Mwanamke amefanikiwa kuiaminisha dunia ni yeye pekee anahisi maumivuDunia kwa Sasa haimtambui mwanaume likikukuta pambana nalo hadi kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke amefanikiwa kuiaminisha dunia ni yeye pekee anahisi maumivuDunia kwa Sasa haimtambui mwanaume likikukuta pambana nalo hadi kifo
Udhalilishaji sio ishu sana kwa wanaume bali ni moja ya matokeo tuu ya mfumo jike.Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.
Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.
Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.
Soma Pia:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama
Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?
Kwanini tunakuwa na double standards ?
Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Ndio hivyo inabidi kuamka na kubalance mzani taratibu na hii inaanza na weweMwanamke amefanikiwa kuiaminisha dunia ni yeye pekee anahisi maumivu
Yaani kunyandua mke wa mtu sio kosa kisheria hilo limekaa je. Wansheria wetu husikeni hapa kutujuzaJamii yetu kuna mambo haielewi na ukiyasema hadharani, unaonekana wa ajabu.
SIO KOSA KISHERIA MTU KUTEMBEA NA MUME AU MKE WA MTU.
Ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake hufanywa na wanaume na ukatili dhidi ya wanaume hufanywa na wanaume, (kuna chochote umeelewa?),Tatizo raia wengi wakisikia ukatili au unyanyasaji basi waathirika ni wanawake tu Kumbe hata wanaume ni wahanga ila makundi yote yamezidiana kwa idadi tu
Usimsingizie shetani huo ni mpango halisi wa Mungu, madhara yamekua mengi sana duniani tangu mwanaume alivyopewa mamlaka , na sasa ni muda wa kukaa pembeni ili dunia ibaki salamaMifumo ya Dunia imemtenga mwanaume, haya ndo matokeo ya 50/50. Miaka ijayo litakuja vuguvugu la kutetea haki za wanaume maana hali itakuwa mbaya zaidi na tutakuwa tumechelewa. Shetani kazini, kafanikiwa kupindua mfumo halisi wa maisha.
Sambaza hiyo video ili iwafikie watetea haki, inawezekana hawajaiona tuBaada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.
Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.
Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.
Soma Pia:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama
Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?
Kwanini tunakuwa na double standards ?
Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Sambaza hiyo video ili iwafikie polisi na watetea haki, inawezekana hawajaiona tu4. Objects
The objects for which the Society is established are:
- to maintain and improve the standards of conduct and learning of the legal profession in Tanzania;
- to facilitate the acquisition of legal knowledge by members of the legal profession and others;
- to assist the Government and the Courts in all matters affecting legislation, and the administration and practice of the law in Tanzania;
- to represent, protect and assist members of the legal profession in Tanzania as regards conditions of practice and otherwise;
- to protect and assist the public in Tanzania in all matters touching, ancillary or incidental to the law;
- to acquire, hold, develop or dispose of properties of all kinds, whether movable or immovable, and to derive capital or income from them, for all or any of the foregoing objects;
- to raise or borrow money for all or any of the foregoing objects in any manner and upon any security which may from time to time be determined by the Society;
- to invest and deal with moneys of the Society not immediately required in any manner which may from time to time be determined by the Society;
- to do all other things which are incidental or conducive to the attainment of the foregoing objects or any of them
Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.
Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.
Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.
Soma Pia:
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu
- Jeshi la Polisi lawakamata watuhumiwa 4 kati ya 6 waliofanya tukio la kumlawiti binti wa 'Yombo'. Wasema binti yupo salama
Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?
Kwanini tunakuwa na double standards ?
Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Sio kweli hata kidogo.....halafu huo ulimwengu uliostaarabika ni upi huo?Jinsi ME ni tatizo sana katika ulimwengu huu uliostaarabika, mdogo mdogo mtaelewa.
Kwa Sasa mapambano yenu ya haki yamegeuka biashara ya taasisi.Hata wanawake walivyoanza kupigania haki zao walikuwa wanabezwa..na hadi sasa bado wanabezwa na baadhi ya watu. Mwanzo mgumu msikate tamaa😂😂😂
Unazungumziaje Unyanyasaji kwa Dada wa kazi (house girls) kutoka kwa Mabosi wao (Mama wenye nyumba)?Ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake hufanywa na wanaume na ukatili dhidi ya wanaume hufanywa na wanaume, (kuna chochote umeelewa?),
Jinsi ME ni tatizo sana katika ulimwengu huu uliostaarabika, mdogo mdogo mtaelewa.
Umezungumza Uongo Mtupu.Usimsingizie shetani huo ni mpango halisi wa Mungu, madhara yamekua mengi sana duniani tangu mwanaume alivyopewa mamlaka , na sasa ni muda wa kukaa pembeni ili dunia ibaki salama
Ni kweli. Lakini tumepiga hatua. Hizo taasisi ni biashara kama biashara nyingine.Kwa Sasa mapambano yenu ya haki yamegeuka biashara ya taasisi.
Umeelewekaaaa!!!Hii issue nahisi imekuwa kubwa
1. Mwanamke ndiye victim dhidi ya wanaume watano
2. Uanajeshi wa waliofanya na aliyewatuma umefanya kuwa interesting issue kwa activists na wanasiasa yaani sehemu ya kuibania jeshi la polisi na serikali. Of course siku zote wakipata hiyo angle huwa hawaiachii
Kuhusu kudhalilisha wanaume ni system iliyokubalika kwa sababu tunaamini mwanaume ameingilia himaya ya mwanaume mwenzake. Na kwa sababu mfumo wa jamii zetu ni wa kulinda manhood. Hivyo huwa tunachukulia kumuadhibu mtu wa hivyo ni sawa kaisa
Mwanamke huwa anahurumiwa kwa concept ya kutongozwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani wewe wakiume unataka kuhurumiwa pambana mzee dunia aina huruma Kwa mwanaume