Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Watumwa wa soko la Zanzibar waliouzwa Arabuni na Bara Hindi, ambapo baada ya kufika kule, wanaume wote walifanyiwa ukatili wa ajabu kwa kuhasiwa ili wasizaliane, na walifanyishwa kazi za shokoa.

Wanawake walifanywa wajakazi, kazi za wajakazi zinajulikana, wenye bahati zao, walifanywa masuria, wasio na bahati waliuliwa na wengine kujifia, ndio maana hakuna kizazi cha watu weusi India na Arabuni, hao machotara, ni kwa baadhi ya Waarabu wenye utu na roho nzuri, lakini the rest ni unyama unyama tu.

Idadi kubwa kizazi chotara cha machotara wa Zanzibar, Pemba na Arabuni, kulitokana na wanaume dhalimu wa Kiarabu, kuwaingilia kwa nguvu watumwa wa kike ambao walinunuliwa mahsusi kama wajakazi, na pale waliposhika ujauzito, wamiliki walikuwa huru, kuwafanya chochote watumwa wao, ikiwepo kuwatesa, kuwapiga hadi kuwaua kwa ukatili wa hali ya juu! Mtumwa mwanamke baada ya kuingiliwa ki nguvu, yaani kubakwa, ikitokea akashika ujauzito, mwanamke yule aliuwawa kwa kutobolewa tumbo, kutoa, kiumbe ambacho ndicho kilizikwa kama binadamu si ridhki, na mwili wa mtumwa ulifukiwa tuu kama mzoga!.

Je, wajua kuwa hata baada ya kupigwa marufuku kwa biashara haramu ya watumwa duniani kote, biashara hii iliendelea kufanyika Zanzibar kwa siri na kificho?!. Jee wajua kuna njia za chini kwa chini zimechimbwa Bagamoyo na Zanzibar ambapo watumwa walifichwa kwenye mapango na kupitishwa chini kwa chini hadi baharini?.

Je, ulikuwa unajua kuwa kila Sultani, wake zao na watoto zao, walipokufa, walizikwa na watumwa hai?!. Jee wajua mapokeo ya kwenye jengo la Beit Al Ajab, kwenye kila milingoti hapo, ndani walimuweka mtumwa hai mwanamume?!.
Maneno ya ajbu sana kwa karne hii ya uwazi na ukweli,Hivi kweli kuna watu na akili zao tena wasomi wanachukua propaganda hizi zilizovumishwa wakati wa siasa za chuki dhidi ya waarabu na kuzifanya eti ndio ushahidi wa tukio zima?
Ni kweli utumwa ulikuwepo Afrika mashariki,na nikweli waarabu walishiriki,wakiwemo waafrika wenyewe hasa machifu na wazungu.Na ki ukweli utumwa ilikuwa ni biashara ya dunia nzima,lakini hili la Pascal Mayala ,naliombea ushahidi wa kuthibitisha kuwa,watumwa walihasiwa,Waliingiliwa kinguvu,Kutobolewa tumbo eti kwa kushika Mimba ya bwana wake,
Eti jumba la Ajabu kila nguzo ina kichwa cha mtumwa ? Ahhhh,kweli akutukanae...........,

Mbona historia hii huku Zanzibar haipo,inasimuliwa na waandishi wa huko Bara tuu?
Mbona huku hakuna Freed Slaves family isipokuwa chache na hawana story hizo mulizonazo nyinyi huko Bara?

Hata mwandishi wa kitabu hiki hapa chini alibanisha kuwa Utumwa ulianzishwa na wareno ndo wakaurithi waarabu,
Na pia ndani ya kitabu hiki anakiri kuwa Hizo ulizoandika wewe hapo juu zilikuwa hadisi za propaganda zisizokuwa na ushaidi wowote zaidi ziliongeza hamasa kwa Waafrika ili waiunge mkono ASP na ajenda yake ya kuwakomboa waafrika.
(Ukombozi Ambao hadi hivi leo Bado wanaogelea kwenye wimbi la umasikini na ukandamizaji ,na shida za kimaisha zaidi ya zama zile zilizokuwa za ukoloni)
 

Attachments

  • historia ya zanzibar 3 001.jpg
    historia ya zanzibar 3 001.jpg
    246.9 KB · Views: 9
  • historia ya zanzibar 1 001.jpg
    historia ya zanzibar 1 001.jpg
    268 KB · Views: 10
  • historia ya zanzibar2 001.jpg
    historia ya zanzibar2 001.jpg
    96 KB · Views: 7
Hata mwandishi wa kitabu hiki hapa chini alibanisha kuwa Utumwa ulianzishwa na wareno ndo wakaurithi waarabu,
Na pia ndani ya kitabu hiki anakiri kuwa Hizo ulizoandika wewe hapo juu zilikuwa hadisi za propaganda zisizokuwa na ushaidi wowote
Mkuu Battawi, kwanza asante kwa vitabu.
Kuhusu hizi propaganda ushahidi upo, sii ile milingoti ipo, enzi zile kulikuwa hakuna metal scanner, sasa kuna mobile scanner zile za containers bandarini, tulete, tuscan, propaganda hizo zifutwe, kwa sababu zamani ma Pharao, walizikwa na watumwa hai kule kwenye ma pyramids, wafalme walizikwa na mke anayempenda sana. Machifu walizikwa na mtu hai, India, mume akifa, ile siku anachomwa, mke shujaa, kukimbilia na kujitupa kwenye moto akiwa hai na kuteketea na mumewe etc. Hivyo japo ni propaganda, ila pia inaweza kuwa kweli, lolote linawezekana, kwani mtumwa alikuwa sii mtu ni bidhaa!.

P
 
Mkuu Battawi, kwanza asante kwa vitabu.
Kuhusu hizi propaganda ushahidi upo, sii ile milingoti ipo, enzi zile kulikuwa hakuna metal scanner, sasa kuna mobile scanner zile za containers bandarini, tulete, tuscan, propaganda hizo zifutwe, kwa sababu zamani ma Pharao, walizikwa na watumwa hai kule kwenye ma pyramids, wafalme walizikwa na mke anayempenda sana. Machifu walizikwa na mtu hai, India, mume akifa, ile siku anachomwa, mke shujaa, kukimbilia na kujitupa kwenye moto akiwa hai na kuteketea na mumewe etc. Hivyo japo ni propaganda, ila pia inaweza kuwa kweli, lolote linawezekana, kwani mtumwa alikuwa sii mtu ni bidhaa!.

P
Mkuu Nguruvi3 kule kwenye mnakasha mwingine kaeleza vzr kuhusu hawa jamaa tatizo lao kubwa hawataki mwarabu asemwe kwa lolote, kwao kusemwa kwa mwarabu wananasibisha na deen ya haki.

Na wanashindwa kutonasibisha utu wa mwarabu na deen ya haki, ni kama vile wenye tafakuri wasivyonasibisha kauli za kardinali pengo na ukatoliki.
 
battawi
1. Unaweza kunipa maelezo yenye mifano hai ambayo inaonesha waarabu hawajafanya biashara ya utumwa?
2. Kinachoendelea nchi za waarabu kinadhihirisha hata mababu na mabibi zetu walifanyiwa unyama. Waarabu kwa Waarabu wanauana kama kuku halafu wanamsingizia Marekani. Yaani wewe na dini yako nzuri ya amani halafu anakuja mtu baki hata humjui anakuambia shika panga ukamchinje ndugu yako na wewe unabeba panga na unamchinja ndugu yako. Je, hayo mafundisho ya dini yako yapo wapi?
Shida ya wafrika wanaona kuonesha ubaya wa waarabu basi umegusa uislamu. Dini isikufanye kipofu ukaona wewe ni sawa na mwaarabu wakati wewe ni mwafrika pure. Kuna waarabu siyo waislamu
Kubali kataa waarabu walifanya biashara ya utumwa hata huko Libya na Syria kuna wafrika wameshikiliwa na waarabu kama mateka mpaka walipwe ndiyo waachiwe. Iko hivi kuna baadhi ya wafrika wanazamia ulaya kupitia Libya na Syria sasa wakishafika huko, hawa waarabu wanawateka ili wapewe fedha.
Kuwait kuna wafanyakazi wa ndani wa Kiafrika wanauzwa kama bidhaa mpaka ninavyoongea sasa hivi
Wanapozungumzia ubaya wa mwaarabu siyo wanazungumzia uislamu. Ukumbuke hata wazungu walifanya hii biashara na hao hao wazungu walikomesha utumwa na siyo waarabu.
Laiti mababu zetu na mabibi zetu wangekuwa wanafufuka wangewashangaa sana wanao muunga mkono Mwaarabu na Mzungu.
Dini isikupofushe ukajiona ukiwa dini fulani basi wewe ni mkamilifu. Huko kwenye nchi za waarabu na wazungu ubaguzi wa rangi na dini unaendelea mpaka sasa hivi. Acha historia isimuliwe. pascal amezungumzia biashara ya watumwa iliyofanywa na waarabu na hajazugumzia dini.
 
Ukiabudu dini itakufanya uwe na uwezo mdogo sana wa kufikiria. Pascal amezungumzia biashara ya watumwa iliyofanya na Waarabu pamoja na maovu waliofanyiwa wafrika lakini kutokana unaabudu dini umeona kama umezungumziwa uilsamu. Kwenye kichwa chako umejenga picha kuwa Mwaarabu ni Muislam lakini kuna waarabu siyo waislamu. Na ukiwa kwenye dini fulani haikufanyi wewe kuwa mkamilifu. Unabisha kabisa kuwa waarabu hawakufanya biashara ya watumwa na hawakuwanyanyasa wafrika? Unakimbilia ni propaganda za wazungu.
Kama Waarabu wote ni waislamu na hawatendi dhambi imekuaje kwenye nchi zao wanauana kila kukicha na kujilipua mabomu? utasema wamerekani wanawachochea. Sasa wewe na dini yako ya haki imekuaje mtu baki akuambie shika panga au bunduki umuue ndugu yako na wewe unamuua?. Hayo mafundisho mema ya dini ambayo waarabu wanayafuata wameyatimiza?
Nenda darasani ukajifunze upya achana na hizi dini maana hazina uhalisia wowote ingekuwa hivyo wala wasingekuwa wanavaa mabomu wanajilipua wala kufanya ushoga. Waafrika mnafeli sana kumtetea Mwaarabu na mzungu kwenye biashara ya utumwa na maovu yake. Wewe matumbi kutoka kijijini unajiona upo sawa na Mwaarabu yaani ndugu yako Mwaarabu. Wafrika wanachekesha sana, ndiyo maana tunafananishwa na nyani.
The South: a Christian Republic



scarlet.jpg



Six of the first eight US presidents were slave owners, five from the South.
 
Ukiabudu dini itakufanya uwe na uwezo mdogo sana wa kufikiria. Pascal amezungumzia biashara ya watumwa iliyofanya na Waarabu pamoja na maovu waliofanyiwa wafrika lakini kutokana unaabudu dini umeona kama umezungumziwa uilsamu. Kwenye kichwa chako umejenga picha kuwa Mwaarabu ni Muislam lakini kuna waarabu siyo waislamu. Na ukiwa kwenye dini fulani haikufanyi wewe kuwa mkamilifu. Unabisha kabisa kuwa waarabu hawakufanya biashara ya watumwa na hawakuwanyanyasa wafrika? Unakimbilia ni propaganda za wazungu.
Kama Waarabu wote ni waislamu na hawatendi dhambi imekuaje kwenye nchi zao wanauana kila kukicha na kujilipua mabomu? utasema wamerekani wanawachochea. Sasa wewe na dini yako ya haki imekuaje mtu baki akuambie shika panga au bunduki umuue ndugu yako na wewe unamuua?. Hayo mafundisho mema ya dini ambayo waarabu wanayafuata wameyatimiza?
Nenda darasani ukajifunze upya achana na hizi dini maana hazina uhalisia wowote ingekuwa hivyo wala wasingekuwa wanavaa mabomu wanajilipua wala kufanya ushoga. Waafrika mnafeli sana kumtetea Mwaarabu na mzungu kwenye biashara ya utumwa na maovu yake. Wewe matumbi kutoka kijijini unajiona upo sawa na Mwaarabu yaani ndugu yako Mwaarabu. Wafrika wanachekesha sana, ndiyo maana tunafananishwa na nyani.


Umeandika kwa jazba, hata huelewi dini ni kitu gani ??

Waislamu hawaabudu dini , Wanamwabudu Mwenyezi Mungu,Allah , ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa wala hana aliyefanana naye. Fullstop

Wachungaji wako kanisani hawasemi hata siku moja kuwa wazungu kuwa ndio walioanzisha biashara ya utumwa kila vurugu husukumiwa waarabu na kwa propaganda za kanisa kila muislamu awe mweusi kuliko makaa huitwa muarabu.

Wapi nilibisha kuwa waarabu hawakufanya biashara ya utumwa.

Hii biashara ilifanywa kama ilivyo bishara ya unga hivi sasa. Mpaka hiyo CCM yako kuna viongozi wanauza unga au nasema uongo??

Hata kanisa ndio hao wanaouza unga hivi sasa ukitaka ushahidi nitakuwekea lakini kimya umezushwa ugaidi ambao husukumiwa waislamu na waarabu
 
battawi
1. Unaweza kunipa maelezo yenye mifano hai ambayo inaonesha waarabu hawajafanya biashara ya utumwa?
2. Kinachoendelea nchi za waarabu kinadhihirisha hata mababu na mabibi zetu walifanyiwa unyama. Waarabu kwa Waarabu wanauana kama kuku halafu wanamsingizia Marekani. Yaani wewe na dini yako nzuri ya amani halafu anakuja mtu baki hata humjui anakuambia shika panga ukamchinje ndugu yako na wewe unabeba panga na unamchinja ndugu yako. Je, hayo mafundisho ya dini yako yapo wapi?
Shida ya wafrika wanaona kuonesha ubaya wa waarabu basi umegusa uislamu. Dini isikufanye kipofu ukaona wewe ni sawa na mwaarabu wakati wewe ni mwafrika pure. Kuna waarabu siyo waislamu
Kubali kataa waarabu walifanya biashara ya utumwa hata huko Libya na Syria kuna wafrika wameshikiliwa na waarabu kama mateka mpaka walipwe ndiyo waachiwe. Iko hivi kuna baadhi ya wafrika wanazamia ulaya kupitia Libya na Syria sasa wakishafika huko, hawa waarabu wanawateka ili wapewe fedha.
Kuwait kuna wafanyakazi wa ndani wa Kiafrika wanauzwa kama bidhaa mpaka ninavyoongea sasa hivi
Wanapozungumzia ubaya wa mwaarabu siyo wanazungumzia uislamu. Ukumbuke hata wazungu walifanya hii biashara na hao hao wazungu walikomesha utumwa na siyo waarabu.
Laiti mababu zetu na mabibi zetu wangekuwa wanafufuka wangewashangaa sana wanao muunga mkono Mwaarabu na Mzungu.
Dini isikupofushe ukajiona ukiwa dini fulani basi wewe ni mkamilifu. Huko kwenye nchi za waarabu na wazungu ubaguzi wa rangi na dini unaendelea mpaka sasa hivi. Acha historia isimuliwe. pascal amezungumzia biashara ya watumwa iliyofanywa na waarabu na hajazugumzia dini.

Unaweza kunitajia jina la huyo bibi yako aliyefanywa mtumwa ?? Labda utumwa wa CCM na Magufuli wake😛😛😛
 
Umendika kwa hasira na chuki sana, haya sasa tuletee za Wazungu walivyowachukua Waafrika kwa mamilioni.
Umepewa haya Ma nchi tujitawale lakini tumefeli tumeshindwa kabisa nchi zote za kiafrika ni balaa hatujiwezi. Itazame hiyo
Wanabodi,

Katika karibu kila jambo, kuna mazuri na mabaya yake, kama ilivyo kwa ukoloni, japo wakoloni walitunyonya, pia kuna mazuri, walituachia, ikiwepo elimu ya kisasa, walileta maendeleo mbambali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii vikiwemo viwanda, miundombinu, maendeleo ya kilimo, ila pia walituletea dini za Kikristo, vivyo hivyo pamoja na mazuri ya Waarabu kuvivamia visiwa vya Zanzibar na Pemba na kuvitwaa kama mali yao, miongoni mwa mazuri waliyoyaleta Waarabu hawa, ni pamoja na kilimo cha karafuu, miundombinu ya ma kasri, pia Waarabu walileta dini ya Kiislamu visiwani Zanzibar.

Lakini pamoja na mazuri yote haya, sio vibaya tukakumbushana tuu baadhi ya maovu ya Waarabu hawa kwa kuyajua baadhi ya madhila yaliyowakuta ndugu zetu Wamatumbi, chini ya mikono ya Waarabu wakati wa utawala dhalimu wa Sultani wa Zanzibae kwenye visiwa vya Unguja na Pemba.

Naomba kukiri, nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kutoka na mada hii:

Sultani gani aliye na shutuma za mauaji Zanzibar ya Mkuu MaalimMohamed Said

Yenye lengo la kuonyesha kuwa yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ndio pekee yaliyosababisha mauaji ya genocide Zanzibar, as if ukiondoa Mapinduzi ya Zanzibar, hakujawahi kutokea genocide nyingine yoyote Zanzibar, simply because aliyeuwawa kwenye Mapinduzi yale, ni Mwarabu, yaani Mwarabu tuu ndio binadamu, lakini Wamatumbi mamia kwa maelfu wote waliouwawa vifo vya kikatili sana chini ya mikono ya Waarabu, wao sii kitu!, not worth mentioned!.

Mkuu Maalim Mohamed Said, kwa heshma na taadhima, nakuomba kwanza acha chuki zako dhidi ya wamisionari, usifikirie mabaya tu ya wamishionari bali ufikirie na wema wao ukiwemo kukusomesheni kwenye shule zao ukiwemo wewe!.

Pili, hata kama lengo lako ni kuutetea Uislamu, lakini mara moja moja kuwa mkweli toka ndani ya nafsi yako, kwa sababu naamini kabisa unayajua fika madhila yaliyowapata ndugu zetu Wamatumbi wakati wa kipindi chote cha utumwa chini ya utawala dhalimu wa wavamizi Waarabu kwenye visiwa vyetu vya Zanzibar na Pemba.

Hizo picha hapa chini sii za kuchorwa, ni picha halisi za kupigwa na kamera za wazungu, zikionyesha kidogo tuu ila kiukweli kilichowapata mababu zetu, kikubwa na kibaya kuliko hata hicho kilichoweza kupigwa picha chini ya mikono ya utawala dhalimu wa Waarabu, watumwa wote wanaume walihasiwa!, lengo la kuwahasi wanaume ni ili kuzuia wasizaliane, kitendo cha mwanamke kubeba ujauzito miezi 9 kisha kuzaa mtoto na kumsubiri hadi akue, itakuwa ni hasara, kwa kupunguza kasi ya mahitaji ya watumwa wapya!

Watumwa wa soko la Zanzibar waliouzwa Arabuni na Bara Hindi, ambapo baada ya kufika kule, wanaume wote walifanyiwa ukatili wa ajabu kwa kuhasiwa ili wasizaliane, na walifanyishwa kazi za shokoa.

Wanawake walifanywa wajakazi, kazi za wajakazi zinajulikana, wenye bahati zao, walifanywa masuria, wasio na bahati waliuliwa na wengine kujifia, ndio maana hakuna kizazi cha watu weusi India na Arabuni, hao machotara, ni kwa baadhi ya Waarabu wenye utu na roho nzuri, lakini the rest ni unyama unyama tu.

Idadi kubwa kizazi chotara cha machotara wa Zanzibar, Pemba na Arabuni, kulitokana na wanaume dhalimu wa Kiarabu, kuwaingilia kwa nguvu watumwa wa kike ambao walinunuliwa mahsusi kama wajakazi, na pale waliposhika ujauzito, wamiliki walikuwa huru, kuwafanya chochote watumwa wao, ikiwepo kuwatesa, kuwapiga hadi kuwaua kwa ukatili wa hali ya juu! Mtumwa mwanamke baada ya kuingiliwa ki nguvu, yaani kubakwa, ikitokea akashika ujauzito, mwanamke yule aliuwawa kwa kutobolewa tumbo, kutoa, kiumbe ambacho ndicho kilizikwa kama binadamu si ridhki, na mwili wa mtumwa ulifukiwa tuu kama mzoga!.

Je, wajua kuwa hata baada ya kupigwa marufuku kwa biashara haramu ya watumwa duniani kote, biashara hii iliendelea kufanyika Zanzibar kwa siri na kificho?!. Jee wajua kuna njia za chini kwa chini zimechimbwa Bagamoyo na Zanzibar ambapo watumwa walifichwa kwenye mapango na kupitishwa chini kwa chini hadi baharini?.

Je, ulikuwa unajua kuwa kila Sultani, wake zao na watoto zao, walipokufa, walizikwa na watumwa hai?!. Jee wajua mapokeo ya kwenye jengo la Beit Al Ajab, kwenye kila milingoti hapo, ndani walimuweka mtumwa hai mwanamume?!.

Je, wajua waliofanikisha kukomesha biashaa ya Utumwa Zanzibar ni akina nani? Kwa kusaidia tu, waliokomesha biashara hii dhalimu ya utumwa Zanzibar ni Wamisionari, ambao waliingia mkatataba na Sultani dhalimu wa Zanzibar, ndipo ikukubaliwa kuwa watumwa wote wenye kutaka kuwa huru, lazima wagombolewe kwa wale matajii wao kufidiwa kwa kulipwa fedha, ambapo hao wamisionari, waliwalipia fedha kuwagomboa watumwa, na ndipo wakaanzisha kanisa la kwanza kabisa Afrika Mashariki, lilianzia Zanzibar, na waumini wa kwanza, ni watumwa waliogombolewa!. Mahali kanisa lilipo ndipo lilipokuwepo soko la watumwa.

Jee wajua kitu walichofanyiwa Waarabu dhalimu hawa baada ya yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ilikuwa ni katika kujibu tuu au payback ya "what goes around, comes around?!", ila hapa naomba kukiri wazi, kuwa sio Waarabu wote kabisa walikuwa madhalimu kwa kuwatenda vibaya watumwa wao!, wako baadhi ya Waarabu ambao waliwatendea wema watumwa wao, na Wamisionari walipotaka kuwagomboa, watumwa hao walikataa kwa ridhaa zao, hivyo wakaendelea kubaki utumwani kwa ridhaa zao wenyewe!.

Wako Waarabu, waliwapenda watumwa wa kike, japo waliwanunua kama vijakazi kwa ajili ya kuwafanya watumwa wa mapenzi, lakini wapo waliotokea kuwapenda kwa mapenzi ya dhati vijakazi hao, wengine wakawaoa na kuwa masuria, na wakawazalia watoto!. Namfahamu mmoja wa watoto wa Sultani ambaye alizaliwa na suria, na yungalipo hai hadi leo!

Hii ni Ripoti ya aliyetumwa na utawala wa Waingereza kufuatilia kilichokuwa kinafanywa na serikali dhalimu ya Sultan, baada ya kupigwa marufuku biashara ya utumwa.

Pitia hapa: A report on slavery and the slave trade in Zanzibar, Pemba ...

Na kwa vile wengi wetu ni wavivu, hatupendi kusoma kujiongezea maarifa bali tunapenda kupikiwa, kupakuliwa, kulishwa, kutafuniwa, sisi kazi yetu ibaki ni kumeza tuu, hivyo na mimi nitawatafunia sehemu chache chache za ripoti hii na kuzitafasiri kwa ajili ya wale wenzangu na mimi.

"They complained that the Arabs treated them harshly", yaani Waarabu wanawatesa.

In Zanzibar a good many people had been telling me how slaves were suffering in the hands of Arabs!. At Chaki Chaki I walked into a tumble-down I found a number of slaves male and female, heavily chained and fettered". Nilikuta makundi ya watumwa wake kwa waume wamefungwa minyororo!"


img-20160417-wa0025-jpg.339723

winterton_image_large.jpg


f1cfd5c8c022ec081b501e137cd76f48.jpg

0d422469a7bfe49699e19d8d898530d7.jpg
East-African-Slave-Trade.jpg


6ea26ffb39629355ebf88004858ec924.jpg
images
images
Slavezanzibar2.JPG
Servant_or_slave_woman_in_Mogadishu.jpg
8193f522fd2fbf34063d4baf59dfcced.jpg
Hizi picha wajemeni sio picha ya kuchorwa, ni picha za kweli na halisi zilizopigwa na kamera za wadhungu na sii lazima ziwe zimepigwa Zanzibar.

Lengo la uzi huu sio ubaguzi, au kuwakumbusha machungu ya Waarabu, bali ni kujikumbusha tuu historia na kuwaelimisha baadhi ya wenzetu, wasiowajua hawa Waarabu wa Unguja na Pemba waliwafanya nini mababu zetu!.

Ila pia naomba kutoa Maangalizo muhimu yafuatayo:

1. Tuwe makini sana na watu waliofilisika kiakili ambao watachanganya Uarabu na dini ya Kiislam simply because, Dini ya Kiislamu inatumia lugha ya Kiarabu!. Masikini muflisi hawa, hawajui kuwa hata Ukiristo umeanzia Arabuni. Wakristo na Waislamu ni watoto wa baba mmoja, Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mwanae wa kwanza Ismail, aliyezaa na mjakazi wa ki Misri, na Wakristo ni uzao wa Isaka aliyezaa na mkewe Sara. Hata Yesu Kristo, licha ya kuzaliwa Israel, alikulia Misri na alizungumza lugha ya Kiarabu!. Hapa mimi nazungumzia udhalimu wa Waarabu kama jamii na sio dini ya Kiislamu.

Udhalimu ni udhalimu tuu hauna dini, wala kabila, wala jamii, kwa sababu kwenye udhalimu sio Waarabu tuu peke yao ndio madhalimu, watu wa mataifa mbalimbali wamefanya udhalimu kwa watu wa mataifa mengine, na mfano mzuri ni udhalimu wa Wajerumani kwa Mayahudi chini ya Hitler ulioitwa Halocust ambapo Hitler aliwaua Wayahudi zaidi ya milioni 6 kwa ukatili wa ajabu!, ila kwenye biashara ya Utumwa Unguja, Pemba, na Arabuni, watumwa hawa walihasiwa hivyo kufanyiwa genoside na wahusika sii wengine bali ndugu hawa hawa ndugu zetu Waarabu ambao leo tunakula nao, tunakunywa nao na kufurahi nao kwa vile tumeisha samehe na tumeishasahau, yaliyopita sii ndwele.

2. Kwenye biashara ya utumwa, waliokuwa wakikamata watumwa, sio Waarabu, Waarabu wao walikuwa ni wafanyabiashara ya watumwa kwenye soko kuu la watumwa la Zanzibar, wakitokea Bagamoyo, na wanunuzi wakuu wa watumwa toka soko la Zanzibar kwa ajili ya kuwasafirisha kuwauza Uarabuni na India, ambako kote huko baada ya kufika, watumwa wanaume walihasiwa!. Waarabu pia ndio walikuwa wamiliki wa watumwa katika mashamba ya Zanzibar na`Pemba, ambapo nako watumwa wanaume walihasiwa, wanawake walifanywa vijakazi na ndio wazazi wa machotara wa Zanzibar na Pemba, wengi ni baba Mwarabu, mama uzao wa watumwa wanawake wenye bahati, ambao hawakutumbuliwa mimba za Waarabu!

Upatikanaji wa watumwa kutoka bara pia ulihusisha baadhi ya watawala wetu wa asili wakiwemo machifu ambapo baadhi ya wahalifu waliostahili adhabu za vifo katika jamii zao, badala ya kuuliwa na kuwa hasara jumla, waliuzwa, utumwani, lakini watumwa wengi ni watu tuu wa kawaida wasio na hatia yoyote ambao waliwamiwa na kukamatwa kwa nguvu, wakiwemo wanawake na watoto!. Zoezi la ukamataji watumwa pia lilihusisha vitendo vya ukatili, ambapo wengi watumwa hawa, waliuawawa katika purukushani, na wengine wengi walifia njiani na miili yao kuachwa ikioza, miili yenye bahati ilifanywa vitoweo vya wanyama wa porini.

Kwenye misafara hiyo, ndugu zetu waliteswa sana mateso ambayo hayazungumziki walioishiwa nguvu, walipigwa hadi kifo ila hakukuwepo na kamera ya mzungu wa kutupigia picha kuja kutuleta humu!.

3. Waarabu ninaowazungumza hapa, ni wale Waarabu madhalimu na makatili wa enzi zile za utumwa ambao wengi wao, mwaka 1964, walifurushwa kutoka Unguja kwenye yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Mwaka 1964!, ila waliofurushwa ni wale tuu waliokuwa Zanzibar tu, lakini waliokuwa Pemba hawakuguswa.

Hawa Waarabu wa leo, ni vizalia vya Waarabu wale wale, ila hawa wa sasa, ni Waarabu wema, wastaarabu kama Waarabu wa sasa, wenye roho nzuri, sio wakatili, sio wadhalimu na wanawapenda watu weusi na kuwaoa kwa mapenzi, huku wanawake wao, wakiwapenda weusi na wakiolewa nao japo mwanzo ilikuwa ni kwa kulazimishwa na Karume, hivyo nashauri, kwa siku zijazo, hata Waarabu hawa, ama machotaa wao, wakishiriki tena uchaguzi, wakashinda kwenye uchaguzi huru na wa haki, wapewe tuu nchi watawale kwa sababu Waarabu hawa sii wale, wasinyimwe kutawala eti kwa sababu tuu ni Waarabu.

Waarabu wa enzi za utumwa, walikuwa madhalimu, hivyo kuendelea kudhani hata hawa wazaliwa wao pia ni lazima watakuwa ni madhalimu!, kwa kanuni ya mwana wa nyoka ni nyoka!, hivyo wanashinda uchaguzi lakini hawapewi, sio kuwatendea haki.

Japo mwana wa nyoka nyoka lakini si lazima kila mwana wa nyoka awe ni nyoka mwenye sumu kali, nyoka wengine ni kama joka la mdimu, halina madhara, hivyo Waarabu hawa wa leo wamebadilika, kwa sababu hata shetani mwanzo alikuwa malaika, hivyo Waarabu hawa wa sasa ni Waarabu wema, ni wenzetu na ni sehemu yetu, ukifanyika uchaguzi tena, wakishinda, wapewe tu nchi.

Paskali
 
Mkuu Battawi, kwanza asante kwa vitabu.
Kuhusu hizi propaganda ushahidi upo, sii ile milingoti ipo, enzi zile kulikuwa hakuna metal scanner, sasa kuna mobile scanner zile za containers bandarini, tulete, tuscan, propaganda hizo zifutwe, kwa sababu zamani ma Pharao, walizikwa na watumwa hai kule kwenye ma pyramids, wafalme walizikwa na mke anayempenda sana. Machifu walizikwa na mtu hai, India, mume akifa, ile siku anachomwa, mke shujaa, kukimbilia na kujitupa kwenye moto akiwa hai na kuteketea na mumewe etc. Hivyo japo ni propaganda, ila pia inaweza kuwa kweli, lolote linawezekana, kwani mtumwa alikuwa sii mtu ni bidhaa!.

P
Sasa umenipa moyo kama msomi kukubali kuwa kuna kasoro katika kulielezea hili suala utumwa wa waarabu.
Sasa tutumie facts za Kiakili ikiwa umekubali kuwa Hakuna ushahidi isipokuwa mlingoti na yale masanamu ya Cathedral ya Mkunazini na Stori zao za Kiuchochezi Mule kanisani kwenye jiwe la Damu za watumwa.Wao wamelivalia njuga suala lile kwa kuwa limewahusu Waarabu Waislamu ili kuwapunguzia Credit za kiimani na kuwa win wateja wao,ili wao waonekane ni wema huku wakiendeleza Kupandikiza chuki kwa Watanzania waliohuru .
Any way

1.Muarabu aliekuja Baada ya Ujio wa Mtume Muuhammad(SAW) na Uislamu,ambaye ki
ukweli alikuja akiwa tayari ni muislamu ,huyu alikuwa na ruhusa ya KUMILIKI WATUMWA NA KUWAUZA ENDAPO ATAKUWA NAYE WA KUMUUZA.Lakini Dini yake ilimtaka kuwatendea wema watumwa hawa kwa kuwapa huduma za kibinadamu na kufanya hivyo ni tendo la kiuchamungu na kumpa thawabu nyingi tuu.

2.Endapo mtumwa wake huyo ni wa nyumbani,na ni mwanamke,mwanamume huyo akiona amempendeza na kamkalia vizuri kimapenzi(yaani si unajuwa wanawake na maumbile yao ya kinyakyusa) ,Uislamu unamruhusu kumuingilia kimapenzi kama mkewe naakipata mimba ,mtoto atakuwa sawa na watoto wa mke wake wa ndoa na kwa maana hiyo, watamrithi haki zote ni zake.Aidha Mtoto huyo hatokuwa mtumwa,na yule mama yake huitwa SURIA,si

3.Mtumwa wa kiume ambaye alikuwepo Zanzibar, alikuja kwa ajili ya kufanya kazi,aghalabu alipewa eneo la kujilimia chakula chake mwenyewe, na huku akimlimia bosi wake shamba lake .Ama wale waliouzwa kwenda Arabuni ,vizazi vyao bado wapo hadi lao na si watumwa tena,maana walipewa uhuru na wamiliki wao ikiwa ni fidia ya makosa ya kidini yaliofanya ma wamiliki wao, na tayari wengine wameingiliana na Waarabu na kuwa raia.Hata rangi zao zimefifia.

4.Kule Misri kuna ''freed slaves''-Mameluke https://www.britannica.com/topic/Mamluk
walifika hadi kuwa watawala wa nchi kwa miaka zaidi ya100 -jinsi Uislamu ulivyo wabadili waarabu na kuthamini utu wa mtu.
'' Mamlūk, also spelled Mameluke, slave soldier, a member of one of the armies of slaves that won political control of several Muslim states during the Middle Ages. Under the Ayyūbid sultanate, Mamlūk generals used their power to establish a dynasty that ruled Egypt and Syria from 1250 to 1517. The name is derived from an Arabic word for slave.''
Hata Hivyo wapo majambazi hadi hivi leo ambao wanafanya unyama ,pamoja na Uislamu wao,hizi ni case zipo kila mahali na hatuwezi tuka Generalize kwa waarabu wote.
Mfano Yule mzungu aliyepiga waislamu risasi kule New Zealand hatutasema kuwa Ndivyo wazungu wote walivyo au wakiristo wote walivyo. Hivyo hivyo kwa Waarabu Maharamia.

Mwisho namalizia kwa kusema kuwa Habari hizi Za kuwanasibisha Wapinzani wa Siasa Zanziba na Uarabu au wanataka kurudisha waarabu au Ni vijukuu wa waarabu, lengo lake ni kuongeza chuki.Haya ndo hufanya sana na CCM na Wakubwa wao.Isipokuwa Nyerere na Mzee mwinyi sikumbuki kuwasikia lakini
Mh.Lukuvi, Mh.Mkapa Mh.Sefu Muhamed Khatib na wengineo wanposhindwa hoja za KisiasHUKUKIMBILIA KUPANDIKIZA CHUKI NA KUFUFUA STORI HIZI ZA KUUMIZA KWA KUWANASIBISHA WAPINZANI NA UTUMWA na UARABU WA SULTANI.ILHALI MASULTANI NI WAO ccm KWA KUNGANGANIA MADARAKA
Pitia hii document utasoma kitu.toka kwa waarabu wenyewe.
 

Attachments

Sasa umenipa moyo kama msomi kukubali kuwa kuna kasoro katika kulielezea hili suala utumwa wa waarabu.
Sasa tutumie facts za Kiakili ikiwa umekubali kuwa Hakuna ushahidi isipokuwa mlingoti na yale masanamu ya Cathedral ya Mkunazini na Stori zao za Kiuchochezi Mule kanisani kwenye jiwe la Damu za watumwa.Wao wamelivalia njuga suala lile kwa kuwa limewahusu Waarabu Waislamu ili kuwapunguzia Credit za kiimani na kuwa win wateja wao,ili wao waonekane ni wema huku wakiendeleza Kupandikiza chuki kwa Watanzania waliohuru .
Any way

1.Muarabu aliekuja Baada ya Ujio wa Mtume Muuhammad(SAW) na Uislamu,ambaye ki
ukweli alikuja akiwa tayari ni muislamu ,huyu alikuwa na ruhusa ya KUMILIKI WATUMWA NA KUWAUZA ENDAPO ATAKUWA NAYE WA KUMUUZA.Lakini Dini yake ilimtaka kuwatendea wema watumwa hawa kwa kuwapa huduma za kibinadamu na kufanya hivyo ni tendo la kiuchamungu na kumpa thawabu nyingi tuu.

2.Endapo mtumwa wake huyo ni wa nyumbani,na ni mwanamke,mwanamume huyo akiona amempendeza na kamkalia vizuri kimapenzi(yaani si unajuwa wanawake na maumbile yao ya kinyakyusa) ,Uislamu unamruhusu kumuingilia kimapenzi kama mkewe naakipata mimba ,mtoto atakuwa sawa na watoto wa mke wake wa ndoa na kwa maana hiyo, watamrithi haki zote ni zake.Aidha Mtoto huyo hatokuwa mtumwa,na yule mama yake huitwa SURIA,si

3.Mtumwa wa kiume ambaye alikuwepo Zanzibar, alikuja kwa ajili ya kufanya kazi,aghalabu alipewa eneo la kujilimia chakula chake mwenyewe, na huku akimlimia bosi wake shamba lake .Ama wale waliouzwa kwenda Arabuni ,vizazi vyao bado wapo hadi lao na si watumwa tena,maana walipewa uhuru na wamiliki wao ikiwa ni fidia ya makosa ya kidini yaliofanya ma wamiliki wao, na tayari wengine wameingiliana na Waarabu na kuwa raia.Hata rangi zao zimefifia.

4.Kule Misri kuna ''freed slaves''-Mameluke https://www.britannica.com/topic/Mamluk
walifika hadi kuwa watawala wa nchi kwa miaka zaidi ya100 -jinsi Uislamu ulivyo wabadili waarabu na kuthamini utu wa mtu.
'' Mamlūk, also spelled Mameluke, slave soldier, a member of one of the armies of slaves that won political control of several Muslim states during the Middle Ages. Under the Ayyūbid sultanate, Mamlūk generals used their power to establish a dynasty that ruled Egypt and Syria from 1250 to 1517. The name is derived from an Arabic word for slave.''
Hata Hivyo wapo majambazi hadi hivi leo ambao wanafanya unyama ,pamoja na Uislamu wao,hizi ni case zipo kila mahali na hatuwezi tuka Generalize kwa waarabu wote.
Mfano Yule mzungu aliyepiga waislamu risasi kule New Zealand hatutasema kuwa Ndivyo wazungu wote walivyo au wakiristo wote walivyo. Hivyo hivyo kwa Waarabu Maharamia.

Mwisho namalizia kwa kusema kuwa Habari hizi Za kuwanasibisha Wapinzani wa Siasa Zanziba na Uarabu au wanataka kurudisha waarabu au Ni vijukuu wa waarabu, lengo lake ni kuongeza chuki.Haya ndo hufanya sana na CCM na Wakubwa wao.Isipokuwa Nyerere na Mzee mwinyi sikumbuki kuwasikia lakini
Mh.Lukuvi, Mh.Mkapa Mh.Sefu Muhamed Khatib na wengineo wanposhindwa hoja za KisiasHUKUKIMBILIA KUPANDIKIZA CHUKI NA KUFUFUA STORI HIZI ZA KUUMIZA KWA KUWANASIBISHA WAPINZANI NA UTUMWA na UARABU WA SULTANI.ILHALI MASULTANI NI WAO ccm KWA KUNGANGANIA MADARAKA
Pitia hii document utasoma kitu.toka kwa waarabu wenyewe.
Mkuu Battawi, asante sana kwa ilmu hii nzuri, vitu vingine ni kuelimishana tuu.

P
 
Biashara ya utumwa ilifanyika ulimwengu mzima,hakuna kabila wala taifa duniani,halikuwahi kutofanywa watumwa.Kuanzia waafrika,waarabu,wazungu,wahindi,wachina nk.
Watumwa walikuwa wakipatikana kwa njia za mateka wa vita,madeni(mtu kudaiwa)anafanywa mtumwa yeye au familia yake,kulipa deni,kuzidiwa nguvu kwa unyonge.Na watumwa wakipatikana kupitia kwa watemi wa sehemu husika,ndio wakiwauza kwa wageni.Na askari wa mtemi,ndio waliohusika kukamata hao mateka,na kuuzwa kama watumwa.
Historia inaonyesha,waarabu wa asili sio weupe,kama hawa unaowaona sasa,walikuwa weusi,ila baada ya kuingizwa watumwa weupe,kutoka nchi za mashariki ya ulaya,hasa wanawake,na kuoana na hawa waarabu,ambao walikuwa ni weusi,ndio kukapatikana kizazi cha waarabu weupe,baada ya mchanganyiko huo.Waarabu waasili,wamebakia katika kisiwa kimoja,cha Scotra,ambacho kiko Yemen,ndio wapo wengi,na ndio waarabu wa asili ni weusi.Na pia katika nchi za kiarabu wapo wachache,ambao hawakuchanyika na damu za wazungu wa mashariki.Na huu mchanganyiko,ndio unaosababisha,wengi waarabu wenye asili ya uzungu,kurudi tena ulaya,bila kujijua.
Mkuu Battawi, asante sana kwa ilmu hii nzuri, vitu vingine ni kuelimisha tuu.

P
 
Biashara ya utumwa ilifanyika ulimwengu mzima,hakuna kabila wala taifa duniani,halikuwahi kutofanywa watumwa.Kuanzia waafrika,waarabu,wazungu,wahindi,wachina nk.
Watumwa walikuwa wakipatikana kwa njia za mateka wa vita,madeni(mtu kudaiwa)anafanywa mtumwa yeye au familia yake,kulipa deni,kuzidiwa nguvu kwa unyonge.Na watumwa wakipatikana kupitia kwa watemi wa sehemu husika,ndio wakiwauza kwa wageni.Na askari wa mtemi,ndio waliohusika kukamata hao mateka,na kuuzwa kama watumwa.
Historia inaonyesha,waarabu wa asili sio weupe,kama hawa unaowaona sasa,walikuwa weusi,ila baada ya kuingizwa watumwa weupe,kutoka nchi za mashariki ya ulaya,hasa wanawake,na kuoana na hawa waarabu,ambao walikuwa ni weusi,ndio kukapatikana kizazi cha waarabu weupe,baada ya mchanganyiko huo.Waarabu waasili,wamebakia katika kisiwa kimoja,cha Scotra,ambacho kiko Yemen,ndio wapo wengi,na ndio waarabu wa asili ni weusi.Na pia katika nchi za kiarabu wapo wachache,ambao hawakuchanyika na damu za wazungu wa mashariki.Na huu mchanganyiko,ndio unaosababisha,wengi waarabu wenye asili ya uzungu,kurudi tena ulaya,bila kujijua.
Mkuu Kikwajuni 1, asante sana kwa ilmu hii nzuri, vitu vingine ni kuelimishana tuu
P
 
Muarabu asili yake ni mweusi,sio mweupe,ni kutokana na kuoana na wazungu watumwa,waliopelekwa nchi za mashariki ya kati,ndio kukapatikana machotara,weupe.Huwa sisi tunakosea,tunapowaona waarabu weusi ndio tunawaita machotara,kumbe ndio waarabu wenyewe.Twaweza kusema,katika taifa,linalopotea ni la waarabu wa asili,weusi.
Mkuu Kikwajuni 1, asante sana kwa ilmu hii nzuri, vitu vingine ni kuelimishana tuu
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusisahau hata jina Darusalaaam.... Dar es salaam ni Lao kwahyo muhame mji

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena sio jina tuu la Darusulum, hata lile jengo pale patakatifu petu, wamejenga wao, Mjerumani akataifisha, na kujifanya kajenga yeye, Mwingereza
kakarabati akajifanya kajenga yeye!.

Kaisikilize video kwenye uzi huu
P
 
Bora mzungu kuliko mmanga mwarabu. Waarabu wabaguzi sana wahed
Ukiabudu dini itakufanya uwe na uwezo mdogo sana wa kufikiria. Pascal amezungumzia biashara ya watumwa iliyofanya na Waarabu pamoja na maovu waliofanyiwa wafrika lakini kutokana unaabudu dini umeona kama umezungumziwa uilsamu. Kwenye kichwa chako umejenga picha kuwa Mwaarabu ni Muislam lakini kuna waarabu siyo waislamu. Na ukiwa kwenye dini fulani haikufanyi wewe kuwa mkamilifu. Unabisha kabisa kuwa waarabu hawakufanya biashara ya watumwa na hawakuwanyanyasa wafrika? Unakimbilia ni propaganda za wazungu.
Kama Waarabu wote ni waislamu na hawatendi dhambi imekuaje kwenye nchi zao wanauana kila kukicha na kujilipua mabomu? utasema wamerekani wanawachochea. Sasa wewe na dini yako ya haki imekuaje mtu baki akuambie shika panga au bunduki umuue ndugu yako na wewe unamuua?. Hayo mafundisho mema ya dini ambayo waarabu wanayafuata wameyatimiza?
Nenda darasani ukajifunze upya achana na hizi dini maana hazina uhalisia wowote ingekuwa hivyo wala wasingekuwa wanavaa mabomu wanajilipua wala kufanya ushoga. Waafrika mnafeli sana kumtetea Mwaarabu na mzungu kwenye biashara ya utumwa na maovu yake. Wewe matumbi kutoka kijijini unajiona upo sawa na Mwaarabu yaani ndugu yako Mwaarabu. Wafrika wanachekesha sana, ndiyo maana tunafananishwa na nyani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwambia mwarabu asili yake mweusi atavunja uzazi wako.
Muarabu asili yake ni mweusi,sio mweupe,ni kutokana na kuoana na wazungu watumwa,waliopelekwa nchi za mashariki ya kati,ndio kukapatikana machotara,weupe.Huwa sisi tunakosea,tunapowaona waarabu weusi ndio tunawaita machotara,kumbe ndio waarabu wenyewe.Twaweza kusema,katika taifa,linalopotea ni la waarabu wa asili,weusi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thats what History taught us! Mwarabu mtu mbaya, Mwarabu anaingilia watu kinyume na maumbile, Mwarabu anajitoa mhanga na mabaya yote! Kuna mtu mmoja alipata kuniambia, tazama picha zote hatopata picha ya kupiga ambayo Mwarabu anamtesa Mwafrika.

Zilizopo ni za kuchora tu! Anae pigwa vita hapo sio Mwarabu, laa hasha! Ni UISLAMU! Na wala hatushangai, laiti tungeyaona yaliyo vifuani mwao ni makubwa zaidi ya haya! Vipi watu walio uawa kwenye vita ya kwanza na ya pili ya Dunia! Vipi watu walio uawa na Bush na Obama Libya, Iraq, Afghanstan, Kosovo nakadhalika! History ni Uongo wa kuwatukuza wakristo zidi ya Uislamu!
Huko umeenda mbali sana. Tungejiuliza tu waamerika weusi walifikaje Amerika. Senema ya roots ina majibu yote
 
Back
Top Bottom