samaki wa mbao
Member
- Apr 15, 2021
- 81
- 124
Jamaa amenyongwa na kamba,
Jamaa inaonekana alihusika kuchoma sindano ya sumu huyo marehem, baadae ikawa hekaheka ktk kuficha taarifa, huyu Afande Greyson alianza kuandamwa baada ya taarifa kuvuja, hivyo akataka wahusika wote wawajibishwe maana yeye alifanya Ile kazi kwaaelekezo toka juu( amri) ndipo lilipokuja swala lakupoteza ushahidi hasa kwa wakubwa ikabidi huyu Afande Greyson auawe!!
Kila kitu kinajulikana
Jamaa inaonekana alihusika kuchoma sindano ya sumu huyo marehem, baadae ikawa hekaheka ktk kuficha taarifa, huyu Afande Greyson alianza kuandamwa baada ya taarifa kuvuja, hivyo akataka wahusika wote wawajibishwe maana yeye alifanya Ile kazi kwaaelekezo toka juu( amri) ndipo lilipokuja swala lakupoteza ushahidi hasa kwa wakubwa ikabidi huyu Afande Greyson auawe!!
Kila kitu kinajulikana