Ujumbe una shida gani ?Usemi ni kugundua mbinu ya Bawacha kuficha makucha yao ya maandamano kwenye jogging. Angalia ujumbe wao kwenye fulana zao. Hiyo haikuwa jogging ni maandamano
Polisi wasomi wamegundua mapema na kuchukua hatua stahiki. Big up kwa polisi wetu. Watanzania tunaunga mkono polisi wetu.
Kwa nini umchagulie mtu maandishi gani yawe kwenye tisheti yake, hii hata North Korea haipo. Hii nchi imekuwa takataka kwa hawa polisi ambao hawana tofauti na Interahamwe.Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Time will tell. Ni bahati mbaya wanawake wenye courage kama hao kuburuzwa kama kondoo.View attachment 1943298
View attachment 1943311
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Lini kwa kifungu kipi cha sheria*Hata wewe unaruhusiwa kutamka unataka kugombea*lakini sio kuchapisha mafulana na kuzurura nayo utakapofanya hivyo unakosea,shughuli hizo zina muda wake.
Njia ya waovu ni ile ile, fupi.Time will tell. Ni bahati mbaya wanawake wenye courage kama hao kuburuzwa kama kondoo.
Yatapita kama aliyeitisha mikutano na watendaji wote wa kata kabla ya 2020 election. Yupo anagombea ukuu wa malaika kumpisha Gabriel au Rusfer.
Unakumbukaga ile picha alionyeshaga gari lililomteka Mo? Hivi huwa hapitii aliyoyafanya jana, juzi? Aibu sana kwa NCHISirro anazeeka vibaya.
Inaelekea akilala anaweweseka kutokana na udhalimu wa jeshi la polisi kwa wananchi tangu awe IGP
Mauaji Kibiti, Zanzibar, Utekaji watu na kubambikizia watu.
Kadri anavyozidi kuzeeka na kukaribia kustaafu ndo anazidi kuwa IGP katili na asiyejitambua zaidi katika historia ya nchi hii.
Hatujasahau alivyokuwa pacha wa Makonda alivyokuwa kamanda wa Polisi Dar na mambo ya kidhalimu aliyofanya hapa Dar
Sawa mkuu, pamoja na kuwa Nyerere hakuwa mtu wa mjini lakini hakuwa na roho ya kimasikini na wala huwezi sema alikuwa bush boy. Maendeleo hayakufati kitandani mkuu.Huyo unayemwita mtoto wa mjini amekuletea maendeleo gani zaidi ya kuwafanya ndugu zako wawe wadangaji tu, Nyerere alikuwa mtu wa mjini? Mbona aliwasaidia wengi wapate elimu bure wakiwemo hao hao wanaotuharibia nchi yetu, jifunze bwashee uongozi bora si kuwa born town
Tofauti gani ? jiweke wazi.Nakushauri ujipe muda kidogo usome tofauti ya ANC ya South Africa na vyama vya upinzani vya Tanzania hususan Chadema. Utagundua tofauti ni kama umbali kati ya dunia na Jua.
kwa mfano hizo t-shirt zingeandikwa "hapa kazi tu" ingekuwaje?Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Wangepewa ulinzi mzito na pikipiki za polisi kuwaongozakwa mfano hizo t-shirt zingeandikwa "hapa kazi tu" ingekuwaje?
ni aibu kubwa kiongozi kujifunza toka inchi ambayo ni sawa na mkoa mmoja tu hapa tzMATOKEO YA NOTES ZA RWANDA KWA "PAKA" Paul Kagame....πππ
Wanawake wanateswa nchi hii chini ya utawala wa mfumo dume unaoongozwa na sa100.View attachment 1943298
View attachment 1943311
My Take:
Hii nchi inaendelea kuwa na mambo ya kishenzi mpaka inatia hasira.
Nyie endeleeni kuwapush wananchi to the limit.
Mwana kulitafuta mwana kulipata
Mbona ukijogi huku umevaa suti kali ya vipande vitatu polisi hawakukamati!Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
nakazia hapohapoSababu ya kuzuwiwa mbona haijawekwa? Tujue sababu kwanza ndio tutaweza kujadili.
Msafara wa Rais ulikuwa unapita akielekea Marekani, usibishe.nakazia hapohapo
Kizazi chako kina walakini....Ninyi watu ni wa ajabu sana.
Sasa jogging club na ujumbe wa "Tume Huru" kwenye fulana zenu wapi na wapi?
Kila anaefanya jogging si avae nguo za mazoezi za kawaida tu nani angewazuia?
Kwanini ujumbe katika fulana zenu usiwe "Bawacha Jogging Club".
Na hata mngabeba mabango yasemayo "Join Bawacha Jogging Club Today", ingekuwa poa na IGP Sirro asingeona taabu.
Wakati mwingine muwe mnatumia akili zenu mnapopanga majambo yenu.
Mbona wafanya mazoezi wakivaa sare za ccm hawaulizwi kitu?!!!Kwani lazima wavae sare za chama?