Udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola

Udhalilishwaji wa waislam na vyombo vya dola

Hadithi yake nimeipenda ingawa inaonekana baadhi ya mawazo kakopi kwenye hadithi ya kusadikika.

Wewe si wa kwanza kusema nakopi.

Walimu wangu chuo kikuu wakiamini hivyo.
 
Wakijiji sasa unazeeka vibaya! husikii siku zote kuwa ni MFUMO na wale wa Waislamu wapo pale kuutekeleza watake wasitake?
ngoja nilale tu nisije nikala ban...ila huu unyonge wa wenzetu kweli unatisha sana...
 
Hii kujidai eti vyombo vya dola vya Tanzania vinanyanyasa waislam ni uongo mtupu!Ranks za juu za uongozi zote ni waislam, isitoshe, umetumia mifano ya nchi nyingine, kwanini kwenye heading umeitaja TZ peke yake ka si unafiki ni nini?

Hayo matukio kwenye mfano wako yangekuwa yote yametokea Tanzania, then heading yako ingemake sense, mods please angalieni namna ya kubadili heading iendane na ujumbe...
 
"
Inawezekana hujui chanzo cha data hizo. Data hizo hazina shaka na kwa ajili ya kutaka "amani na mshikamano" iliamuliwa zisitolewe.

Ukipenda unaweza ukazipuuza lakini waliokuwa Wizara ya Elimu miaka hiyo na wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wanafahamu nani alileta data hizo na kwa kisa gani.

Ndugu Mohamed, ungenisoma na kunielewa vizuri, mimi huwa siyo mtu wa kupuuzia mambo. kuna waislamu wengi tu wana nyadhifa za juu mbona hilo hamlisemi, nasema sipendi kurudia hoja. hoja yangu inajieleza, lakini wewe badala ya kujibu hoja unanitaka nipuuzie. hebu angalia hapo kwenye red, static yenyewe kumbe ni ya zamani. sasa ni kwa nini mtuletee utafiti huu ilhali tunaishi kwenye wakati tofauti kabisa. mimi nawaomba sana watanzania wenzangu, na hasa vijana, tutofautiane katika sehemu nyingine lakini sio dini, wanaochochea udini wana manufaa yao binafsi. hivyo ni jukumu la kila mmoja wetu, kijana , mzee etc kupingana na hali hii. itatufikisha pabaya.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Men lie, women lie, numbers don't lie
attachment.php
 
Mwanakijiji! mzee wetu Mohamed Said ameianza nakala yake kwa kuturudisha nyuma kidogo na habari ya yule Sheikh aliyerudishwa "kwao" Zanzibar halafu akaendelea kutupeleka mwaka 1964 wakati masheikh wengi waliwekwa kizuizini, hakutuacha hapo bali alitukumbusha mwaka 1993 ambapo kulizuka tafrani kati ya askari na Waislamu akamalizia tukio la Sheikh Kishki juzijuzi na Mufti wa Yemen halafu akaunganisha na lilomkuta yeye.
Huu ni mlolongo wa matukio baada ya matukio haiwezekani ulifananishe na tukio moja la Ulimboka au na jingine kama la Ulimboka pale na hapa......mwisho kauli yako imenishangaza sana kwani inaonekana kuihukumu Serikali kuwa na hatia ya utekwaji wa Ulimboka!
Mohamed said ametuletea udhalilishwaji wa Waislamu unaofanywa na vyombo vya dola, wakati ya Ulimboka ndio kwanza uchunguzi unaendelea!

Sideeq, mwanakijiji ametumia mfano mmoja hai - lakini ninafikiri Lukolo hapo juu ameeleza vizuri. Anatao jibu kwa dukuduku lako. Sijawahi kusoma Koran - sijui kama maandishi hayo matakatifu yanasisitiza ULALAMISHI - maana Waislamu wa Tanzania ni walalamishi sana. Hakuna mtawala kama JKNyerere hadi leo hii aliyejitahidi kuziba pengo kuhusu waislamu ambalo hakulisababisha yeye bali lilitokana na sababu za kihistoria!!
 
Hili la Utumwa zuri sana lakini kwanza itabidi tuanze na Transatlantic Slave Trade. Una ubavu tuanze kazi? Unajua kulikuwa na meli inayobeba watumwa kupeleka Marekani ikiitwa Jesus?

Sasa basi kwa nini tusikubaliane kwamba walioendesha biashara ya Transatlantic slave trade na ya Transindian slave trade wote walikuwa ni wadhalimu na imani zao za Kikristu na Kiislamu (pengine wakati huo) ziliongozwa na shetani!! Kwa hakika mimi ni mmojawapo ya watu ambao niko tayari kuunga ukombozi wa Afrika kutoka kwenye udhalimu wa Kikristu na Kiislamu na kujirudia katika imani walizokuwa nazo mababu zetu kabla ya kasumba hizi kuenezwa barani Afrika.
 
Sideeq, mwanakijiji ametumia mfano mmoja hai - lakini ninafikiri Lukolo hapo juu ameeleza vizuri. Anatao jibu kwa dukuduku lako. Sijawahi kusoma Koran - sijui kama maandishi hayo matakatifu yanasisitiza ULALAMISHI - maana Waislamu wa Tanzania ni walalamishi sana. Hakuna mtawala kama JKNyerere hadi leo hii aliyejitahidi kuziba pengo kuhusu waislamu ambalo hakulisababisha yeye bali lilitokana na sababu za kihistoria!!

Viongozi na watendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wote ni Wakristo. Aidha kwa asilimia kubwa kabisa watungaji wa mitihani na wasahihishaji pia ni dini hiyo hiyo.

Tazama kitabu cha Miaka Thelathini ya NECTA, 2004 au www.necta.ca.tz

MEN LIE, WOMEN LIE, NUMBERS DONT LIE....


 
Men lie, women lie, numbers don't lie
attachment.php
Mkuu ina maana waislam walikuwa na maombi mengi sawa na hizo dini nyingine kiasi kwamba utuaminishe kuwa maombi yao ya msamaha wa kodi yaliyokubaliwa yalikuwa machache lets say ukilinganisha na hizo dini nyingine?Je haiwezekani kuwa taasisi za kiislam haziingizi vifaa vingi zaidi ya hizo taasisi za dini nyingine?
Tafadhali usitumie data kupotosha.
 
Sasa basi kwa nini tusikubaliane kwamba walioendesha biashara ya Transatlantic slave trade na ya Transindian slave trade wote walikuwa ni wadhalimu na imani zao za Kikristu na Kiislamu (pengine wakati huo) ziliongozwa na shetani!! Kwa hakika mimi ni mmojawapo ya watu ambao niko tayari kuunga ukombozi wa Afrika kutoka kwenye udhalimu wa Kikristu na Kiislamu na kujirudia katika imani walizokuwa nazo mababu zetu kabla ya kasumba hizi kuenezwa barani Afrika.
Jifunze ku respect kauli za wengine, alisema hili la Transatlantic slave trade liachwe kwanza........haya kalale!
 
Viongozi na watendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wote ni Wakristo. Aidha kwa asilimia kubwa kabisa watungaji wa mitihani na wasahihishaji pia ni dini hiyo hiyo.

Tazama kitabu cha Miaka Thelathini ya NECTA, 2004 au www.necta.ca.tz

MEN LIE, WOMEN LIE, NUMBERS DONT LIE....
Nimesoma na Waislamu kuanzia msingi mpaka sekondari sijawahi kusikia aliyefelishwa kwasababu ya Uislamu. Napata taabu kukuelewa wewe na wenzako ambao kila siku mnaishutumu NECTA. Ama mnataka mpate ajira huko muanze kuiba mitihani kuwapelekea vilaza wenu misikitini?!
 
Men lie, women lie, numbers don't lie
attachment.php

Haya, mara ya kwanza umeshindwa kutoa uthibitisho, sasa umechora chora ndio unatuletea hii, mimi msimamo wangu uko palepale. bila chanzo halisi cha hizi statics zako siwezi kukuamini hata kidogo. Acheni kuchochea udini.
 
Pole kwa usumbufu uliokupata Mzee Mohamed.Katika Dini Njia bora ni kusamehe ila ktk siasa ni kusema ukwel.Usichanganye Dini na Siasa na muhimu zaidi tambueni adui yenu hasa ni nani na ni vema sana uache kuchochea chuki miongon mwa jamii ya Wanadamu maana hakika hukumu iko mbele yako.

Hivi unajuwa maana ya dini? nna uhakika ungekuwa unajuwa maana ya neno dini usingesema uliyoyasema.
 
Very risk kuwa muislamu na hasa waislamu wa tanzania maana ni kama nyerere kawalaani kutokana na kutomshukuru kwa kuweka mfumo ambao wao hawauwezi hata usuni na ushia si dhani kama haya wanayolalamikia wanaweza kuyapata uarabuni hasa kwa uweusi wao!Mohamedi said we ni gaidi kutokana na maelezo na imani yako acha mbwembwe
 
Haya, mara ya kwanza umeshindwa kutoa uthibitisho, sasa umechora chora ndio unatuletea hii, mimi msimamo wangu uko palepale. bila chanzo halisi cha hizi statics zako siwezi kukuamini hata kidogo. Acheni kuchochea udini.
Chanzo kanisa lake!Nawewe nenda kahesabu waislamu wapo wangapi uje umwambie mbona unataka umwabudu allah kwa gharama za wenzio!yaani mnashindwa kutoa pesa ya sensa ya waislamu mtegemee serikari na wakristo wawahesabu?Dini gharama bwana ukishindwa badili uwe mkristo uelimike itakua ndo mwisho wa mahangaiko yako hapa duniani ebo!
 
Kwa mfano alitaifisha shule zote za sekondari ambazo nyingi zilikuwa mikononi mwa makanisa ili kuwezesha vijana wote wa Kitanzania (bila kujali dini, ukanda, kabila) wapate elimu ya sekondari (kwa nafasi hizo chache zilizokuwepo). JKNyerere, kama zilivyo jamii za mataifa yaliyoendelea, alitambua hakuna njia rahisi ya zaidi ya kutoa nafasi za elimu kwa wote ili kuziba pengo kati ya walionacho na wasionacho (kutokana na kudhululimiwa na walionacho) ama niseme kuleta usawa na haki. Elimu, elimu, elimu - ni utaratibu huo uliowawezesha watu wa kizazi cha Mhe Rais Dkt JMK, akina Prof Lipumba, akina Prof Kapuya (ninataja mifano michache - unaweza kuongea nao historia ya elimu yao) kupata elimu waliyopata. Pia ni utaratibu huo uliowezesha hata watoto wa familia maskini (wislamu na wakristu na wajadi) kupata elimu ya sekondari na ya juu!!! Hii haikuwa ajali, bali ulikuwa ni ubunifu na vision ya JKN.
Watanzania wasiokuwa waislamu kushika nyadhifa za juu wakati wa utawala wa JKN ni suala linaloelezeka kihistoria: wakati tunapata uhuru na miaka michache baada ya uhuru watu waliokuwa wameelimika wengi ni wale waliokuwa wamepata bahati ya kupitia shule za makanisa (JKN alianza jitihada za kubadilisha mfumo huo na kama ni mtafiti mzuri kusanya data za shule na idadai ya wanafunzi na utaona jinsi waislamu walivyoongezeka kwa kasi kuanzia miaka ya 70 - baada ya kutaifisha shule za makanisa.
 
Kwa tunaokujua mzee mwenzangu wewe ni msomi ingawa hukuelimika. Tangu ujana hoja yako ile ile -uislam usiokuwepo. Kama unataka ubunge si uingie viwanjani. Hoja zako siku zote tangu ujana hadi sas uzee ni kutaka chuki na husda kwa watanzania. Hivi tuseme mara ngapi mzee mwenzetu utuelewe kuwa watanzania tulipigania uhuru kama watanzania na si kama waislam wala wakristo? Unaonekana msomi miongoni mwa wenzako. Bahati mbaya huonyeshi sifa na dalili za usomi. Umekuwa kama mwenzio marehemu Kighoma Malima ambaye alikuwa na PhD lakini bila kuelimika! Usikubali kutumiwa na waarabu kama akina Ally Basaleh na wahindi koko kama akina Ismail Jussa wanaolilia maziwa ya sultani wa Zanzibar aishiye ulaya akiota ndoto za kurejea Zanzibar. Mohamed Said, badili mwelekeo. Kama shida ni maisha si useme au kufuata njia halali za kukosoa makosa yako badala ya kupogelea chuki mzee mwenzangu.
 
ckuwahi kuchangia post kama hizi ila huwa napitia tu..ninachoo na hapa ni kuchanganya siasa na dini..maneno kama sheria ya ugaidi ilipita sababu ya wakristo bungeni kwanza ni kuhalalisha uislam na ugaidi..ina maana waislam hawakutaka ipite..?huko nigeria walipokuambia hawatapitisha hiyo sheria nadhani unayaona yanayotokea.. Then nchi za kiislam na muslims wamekuwa wakilalamikia nchi za magharibi lakini wewe unasema wakristo wa tz ndio wanachonganisha na americans.. Ukristo una wenyewe na utaendelea kuhifadhiwa hadi mwisho wa nyakati kama unavyoamini na wewe ktk islam.. Pia kuhusu uchache wa muslims nilijaribu kuhesabu idadi ya watu niliosoma nao msingi hadi sec..kiu kweli primary hadi chuo idadi yao ilikuwa ndogo sana darasani japo nilisoma pia private..hata wengine mliosoma shule za changanyikeni fanyeni hivyo mtagundua hiyo tofauti.. Kinachoonekana mwamko wa elim dunia ulikuwa too low..
 
Pole sana Mzee wangu kwa maswahib yaliyokukuta. Inshaallah M/MUNGU atawapa adhabu kali Madhalim.
 
Back
Top Bottom