Mikoani Kuna selo nying tu mtu anaweza kujinyonga mzee ila kinacho saidia ni ile population iliyopo ndan na askar kuwa anakagua mara kwa maraBila shaka hujawahi kuingia mahabusu. Mahabusu hazijengwi kama nyumba ya kuishi.
Hiyo suruali utaitundikaje katika chumba chenye kadirisha kadogo kalikowekwa juu kwa lengo la kupitisha mwanga na hewa pekee? Utapanda kwa kutumia kifaa gani?
Majibu ya maswali ambayo unapaswa kujua majibu yake kwa sasa yameshatolewa na hiyo taarifa ya polisi ikiwa una kuongeza wasilisha taarifa zako kwa chombo husika.Aliyeandaa ile taarifa kama hakukurupuka basi ana agenda ya siri ama hakuwa timamu kiakili, tangu kuiandaa mpaka kuisoma na pengine sasa anajutia makosa ya wazi yanayoacha shaka kubwa!
Jamii, wazazi na ndugu wa marehemu wana hamu ya kujua ni nini hasa kilimaliza uhai wake! Baadhi wanatuhumu kwamba aliuawa akiwa mahabusu na wengine wanahoji daktari polisi imekuwaje awe sehemu ya watuhumiwa?
Pengine jeshi la polisi litakuja na ufafanuzi utakaoondoa ukakasi na lawama kwenye tukio zima lililoondoka na uhai wa mmoja wa watuhumiwa. Kuna maswali 10 common itabidi yapate majibu
1. PGO ya polisi inasemaje inapokutana na tukio la mtu kujinyonga?
2. Je, kuna picha zozote za ushahidi zilichukuliwa?ili kuja kuondoa shaka baadae?
3. Je, selo ya mtumiwa ilikuwa salama kiasi gani kuweza kumhifadhi mtuhumiwa muhimu kama yeye?
4. Je, ni nani aliweka tambara la deki ndani ya selo? Na kwanini halikuondolewa?
5. Je, tambara la deki lililotumika kama kitanzi lilifungwa eneo gani la selo? Darini? Dirishani? Kuna ushahidi wowote wa picha?
6. Report ya PM haijawekwa wazi lakini ni wazi kwamba shingo itakuwa na michubuko ama alama ya kitanzi
7. Je, kama picha zilisahaulika kupigwa ni nani mashuhuda wa tukio? Wa kwanza kuona na waliohusika kuushusha mwili?
8. Kwa kawaida mtu akijinyonga lazima ama atoke haja ndogo au kubwa. Je, nguo za marehemu alizovaa wakati anajinyonga zimehifadhiwa kwa ushahidi?
9. Je, tambara la dekio alilotumia kujinyongea limetunzwa vema kama kielelezo?
10. Je, ni nani alithibitisha kuwa marehemu kajinyonga na hakunyongwa?
Mpaka sasa taarifa rasmi ya ufafanuzi iliyotoka ni namna ya kuzikwa kwa askari aliyekufa ambayo hata hivyo imezua mjadala na kuzidisha utata kuwa kwanini itoke kipindi hiki.
Maswali 10 husika hayajatolewa taarifa wala ufafanuzi wowote mpaka sasa.
Pengine hili litafanyika kabla tetesi hazijawa habari kamili na kuzidi kulichafua jeshi letu la polisi
Tuliza boli acha wataalamu wafanye kazi yaoKazi ipo. Wanajaribu kuizima ila ndio wanazidi kuichochea
Kuunda tume HURU kwa kila tukio hata kwa yale ambayo yamenyooka kama hili ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.Kama ikiundwa tume huru itaondoka na wengi
Wana akili sana ndiyo maana usiku unalala kwa raha zako hadi asbh bila shida na mchana una shinda unafanya shughuli zako bila bughdha.Mkuu.....
Hawa watu ni lini wamewahi kuwa na akili?
Umebakiza statement moja tu to prove that you're a psychiatric caseWana akili sana ndiyo maana usiku unalala kwa raha zako hadi asbh bila shida na mchana una shinda unafanya shughuli zako bila bughdha.
Ila kwakua huna akili hilo huweziliona.
Aliyeandaa ile taarifa kama hakukurupuka basi ana agenda ya siri ama hakuwa timamu kiakili, tangu kuiandaa mpaka kuisoma na pengine sasa anajutia makosa ya wazi yanayoacha shaka kubwa!
Jamii, wazazi na ndugu wa marehemu wana hamu ya kujua ni nini hasa kilimaliza uhai wake! Baadhi wanatuhumu kwamba aliuawa akiwa mahabusu na wengine wanahoji daktari polisi imekuwaje awe sehemu ya watuhumiwa?
Pengine jeshi la polisi litakuja na ufafanuzi utakaoondoa ukakasi na lawama kwenye tukio zima lililoondoka na uhai wa mmoja wa watuhumiwa. Kuna maswali 10 common itabidi yapate majibu
1. PGO ya polisi inasemaje inapokutana na tukio la mtu kujinyonga?
2. Je, kuna picha zozote za ushahidi zilichukuliwa? Ili kuja kuondoa shaka baadae?
3. Je, selo ya mtumiwa ilikuwa salama kiasi gani kuweza kumhifadhi mtuhumiwa muhimu kama yeye?
4. Je, ni nani aliweka tambara la deki ndani ya selo? Na kwanini halikuondolewa?
5. Je, tambara la deki lililotumika kama kitanzi lilifungwa eneo gani la selo? Darini? Dirishani? Kuna ushahidi wowote wa picha?
6. Report ya PM haijawekwa wazi lakini ni wazi kwamba shingo itakuwa na michubuko ama alama ya kitanzi
7. Je, kama picha zilisahaulika kupigwa ni nani mashuhuda wa tukio? Wa kwanza kuona na waliohusika kuushusha mwili?
8. Kwa kawaida mtu akijinyonga lazima ama atoke haja ndogo au kubwa. Je, nguo za marehemu alizovaa wakati anajinyonga zimehifadhiwa kwa ushahidi?
9. Je, tambara la dekio alilotumia kujinyongea limetunzwa vema kama kielelezo?
10. Je, ni nani alithibitisha kuwa marehemu kajinyonga na hakunyongwa?
Mpaka sasa taarifa rasmi ya ufafanuzi iliyotoka ni namna ya kuzikwa kwa askari aliyekufa ambayo hata hivyo imezua mjadala na kuzidisha utata kuwa kwanini itoke kipindi hiki.
Maswali 10 husika hayajatolewa taarifa wala ufafanuzi wowote mpaka sasa.
Pengine hili litafanyika kabla tetesi hazijawa habari kamili na kuzidi kulichafua jeshi letu la polisi
Kifo cha kijana kimeshajulikana kwamba kauliwa kwa sababu iliyopelekea polisi 'kujinyonga'Halafu inakuwaje kifo cha polisi kinapewa uzito huku tukisahau kifo cha kijana anayedaiwa kuuwawa na huyo polisi aliyekufa?
Yaani kijana kafa kiutata zaidi hata ya huyu Gray lakini watu wameshasahau kabisa.
Kwa hiyo hapo ni movie na tela?Kifo cha kijana kimeshajulikana kwamba kauliwa kwa sababu iliyopelekea polisi 'kujinyonga'
Kweli dunia tambara bovu. Taarifa ile ilikuwa mbaya kama tambara la deki😀Aliyeandaa ile taarifa kama hakukurupuka basi ana agenda ya siri ama hakuwa timamu kiakili, tangu kuiandaa mpaka kuisoma na pengine sasa anajutia makosa ya wazi yanayoacha shaka kubwa!
Jamii, wazazi na ndugu wa marehemu wana hamu ya kujua ni nini hasa kilimaliza uhai wake! Baadhi wanatuhumu kwamba aliuawa akiwa mahabusu na wengine wanahoji daktari polisi imekuwaje awe sehemu ya watuhumiwa?
Pengine jeshi la polisi litakuja na ufafanuzi utakaoondoa ukakasi na lawama kwenye tukio zima lililoondoka na uhai wa mmoja wa watuhumiwa. Kuna maswali 10 common itabidi yapate majibu
1. PGO ya polisi inasemaje inapokutana na tukio la mtu kujinyonga?
2. Je, kuna picha zozote za ushahidi zilichukuliwa? Ili kuja kuondoa shaka baadae?
3. Je, selo ya mtumiwa ilikuwa salama kiasi gani kuweza kumhifadhi mtuhumiwa muhimu kama yeye?
4. Je, ni nani aliweka tambara la deki ndani ya selo? Na kwanini halikuondolewa?
5. Je, tambara la deki lililotumika kama kitanzi lilifungwa eneo gani la selo? Darini? Dirishani? Kuna ushahidi wowote wa picha?
6. Report ya PM haijawekwa wazi lakini ni wazi kwamba shingo itakuwa na michubuko ama alama ya kitanzi
7. Je, kama picha zilisahaulika kupigwa ni nani mashuhuda wa tukio? Wa kwanza kuona na waliohusika kuushusha mwili?
8. Kwa kawaida mtu akijinyonga lazima ama atoke haja ndogo au kubwa. Je, nguo za marehemu alizovaa wakati anajinyonga zimehifadhiwa kwa ushahidi?
9. Je, tambara la dekio alilotumia kujinyongea limetunzwa vema kama kielelezo?
10. Je, ni nani alithibitisha kuwa marehemu kajinyonga na hakunyongwa?
Mpaka sasa taarifa rasmi ya ufafanuzi iliyotoka ni namna ya kuzikwa kwa askari aliyekufa ambayo hata hivyo imezua mjadala na kuzidisha utata kuwa kwanini itoke kipindi hiki.
Maswali 10 husika hayajatolewa taarifa wala ufafanuzi wowote mpaka sasa.
Pengine hili litafanyika kabla tetesi hazijawa habari kamili na kuzidi kulichafua jeshi letu la polisi
AyaNdio kwanza tuko part one
Mkuu ile clip ya msemaji wa Polisi ni kama nilisikia akisema picha za kujinyonga zilichukuliwa?Kama ikiundwa tume huru itaondoka na wengi