Udhalilishaji kwa wanaume mbona haupigiwi kelele?

Udhalilishaji kwa wanaume mbona haupigiwi kelele?

Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.

Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.

Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.

Soma Pia:

Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?

Kwanini tunakuwa na double standards ?

Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Udhalilishaji sio ishu sana kwa wanaume bali ni moja ya matokeo tuu ya mfumo jike.

Kumdidimiza mwanaume kiuchumi, kimawazo na kiutawala kwa kigezo cha haki sawa.. Inamkatili sana mwanaume na ni kwenda kinyume nature ya maisha ya viumbe hai
 
Kwenye maisha yangu sitosubiri haki itendeke nimezaliwa mwanaume ni either uniue au nikukalishe ila kunidhalilisha then nibaki hai sitoruhusu
 
Tatizo raia wengi wakisikia ukatili au unyanyasaji basi waathirika ni wanawake tu Kumbe hata wanaume ni wahanga ila makundi yote yamezidiana kwa idadi tu
Ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake hufanywa na wanaume na ukatili dhidi ya wanaume hufanywa na wanaume, (kuna chochote umeelewa?),
Jinsi ME ni tatizo sana katika ulimwengu huu uliostaarabika, mdogo mdogo mtaelewa.
 
Mifumo ya Dunia imemtenga mwanaume, haya ndo matokeo ya 50/50. Miaka ijayo litakuja vuguvugu la kutetea haki za wanaume maana hali itakuwa mbaya zaidi na tutakuwa tumechelewa. Shetani kazini, kafanikiwa kupindua mfumo halisi wa maisha.
Usimsingizie shetani huo ni mpango halisi wa Mungu, madhara yamekua mengi sana duniani tangu mwanaume alivyopewa mamlaka , na sasa ni muda wa kukaa pembeni ili dunia ibaki salama
 
Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.

Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.

Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.

Soma Pia:

Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?

Kwanini tunakuwa na double standards ?

Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Sambaza hiyo video ili iwafikie watetea haki, inawezekana hawajaiona tu
4. Objects

The objects for which the Society is established are:

  • to maintain and improve the standards of conduct and learning of the legal profession in Tanzania;
  • to facilitate the acquisition of legal knowledge by members of the legal profession and others;
  • to assist the Government and the Courts in all matters affecting legislation, and the administration and practice of the law in Tanzania;
  • to represent, protect and assist members of the legal profession in Tanzania as regards conditions of practice and otherwise;
  • to protect and assist the public in Tanzania in all matters touching, ancillary or incidental to the law;
  • to acquire, hold, develop or dispose of properties of all kinds, whether movable or immovable, and to derive capital or income from them, for all or any of the foregoing objects;
  • to raise or borrow money for all or any of the foregoing objects in any manner and upon any security which may from time to time be determined by the Society;
  • to invest and deal with moneys of the Society not immediately required in any manner which may from time to time be determined by the Society;
  • to do all other things which are incidental or conducive to the attainment of the foregoing objects or any of them
Sambaza hiyo video ili iwafikie polisi na watetea haki, inawezekana hawajaiona tu
 
Baada ya ile video ya binti wa Yombo akibakwa na wanaume 5 kusambaa mitandaoni, watu walipaza sauti na wanaendelea kupaza sauti kudai haki itendeke.

Lakini, kuna video nyingine inasambaa mitandaoni na ilikuwepo kabla hata ya ile ya yule binti kusambaa, ikimuonesha jamaa mmoja akidhalilishwa kwa madai ya kutembea na Mke wa mtu.

Inasikitisha sana, maana jamaa anaonekana uso umevimba, anavuja damu, yuko uchi wa mnyama na analazimishwa kucheza taarabu huku akikata mauno. Jamaa anaomba maji, lakini ananyimwa huku akitukanwa matusi ya nguoni.

Soma Pia:

Najiuliza swali, Je, ni sahihi Mwanaume kudhalilishwa lakini siyo sahihi mwanamke kudhalilishwa?

Kwanini tunakuwa na double standards ?

Kama tunataka haki, basi haki hiyo iwanufaishe wote pasipo kupendelea jinsia moja.
Wanaume tumeumbwa mateso kuhangaika.
 
MKE WA MTU SUMU
wanawake wote hawa unaendaje kwa mke wa mtu?mambo mengine ni kujitakia.
Mwanamke kwenda kwa mume wa mtu ni sawaa.maaana wanawake ni wengi wanaume wachache. Inabidi wakubali kushare.
 
Ukatili na udhalilishaji dhidi ya wanawake hufanywa na wanaume na ukatili dhidi ya wanaume hufanywa na wanaume, (kuna chochote umeelewa?),
Jinsi ME ni tatizo sana katika ulimwengu huu uliostaarabika, mdogo mdogo mtaelewa.
Unazungumziaje Unyanyasaji kwa Dada wa kazi (house girls) kutoka kwa Mabosi wao (Mama wenye nyumba)?

Wale "waliotumwa na Afande" huyo afande ni Jinsia gani?

Tambua kwamba Udhalilishaji na Ukatili hauna Jinsia.
 
Usimsingizie shetani huo ni mpango halisi wa Mungu, madhara yamekua mengi sana duniani tangu mwanaume alivyopewa mamlaka , na sasa ni muda wa kukaa pembeni ili dunia ibaki salama
Umezungumza Uongo Mtupu.

Licha ya Mwanaume kuwa Mtawala Kwa kipindi chote Matatizo mengi yalikuwa yanatokea na Yalikuwa yanasababishwa na Mwanamke kwa namna moja au nyengine.

(Huenda yalikuwa machache Matatizo hayo sababu mwanaume alikuwa kiongozi yaani aliweza kuyadhibiti baadhi)

Kama wewe ni Muumini wa Dini utajua mwanzo wa dhambi ni upi? Ni mwanamke kumshawishi Mwanaume kula Tunda.

Fatilia Historia za baadhi ya Mataifa na Falme za Nyuma Utaona katika Matatizo yaliyowakumba hadi kupelekea kudondoka kwa Dola zao ni Kwa Sababu ya Mwanamke (direct or indirect).

Sasa Unaweza ukabashiri (predict) hali itakuwaje kama Mwanamke muanzisha Matatizo akiwa yeye ndie kiongozi na mwenye Nguvu. THIS EARTH IS GOING TO BE A HELL.
 
Hii issue nahisi imekuwa kubwa

1. Mwanamke ndiye victim dhidi ya wanaume watano

2. Uanajeshi wa waliofanya na aliyewatuma umefanya kuwa interesting issue kwa activists na wanasiasa yaani sehemu ya kuibania jeshi la polisi na serikali. Of course siku zote wakipata hiyo angle huwa hawaiachii

Kuhusu kudhalilisha wanaume ni system iliyokubalika kwa sababu tunaamini mwanaume ameingilia himaya ya mwanaume mwenzake. Na kwa sababu mfumo wa jamii zetu ni wa kulinda manhood. Hivyo huwa tunachukulia kumuadhibu mtu wa hivyo ni sawa kaisa

Mwanamke huwa anahurumiwa kwa concept ya kutongozwa
Umeelewekaaaa!!!
 
Back
Top Bottom