Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Hakuna dini ya mwarabu ...watu wa mwanzo kumpinga mtume walikuwa n waarabu ....

Pili ...uislamu haujachukua chochote ktk culture ya waarabu ila lugha ....uislamu na uarabu n mbingu na ardhi ...uislamu ulikuja kufuta fikra za kishenz za utaifa ..na kuwataka watu waungane juu ya hakuna apasae kuabudiwa isipokuwa Allah na Muhammad n mjumbe na mtume wake wa mwsho bas...na kufuata itikad hiyo ...so mchina wa Guangzhou n ndugu yetu ila mwafrica mwenye kuuping uislamu hta ka tumezaliwa tumbo moja s ndg yetu ....hatumrith haturith ...hatumzk hatuzk .....akifa hatumuombei msamaha ...it is called al wala wal baraa ...love and hate for the sake of Allah ....so nmerekebisha kaul yko
Hapana hakuna hicho kitu hakuna undugu wa kiislam watu wanachangamana kwa asili yao dunia ya sasa na sio dini zao. Mwarabu hawez kukupenda we mwafrika hata kama nawe mwislam never. Kule Libya waafrika wanauzwa kama maembe japo hao waafrika ni waislam baadhi yao. Hata wadada wa ndani wa kiafrika wanateswa sana uarabuni huko hata kama ni waislam.
 
Hapana hakuna hicho kitu hakuna undugu wa kiislam watu wanachangamana kwa asili yao dunia ya sasa na sio dini zao. Mwarabu hawez kukupenda we mwafrika hata kama nawe mwislam never. Kule Libya waafrika wanauzwa kama maembe japo hao waafrika ni waislam baadhi yao. Hata wadada wa ndani wa kiafrika wanateswa sana uarabuni huko hata kama ni waislam.
Mwenye kufanya hivo ni ignorant ...most of so called Muslim Leo hii wameiacha dini yao wakajigawa kwa rang na utaifa ndo Allah anawazalilisha .....wanaofanya hayo n wapuuz ambao hawaujui uislamu ..ila wapo wenye undg hasa wa kiislamu ndo nnao wakusudia
 
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Hao ni wazuri wa kuwadanganya watu. nawaonea huruma watu ambao wanafumba macho. Hawa SMZ wanasema Maalim atarudisha utumwa, usultani, wakati ilivokuja meli kutoka Oman, waon ndio wa kwanza kwenda kuipokea kwa shangwe meli hio, kimbelembele ni wao kujipeleka, bandari ilifungwa ikawa hakuna mzigo kushuka wa kupanda kisa imepaki meli ya Oman, halafu hao hao wanakaa kwenye majukwaa wakiwaita waarabu wasshenzi, hao hao wanadai Maalim Seif anataka kurudisha usultani, na hao hao, walikuwa wanagombania wakabidhiwe msikiti ulojengwa na Serikali ya oman wauendeshe..... Bora Afya ni moja ya watu mashuhuri zanzibar wanaotukana waarabu na machotara, lakini yupo mstari wa mbele kwenda kula biriani na pilau ya hao machotara kwenye shughuli.

Sio Zamani sana, Jumba la Ajabu Zanzibar lilipata matatizo na upande mmoja kubomoka, Mbona hakuna skeleton ya mtu kwenye nguzo zilobomoka? Nnavoijua SMZ kama wangekuta mfupa japo wa kuku tu kwenye nguzo dunia ingepata habari, lakini ni aibu kwao kwa sababu ndio ilikuwa njia ya kuwakomba wajinga kwa kuwadanganya.

If i might not be wrong, Naamini, Waarabu walipokuja Zanzibar kutawala, hakuna mzanzibari alifanywa mtumwa, Ila watumwa walikuwa wanatoka nje ya kisiwa cha Zanzibar na kuletwa Zanzibar Kuuzwa kwa waarabu, wazungu, wahindi n.k

Ndio maana, mapinduzi haya yalifanywa na watu wasio wazanzibari wenyewe bali wakuja. SMZ iligawa mashamba ya waarabu kwa wazanzibar, wengi wao waliyakataa kabisa. Na mpaka miaka ya ivi karibuni, wale ambao waliyachukua kutoka serikali wanahangaika kuwatafuta wenyewe waya kabidhi kwa wamiliki halali.


Lakini sishangai watu wakiwa wanafumba macho.... 😀 😀 😀
 
SIKU Mzungu akiacha Ukafiri basi peponi moja kwa moja na Mwarabu akiacha misingi ya Uislam ni motoni moja kwa moja. Watu wajuwe kwamba uislamu hautaki mambo ya utumwa ndio maana Bilal alikuwa mtumwa toka Habesh/Ethiopia aliteswa sana mwishowe akanunuliwa na Waislamu akawa huru kabisa. kwa wale walioshindwa funga mwezi mtukufu wa Ramadan kutokana na matatizo ya kiafya waliamrishwa kumwachia mtumwa mmoja huru na kuwalisha maskini hii ina maana kwamba Uislam, sio uarabu hauentertain utumwa.
 
Shule ni muhimu sana. muhimu sana kuliko ambavyo hat anilifikiria. kwa comments nyingi za humu ndani wengi wanaonekana either hawana shule au walienda shule hawakuelimika. nlitamani niulize kuna waarabu wangapi humu wanyooshe mikono. na pia kuna wazungu wangap humu wanyooshe mikono. unaweza kuta mingi ni mibantu mipumbavu ambayo inaamini kabisa yenyewe ni miarabu na mingine mipumbavu inaamini yenyewe ni mizungu. yaani ni mijitu ya asili moja imekutana ina ijichukulia ni asili mbili za huko mbali na kuamini yenyewe ndio yenyewe kabisa. ni upumbavu na uzumbukuku mkubwa sana. Pascal Mayalla kazungumzia MADHARA YA WAARABU ZANZIBAR MPAKA WABANTU KUJA KUFANYA MAPINDUZI MATUKUFU. hakutaja dini yoyote. MIJITU MIPUMBAVU INAKUJA KUZUNGUMZIA DINI YA UISLAMU,INAKUJA KUTETEA WAARABU,INAKUJA KUELEZEA MADHARA YA WAZUNGU. INAKUJA KUZUNGUMZIA VITU AMBAVYO HAVIHUSIANI KABISA NA ALICHOSEMA MLETA HOJA" huu ni upumbavu wa kiwango kikubwa sana. kuhalalisha unyama uliofanywa na waarabu kwa sababu na wazungu nao wamefanya ni ukosefu wa kutumia akili ndogo tu ya darasa la 2. wazungu watahukumiwa kwa waliyoyafanya kwa wahusika hal kadhalika walioua na kuhas mababu zetu na kuwauza utumwani au kuwachukua utumwani nao ni mabaradhuli na makafiri wakubwa sana. kwa rangi,dini na imani zao.

SIKU Mzungu akiacha Ukafiri basi peponi moja kwa moja na Mwarabu akiacha misingi ya Uislam ni motoni moja kwa moja. Watu wajuwe kwamba uislamu hautaki mambo ya utumwa ndio maana Bilal alikuwa mtumwa toka Habesh/Ethiopia aliteswa sana mwishowe akanunuliwa na Waislamu akawa huru kabisa. kwa wale walioshindwa funga mwezi mtukufu wa Ramadan kutokana na matatizo ya kiafya waliamrishwa kumwachia mtumwa mmoja huru na kuwalisha maskini hii ina maana kwamba Uislam, sio uarabu hauentertain utumwa.
 
Shule ni muhimu sana. muhimu sana kuliko ambavyo hat anilifikiria. kwa comments nyingi za humu ndani wengi wanaonekana either hawana shule au walienda shule hawakuelimika. nlitamani niulize kuna waarabu wangapi humu wanyooshe mikono. na pia kuna wazungu wangap humu wanyooshe mikono. unaweza kuta mingi ni mibantu mipumbavu ambayo inaamini kabisa yenyewe ni miarabu na mingine mipumbavu inaamini yenyewe ni mizungu. yaani ni mijitu ya asili moja imekutana ina ijichukulia ni asili mbili za huko mbali na kuamini yenyewe ndio yenyewe kabisa. ni upumbavu na uzumbukuku mkubwa sana. Pascal Mayalla kazungumzia MADHARA YA WAARABU ZANZIBAR MPAKA WABANTU KUJA KUFANYA MAPINDUZI MATUKUFU. hakutaja dini yoyote. MIJITU MIPUMBAVU INAKUJA KUZUNGUMZIA DINI YA UISLAMU,INAKUJA KUTETEA WAARABU,INAKUJA KUELEZEA MADHARA YA WAZUNGU. INAKUJA KUZUNGUMZIA VITU AMBAVYO HAVIHUSIANI KABISA NA ALICHOSEMA MLETA HOJA" huu ni upumbavu wa kiwango kikubwa sana. kuhalalisha unyama uliofanywa na waarabu kwa sababu na wazungu nao wamefanya ni ukosefu wa kutumia akili ndogo tu ya darasa la 2. wazungu watahukumiwa kwa waliyoyafanya kwa wahusika hal kadhalika walioua na kuhas mababu zetu na kuwauza utumwani au kuwachukua utumwani nao ni mabaradhuli na makafiri wakubwa sana. kwa rangi,dini na imani zao.


Wewe mwenye akili nyingi na uliyesoma sana hebu tuambie ni mwafrika gani wa kutoka zanzibar ambaye mzee wake alifanyiwa unyama na waarabu , lete jina la mtu mmoja tu mzanzibari

Yawezekana hiyo shule ulisoma wewe ni super zaidi katika historia,

Hivi tuambie Mzanzibari gani mwafrika unayemjua wewe ambaye yeye au mzee wake aliwahi kuuzwa au kufanywa mtumwa ???

Hivi tuambie wewe msomi mtaalamu , ni muarabu gani alimbakizia kesi ya kigaidi mwafrika au mwarabu yeyote na kumsotesha gerezani walau saa moja tu ????

Hebu tuelimishe mtaaalamu wa hao wataalamu tupate kuelimika sisi wapumbavu na wajinga
 
safi sana. kabla mimi sijakutajia hilo jina nawe nitajie ni mzanzibari gani unayemjua wewe mwafrika aliwahi pelekwa utumwani na mzungu au kuhasiwa huko ulaya au marekani. nitajie huyo jamaa ili nami nikutajie pia.

Wewe mwenye akili nyingi na uliyesoma sana hebu tuambie ni mwafrika gani wa kutoka zanzibar ambaye mzee wake alifanyiwa unyama na waarabu , lete jina la mtu mmoja tu mzanzibari

Yawezekana hiyo shule ulisoma wewe ni super zaidi katika historia,

Hivi tuambie Mzanzibari gani mwafrika unayemjua wewe ambaye yeye au mzee wake aliwahi kuuzwa au kufanywa mtumwa ???

Hivi tuambie wewe msomi mtaalamu , ni muarabu gani alimbakizia kesi ya kigaidi mwafrika au mwarabu yeyote na kumsotesha gerezani walau saa moja tu ????

Hebu tuelimishe mtaaalamu wa hao wataalamu tupate kuelimika sisi wapumbavu na wajinga
 
safi sana. kabla mimi sijakutajia hilo jina nawe nitajie ni mzanzibari gani unayemjua wewe mwafrika aliwahi pelekwa utumwani na mzungu au kuhasiwa huko ulaya au marekani. nitajie huyo jamaa ili nami nikutajie pia.


Mbona mtaalaamu unaanza kutuuliza wajinga na wapumbavu ???

Nimekuuliza swali nipate kuelimika unaleta maswali , hivi hayo ndiyo mafundisho ya shule ya wataalamu best
 
"KUULIZA SI UJINGA, LAKINI HII HAIHALALISHI KUULIZA MASWALI YA KIJINGA"
Mbona mtaalaamu unaanza kutuuliza wajinga na wapumbavu ???

Nimekuuliza swali nipate kuelimika unaleta maswali , hivi hayo ndiyo mafundisho ya shule ya wataalamu best
 
"KUULIZA SI UJINGA, LAKINI HII HAIHALALISHI KUULIZA MASWALI YA KIJINGA"


Kumbe hata mtaalamu wa wataalamu huwa anauliza maswali ya kijinga baada ya kusoma maswali ya wajinga kwa jaziba na kutotambua kaulizwa kitu gani ???

Hivi ulishatoa pesa za mafuta ya mwenge???

kakimbize mwenge ukimaliza njoo ujifunze namna ya kusoma unachoulizwa
 
niliona umeuliza swali la kijinga na ndo maana nikalirudisha hilo swali kwako halafu ukijibu nikujibu kuendana na ujinga wako. wewe kama kiswahili tu kinakushiba unaandika jaziba badala ya jazba. huoni kama una tatizo kubwa kuliko inavyoonekana kwa nje? we ni mwarabu wa wapi? maana mimi ni mbantu nashangaa kuna waarabu koko kadhaa ambao akisemwa mwarabu wanatokwa povu sana na kuhusisha uarabu na uislamu wanasahau kuna waarabu wakristo pia. lakini ni upumbavu huo huo unatumika kuwafanya watu kadhaa waaminishwe jamii flani ni bora kuliko nyingine. mwenge sihitaji kuchangia ila utakimbizwa as long as serikali imesema hivyo. na zanzibar itasheherekea sikukuu ya mapinduzi matukufu kila mwaka january 14. na mashujaa wa mapinduzi watakumbukwa. mimi nitake nisitake mapinduzi yalifanyika...kumpindua nani na kwa nini... hapo sasa mi ntasema ni kuwapindua wazungu au watanganyika.
Kumbe hata mtaalamu wa wataalamu huwa anauliza maswali ya kijinga baada ya kusoma maswali ya wajinga kwa jaziba na kutotambua kaulizwa kitu gani ???

Hivi ulishatoa pesa za mafuta ya mwenge???

kakimbize mwenge ukimaliza njoo ujifunze namna ya kusoma unachoulizwa
 
niliona umeuliza swali la kijinga na ndo maana nikalirudisha hilo swali kwako halafu ukijibu nikujibu kuendana na ujinga wako. wewe kama kiswahili tu kinakushiba unaandika jaziba badala ya jazba. huoni kama una tatizo kubwa kuliko inavyoonekana kwa nje? we ni mwarabu wa wapi? maana mimi ni mbantu nashangaa kuna waarabu koko kadhaa ambao akisemwa mwarabu wanatokwa povu sana na kuhusisha uarabu na uislamu wanasahau kuna waarabu wakristo pia. lakini ni upumbavu huo huo unatumika kuwafanya watu kadhaa waaminishwe jamii flani ni bora kuliko nyingine. mwenge sihitaji kuchangia ila utakimbizwa as long as serikali imesema hivyo. na zanzibar itasheherekea sikukuu ya mapinduzi matukufu kila mwaka january 14. na mashujaa wa mapinduzi watakumbukwa. mimi nitake nisitake mapinduzi yalifanyika...kumpindua nani na kwa nini... hapo sasa mi ntasema ni kuwapindua wazungu au watanganyika.


Nilikuuliza

Hivi tuambie Mzanzibari gani mwafrika unayemjua wewe ambaye yeye au mzee wake aliwahi kuuzwa au kufanywa mtumwa ???

Nilitaja mwarabu au mzungu hapo ????

Nyinyi watanganyika inawahusu nini Zanzibar kila siku ????

Nchi yenu mumeifanya ni hell mpaka leo Magufuli anamwomba huyo mnayemwona shetani awachimbie visima mashuleni

?? nyinyi wenyewe hata visima vimewashinda,

Mapinduzi ndio yamekusaidia kupata maji ???

Haya kakimbize mwenge labda ndio utapata akili
 
Shule ni muhimu sana. muhimu sana kuliko ambavyo hat anilifikiria. kwa comments nyingi za humu ndani wengi wanaonekana either hawana shule au walienda shule hawakuelimika. nlitamani niulize kuna waarabu wangapi humu wanyooshe mikono. na pia kuna wazungu wangap humu wanyooshe mikono. unaweza kuta mingi ni mibantu mipumbavu ambayo inaamini kabisa yenyewe ni miarabu na mingine mipumbavu inaamini yenyewe ni mizungu. yaani ni mijitu ya asili moja imekutana ina ijichukulia ni asili mbili za huko mbali na kuamini yenyewe ndio yenyewe kabisa. ni upumbavu na uzumbukuku mkubwa sana. Pascal Mayalla kazungumzia MADHARA YA WAARABU ZANZIBAR MPAKA WABANTU KUJA KUFANYA MAPINDUZI MATUKUFU. hakutaja dini yoyote. MIJITU MIPUMBAVU INAKUJA KUZUNGUMZIA DINI YA UISLAMU,INAKUJA KUTETEA WAARABU,INAKUJA KUELEZEA MADHARA YA WAZUNGU. INAKUJA KUZUNGUMZIA VITU AMBAVYO HAVIHUSIANI KABISA NA ALICHOSEMA MLETA HOJA" huu ni upumbavu wa kiwango kikubwa sana. kuhalalisha unyama uliofanywa na waarabu kwa sababu na wazungu nao wamefanya ni ukosefu wa kutumia akili ndogo tu ya darasa la 2. wazungu watahukumiwa kwa waliyoyafanya kwa wahusika hal kadhalika walioua na kuhas mababu zetu na kuwauza utumwani au kuwachukua utumwani nao ni mabaradhuli na makafiri wakubwa sana. kwa rangi,dini na imani zao.
we ndo lofa kabisa usiejitambua hivi huo uzi umeusoma wote au umepitia heading tu, nyie WasuKuma lini mtabadilika.
 
Mbona mtaalaamu unaanza kutuuliza wajinga na wapumbavu ???

Nimekuuliza swali nipate kuelimika unaleta maswali , hivi hayo ndiyo mafundisho ya shule ya wataalamu best
Kwani babu zako wahed waliijua uslamu wa Muddy zangwangwa?
Wacha ujinga kafiri mkubwa mla nyama nyamafu ukishushia na mkojo wa motomoto wa ngamia.
 
Nilikuuliza

Hivi tuambie Mzanzibari gani mwafrika unayemjua wewe ambaye yeye au mzee wake aliwahi kuuzwa au kufanywa mtumwa ???

Nilitaja mwarabu au mzungu hapo ????

Nyinyi watanganyika inawahusu nini Zanzibar kila siku ????

Nchi yenu mumeifanya ni hell mpaka leo Magufuli anamwomba huyo mnayemwona shetani awachimbie visima mashuleni

?? nyinyi wenyewe hata visima vimewashinda,

Mapinduzi ndio yamekusaidia kupata maji ???

Haya kakimbize mwenge labda ndio utapata akili
Nyinyi wa zenji inawahusu nini Tanganyika? Inalfidhurina wa muddilaipidofilia alqurhanu illaanatupu.
 
Hao ni wazuri wa kuwadanganya watu. nawaonea huruma watu ambao wanafumba macho. Hawa SMZ wanasema Maalim atarudisha utumwa, usultani, wakati ilivokuja meli kutoka Oman, waon ndio wa kwanza kwenda kuipokea kwa shangwe meli hio, kimbelembele ni wao kujipeleka, bandari ilifungwa ikawa hakuna mzigo kushuka wa kupanda kisa imepaki meli ya Oman, halafu hao hao wanakaa kwenye majukwaa wakiwaita waarabu wasshenzi, hao hao wanadai Maalim Seif anataka kurudisha usultani, na hao hao, walikuwa wanagombania wakabidhiwe msikiti ulojengwa na Serikali ya oman wauendeshe..... Bora Afya ni moja ya watu mashuhuri zanzibar wanaotukana waarabu na machotara, lakini yupo mstari wa mbele kwenda kula biriani na pilau ya hao machotara kwenye shughuli.

Sio Zamani sana, Jumba la Ajabu Zanzibar lilipata matatizo na upande mmoja kubomoka, Mbona hakuna skeleton ya mtu kwenye nguzo zilobomoka? Nnavoijua SMZ kama wangekuta mfupa japo wa kuku tu kwenye nguzo dunia ingepata habari, lakini ni aibu kwao kwa sababu ndio ilikuwa njia ya kuwakomba wajinga kwa kuwadanganya.

If i might not be wrong, Naamini, Waarabu walipokuja Zanzibar kutawala, hakuna mzanzibari alifanywa mtumwa, Ila watumwa walikuwa wanatoka nje ya kisiwa cha Zanzibar na kuletwa Zanzibar Kuuzwa kwa waarabu, wazungu, wahindi n.k

Ndio maana, mapinduzi haya yalifanywa na watu wasio wazanzibari wenyewe bali wakuja. SMZ iligawa mashamba ya waarabu kwa wazanzibar, wengi wao waliyakataa kabisa. Na mpaka miaka ya ivi karibuni, wale ambao waliyachukua kutoka serikali wanahangaika kuwatafuta wenyewe waya kabidhi kwa wamiliki halali.


Lakini sishangai watu wakiwa wanafumba macho.... 😀 😀 😀
Uko vizuri, na maelezo yako mazuri sana, watu waliaminishwa hivyo. "Divide and rule" ilitumika. Naamini umewa inspire baadhi ya watu.[emoji106] [emoji106] ungekuwa karibu yangu leo ungekunywa hadi ukatambaa
 
niliona umeuliza swali la kijinga na ndo maana nikalirudisha hilo swali kwako halafu ukijibu nikujibu kuendana na ujinga wako. wewe kama kiswahili tu kinakushiba unaandika jaziba badala ya jazba. huoni kama una tatizo kubwa kuliko inavyoonekana kwa nje? we ni mwarabu wa wapi? maana mimi ni mbantu nashangaa kuna waarabu koko kadhaa ambao akisemwa mwarabu wanatokwa povu sana na kuhusisha uarabu na uislamu wanasahau kuna waarabu wakristo pia. lakini ni upumbavu huo huo unatumika kuwafanya watu kadhaa waaminishwe jamii flani ni bora kuliko nyingine. mwenge sihitaji kuchangia ila utakimbizwa as long as serikali imesema hivyo. na zanzibar itasheherekea sikukuu ya mapinduzi matukufu kila mwaka january 14. na mashujaa wa mapinduzi watakumbukwa. mimi nitake nisitake mapinduzi yalifanyika...kumpindua nani na kwa nini... hapo sasa mi ntasema ni kuwapindua wazungu au watanganyika.

Hakuna sherehe kama hizo labda kama ulimaanisha februari 14.
 
Uko vizuri, na maelezo yako mazuri sana, watu waliaminishwa hivyo. "Divide and rule" ilitumika. Naamini umewa inspire baadhi ya watu.[emoji106] [emoji106] ungekuwa karibu yangu leo ungekunywa hadi ukatambaa
Umenifanya nicheke mkuu asante.... Mi nigekuwepo ningekwambia unapatie kinywaji cha stone tangawizi tu uku kikiwa full barafu 😀 😀 😀.

Nawafumbua watu macho angalau na wao wapime sio kufuata tu kitu bila hata ya kutumia akili.
 
Kushinda haya mliyofanyiwa na waliowaletea ugalatia wa kumdharau hadi aliyekuumba!!??

Kweli UKIPENDA CHONGO HUITA KENGEZA.
View attachment 339077 View attachment 339078
.wazungu ndiyo mashetani kuwazidi waarabu au wahindi .wanunuzi wakubwa wa watumwa walikua ni wazungu ili wakawatumie kulima mashamba yao makubwa enzi hizo teknologia ya trekta bado.hivyo wazungu walikaa nyuma ya pazia na kuwasakizia waarabu wajinga kuja kuteka nakuuza watu hasa weusi na hii kwangu naona ilikua ni njia pia ya kuuchafua uislamu ili wakileta mahubiri ya biblia wale wamishonary wakubalike kiharaka kama leo wanavyowatuma majeshi ya kiizrael na kimarekani katika nchi za kiislamu na kuanzisha vikosi vya kigaidi madhumuni ikiwa ni kuuchafua uislamu na kuiba raslimali za nchi husika

wazungu walipofanikiwa kuunda mashine kubwa za kazi kama matrekta ndipo wakataka kuanza mbinu za kuua biashara ya utumwa kupelekwa ulaya na marekani kwani walihofia pia mtu mweusi kuwazidi idadi watu weupe siku zijazo endapo biashara ile ingeendelea..hapo ndipo zilipoanza kampeni za kupinga utumwa zikiongozwa na uingereza.meli za wanajeshi ziliwekwa baharini kukagua meli zote zilizokua zikisafiri majini..watumwa wengi waliishia kutoswa majini huku wamefungwa kamba ili tu kuwakwepa jeshi la maji kuwakamata wamiliki wa vyombo husika.

waarabu waliowatesa na kuwauza wazanzibari ni wauwaji kama wazungu mabosi zao .kwani hata uislamu kama ndiyo ilikua dini yao haufundishi mtu kuuza watumwa ni haramu.hivyo hao waarabu walikidhi matakwa ya wazungu wakrist😵kello kaua waarabu kule zenji eti akawasamehe wazungu waliokuepo.huu ni usanii..kwan wao wazungu walifikaje zenji?? Mbona wasifukuzwe kipin kile ili wazenji wabaki wenyewe???.
mtoa mada uko biased
 
Mkuu Abua, kuna njia kuu 3 tuu za kupata maarifa kwa kujifunza
1. Kuwepo mwenyewe na kushuhudia
2. Kuhadithiwa au kufundishwa na wanaojua.
3. Kujisomea toka maandishi, filamu, simulizi etc hivyo kukuondoa ujinga na kukupatia ufahamu.

Biashara ya utumwa imefanywa kwa miaka mingi na mahali pengi. Mfano Waisrael walikaa utumwani Misri kwa muda wa miaka 400!.

Kwa upande wa biashara ya utumwa kwa bara la Africa imefanywa kwenye routes mbili kuu. Trans Atlantic Slave Trade iliyofanywa kutumia bahari ya Atlantic, watumwa walikamatwa kutoka nchi za West Africa, na kupelekwa bara la Ulaya, Marekani na America ya Kusini, wale watu weusi wote wa Latin America ni hadi America ya Kati ni watumwa kutoka Africa. Kule japo nako waliteswa ila waliachwa kuendelea kuzaliana. Biashara hiyo ilipopigwa marufuku, nchi za Marekani na Uingereza zikatoa fursa kwa watumwa wanaotaka kurejeshwa Africa warejee. Marekani ikatengeneza nchi inayoitwa Liberia na kuwarejesha watumwa kutoka Marekani. Na Uingereza ikafuatia ikatengeneza nchi ya Sierra Leone ikawarejesha watumwa huru wa Uingereza.

Route ya pili ni Indian Ocean Slave Trade ni biashara ya utumwa iliyoendeshwa kwenye bahari ya Hindi. Hawa ndio watumwa kutoka Afrika Mashariki. Soko kuu la watumwa lilikuwa Zanzibar. Biashara hii haikufanywa na wazungu bali ilifanywa na Waarabu, na watumwa hawa walipelekwa Arabuni na India. Watumwa hawa ndio mababu zetu na kiukweli waliteswa!. Kitu cha kwanza walipofika tuu, watumwa wote wanaume wali hasiwa!. Hivyo kizazi chote cha watumwa weusi wa Arabuni na India ni wazalia wa watumwa wanawake waliokuwa vijakazi tena kwa kupewa mimba kwa kubakwa au kuingiliwa kwa nguvu!.

Biashara hii ilipopigwa marufuku, hakukuwepo watumwa wowote wa kurudishwa Africa toka Arabuni na India, badala yake waliwafanyia genocide na kuwauwa wote waliotaka uhuru!.

Paskali
unajua ni kwa nini hii biashara ilipigwa marufuku???
mwarabu hakuhitaji wafanyikazi wengi kwasababu hawakuwa na maviwanda wala mashamba makubwa.labda india iliyokua inashikiliwa na uingereza ndiko walikopelekwa watumwa weng.soo acha kuwachafua waarabu.wasemee na hao uwapendao aka wazungu.wana historia katili sana...vita ya dunia 1 na 2 .kuwatesa na kuwaua wananchi katika nchi walizozimiliki kama makoloni..nipe nchi 3 zilizokoloniwa na mwarabu??.
tahadhar sana.sumu mliyomezeshwa na mzungu siyo ya kitoto.bila kuwa makini hutoweza kuujua ukweli maisha yako yote
 
Back
Top Bottom