Udini: Mwalimu Mkuu na wanafunzi wa Kikristo wakimbia shule Bagamoyo kuhofia maisha

Udini: Mwalimu Mkuu na wanafunzi wa Kikristo wakimbia shule Bagamoyo kuhofia maisha

Status
Not open for further replies.
Dini ya kiislamu ni janga la dunia.

Ugaidi wao(Alqaida,bokoharam,alshaabab na makundi mengine meng)

Wao siku zote hawapend Aman wanataka shari tu
Thank u God nlzaliwa mkristo

kama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples.
 
wakati nasoma korogwe girls ilizuka the same thing kti ya wakristo na waislam tena wanawake ilifika mahali ikawa balaa kabisa wakristo walikuwa watulivu sana ,wakaanza kujipigia kampeni kwenye vipindi vya dini hawa watu kuna dada mmja alikuwa anaitwa subira mapunda she was mdini kweli kweli,ila mkuu wa shule aliwafyeka na kilichokuwa kinawaumiza sana katika vidato vyooote kuanzia Olevel mpaka a leve hamnaga muislam alikuwa anaiona hata top tena so ilikuwa ni dharau sana kwao

Acha uongo wewe!!!! Tangu lini wavulana huwa wanasoma Korogwe girls. Yaani unauchukia Uislamu mpaka unasema uongo bwana. wewe vipi? Nani asiyekujua kuwa wewe ni mwanaume? Leo unajifanya msichana, lo!!!!
 
kama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples.

Kweli kabisa!!!! Ila wakiona nchi ya kiislamu intechnologia kama wao ya kutengeneza silaha wanaiita ni ugaidi. Maana yake ni kwamba mkristo akimuua mwislamu ni sawa ila muislamu akimuua mkristo ni ugaidi!!!!!!Tena wanaiita "dini ya kigaidi". Swali, unaposema ukristo ni dini ya amani wakati nchi za kikristo ndo zinaongoza kutengeneza silaha hatari, kati ya mwislamu asiyesoma na wewe uliyesoma lakini hulioni hili nani ni mbumbumbu???? Wakristo ndo wanaongoza kwa kuua watu duniani. yaani silaha zao zimetengenezwa specifically kwa kumuua mwislamu!!!! Mfano, vita ya Iraq na Afghanistani watu hushabikia wakisikia mamia wamekufa. Lakini mmarekani mmoja tu akitekwa na magaidi (ambao hawana uhusiano na dini) utasikia wanasema magaidi wa kiislamu wamteka Mmarekani!!!!!
 
Wanakimbia harufu ya minyama yenu ya nguruwe mnayokulaga pale ubungo!!!!!

hahahha ahahhaha ahahahha ahahahha ahahha kweli akili kumkichwa
mbona walikuwa hawatukimbii darasani,mbona hostel walikuwepo
kwa akili km zako ndo napata majibu kuwa na wala nguruwe wakifanya kazi waislamu huwa wanawakimbia kwa sababu ya harufu na kwenda kukaa vibarazani na kunywa kahawa.........
 
Dini ya kiislamu ni janga la dunia.

Ugaidi wao(Alqaida,bokoharam,alshaabab na makundi mengine meng)

Wao siku zote hawapend Aman wanataka shari tu
Thank u God nlzaliwa mkristo

kama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples.
 
kama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples.
they make them because they see very far away called today
 
Mgogoro mkubwa umeibuka katika Shule ya Sekondari ya Bagamoyo mkoani Pwani kati ya wanafunzi wa Kiislamu na Kikristo na kusababisha Mkuu wa Shule hiyo, Bonus Ndimbo, kuikimbia shule na familia yake kuhofia usalama wa maisha yake.

Pia, baadhi ya wanafunzi wa Kikristo wamekimbia shule hiyo na kurejea majumbani mwao kutokana na vitisho wanavyopewa.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salehe Mbaga, akizungumza na NIPASHE jana kwa simu, alithibisha kuwepo kwa mgogoro huo, lakini alisema hajapata taarifa za kukimbia kwa Mkuu wa Shule.

“Kama kweli Mkuu wa Shule amekimbia shuleni atakuwa amefanya vizuri kwa sababu alikuwa hatakiwi na wanafunzi,” alisema Mbaga ambaye hata hivyo, hakutaka kufafanua zaidi chanzo cha mgogoro huo.

Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi, alipotafutwa, alisema mgogoro huo upo, lakini alikataa kutoa maelezo zaidi na hatua zilizochukuliwa yatolewe na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo.

Hata hivyo habari zilizopatikana shule hapo zinaeleza kuwa mgogoro huo ulianza wakati wa mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa serikali ya wanafunzi.

Wakati wa uchaguzi huo walijitokeza wagombea wawili wa nafasi ya Kilanja Mkuu wa Shule, Answal Abdul na Emmanuel Mmari ambao walikuwa wakichuana nafasi hiyo. Wote ni wanasoma kidato cha tano.

Chanzo cha habari kinaeleza kuwa kampeni zilipoanza wanafunzi wa Kiislamu ambao baadhi yao ni viongozi wa msikiti uliopo shuleni hapo, walianza kumpigia kampeni mgombea wa dini yao na wa dini ya Kikristo walianza kufanya hivyo.

Habari zaidi zinaeleza kuwa wakati kampeni zikiendelea, inadaiwa Mkuu wa Shule aliwasihi wanafunzi wa Kiislamu waache kupiga kampeni kwa kufuata misingi ya dini.

Kauli hiyo ya Mkuu wa Shule inadaiwa iliwakera wanafunzi wa Kiislamu ambao walichukua uamuzi wa kumuondoa katika kinyang’anyiro mgombea wa waliyekuwa wakimpigia kampeni, Answal Abdul na kubakia mgombea pekee Emmanuel Mmari.

Habari zinaeleza kuwa siku ya uchaguzi wanafunzi wote walishiriki, lakini wanafunzi wa Kiislamu licha kupewa karatasi za kupigia kura hawakuandika chochote katika karatasi hizo huku wanafunzi wa Kikristo wakipiga kura.

Baada ya uchaguzi huo, Mmari alichaguliwa kuwa Kiranja Mkuu wa shule hiyo.

Mkuu wa Shule hiyo, Ndimbo baada ya kukamilika uchaguzi huo alitangaza siku ya kuapisha viongozi wa serikali ya wanafunzi waliochaguliwa na ndipo mgogoro ulioanza.

Siku ya kuapisha viongozi hao, wanafunzi wa Kiislamu inadaiwa walimvamia Mkuu wa Shule na kumnyang’anya karatasi zilizokuwa zimeandika majina ya viongozi waliopangwa kuapishwa, hali iliyozua vurugu ambazo hata hivyo, baadaye zilitulia.

Mtoa habari watu amesematangu siku hiyo wanafunzi wa Kiislamu walianza kushinikiza Mkuu wa Shule ahamishwe na kwamba hawautambui uongozi wa shule uliochaguliwa na pia hawataki walimu Wakristo shuleni hapo.

Habari zaidi zinasema kuwa vitisho viliendelea na kuwa nyakati za usiku watu wasiofahamika walikuwa wakipita na pikipiki kuzunguka mabweni na shule.

Kutokana na hali hiyo, wanafunzi wa Kikristo waliamua kuondoka shuleni hapo kurejea majumbani hadi sasa kuhofia usalama wa maisha yao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Bagamoyo, Samuel Saliyanga, alipoulizwa alisema bodi ya shule hiyo ilikuwa inakutana jana kutoa maamuzi ya suala hilo na kwamba yeye atapata taarifa kupitia kwa Afisa Elimu ya Sekondari.
CHANZO: NIPASHE
Mkuu hii shule ina milikiwa na taasisi gani ya kiislamu? Naona kwa mara ya kwanza shule ya taasisi ya kiislamu ikiajili walimu wa kikiristu, ni hatua nzuri kwa kweli, nadhani ni mwamko mzuri sana, naipongeza taasisi husika. Ila sijajua kama siye wa dini ya asili tutawekwa kundi gani hapo.
 
Bora umejua kuwa 'kufungua nati ndio kushoto, which means kuharibu' lakini kufunga na kufanya iwe imara unaelekeza kulia.

Acha kujishtukia na dini yako, quran sio lugha, kinachoandikwa kulia kwenda kushoto ni kiarabu. Au ndio ule utumwa wa kiimani kwamba akisemwa mwarabu basi mnaona kasemwa mungu wenu.


Kumbe mbumbumbu wako wengi japokuwa wanasema wao kwa kuwa ni wakristo wana akili na wamesoma!!! Aliyekwambia kufungua nut ni kuiharibu ni nani? Wewe ndo unajiita msomi wewe? Pole sana.... na je kususu kitasa kinafungwa na kufunguliwaje? Si kutoka kulia kwenda kushoto au vice versa? kwa hiyo kama kufungua inamaanisha ni "kuharibu" je linapokuja suala la kufunga kitasa kwa kukizunguusha kutoka kushoto kwenda kulia maana yake pia hapo ni kuharibu? Pole sana wasomi wa kikristo mnaogawiwa majibu ya mitihani na Dr. ndalichako ili mfaulu vizuri kushinda wailsamu. Pole sana. Mnajifanya mnaelimu kumbe hamna kitu bali mmejaa chuki dhidi ya Waislamu!! na hasa mkigundua kuwa na wao wameelimika kama ninyi (japo wao hawapewi majibu ya mitihani bali hunyang'anywa maksi kwa kisingizio kuwa "kompyuta ilikosea"). Hamtuwezi kielimu kabisa. tunaupeo mkubwa sana japo tukivaa kanzu tunaonekana kama washamba.
 
hahahha ahahhaha ahahahha ahahahha ahahha kweli akili kumkichwa
mbona walikuwa hawatukimbii darasani,mbona hostel walikuwepo
kwa akili km zako ndo napata majibu kuwa na wala nguruwe wakifanya kazi waislamu huwa wanawakimbia kwa sababu ya harufu na kwenda kukaa vibarazani na kunywa kahawa.........

Tofautisha kusoma kwa discussion na kufanya kazi!!!! Kwenye discussion lazima mtakaa kama kikundi na kila mmoja anachangia hoja kwa both kuongea na kuandika. Sasa wala nguruwe na wanywa pombe midomo yao huwa inanuka sana tofauti na wasiokula ama kunywa pombe. Ndo kisa cha kuwakimbia. Sasa ofisini huwa watu wanafanya kazi katika meza moja wameizunguuka kama inavyokuwa chuoni kwenye discussion? Wewe vipi? Ndo akili za mkristo aliyesoma zinakuwaga kama zako? Rudi ukasome tena maana usomi wako ni ule wa kugawiwa maksi na Dr Ndalichako katika shule za kikristo. sisi huwa tunafaulu kwa akili zetu tena kwa kukatwa maksi na ndo maana maksi zetu huwa za chini lakini upeo ni mkubwa maana tulitumia akili zetu katika kuzipata hizo maksi!!!!!. Hebu jiulize, mwislamu anaonewa kwa kukatwa maksi lakini pamoja na kukatwa anapata B!!! Je, asingekatwa (kudhulumiwa) maksi zake unafikiri angepata maksi ngapi???????
 
Ni matunda ya quran hayo kama walishauriwa kuacha kampeni za udini sasa tatizo ni nini hapo, na daima tunatangaza Upendo na amani kwani vyote vinapatikana kwa kuondoa udini, ukabila na ufisadi, sasa kama vijana wetu wadogo hawa wakianza mambo ya Udini na Ukabila si wataishia kuwa Uamsho na U Pondazii, then Alshabaab = Ugaidi, Thibiti hao Mapemaaaa
 
Umerudi kwenye hoja ya msingi!!! Kumbe kiebrania pia kinaandikwa kutoka kushoto kwenda kulia!!!! Lugha ambayo Yesu alikuwa akiitumia? Very good!!!!! Sasa kwanini mtoa mada alibeza kwa kusema dunia inatushangaa kwa maandishi yetu kutoka kushoto kwenda kulia? Yaani korani inaonekana kituko zaidi maandishi yake kwenda kushoto kuliko biblia ya kiebrania yenye maandishi kutoka kushoto kwenda kulia kama korani???? Kumbe imethibitika kuwa waislamu hubezwa kwa chuki binafsi tu!!!!! Tuanze kwanza kwa kumbeza yeus aliyetumia Lugha maandishi yake kutoka kushoto kwenda kulia kisha ndo tuje kwenye korani ili dunia itushangae sote!!!!!

but hey..slow down.NImeakuambia tamaduni zao zinawapa changamoto tofauti.Sasa unakimbia mbali mpaka kwenye chuki binafsi kwanini?Usiwe mwepesi kama waislam wengi wanaopenda kuangalia viashiria fulani kwa wengine na kukimbilia kuvitumia kusupport dini yao.

Huyo jamaa alisema hivyo kwa kutojua na pia pengine yeye binafsi hapendezi na uandishi huo.Pengine unampa shida kifikra na pia anaweza kuwa si spekee hata waislam wengi waliofundishwa kwa misingi ya kuanzia kushoto kwenda kulia,nao wanaweza kuwa hawawezi uelewa uislma maisha yao yote, na kuishia laumu wengine.

Uislam una vionjo vingi vya tamaduni,dini na imani nyingine ambvayo hata kwenye vitambu original hizo habari hazipo au ni tofauti sana.Na hii ndio inayowapa waislam shida zaidi.Kwani wana kazi ya kudanganya dunia kuwa vitabu vyao ndivyo original.Wakati kimeandikwa miaka ya karibuni kuliko wengine.

Kwa ujumla sioni kuko kuthibitika unapokusema.Jaribu jadili hoja kwa uwazi na uadilifu ndugu yangu.Ndio maana nilisema nilijualo hata kama nilijua waislam wasiopenda fikiri mbali watalitumia kama proof kuwa dini yao itakuwa ya kweli au inafanyiwa chuki na fitna.Kwa kiasi fulani mtu anaweza sema sikuwa responsible writer,ila bado nitakuwa nimesimamia kweli .Pia hii si big deal kihivyo ndugu yangu.pengine mhoji zaidi mhusika kwa nini kadharau kusoma tokea kulia.Lugha nyingi zina vitu awkward kwa mitazamo ya wengine.
 
kama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples
.

Kwanini usingeuliza.Kama hawa jamaa wana kila uwezo wa kutengeneza maangamizi kiasi hiki na hawataki vita kwanini waislam wanawalizimisha vita?

Nakumbuka my friend from German aliniambia Historia inaonyesha watu weupe wakiamua kuua wanaua more efficiently.Thanx God vita ya Iraq,Afghanisatan, Libya na Bosnia.Wameperfect silaha zao vyema.Juhudi za waislam ktk nchi hii si kwamba hazionekani,nakujulikana zimekuwa thwarted kwa njia rahisi sana.

Ila wajue vita ikianza mara nyingi silaha hufika mapema sana tofauti na mtu yeyote anavyoweza hisi.Kuna nchi nyingi sana dunia zina database ya kila event na habarai za nchi nyingine.Hawa huwa wanahamisha uwekezaji wao mapema,halafu wanaweka watu maaalumu kwa kusupply silaha na kufanya training za haraka kwa watu wa makundi yao.
 
Hivi kweli bado tu tuseme nchi hii haina uDini!? Kamanda wa Polisi wa mkoa (muIslamu) anashabikia mkuu wa shule (mKristo) kukimbia akihofia maisha yake na familia yake kudhuriwa na wanafunzi wake wa kiIslamu! Aisee....kama kuna jambo JK amefanikiwa/atafanikiwa katika miaka 10 ya uRais wake basi ni kueneza chuki za kiDini!

Tena cha ajabu kamanda anadiriki kusema mwalimu hatakiwi na WANAFUNZI wakati ni waisilamu pekee ndo hawamtaki ... doh! Kaaaazi kweli kweli
 
Hivi tunaelekea wapi sasa?
Mwisho wake nini?
Inasikitisha sana pale damu yenye virusi inapoingizwa kwnye damu safi, matokeo yake mgonjwa anakuwa anafanya kosa bila kujua kuwa wakati akitenda hilo kosa alikosea. INSANITY
 
Ni matunda ya quran hayo kama walishauriwa kuacha kampeni za udini sasa tatizo ni nini hapo, na daima tunatangaza Upendo na amani kwani vyote vinapatikana kwa kuondoa udini, ukabila na ufisadi, sasa kama vijana wetu wadogo hawa wakianza mambo ya Udini na Ukabila si wataishia kuwa Uamsho na U Pondazii, then Alshabaab = Ugaidi, Thibiti hao Mapemaaaa
 
Kumbe mbumbumbu wako wengi japokuwa wanasema wao kwa kuwa ni wakristo wana akili na wamesoma!!! Aliyekwambia kufungua nut ni kuiharibu ni nani? Wewe ndo unajiita msomi wewe? Pole sana.... na je kususu kitasa kinafungwa na kufunguliwaje? Si kutoka kulia kwenda kushoto au vice versa? kwa hiyo kama kufungua inamaanisha ni "kuharibu" je linapokuja suala la kufunga kitasa kwa kukizunguusha kutoka kushoto kwenda kulia maana yake pia hapo ni kuharibu? Pole sana wasomi wa kikristo mnaogawiwa majibu ya mitihani na Dr. ndalichako ili mfaulu vizuri kushinda wailsamu. Pole sana. Mnajifanya mnaelimu kumbe hamna kitu bali mmejaa chuki dhidi ya Waislamu!! na hasa mkigundua kuwa na wao wameelimika kama ninyi (japo wao hawapewi majibu ya mitihani bali hunyang'anywa maksi kwa kisingizio kuwa "kompyuta ilikosea"). Hamtuwezi kielimu kabisa. tunaupeo mkubwa sana japo tukivaa kanzu tunaonekana kama washamba.

NUT, KITASA, ....

tiririka mkuu na vingine vyote. Ndo elimu gani hiyo? Hata kuendesha gari kwa reverse tairi inazunguka kutoka kulia kwenda kushoto ... ha ha ha ha haaa
 
Mkuu hii shule ina milikiwa na taasisi gani ya kiislamu? Naona kwa mara ya kwanza shule ya taasisi ya kiislamu ikiajili walimu wa kikiristu, ni hatua nzuri kwa kweli, nadhani ni mwamko mzuri sana, naipongeza taasisi husika. Ila sijajua kama siye wa dini ya asili tutawekwa kundi gani hapo.

hao walimu hupewa kazi kama propaganda za CUF, au wengine ni weledi wao ili kuwafaulisha hawa vijana ambao tayari wameshahitimu kuwa mujaheedin.Baadaye hujengewa mazigira yote ya kuondoka na shule kurudi kwenye equilibriuma yake.
 
but hey..slow down.NImeakuambia tamaduni zao zinawapa changamoto tofauti.Sasa unakimbia mbali mpaka kwenye chuki binafsi kwanini?Usiwe mwepesi kama waislam wengi wanaopenda kuangalia viashiria fulani kwa wengine na kukimbilia kuvitumia kusupport dini yao.

Huyo jamaa alisema hivyo kwa kutojua na pia pengine yeye binafsi hapendezi na uandishi huo.Pengine unampa shida kifikra na pia anaweza kuwa si spekee hata waislam wengi waliofundishwa kwa misingi ya kuanzia kushoto kwenda kulia,nao wanaweza kuwa hawawezi uelewa uislma maisha yao yote, na kuishia laumu wengine.

Uislam una vionjo vingi vya tamaduni,dini na imani nyingine ambvayo hata kwenye vitambu original hizo habari hazipo au ni tofauti sana.Na hii ndio inayowapa waislam shida zaidi.Kwani wana kazi ya kudanganya dunia kuwa vitabu vyao ndivyo original.Wakati kimeandikwa miaka ya karibuni kuliko wengine.

Kwa ujumla sioni kuko kuthibitika unapokusema.Jaribu jadili hoja kwa uwazi na uadilifu ndugu yangu.Ndio maana nilisema nilijualo hata kama nilijua waislam wasiopenda fikiri mbali watalitumia kama proof kuwa dini yao itakuwa ya kweli au inafanyiwa chuki na fitna.Kwa kiasi fulani mtu anaweza sema sikuwa responsible writer,ila bado nitakuwa nimesimamia kweli .Pia hii si big deal kihivyo ndugu yangu.pengine mhoji zaidi mhusika kwa nini kadharau kusoma tokea kulia.Lugha nyingi zina vitu awkward kwa mitazamo ya wengine.

Wewe utakuwa umenielewa VEMA. Mimi huwa sipendi dharau ndo maana hata ukristo huwa siudharau bali huwa namdharau mkristo anayepindisha ukweli. Jamaa ameibeza koran mpaka nikamshangaa. kwani kuanza kushoto kisha kumalizia kulia tatizo liko wapi? Kwani mungu aliyeumba kulia na kushoto hakuwa na akili? (hapa sina maana namtukana-nataka ujumbe ufike kwa mlengwa). Yaani kuna watu wakiiona biblia tu wanachukia kisa eti ina rangi nyeusi. Ukiwauliza ni andiko gani linakukataza kuigusa biblia nyeusi? Jibu hakuna....Vivyo hivyo kuna watu wakiiona qurani hataki hata kuigusa! Kisa inamandishi ya kiarabu na eti ni kitabu cha majini!!! Ukiwauliza andiko gani limesema ni kitabu cha majini jibu hawana bali ni chuki tu... Kuna watu hata kupita uwanja wa msikitini hawapiti eti wanaogopa majini. Sasa vitu hivi mimi vinaniudhi. Kwa nini watu wanakuwa apumbavu kiasi kile? Kwa nini wasisome kitu wakielewe ndipo waki challenge?
Mtu anayewadharau waislamu atakuwa hawajui vizuri na uislamu wao haujui. Wamefundishwa elimu kuliko watu wanavyoweza kuwafikiria. kinachotokea ni "frustration" tu. Nitafafanua... Mtu baada ya kupata elimu ya korani tunategemea ya kwamba aifanyie kazi katika maisha yake ya kila siku. Sasa bahati mbaya Taasisi tunayoitegemea inaitwa Bakwata. Taasisi hii inaendesha mambo yake kienyeji sana. Haijiendeshi kibiashara bali inajiendesha kwa kumsikiliza mtu mmoja. Wacha nikupe mfano; BAKWATA inamajengo mengi sana imepangisha lakini Rent hailipwi kwa njia au utaratibu wa misingi ya business. utakuta jengo fulani ni sheikh fulani ndo anakusanya kodi. Utakuta jengo la thamani ya pango la milioni 50 kwa mwaka linatoa milioni sita tu au chini ya hapo. Fedha zinakusanywa kwa utaratibu usioleweka. sasa kama BAKWATA ingekuwa na utaratibu mzuri kijana huyu aliyesoma koran angeajiriwa katika hata kusimamia estates za waislamu. lakini hili haliwezekani maana hata kama ataajiriwa mshahara wa kulipa hautakuwapo. Utatoka wapi? Sasa matokeo yake mwislamu anakuwa na elimu kubwa sana lakini mwisho wa siku anaishia katika kujua mambo ya ibada tu ! mambo mengine ya dunia elimu hii inakuwa haimsaidii. Hapa mwisho wa siku ni frustration!!!! Kwa taarifa tu ni kwamba elimu korani inatosha kabisa kundesha maisha. Elimu dunia yenyewe inakuwa tofauti kidogo kwa kuwa ina zungumzia mchanganyiko wa dunia. Korani yenyewe inazungumzia kanuni na sheria za uislamu tu. Kumbuka hata elimu ya sahihi (signatures) inapatikana katika korani pekee. Huwezi kukuta syllabus yoyote katika elimu hizi zingine inayofundisha mambo ya signature. Kwa hiyo korani inajitosheleza. Na ndo maana mtu aliyesoma korani vizuri kisha akasoma na elimu dunia vizuri, huwa yuko fit sana.
Threads nyingi sana zinadai waislamu waende wakasome kama ilivyo kwa wakristo. Mimi nakubaliana na threads hizo.... lakini waislamu watasoma kwa fedha gani sasa? au shule zao zitajiendeshaje bila ya kuwa na fedha? Maana fedha inayopatikana kutoka miradi ya WAISLAMU (BAKWATA) haitoshi maana haiendeshwi kwa kufuata kanuni za biashara (kama ilivyo kwa wakatoliki-they are pure business oriented). Assume hata kama tutaajiri waalimu wa kikristo wasomi wazuri tu, je watavumilia kufundisha bila ya kulipwa??? Maana wakati mwingine hata waalimu wa shule za kiislamu huwa wanakosa mshahara mpaka tunachangishana misikitini ili walipwe. Kwa kifupi miradi ya kiislamu haina usimamizi wa kibiashara. Na ukijitokeza kijana ukawa na msimamo wa kutaka miradi ya waislamu iendeshwe kibiashara utapigwa vita mpaka utajuta kwa nini ulizaliwa mwislamu. Ndipo makundi ya kutetea waislamu yanapoibuka. Ila kwa kuwa tatizo la mali za waislamu halijulikani (maana mwenye haki ya kusimamia ni BAKWATA ambaye ndiye mfujaji mkuu) makundi haya yanashindwa hoja... yanaonekana ni wahuni na hawana haki. Sorry, nashindwa kuendelea maana hata sijui nikueleze vipi unielewe. Historia ya waislamu kuwa nyuma kielimu hakuletwi na serikali pekee ama ukristo bali hata taasisi za kiislamu (specifically hapa ni BAKWATA). Fikiria waalimu wa madrasa hawana mshahara. Wanachangiwa na wazazi wa watoto wanaosoma madrasa hizo kwa kulipa shilingi 500 (miatano) kwa wiki kwa kila mtoto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom