Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,133 Reaction score 12,361 Aug 11, 2024 #121 mnengene said: Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ni kosa kisheria kutembea na mke au mume wa mtu Click to expand... Ukitembea na mke au mume wa mtu inakuwa ni kesi ya jinai au madai?
mnengene said: Kwa mujibu wa sheria ya ndoa ni kosa kisheria kutembea na mke au mume wa mtu Click to expand... Ukitembea na mke au mume wa mtu inakuwa ni kesi ya jinai au madai?
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 11, 2024 #122 Inasikitisha sana... Cc: Mahondaw
Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,133 Reaction score 12,361 Aug 11, 2024 #123 Singoi said: Yaani kunyandua mke wa mtu sio kosa kisheria hilo limekaa je. Wansheria wetu husikeni hapa kutujuza Click to expand... Huwezi amini asilimia 90 ya wabongo wanaamini ni jinai(unaweza ukashtaki kama umemkuta chumbani kwako) ila siyo kwake au gesti. Kwa Zanzibar ni jinai, ila siyo Tanganyika.
Singoi said: Yaani kunyandua mke wa mtu sio kosa kisheria hilo limekaa je. Wansheria wetu husikeni hapa kutujuza Click to expand... Huwezi amini asilimia 90 ya wabongo wanaamini ni jinai(unaweza ukashtaki kama umemkuta chumbani kwako) ila siyo kwake au gesti. Kwa Zanzibar ni jinai, ila siyo Tanganyika.
L Lakabu JF-Expert Member Joined May 26, 2023 Posts 511 Reaction score 1,277 Aug 11, 2024 #124 Wanaume hawana lao katika uso wa Dunia,likikupata pambana nalo,maana hakuna atakaekusaidia sababu wewe ni mwanaume.
Wanaume hawana lao katika uso wa Dunia,likikupata pambana nalo,maana hakuna atakaekusaidia sababu wewe ni mwanaume.
Stroke JF-Expert Member Joined Feb 17, 2012 Posts 37,630 Reaction score 47,434 Aug 11, 2024 #125 Naona tumehamia kwenye series za kuangalia nyuchi za watu mitandaoni .