watu visas lakin lengo siyo kuupigania uislam japo vijana wapuuuzi Kama kina Hamza wanaamin wamekufa kwaajili ya kuupigania uislam.
Mwenyezi Mungu amjaalie Moto wa jahannam inshaallah (kwakua Quran imekataza kutoa nafsi zisizo na hatia)
Ur the true son of ur father
 
Mijitu mingine ni mbumbu kweli kweli.....ivo kama siku hiyo hakua na ule mguu wa kuku ww ulijuaje?
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Kwa hiyo wewe unajua kuliko waTanzania wengine? Ok tufanye kama kweli unajua ,hebu tuambie huyo unayemwita gaidi aliwakilisha kundi lipi la ugaidi ambalo halina malengo ya uvamizi,badala ya kuvamia ubalozi fulani au central au supermarket yenye watu wengi limevamia askari waliokuwa wametulia kwenye lao.
 
Na Hamza kujifunza kunyang’anya Polisi silaha kwenye YouTube nayo bado ni ngumu kumeza
Marehemu wanajua zaidi
Wapumzike kwa amani
 
Mzee twende Kwa step usiwe Na haraka.,.Jibu swali then uliza swali
Kwani kuna ugaidi ambao haulengi raia ?
Unaweza kuthibitisha hilo ? ...

Nilianza mm kukuuliza hilo swali lkn haukujibu...Hivyo stepwise Ilitakiwa unijibu hilo kisha na ww uulize swali lako nikujibu.
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Unapojadili jambo sensitive Kamaa Hamza usiwe biased Kama ulivyofanya! Siyo Polisi Wala wewe na hata ccm alikokuwa mwanachama na mjumbe wa kamati kuu ya wilaya wenye kuujua undani wa Hamza! Wewe kuuzungumzia ni kujipa kazi ya kutuongopea na ama umelipwa ili kuwabrainwash wasomaji wa jf kwani tayari imejipa kaziya msemaji wa polisi! Ya Hamza ni mazito yaache Kama yalivyoachwa! Huyajui na hakuna anayeyajua zaidi ya marehemu Hamza!
 
Kwani kuna ugaidi ambao haulengi raia ?
Unaweza kuthibitisha hilo ? ...

Nilianza mm kukuuliza hilo swali lkn haukujibu...Hivyo stepwise Ilitakiwa unijibu hilo kisha na ww uulize swali lako nikujibu.
Mimi ndo nilianza kuuliza source ya hiyo definition...rejea post yangu ya 73
 
Back
Top Bottom