Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

pasco,

UMEANDIKA

3. Waarabu ninaowazungumza hapa, ni wale Waarabu madhalimu na makatili wa wa enzi zile za utumwa ambao wengi wao, mwaka 1964, walifurushwa kutoka Unguja kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964!, ila waliofurushwa ni wale tuu waliokuwa Zanzibar.


HIVI UNAPOTUMIKIA KANISA HUWA UNAMUACHIA ROHO MTAKATIFU AKUONGOZE ???

MBONA AMEKUONGOZA KUSEMA UONGO MCHANA KWEUPE ???


1839 AD 31st May: Commercial convention between Muscat and Great Britain.

Foundation of the British and Foreign Anti-Slavery Society.
Seyyid Said moved permanently to Zanzibar.
The French, having annexed some of the Comoro Islands and Nossi Be off Madagascar, began making movement up the coast as far as Barawa, 400 miles north of Mombasa. Lord Palmerston warned them off but demanded another concession from the Sultan with regard to the slave trade, in return for his intervention. Colonel Hamerton therefore negotiated an agreement with Seyyid Said forbidding the export of slaves from Africa to Arabia.

1841 AD 28th January: Birth of John Rowlands, later to change his name to Henry Morton Stanley, (1841-1904) in Denbigh, North Wales.
4th May: Great Britain established a Consulate in Zanzibar. Colonel Atkins Hamerton became the first British Consul at Zanzibar.


hivi ILE BIASHARA YA UTUMWA IKIFANYWA HATA NA WATOTO WACHANGA WA KIARABU ???


NA HAWA WALIOFUKUZWA 1964 WALIKUWA NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 120


kanisa katoliki ni kazi
 
sijaona mwandishi alipozungumzia dini, anazungumziwa mwarabu na madhila ya utawala wake kwa watu weusi enzi hizo za utumwa., au kila mwarabu ni muislamu!!!? Fungueni vichwa vyenu basi, acheni ushabiki wa kipuuzi. Mwarabu wa zamani mpaka huyu wa leo si mwema kwa mtu mweusi, fuatilia maisha ya dada zetu weusi wanaopelekwa uarabuni kama wasaidizi wa kazi wanakutana na shida zipi kama si hizohizo!!!!!!? Mwarabu ni katili, hana utu na si wa kumuamini hata kidogo, usitegemee kukutana na mwarabu tofauti coz wengi wao wamekua wakifunzwa na kuona kile baba na babu zao walichowafanyia vijakazi weusi na hiyo imekuwa sehemu ya maisha yao. Kaa mbali na mwarabu.
Mkuu hicho kigezo ulicho kitumia cha wadada wa kazi sio sahihi kila jamii tunaona wadada wa kazi wakipata shida hapa kwetu tz waswahili kwa waswahili wanatesana kila kukicha.
Tunaona uganda kenya na nchi kadha za kiafrika zikinyanyasa wadada kazi na hata wadada wakazi nanawatesa matajiri zao au watoto wao.
Nahilo unalosema tukae mbali na waarabu mm sioni kama waarabu wote ni washenzi kama ulivyo jiaminisha ww na unavyotaka nasisi tuamini hivyo.
Kumbuka kila jamii ina watu wabaya na wazuri hata sisi waafrika wapo wema na waovu.
Kama kuna muarabu kakudhuru ww basi usiwahukumu waarabu wote.
 
Waarabu noma. Picha hizo namwona babu yetu aliyekamatwa utumwa huko Tabora
1471174193313.jpg
huyo ni Mwarabu?
 
Aisaee humu nchini kuna majitu yamepandishwa mbegu za ajabu kama vile SHAMBA la BHANGI, kama siyo marijuana.... hebu mkavune tena labda mtapata pumba mbichi !!!!!
 
Mi huwa najiuliza kama waarabu walikuwa madhalim kiasi hicho mbona maeneo ambayo walipita yameendelea kuwa nawaislamu wengi ijapokuwa wamishionari waliyapitia tena hayo maeneo???
Mfano:-zanzibar, mombasa, tanga, kilwa, haya nimaeneo yenye waislam wengi.

Kuna mengine kama mbeya ambayo asili haikukaliwa na waarabu, lakin walivyopita tu maeneo yausangu wakapatikana WABURUSHI.
Pia kuna tabora kuna waislamu n.k,
Mikoa yalindi namtwara pia inamchanganyiko wawaislam nawakristo.
##kama waarabu walikuwa madhalim kiasi hicho kwanini watu waliendelea kushikilia dini iliyokuja nawaarabu,hali yakuwa wamishionari waliwatembelea nakuwasaidia??? ##

##mashamba yamikonge waliokuwa wakiyalima walikuwa wanasimamiwa nawajeruma, vibarua walienda kufanya kazi latin amerca walisimamiwa nawafaransa nawengineo##

Huku africa wamishionari walishindwa kutumia majiko ya Gesi kama walivyoweza kutumia ANDARUS/SPAIN kuwa kunvert waislam ndio maana wakaamua kutumia propaganda
::::BADO HUWA NAJIULIZA:::::
 
Hakuna mzanzibar wa asili ambae hana chembe ya uarabu ktk mishipa yk ht km unamuona na muonekano wa kibantu zaidi,km huamini wachunguze waswali wa zanzibar kwa makini utagundua hili,km yupo mswahili au mwarabu znz anaweza kumtukana mwenziwe basi huyo ni mjinga hawa waswahili na waarabu ni ndygu wa damu acheni kuwafarakanisha kwa choyo cha mchanyiko wa wazanzibar,hv kweli waarabu wameingia znz kabla ya nabii issa hv leo unaweza kuwa na kizazi ambacho hakina mchanyiko km kipo c zaidi ya kizazi kimoja,WAZANZIBAR WASIGAWIWE znz is a COSMOPOLITAN STATE
 
WEDNESDAY, SEPTEMBER 7, 2016
Adakwa akiuza wasichana kama njugu

pic+wasichana.jpg



Kwa ufupi
  • Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ramadhani Ng’anzi amesema Septemba 3, saa 9.00 alasiri, Lucas alikutwa akiwa na wasichana watano (majina yamehifadhiwa) aliokuwa amewaficha nyumbani kwake kwa lengo la kuwauza na wengine kuwaozesha kwa wanaume wenye kuhitaji.
ADVERTISEMENT
By Florence Focus, Mwananchi mwannachipapaers@mwananchi.co. tz
Musoma. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara linamshikilia Julita Lucas (30), mkazi wa kijiji cha Masinki Wilaya ya Serengeti kwa tuhuma za kufanya biashara haramu ya kusafirisha binadamu anaowauza kuanzia Sh150,000 hadi Sh300,000.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ramadhani Ng’anzi amesema Septemba 3, saa 9.00 alasiri, Lucas alikutwa akiwa na wasichana watano (majina yamehifadhiwa) aliokuwa amewaficha nyumbani kwake kwa lengo la kuwauza na wengine kuwaozesha kwa wanaume wenye kuhitaji.

Amesema baada ya mama huyo kuhojiwa alikiri kufanya biashara ya kuuza wasichana kwa bei ya kati ya Sh 150,000 hadi 300,000, kwa kuangalia ukubwa wa umbo na siyo umri.

“Baada ya kufanya mahojiano na wasichana hao wenye umri kati ya miaka 15 hadi 28, walisema wametokea katika kijiji cha Muhejangila Wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera,” amesema.

Kamanda Ng’anzi amesema polisi wanaendelea na uchunguzi dhidi ya mama huyo, ili kubaini mtandao wa biashara hiyo haramu ya binadamu.

“Tunaendelea kumuhoji, tunataka kujua iwapo kituo cha mwisho cha biashara hiyo ni hapa ndani tu au ni hadi nje ya nchi , biashara hiyo ilianza lini na idadi ya wasichana waliokwisha uzwa na waliuzwa wapi,”

Kamanda Ng’anzi alisema baada ya upelelezi kukamilika, mama huyo atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo.



0











 

Attachments

  • upload_2016-9-7_11-26-24.jpeg
    upload_2016-9-7_11-26-24.jpeg
    5 KB · Views: 123
Ndugu yako yupi aloteswa na muarabu? Km ni muunguja au mpemba umechemsha! Unapozungumzia kuteswa nadhani unakusudia utumwa ss kwa hili soma vizuri history of slave trade in east africa huenda ikawa kweli ndugu zk waliteswa maana zanzibar haikuzalisha watumwa ilikuwa ina import tu slaves kutoka interior mainland tn Hata nduguzo walishiriki kikamilifu
Ingezalisha watoke WAP wakati waarabu ndo walifikia hapo walippfika watumwa wakwanza walikua hao wazanzibar !! Mahitaji yalipozdi wakaanza kutafta kwingine!! Na idadi kubwa ya wazanzbar asil yao haikua hapo Ila ni watumwa mbalimbali walioletwaga sokon miaka ya nyuma!!
 
Ingezalisha watoke WAP wakati waarabu ndo walifikia hapo walippfika watumwa wakwanza walikua hao wazanzibar !! Mahitaji yalipozdi wakaanza kutafta kwingine!! Na idadi kubwa ya wazanzbar asil yao haikua hapo Ila ni watumwa mbalimbali walioletwaga sokon miaka ya nyuma!!
Ha ha ha ha.. nani alienda kuwachukuwa huko walipokuwepo hao watumwa?? na nani aliwaleta apo kisiwani? jee KM:- walikuja elfu watu moja au zaidi, jee hao waarabu walikuwa wangapi?? maana hadi hii leo hao waarabu kwao hata hawajatimia laki 7 ??
Yaani siye waAfrika tulikuwa wajinga hivo kuacha makazi yetu na kwenda kuishi jangwani kule kwenye ukame? HEBU TUJIULIZE MARA MBILI na wala siyo MARA TATU !!!!
pole yetu sana tunao Aminishwa UTUMWA !!
 
Tunapoelekea kuadhimisha miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sii wengi wanaojua Waarabu dhalimu waliwafanya nini mababu zetu.

Angalizo sio Waarabu wote ni wadhalimu, wako Waarabu wema na Waarabu madhalimu. Waarabu wema waliwapenda bibi zetu hadi kuwaoa na kuzaliwa kizazi cha machotara ambao ndio hawa Washirazi. Hivyo Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalipangwa na Waafrika na Washirazi kupitia Afro Shirazi Party.

Sio vibaya kujikumbusha kwa lengo la kuhifadhi tuu historia.

Paskali
 
Tunapoelekea kuadhimisha miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sii wengi wanaojua Waarabu dhalimu waliwafanya nini mababu zetu.

Angalizo sio Waarabu wote ni wadhalimu, wako Waarabu wema na Waarabu madhalimu. Waarabu wema waliwapenda bibi zetu hadi kuwaoa na kuzaliwa kizazi cha machotara ambao ndio hawa Washirazi. Hivyo Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalipangwa na Waafrika na Washirazi kupitia Afro Shirazi Party.

Sio vibaya kujikumbusha kwa lengo la kuhifadhi tuu historia.

Paskali
MIMI NIKO TOFAUTI NA HII TOPIC YAKO ..
Nisaidie hii kitu hapaa..
Ni moja ya Kauli alizotumia kwenye Kampeni zake kuwa Tanzania siyo ya Kulia lia na Misaada maaana ina pesa ya Kutosha. Lakini ajabu deni la Taifa linazidi kupaa na mpaka sasa Serikali inahangaika Kukopa tena takribani 2Trillion kwaajili ya Ku Finance Bajeti ya Nchi 2016/2017.

Je, Mh Rais Kunani tena, Kauli na imani hiyo imefia wapi?
Pili, Je, tuendelee kuziamini kauli zako nzito kama hizi?
Na tatu, Je, Kweli Nchi yetu kwenye Utawala wako wa awamu ya 5 unaamini Tanzania itakuja Kuwakopesha Nchi zingine kama Ulivyotuaminisha?
 
Mungu ana kazi kubwa sana ya kuhukumu wazungu na waarabu siku ya mwisho, walifanya mambo ya ajabu sana na wanazidi kuchafua dunia hata leo hii. tabia zote chafu zinaanzia kwa watu hawa, ukatili na roho ngumu. ama kweli huko ndiko shetani ameweka makao yake.
 
MIMI NIKO TOFAUTI NA HII TOPIC YAKO ..
Nisaidie hii kitu hapaa..
Ni moja ya Kauli alizotumia kwenye Kampeni zake kuwa Tanzania siyo ya Kulia lia na Misaada maaana ina pesa ya Kutosha. Lakini ajabu deni la Taifa linazidi kupaa na mpaka sasa Serikali inahangaika Kukopa tena takribani 2Trillion kwaajili ya Ku Finance Bajeti ya Nchi 2016/2017.

Je, Mh Rais Kunani tena, Kauli na imani hiyo imefia wapi?
Pili, Je, tuendelee kuziamini kauli zako nzito kama hizi?
Na tatu, Je, Kweli Nchi yetu kwenye Utawala wako wa awamu ya 5 unaamini Tanzania itakuja Kuwakopesha Nchi zingine kama Ulivyotuaminisha?
Mkuu Mwalla, kwa vile umeelekeza maswali yako direct kwa rais kupitia nafsi ya kwanza, then utasubiri sana.

Lakini ungeuliza kwa ujumla tuu na sio lazima kwa rais mwenyewe, tungekujibu.

Kwa kukusaidia tuu, kupitia uchumi wa gesi, Tanzania tunaanza safari ya uhamisho kutoka nchi masikini hadi nchi ya kipato cha kati kuelekea kuwa nchi tajiri. Tukifika huko tutawakopesha majirani zetu.

Paskali
 
Mkuu Mwalla, kwa vile umeelekeza maswali yako direct kwa rais kupitia nafsi ya kwanza, then utasubiri sana.

Lakini ungeuliza kwa ujumla tuu na sio lazima kwa rais mwenyewe, tungekujibu.

Kwa kukusaidia tuu, kupitia uchumi wa gesi, Tanzania tunaanza safari ya uhamisho kutoka nchi masikini hadi nchi ya kipato cha kati kuelekea kuwa nchi tajiri. Tukifika huko tutawakopesha majirani zetu.

Paskali
Mkuu Mwalla, kwa vile umeelekeza maswali yako direct kwa rais kupitia nafsi ya kwanza, then utasubiri sana.

Lakini ungeuliza kwa ujumla tuu na sio lazima kwa rais mwenyewe, tungekujibu.

Kwa kukusaidia tuu, kupitia uchumi wa gesi, Tanzania tunaanza safari ya uhamisho kutoka nchi masikini hadi nchi ya kipato cha kati kuelekea kuwa nchi tajiri. Tukifika huko tutawakopesha majirani zetu.

Paskali
🙄🙄🙄🙄 MMMH!!!
 
Tunapoelekea kuadhimisha miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sii wengi wanaojua Waarabu dhalimu waliwafanya nini mababu zetu.

Angalizo sio Waarabu wote ni wadhalimu, wako Waarabu wema na Waarabu madhalimu. Waarabu wema waliwapenda bibi zetu hadi kuwaoa na kuzaliwa kizazi cha machotara ambao ndio hawa Washirazi. Hivyo Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalipangwa na Waafrika na Washirazi kupitia Afro Shirazi Party.

Sio vibaya kujikumbusha kwa lengo la kuhifadhi tuu historia.

Paskali


NDIVYO MANAVYOAMBIWA NA PENGO HAYA MANENO ?????
 
Wanabodi,

Katika karibu kila jambo, kuna mazuri na mabaya yake, kama ilivyo kwa ukoloni, japo wakoloni walitunyonya, pia kuna mazuri, walituachia, ikiwepo elimu, maendeleo na dini ya Kikrito, vivyo hivyo pamoja na mazuri ya Waarabu kuvivamia visiwa vya Zanzibar na Pemba na kuvitwaa kama mali yao, miongoni mwa mazuri waliyoyaleta Waarabu hawa, ni Dini ya Kiislamu. Lakini pamoja na mazuri haya, sio vibaya kama wasiofuatilia historia, wakayajua madhila yaliyowakuta ndugu zetu Wamatumbi, wakati wa utawala dhalimu wa Sultani, kwenye visiwa vya Unguja na Pemba.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutoka na mada hii
Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar
ya Mkuu Maalim
Mohamed Said
yenye lengo la kuonyesha kuwa Yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ndio pekee yaliyosababisha mauaji Zanzibar, simply because aliyeuwawa kwenye Mapinduzi yale, ni Mwarabu, yaani ndio binadamu, lakini Wamatumbi wote waliouwawa vifo vya kikatili chini ya mokono ya Waarabu, wao sii kitu!.Mkuu Maalim
Mohamed Said
, kwa heshma na taadhima, nakuomba kwanza acha chuki zako na wamisionari, pili hata kama lengo lako ni kuutetea Uislamu, lakini mara moja moja kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yako, kwa sababu naamini kabisa unayajua fika madhila yaliyowapata ndugu zetu Wamatumbi wakati wa kipindi chote cha utumwa chini ya Wavamizi Waarabu na utawala wao dhalimu!.

Hizo picha japo ni za kuchorwa, kiukweli kilichowapata ni kibaya kuliko hata hicho kilichochorwa!. Chini ya utawala dhalimu wa Waarabu, watumwa wote wanaume walihasiwa!, lengo la kuwahasi wanaume ni ili kuzuia wasizaane, kitendo cha mwanamke kubeba ujauzito miezi 9 kisha kuzaa mtoto na kumsubiri hadi akue, itakuwa ni hasara, na hivyo kupunguza kasi ya mahitaji ya watumwa wapya!.
Watumwa wa soko la Zanzibar waliouzwa Arabuni na Bara Hindi, ambapo baada ya kufika kule, wanaume wote walifanyiwa ukatili wa ajabu kwa kuhasiwa ili wasizaane, na walifanyishwa kazi za shokoa. Wanawake walifanywa wajakazi, kazi za wajakazi zinajulikana, wenye bahati zao, walifanywa masuria, wasio na bahati waliuliwa na wengine kujifia, ndio maana hakuna kizazi cha watu weusi India na Arabuni, hao machotara, ni kwa baadhi ya Waarabu wenye utu na roho nzuri, lakini the rest ni unyama unyama tuu!.

Idadi kubwa kizazi chotara cha machotara, ni Wanaume dhalimu wa Kiarabu, kuwaingilia kwa nguvu watumwa wa kike ambao walinunuliwa mahsusi kama wajakazi, na pale waliposhika ujauzito, wamiliki walikuwa huru, kuwafanya chochote watumwa wao, ikiwepo kuwatesa, kuwapiga hadi kuwaua kwa ukatili wa hali ya juu!. Mtumwa mwanamke baada ya kuingiliwa ki nguvu, yaani kubakwa, ikitokea akashika ujauzito, mwanamke yule aliuwawa kwa kuwatoboa tumbo, kutoa, kiumbe ambacho ndicho kilizikwa kama binadamu, na mwili wa mtumwa ulifukiwa tuu kama mzoga!.

Jee wajua kuwa hata baada ya kupigwa marufuku kwa biashaa haramu ya watumwa duniani kote, biashara hii iliendelea kufanyika Zanzibar kwa siri?!. Jee wajua kuna njia za chini kwa chini zimechimbwa Bagamoyo na Zanzibar ambapo watumwa walifichwa kwenye mapango na kupitishwa chini kwa chini hadi baharini?

Jee ulikuwa unajua kuwa kila Sultani, wake zao na watoto zao, walipokufa, walizikwa na watumwa hai?!. Jee wajua kwenye jengo la Beit Al Ajab, kwenye kila milingoti hapo, ndani walimuweka mtumwa hai mwanamume?!.

Jee wajua waliofanikisha kukomesha biashaa ya Utumwa Zanzibar ni akina nani?!. Kwa kusaidia tuu, waliokomesha biashara hii dhalimu Zanzibar ni wamisionari, ambao waliingia kabisa mkatataba na Sultani dhalimu wa Zanzibar, ndipo ikukubaliwa kuwa watumwa wote wenye kutaka kuwa huru, lazima wagombolewe kwa wale matajii wao kulipwa fedha, ambapo hao wamisionari, waliwalipia fedha kuwagomboa, na ndipo wakaanzisha kanisa la kwanza kabisa Afrika Mashariki, lilianzia Zanzibar, na waumini wa kwanza, ni watumwa waliogombolewa!.

Jee wajua kitu walichofanyiwa Waarabu dhalimu hawa baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ilikuwa ni katika kujibu tuu au payback ya "what goes around, comes around?!", ila hapa naomba kukiri wazi, kuwa sio Waaabu wote kabisa walikuwa madhalimu kwa kuwatenda vibaya watumwa wao!, wako Waarabu ambao waliwatendea wema watumwa wao, na wamisionari walipotaka kuwagomboa, watumwa hao walikataa kwa ridhaa zao, hivyo wakaendelea kubaki utumwani kwa ridhaa zao wenyewe!.

Wako Waarabu, waliwapenda watumwa wa kike, japo waliwanunua kama vijakazi kwa ajili ya kuwafanya watumwa wa mapenzi, lakini wapo waliotokea na kuwapenda kwa mapenzi ya dhati, wengine wakawaoa na kuwa masuria, na wakawazalia watoto!. Namfahamu mmoja wa watoto wa Sultani ambaye alizaliwa na suria, na yungalipo hai hadi leo!.

Hii ni Ripoti ya aliyetumwa na utawala wa Waingereza kufuatilia kilichokuwa kinafanywa na serikali dhalimu ya Sultan, baada ya kupigwa marufuku biashara ya utumwa.

Pitia hapa
A report on slavery and the slave trade in Zanzibar, Pemba ...
Na kwa vile wengi wetu ni wavivu, hatupendi kusoma kujiongezea maarifa bali tunapenda kupikiwa, kupakuliwa, kulishwa, kutafuniwa, sisi kazi yetu ibaki kumeza tuu, hivyo na mimi nitawatafunia sehemu chache chache za ripoti hii na kuzitafasiri kwa ajili ya wale wenzangu na mimi!.
"They complained that the Arabs treated them harshly", yaani Waarabu wanawatesa!.
In Zanzibar a good many people had been telling me how slaves were suffering in the handa of Arabs!. At Chaki Chaki I walked into a tumble-down I found a number of slaves male and female, heavily chained and fettered". Nilikuta makundi ya watumwa wake kwa waume wamefungwa minyororo!".
east-african-slavery2.jpg

img-20160417-wa0025-jpg.339723

ZANZslvs1864.jpg
79Slaves_jpg.jpg
winterton_image_large.jpg


f1cfd5c8c022ec081b501e137cd76f48.jpg

0d422469a7bfe49699e19d8d898530d7.jpg
East-African-Slave-Trade.jpg


6ea26ffb39629355ebf88004858ec924.jpg
images
images
Slavezanzibar2.JPG
Servant_or_slave_woman_in_Mogadishu.jpg
8193f522fd2fbf34063d4baf59dfcced.jpg


Hizi picha wajemeni sio picha ya kuchorwa, ni picha za kweli na halisi zilizopigwa na kamera za wadhungu!.

Lengo la uzi huu sio ubaguzi, au kuwakumbusha machungu ya Waarabu, bali ni kujikumbusha tuu, na kuwaelimisha baadhi ya wenzetu, wasiowajua hawa Waarabu wa Unguja na Pemba waliwafanya nini mababu zetu!.

Ila pia naomba kutoa Maangalizo muhimu yafuatayo.
1. Tuwe makini sana na watu waliofilisika kiakili ambao watachanganya Uarabu na dini ya Kiislam simply because, Dini ya Kiislamu inatumia lugha ya Kiarabu!. Masikini muflisi hawa, hawajui kuwa hata Ukiristo umeanzia Arabuni. Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismail, aliyezaa na mjakazi wa ki Misri, na Wakristo ni uzao wa Isaka aliyezaa na mkewe Sara. Hata Yesu Kristo, licha ya kuzaliwa Isael, alikulia Misri na alizungumza lugha ya Kiarabu!. Hapa mimi nazungumzia udhalimu wa Waarabu kama jamii na sio dini ya Kiislamu.

Udhalimu ni udhalimu tuu hauna dini, wala kabila, wala jamii, kwa sababu kwenye udhalimu sio Waarabu tuu peke yao ndio madhalimu, watu wa mataifa mbalimbali wamefanya udhalimu kwa watu wa mataifa mengine, na mfano mzuri ni udhalimu wa Wajerumani kwa Mayahudi chini ya Hitler ulioitwa Halocust ambapo Hitler aliwaua Wayahudi zaidi ya milioni 6 kwa ukatili wa ajabu!, ila kwenye biashara ya Utumwa Unguja, Pemba, na Arabuni, watumwa hawa walihasiwa hivyo kufanyiwa genoside na wahusika sii wengine bali ndugu zetu hawa hawa Waarabu ambao leo tunakula nao, tunakunywa naa na kufurahi nao kwa vile tumeishasahau, yaliyopita sii ndwele!.

2. Kwenye biashara ya utumwa, waliokuwa wakikamata watumwa, sio Waarabu, Waarabu wao walikuwa ni wafanyabiashara ya watumwa kwenye soko kuu la watumwa la Zanzibar, wakitokea Bagamoyo, na wanunuzi wakuu wa watumwa toka soko la Zanzibar kwa ajili ya kuwasafirisha kuwauza Uaabuni na India, ambako kote huko baada ya kufika, watumwa wanaume walihasiwa!. Waarabu pia ndio walikuwa wamiliki wa watumwa katika mashamba ya Zanzibar na`Pemba, ambapo nako watumwa wanaume walihasiwa, wanawake walifanywa vijakazi na ndio wazazi wa machotara wa Zanzibar na Pemba, wengi ni baba Mwarabu, mama uzao wa watumwa wanawake wenye bahati, ambao hawakutumbuliwa mimba za Waarabu!.

Upatikanaji wa watumwa kutoka bara pia ulihusisha baadhi ya watawala wakiwemo machifu ambapo baadhi ya wahalifu waliostahili adhabu za vifo katika jamii zao, badala ya kuuliwa na kuwa hasara jumla, waliuzwa, utumwani, lakini watumwa wengi ni watu tuu wa kawaida wasio na hatia yoyote ambao waliwamiwa na kukamatwa kwa nguvu, wakiwemo wanawake na watoto!. Zoezi la ukamataji watumwa pia lilihusisha vitendo vya ukatili, ambapo wengi watumwa hawa, waliuawawa katika purukushani, na wengine wengi walifia njiani na miili yao kuachwa ikioza, miili yenye bahati ilifanywa vitowea vya wanyama wa porini. Kwenye misafara hiyo, ndugu zetu waliteswa sana mateso ambayo hayazungumziki walioishiwa nguvu, walipigwa hadi kifo ila hakukuwepo na kamera ya mzungu wa kutupigia picha kuja kutuleta humu!.

3. Waarabu ninaowazungumza hapa, ni wale Waarabu madhalimu na makatili wa wa enzi zile za utumwa ambao wengi wao, mwaka 1964, walifurushwa kutoka Unguja kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964!, ila waliofurushwa ni wale tuu waliokuwa Zanzibar. Waliokuwa Pemba hawakuguswa. Hawa Waarabu wa leo, ni vizalia vya Waarabu wale wale, ila hawa wa sasa, ni Waarabu wema,wastaarabu kama Waarabu wa sasa, wenye roho nzuri, sio wakatili, sio wadhalimu na wanawapenda watu weusi na kuwaoa kwa mapenzi, huku wanawake wao, wakiwapenda weusi na wakiolewa nao japo mwanzo ilikuwa ni kwa kulamishishwa na Karume, hivyo nashauri, kwa siku zijazo, hata Waarabu hawa, ama machotaa wao, wakishiriki tena uchaguzi, wakashinda kwenye uchaguzi kwa haki, wapewe tuu nchi watawale kwa sababu Waarabu hawa sii wale!, wasinyimwe kutawala eti kwa sababu tuu ni Waarabu wale wa mwanzo na wa enzi za utumwa, walikuwa madhalimu, hivyo kuendelea kudhani hata hawa wazaliwa wao pia lazima ni madhalimu!, kwa kanuni ya mwana wa nyoka ni nyoka!.

Mwana wa nyoka sii lazima awe nyoka, kwa sababu hata shetani mwanzo alikuwa malaika!, hivyo Waarabu hawa wa sasa ni Waarabu wema, ni wenzetu na ni sehemu yetu!, ukifanyika uchaguzi tena, wakishinda, wapewe tuu nchi!.

Paskali


IMG_20141019_112051.jpg
 
Africa tumekosea sana hadi kuiandika historia yetu hasa baada ya uvamizi wa ukoloni hata utamaduni wetu umevurugwa kilichobaki ni kuwatetea na kupima tu the lesser devil
Misingi yetu ilipoteza kuanzia kijamii,kitamaduni,kisiasa,kiuchumi etc
 
Ulishawahi kujiuliza kwa biashara yenye Wateja let's say minimum 5 million, ukiwa unajichukulia Ndugu mteja, kifurushi chako cha ChekaTsh.1999 kimekwisha muda wake.Piga *149*01# kununua kifurushi kingine. Ahsante kwa kuchagua Vodacom. 1 kila lisaa limoja kwenye account zao mwisho wa siku utakuwa na kiasi gani?
Naona watu wengi wamelalamika masalio kupotea kwenye account zao na isitoshe malalamiko yamezidi kuwa mengi daily.
Nimejaribu kuota kama Lema. Nahisi ndoto pia hutimia kama zikifanyiwa kazi.
 
Back
Top Bottom