Udhaifu wa taarifa ya askari aliyejinyonga Mtwara

Udhaifu wa taarifa ya askari aliyejinyonga Mtwara

Bila shaka hujawahi kuingia mahabusu. Mahabusu hazijengwi kama nyumba ya kuishi.

Hiyo suruali utaitundikaje katika chumba chenye kadirisha kadogo kalikowekwa juu kwa lengo la kupitisha mwanga na hewa pekee? Utapanda kwa kutumia kifaa gani?
Mikoani Kuna selo nying tu mtu anaweza kujinyonga mzee ila kinacho saidia ni ile population iliyopo ndan na askar kuwa anakagua mara kwa mara
Mm nimekaa lockup tofaut tofaut zaid ya mara 7
 
Aliyeandaa ile taarifa kama hakukurupuka basi ana agenda ya siri ama hakuwa timamu kiakili, tangu kuiandaa mpaka kuisoma na pengine sasa anajutia makosa ya wazi yanayoacha shaka kubwa!

Jamii, wazazi na ndugu wa marehemu wana hamu ya kujua ni nini hasa kilimaliza uhai wake! Baadhi wanatuhumu kwamba aliuawa akiwa mahabusu na wengine wanahoji daktari polisi imekuwaje awe sehemu ya watuhumiwa?

Pengine jeshi la polisi litakuja na ufafanuzi utakaoondoa ukakasi na lawama kwenye tukio zima lililoondoka na uhai wa mmoja wa watuhumiwa. Kuna maswali 10 common itabidi yapate majibu

1. PGO ya polisi inasemaje inapokutana na tukio la mtu kujinyonga?

2. Je, kuna picha zozote za ushahidi zilichukuliwa?ili kuja kuondoa shaka baadae?

3. Je, selo ya mtumiwa ilikuwa salama kiasi gani kuweza kumhifadhi mtuhumiwa muhimu kama yeye?

4. Je, ni nani aliweka tambara la deki ndani ya selo? Na kwanini halikuondolewa?

5. Je, tambara la deki lililotumika kama kitanzi lilifungwa eneo gani la selo? Darini? Dirishani? Kuna ushahidi wowote wa picha?

6. Report ya PM haijawekwa wazi lakini ni wazi kwamba shingo itakuwa na michubuko ama alama ya kitanzi

7. Je, kama picha zilisahaulika kupigwa ni nani mashuhuda wa tukio? Wa kwanza kuona na waliohusika kuushusha mwili?

8. Kwa kawaida mtu akijinyonga lazima ama atoke haja ndogo au kubwa. Je, nguo za marehemu alizovaa wakati anajinyonga zimehifadhiwa kwa ushahidi?

9. Je, tambara la dekio alilotumia kujinyongea limetunzwa vema kama kielelezo?

10. Je, ni nani alithibitisha kuwa marehemu kajinyonga na hakunyongwa?

Mpaka sasa taarifa rasmi ya ufafanuzi iliyotoka ni namna ya kuzikwa kwa askari aliyekufa ambayo hata hivyo imezua mjadala na kuzidisha utata kuwa kwanini itoke kipindi hiki.

Maswali 10 husika hayajatolewa taarifa wala ufafanuzi wowote mpaka sasa.

Pengine hili litafanyika kabla tetesi hazijawa habari kamili na kuzidi kulichafua jeshi letu la polisi
Majibu ya maswali ambayo unapaswa kujua majibu yake kwa sasa yameshatolewa na hiyo taarifa ya polisi ikiwa una kuongeza wasilisha taarifa zako kwa chombo husika.
 
Aliyeandaa ile taarifa kama hakukurupuka basi ana agenda ya siri ama hakuwa timamu kiakili, tangu kuiandaa mpaka kuisoma na pengine sasa anajutia makosa ya wazi yanayoacha shaka kubwa!

Jamii, wazazi na ndugu wa marehemu wana hamu ya kujua ni nini hasa kilimaliza uhai wake! Baadhi wanatuhumu kwamba aliuawa akiwa mahabusu na wengine wanahoji daktari polisi imekuwaje awe sehemu ya watuhumiwa?

Pengine jeshi la polisi litakuja na ufafanuzi utakaoondoa ukakasi na lawama kwenye tukio zima lililoondoka na uhai wa mmoja wa watuhumiwa. Kuna maswali 10 common itabidi yapate majibu

1. PGO ya polisi inasemaje inapokutana na tukio la mtu kujinyonga?

2. Je, kuna picha zozote za ushahidi zilichukuliwa? Ili kuja kuondoa shaka baadae?

3. Je, selo ya mtumiwa ilikuwa salama kiasi gani kuweza kumhifadhi mtuhumiwa muhimu kama yeye?

4. Je, ni nani aliweka tambara la deki ndani ya selo? Na kwanini halikuondolewa?

5. Je, tambara la deki lililotumika kama kitanzi lilifungwa eneo gani la selo? Darini? Dirishani? Kuna ushahidi wowote wa picha?

6. Report ya PM haijawekwa wazi lakini ni wazi kwamba shingo itakuwa na michubuko ama alama ya kitanzi

7. Je, kama picha zilisahaulika kupigwa ni nani mashuhuda wa tukio? Wa kwanza kuona na waliohusika kuushusha mwili?

8. Kwa kawaida mtu akijinyonga lazima ama atoke haja ndogo au kubwa. Je, nguo za marehemu alizovaa wakati anajinyonga zimehifadhiwa kwa ushahidi?

9. Je, tambara la dekio alilotumia kujinyongea limetunzwa vema kama kielelezo?

10. Je, ni nani alithibitisha kuwa marehemu kajinyonga na hakunyongwa?

Mpaka sasa taarifa rasmi ya ufafanuzi iliyotoka ni namna ya kuzikwa kwa askari aliyekufa ambayo hata hivyo imezua mjadala na kuzidisha utata kuwa kwanini itoke kipindi hiki.

Maswali 10 husika hayajatolewa taarifa wala ufafanuzi wowote mpaka sasa.

Pengine hili litafanyika kabla tetesi hazijawa habari kamili na kuzidi kulichafua jeshi letu la polisi
Picha_ikimuonyesha_Mkuu_wa_Jeshi_la_Polisi_nchini_Tanzania_akiwa_ameshika_picha_ya_CCTV_Camera...jpg
-%20KumbukiziMTAFUTANO.jpg
SURATI%20ZUBAA%20%20Ndio%20surati%20zubaa%2C%20pengine%20tumesomewa%2C%20Sivyo%20tusingebung'a...jpg
 
Kuunda tume HURU kwa kila tukio hata kwa yale ambayo yamenyooka kama hili ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.
OK sawa nimekuelewa , nilizingatia thamani ya uhai kabla ya mengine yote
 
Polisi walishazoeshwa kuua na Serikali ya CCM inayowalea kwa kutochukua hatua stahiki. Siro alitakiwa awe nyumbani muda huu akicheza na wajukuu.
 
Halafu inakuwaje kifo cha polisi kinapewa uzito huku tukisahau kifo cha kijana anayedaiwa kuuwawa na huyo polisi aliyekufa?

Yaani kijana kafa kiutata zaidi hata ya huyu Gray lakini watu wameshasahau kabisa.
 
Halafu inakuwaje kifo cha polisi kinapewa uzito huku tukisahau kifo cha kijana anayedaiwa kuuwawa na huyo polisi aliyekufa?

Yaani kijana kafa kiutata zaidi hata ya huyu Gray lakini watu wameshasahau kabisa.
Kifo cha kijana kimeshajulikana kwamba kauliwa kwa sababu iliyopelekea polisi 'kujinyonga'
 
Aliyeandaa ile taarifa kama hakukurupuka basi ana agenda ya siri ama hakuwa timamu kiakili, tangu kuiandaa mpaka kuisoma na pengine sasa anajutia makosa ya wazi yanayoacha shaka kubwa!

Jamii, wazazi na ndugu wa marehemu wana hamu ya kujua ni nini hasa kilimaliza uhai wake! Baadhi wanatuhumu kwamba aliuawa akiwa mahabusu na wengine wanahoji daktari polisi imekuwaje awe sehemu ya watuhumiwa?

Pengine jeshi la polisi litakuja na ufafanuzi utakaoondoa ukakasi na lawama kwenye tukio zima lililoondoka na uhai wa mmoja wa watuhumiwa. Kuna maswali 10 common itabidi yapate majibu

1. PGO ya polisi inasemaje inapokutana na tukio la mtu kujinyonga?

2. Je, kuna picha zozote za ushahidi zilichukuliwa? Ili kuja kuondoa shaka baadae?

3. Je, selo ya mtumiwa ilikuwa salama kiasi gani kuweza kumhifadhi mtuhumiwa muhimu kama yeye?

4. Je, ni nani aliweka tambara la deki ndani ya selo? Na kwanini halikuondolewa?

5. Je, tambara la deki lililotumika kama kitanzi lilifungwa eneo gani la selo? Darini? Dirishani? Kuna ushahidi wowote wa picha?

6. Report ya PM haijawekwa wazi lakini ni wazi kwamba shingo itakuwa na michubuko ama alama ya kitanzi

7. Je, kama picha zilisahaulika kupigwa ni nani mashuhuda wa tukio? Wa kwanza kuona na waliohusika kuushusha mwili?

8. Kwa kawaida mtu akijinyonga lazima ama atoke haja ndogo au kubwa. Je, nguo za marehemu alizovaa wakati anajinyonga zimehifadhiwa kwa ushahidi?

9. Je, tambara la dekio alilotumia kujinyongea limetunzwa vema kama kielelezo?

10. Je, ni nani alithibitisha kuwa marehemu kajinyonga na hakunyongwa?

Mpaka sasa taarifa rasmi ya ufafanuzi iliyotoka ni namna ya kuzikwa kwa askari aliyekufa ambayo hata hivyo imezua mjadala na kuzidisha utata kuwa kwanini itoke kipindi hiki.

Maswali 10 husika hayajatolewa taarifa wala ufafanuzi wowote mpaka sasa.

Pengine hili litafanyika kabla tetesi hazijawa habari kamili na kuzidi kulichafua jeshi letu la polisi
Kweli dunia tambara bovu. Taarifa ile ilikuwa mbaya kama tambara la deki😀
😀
 
Back
Top Bottom