misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Je watu waliotapeliwa viingilio pale wangeamua pachimbike TFF wana vyombo vya ulinzi kuwazuia wale wahanga?Wenawe!
Sasa simba na yanga ni swala la kitaifa...!!? angalia ushabiki wa mpira utakuua bure
Watu wametoka Zambia, mikoani tokea asubuhi wapo kwa MKAPA, mama ana sababu za kukwepa lawama,bahati nzuri WATANZANIA ni wa kimya sana ila tuliowapa mamlaka wanatuchukulia poa kama vile kilichofanyika leo ni kizuri.