mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
msukuma gani kapigika[emoji1787][emoji1787]Hilo Ni dua la nyani tu. Wasukuma mumepigika na bado
kisena,makonda,gwajima,kasheku,au lusinde???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msukuma gani kapigika[emoji1787][emoji1787]Hilo Ni dua la nyani tu. Wasukuma mumepigika na bado
Yaani JPM huyu huyu aliyekuwa mbele hata mwenyewe kuvunja Katiba ya Jamhuri ya Muungano, huku akiacha maujinga ya uvunjwaji katiba yaendelee bungeni leo hii ndo angekuwa mkali kwa TFF?Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Nikwel watu wamepoteza pesa zao huyo anaeongea hajijuiWe huoni hasara waliyopata watu au unaropoka tu.
Taarifa ilitolewa kwa timu zote ndio maana utopolo wakasema wao wataenda saa kumi na moja tena walitoa taarifa kwa maandishiHivi kweli Bi mkubwa ndio kasababisha game isogezwe mbele, mimi najiuliza tu Simba walijuaje kwamba mchezo umesogezwa mbele wakachelewa kuja uwanjani kwa muda uliopangwa mwanzo.
Magu tumkumbuke kwa kipi aswa, yeye ndio alikuwa mwalimu wa kuvuruga mambo, Magu utamkumbuka wewe na shangazi zako labdaMagu alisema TUTAMKUMBUKA, huu upuuzi wa leo TFF, bodi ya ligi, Viongozi wa club wangekuwa shimoni central.
Huku ndio kuchezewa kwenyewe na tayari tumesikia ujambazi Dar.
Sent from my HRY-LX1T using JamiiForums mobile app
Emu we nae nipishe huko kuandika kwenyewe hujui, ok mimi ni MATAGAWewe ninanii hadi umtukane raisi?? Kweli unamtukana raisi hivo kweliiii?? Naomba mamulaka husika ziwe zinafuatilia matusi hayaaaa.
Alieagiza mechi iahirishwe ni wizara, wizara inaongozwa na waziri. Na waziri Bashungwa alichaguliwa kuwa waziri wa michezo na Magufuli. Hivyo kama unataka kumlaumu mtu, mlaumu Magufuli na sio mamaSerikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Mliokwamia awamu iliyopita mnatabu kweli kweli pamoja na genge lenuSSH ni failure from the beginning.
Wewe huna akili hata kidogo. Unadhani wizara itajiamulia jambo zito kama hilo bila kupokea maagizo kutoka juu? Rais yuko live kuzindua likitabu lisilo na maana muda wa mechi, unadhani mechi ingewezekena kuchezwa huku Rais akiwa anahutubia?Alieagiza mechi iahirishwe ni wizara, wizara inaongozwa na waziri. Na waziri Bashungwa alichaguliwa kuwa waziri wa michezo na Magufuli. Hivyo kama unataka kumlaumu mtu, mlaumu Magufuli na sio mama
Mama Samia hawezi kataza mechi isichezwe. Ni hayo masalia ya Magufuli yaliyokuwa yanataka kujipendekeza kwa mama. Inabidi Mama Samia ayafukuze masalia yote ya Magu yakalinde kaburi hukoWewe huna akili hata kidogo. Unadhani wizara itajiamulia jambo zito kama hilo bila kupokea maagizo kutoka juu? Rais yuko live kuzindua likitabu lisilo na maana muda wa mechi, unadhani mechi ingewezekena kuchezwa huku Rais akiwa anahutubia?
Rais Samia ni mhusika mkuu wa hili sakata, hata kama Bashungwa atatolewa kama sadaka,kama nyinyi wapumbavu wachache mnavyotaka.
Basi tuambie weye ni sababu ipi nyingine ilisababisha mechi kusogezwa muda!!Mnao uhakika wa hilo ama ni kulaumu tu kwa sababu ya mahaba kwa timu zetu
Icho kitabu kinatusaidia nnSerikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Msilete chuki na uchochezi kwa sababu ya udhaifu wa yanga.
Serikali iliposhauri muda usogezwe,kwa masaa mawili,kama yanga wasingekuwa na hofu wasingesusa.
Baba anaweza kufanya makosa lakini wewe mtoto ukaamua kuadhibu washabiki wa mpira ili baba atukanwe,ni utovu wa nidhamu.
Serikali ina ahirisha match ya Simba na Yanga eti sababu Mwinyi anazindua kitabu. Huu ni wendawazimu.
Anayetaka kuhudhuria Uzinduzi wa Mwinyi si aende na anayetaka kwenda angalia mpira si aende?
Huu ndo udhaifu ambao tunaukataa miaka yote. Kuchanganya mambo binafsi ya Serikali na Wananchi. Suala la Mwinyi kuzindua kitabu si issue ya Kitaifa kwa nchi hii kama suala la Simba na Yanga.
Kwenye Simba na Yanga ndipo ambapo Chadema na CCM husahau tofauti zao na kurudi kwenye team zao. Ndo maana hata chadema,act wanavaa jersey za yanga pamoja na kuwa ni za Njano na Kijani.
Huu ni mwanzo wa kuonesha udhaifu ambao miaka yote tunaupigia kelele. Haya angekuwa ni Magufuli ameamua hili tungemwita ni dhaifu na dikteta. Lakini kwa Samia tusemeje? Tuendelee kusifu na kuabudu?
Wana ka msemo kao wanasema 'Tumpe Muda', wanasahau ya kuwa msingi mbovu huaribu nyumba nzima
watu wanafanya mzaha,lakini ukweli ni kwamba mpaka vibaka na majambazi wana imani na mama[emoji1][emoji1].
maana mama ni mlezi,mama ana huruma,mama ana ubinaadam.kifupi wana uhakika mambo hayataharibika hata iweje.
Wewe uliekwamuka umeget what..!Mliokwamia awamu iliyopita mnatabu kweli kweli pamoja na genge lenu
Tunauona mwanzo mpya,wenye mwanga,na matumaini tele ikiwa ni pamoja na mwelekeo wenye kulileta taifa pamoja.Wewe uliekwamuka umeget what..!