Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

ukoo wa wauaji,licha ya Daud kuwa muuaji,pia alikuwa mdhinifu balaa,aliwahi kumuua mkuu wake wa majeshi ili mradi ampore mke wake,
kwa mjibu wa bibilia wanawake wote wa upande wayesu walikuwa ni vyangudoa kwa mjibu wa bibilia.
Vyanzo vingine vya habari vinadai hata mamake yesu alipata mimba kabla mme wake joseph hajamjua,
actually joseph alikuwa ni mzee na alisafiri kwa mda mrefu aliporudi akakuta mchumba wake ana mimba,ikazuka ugomvi.
Fununu zinadai kuwa mamake yesu alikuwa na mahusiano na kijana mmoja askari wa kirumi,

hiyo story inaaminiwa huko uyahudi.
Sasa tukiweka imani kando yawezekaa yesu alikuwa mwanaharamu,
yaani kazaliwa nje ya ndoa
Na nukuu "Sasa tukiweka imani kando yawezekaa yesu alikuwa mwanaharamu,yaani kazaliwa nje ya ndoa" mwisho wa kunukuu. Hili linaingia akilini.na ndio alikimbia kuogopa fedheha na sheria a kiyahudi za kupigwa mawe mpaka afe. Kama nimuijuza hakuna sababu ya kukimbia. Alieleta miujiza ndie angelimtetea . Siamini kama kiumbe kinaweza kushika mimba kwa wakati ule bila ya kuingiliwa kimwili, ni ujuha uliokithiri kuamini hivyo. Nawaheshimu wayahudi kwa kuuukataa katakata uongo mtakatifu
 
hujajibu swali langu wewe unaniuliza maswali yako, anyway point yangu ilikuwa ni hii ubaguzi hauna dini mwisilamu anaweza kumbagua mwenzake kwa kigezo cha rangi, kipato, kabila n.k, sasa nyie mmekomalia kuwatetea waarabu eti hawakufanya uonevu kisa ni waisilamu wenzenu

Ondoa chuki zako za kipumbavu zisizokuwa na ukweli wowote!
so mlitaka na sisi tuwe upande wenu sindio hata kama waarabu hawakufanya uovu huo? never na haitotokea kitu kama iyo "Muslim ndugu yake Muslim"

Waarabu ni ndugu zetu na ni waislamu wenzetu, na tutaendelea kuishinao hapa, na ktk nchi zao tunakwenda mara kwa mara na wanatupokea kwa uzuri All praise is due to Allah, hivyo mvimbe,mpasuke na ikibidi mpate HEART ATTACK,
 
Labda tuambie aliyekua kinara wa biashara ya utumwa nani?? Uarabuni kuna black Arabs?? Kwann iwe marekan tu na sio uarabuni ving'ang'anizi wa biashara hyo
Uarabuni hakuna black Arabs lakini kuna black Muslims. Waulize wanaokwenda kuhiji Mecca hawawaoni watu weusi wanaongea kiarabu kama lughayao ya kwanza?. Hivi mfalme Qabus wa Oman ni nani? si ana damu kitanganyika ya kale! Lakini ukanda huu biashara ya utumwa ilikuwa si kubwa sana na huwezi kufananisha kwa ukubwa na biashara ya utumwa uilokuwa inafanywa na wakristo kule West Africa.
 
Hakuna mwenye afadhali. Ila tu, ukiwa dini hii utaona ya yule ndiyo mabaya zaidi!
Lakini nimejifunza kuwa mtu mweusi hupenda utumwa. Sijui kama kabadilika!
 
Wale watumwa waliopelekwa Uarabuni vizazi vyao viko wapi!!! Who is to blame and have they apologized and compensated!


images
bibi
salalah-one-of-the-last-regions-where-women-wear-the-bright-omani-picture-id110990004
wajukuu
344596-Dubai1-0.jpg
makaka
443529393-salalah-turban-type-arabe-chapeau-couvre-chef.jpg
baba
stock-photo-45777118-omani-men-smiling.jpg
mababu,
sasa utoke hapa Tz na shombo lako wende huko dubay uwaambie etii nyie ni watanganyika ,twendeni tukajenge nchi yenu maana waarabu waliwachukua na kuwatesa na kuw.
 
Watu weusi wamepitia mateso mengi na magumu ya kila namna kutoka kwa jamii mbalimbali ikiwemo wazungu na waarabu, na hata weusi wenzao.

Akitokea mtu akakwambia mwarabu ni mtu mwema sana na kamwe hakuwahi kutesa watu weusi, inabidi huyo mtu asamehewe tu. Tena hata kipindi cha ukoloni mwarabu na wahindi ndio walikuwa vibaraka wenyewe wa ukoloni wakila angalau makombo kutoka meza za mabwana zao kwa kufanywa eti raia wa daraja la pili.
 
Historia _007, post: 15902701, member: 278099"]Pasco
Ni ubaguzi tu ndo unaokusumbua...jipange upya.[/QUOTE]
Historia ndiyo inamdanganya Pasco, Wazungu mpaka leo bado wananyanyasa watu weusi kwa kutuita MANYANI,

Historia ya yetu imepotoshwa sana, ili kuficha ukweli.
 
Huyu King Leopold II of Belgium, huyu mzungu pamoja wenzake walikuwa makatili sana tawapa habari zake za unyama aliyowafanyia ndugu zetu wa Congo.
images-34.jpeg
 
The Butcher of Congo.

Watu milioni 10 walikatwa mikono nchini Congo ulikuwa unyama wa hali ya juu.

images-61.jpeg

images-142.jpeg


images-32.jpeg


Only 90 years ago, the agents of King Leopold II of Belgium massacred 10 million Africans in the Congo. Cutting off hands as we see in Sierra Leone today, was very much part of Leopold's repertoire. Today, Leopold's "rubber terror" has all been swept under the carpet. Adam Hochschild calls it "the great forgetting" in his brilliant new book, King Leopold's Ghost, recently published by Macmillan. This is a story of greed, exploitation and brutality that Africa and the world must not forget
 
Hivi mimi nataka kuuliza, hawa ndugu zetu walio kuwa wakiuzwa kama mbuzi walikua na kasoro gani? Yani jamaa anakuchukua kwenu anakupeleka sokoni na anakuuza kama mbuzi na wewe umetulia tu. Unanunuliwa umefungwa minyororo na unapelekwa kutumikishwa halafu na hapo bado unatii amri. Hapa ndio nashindwa kuelewa hawa mababu zetu walikua na tatizo gani.
 
images-41.jpeg


Angalia huu ushenzi wa wazungu wanamuweka mtoto wa kiafrica kwenye Zoo kisha wanamtupia ndizi kama nyani bado miafrica inaona wazungu walikuwa sahihi kufanya hivi daah!
 
images-20.jpeg


images-36.jpeg

Unawafanya hivi binadamu wenzako watu wakilaani huu ushenzi kuna miafrica inajitokeza kutetea wazungu.
 
images-30.jpeg


Hawa watoto walikuwa wanatangulizwa mbele kama wazungu wakitaka kuwinda wanyama.
 
Back
Top Bottom