Udini: Mwalimu Mkuu na wanafunzi wa Kikristo wakimbia shule Bagamoyo kuhofia maisha

Udini: Mwalimu Mkuu na wanafunzi wa Kikristo wakimbia shule Bagamoyo kuhofia maisha

Status
Not open for further replies.
Tofautisha kusoma kwa discussion na kufanya kazi!!!! Kwenye discussion lazima mtakaa kama kikundi na kila mmoja anachangia hoja kwa both kuongea na kuandika. Sasa wala nguruwe na wanywa pombe midomo yao huwa inanuka sana tofauti na wasiokula ama kunywa pombe. Ndo kisa cha kuwakimbia. Sasa ofisini huwa watu wanafanya kazi katika meza moja wameizunguuka kama inavyokuwa chuoni kwenye discussion? Wewe vipi? Ndo akili za mkristo aliyesoma zinakuwaga kama zako? Rudi ukasome tena maana usomi wako ni ule wa kugawiwa maksi na Dr Ndalichako katika shule za kikristo. sisi huwa tunafaulu kwa akili zetu tena kwa kukatwa maksi na ndo maana maksi zetu huwa za chini lakini upeo ni mkubwa maana tulitumia akili zetu katika kuzipata hizo maksi!!!!!. Hebu jiulize, mwislamu anaonewa kwa kukatwa maksi lakini pamoja na kukatwa anapata B!!! Je, asingekatwa (kudhulumiwa) maksi zake unafikiri angepata maksi ngapi???????

hahhahah hahahhaa eti huwa mnakatwa marks............hata mjitungie mtihani wenyewe mtafeli tu
nenda shule za kiislamu uone.hii ni dunia nzima sio tanzania tu.nyie mmezaliwa kwa ajili ya vita na ugomvi tu
si kwa ajili ya kwenda shule.kajiunge na boko haram na al shabaab utete dini yako
 
Kweli kabisa!!!! Ila wakiona nchi ya kiislamu intechnologia kama wao ya kutengeneza silaha wanaiita ni ugaidi. Maana yake ni kwamba mkristo akimuua mwislamu ni sawa ila muislamu akimuua mkristo ni ugaidi!!!!!!Tena wanaiita "dini ya kigaidi". Swali, unaposema ukristo ni dini ya amani wakati nchi za kikristo ndo zinaongoza kutengeneza silaha hatari, kati ya mwislamu asiyesoma na wewe uliyesoma lakini hulioni hili nani ni mbumbumbu???? Wakristo ndo wanaongoza kwa kuua watu duniani. yaani silaha zao zimetengenezwa specifically kwa kumuua mwislamu!!!! Mfano, vita ya Iraq na Afghanistani watu hushabikia wakisikia mamia wamekufa. Lakini mmarekani mmoja tu akitekwa na magaidi (ambao hawana uhusiano na dini) utasikia wanasema magaidi wa kiislamu wamteka Mmarekani!!!!!

..............kuongezea ..... Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia walikuwa wanaumana Wakristo kwa Wakristo wakichanganyika na wapagani, wakigombea Mali !
.... Mkristo mmjo mwnye asili ya Uyahudi, vita vikamchosha akaenda kumaliza shughuli Nagasaki na Hiroshima !
 
Wewe utakuwa umenielewa VEMA. Mimi huwa sipendi dharau ndo maana hata ukristo huwa siudharau bali huwa namdharau mkristo anayepindisha ukweli. Jamaa ameibeza koran mpaka nikamshangaa. kwani kuanza kushoto kisha kumalizia kulia tatizo liko wapi? Kwani mungu aliyeumba kulia na kushoto hakuwa na akili? (hapa sina maana namtukana-nataka ujumbe ufike kwa mlengwa). Yaani kuna watu wakiiona biblia tu wanachukia kisa eti ina rangi nyeusi. Ukiwauliza ni andiko gani linakukataza kuigusa biblia nyeusi? Jibu hakuna....Vivyo hivyo kuna watu wakiiona qurani hataki hata kuigusa! Kisa inamandishi ya kiarabu na eti ni kitabu cha majini!!! Ukiwauliza andiko gani limesema ni kitabu cha majini jibu hawana bali ni chuki tu... Kuna watu hata kupita uwanja wa msikitini hawapiti eti wanaogopa majini. Sasa vitu hivi mimi vinaniudhi. Kwa nini watu wanakuwa apumbavu kiasi kile? Kwa nini wasisome kitu wakielewe ndipo waki challenge?
Mtu anayewadharau waislamu atakuwa hawajui vizuri na uislamu wao haujui. Wamefundishwa elimu kuliko watu wanavyoweza kuwafikiria. kinachotokea ni "frustration" tu. Nitafafanua... Mtu baada ya kupata elimu ya korani tunategemea ya kwamba aifanyie kazi katika maisha yake ya kila siku. Sasa bahati mbaya Taasisi tunayoitegemea inaitwa Bakwata. Taasisi hii inaendesha mambo yake kienyeji sana. Haijiendeshi kibiashara bali inajiendesha kwa kumsikiliza mtu mmoja. Wacha nikupe mfano; BAKWATA inamajengo mengi sana imepangisha lakini Rent hailipwi kwa njia au utaratibu wa misingi ya business. utakuta jengo fulani ni sheikh fulani ndo anakusanya kodi. Utakuta jengo la thamani ya pango la milioni 50 kwa mwaka linatoa milioni sita tu au chini ya hapo. Fedha zinakusanywa kwa utaratibu usioleweka. sasa kama BAKWATA ingekuwa na utaratibu mzuri kijana huyu aliyesoma koran angeajiriwa katika hata kusimamia estates za waislamu. lakini hili haliwezekani maana hata kama ataajiriwa mshahara wa kulipa hautakuwapo. Utatoka wapi? Sasa matokeo yake mwislamu anakuwa na elimu kubwa sana lakini mwisho wa siku anaishia katika kujua mambo ya ibada tu ! mambo mengine ya dunia elimu hii inakuwa haimsaidii. Hapa mwisho wa siku ni frustration!!!! Kwa taarifa tu ni kwamba elimu korani inatosha kabisa kundesha maisha. Elimu dunia yenyewe inakuwa tofauti kidogo kwa kuwa ina zungumzia mchanganyiko wa dunia. Korani yenyewe inazungumzia kanuni na sheria za uislamu tu. Kumbuka hata elimu ya sahihi (signatures) inapatikana katika korani pekee. Huwezi kukuta syllabus yoyote katika elimu hizi zingine inayofundisha mambo ya signature. Kwa hiyo korani inajitosheleza. Na ndo maana mtu aliyesoma korani vizuri kisha akasoma na elimu dunia vizuri, huwa yuko fit sana.
Threads nyingi sana zinadai waislamu waende wakasome kama ilivyo kwa wakristo. Mimi nakubaliana na threads hizo.... lakini waislamu watasoma kwa fedha gani sasa? au shule zao zitajiendeshaje bila ya kuwa na fedha? Maana fedha inayopatikana kutoka miradi ya WAISLAMU (BAKWATA) haitoshi maana haiendeshwi kwa kufuata kanuni za biashara (kama ilivyo kwa wakatoliki-they are pure business oriented). Assume hata kama tutaajiri waalimu wa kikristo wasomi wazuri tu, je watavumilia kufundisha bila ya kulipwa??? Maana wakati mwingine hata waalimu wa shule za kiislamu huwa wanakosa mshahara mpaka tunachangishana misikitini ili walipwe. Kwa kifupi miradi ya kiislamu haina usimamizi wa kibiashara. Na ukijitokeza kijana ukawa na msimamo wa kutaka miradi ya waislamu iendeshwe kibiashara utapigwa vita mpaka utajuta kwa nini ulizaliwa mwislamu. Ndipo makundi ya kutetea waislamu yanapoibuka. Ila kwa kuwa tatizo la mali za waislamu halijulikani (maana mwenye haki ya kusimamia ni BAKWATA ambaye ndiye mfujaji mkuu) makundi haya yanashindwa hoja... yanaonekana ni wahuni na hawana haki. Sorry, nashindwa kuendelea maana hata sijui nikueleze vipi unielewe. Historia ya waislamu kuwa nyuma kielimu hakuletwi na serikali pekee ama ukristo bali hata taasisi za kiislamu (specifically hapa ni BAKWATA). Fikiria waalimu wa madrasa hawana mshahara. Wanachangiwa na wazazi wa watoto wanaosoma madrasa hizo kwa kulipa shilingi 500 (miatano) kwa wiki kwa kila mtoto.

.........mzee ! wagala wasikushughulishe kiivyo !.......hawa ni viziwi, vipofu na ni Mwenyezi Mungu amesema kupitia Qur'an tukufu !
.....kama mtu na amini mungu kateswa kwa ajili yake, kweli huo si upofu wa imani !
 
IMG_2070.JPG

Shule ya sekondari Bagamoyo ni ya Serikali, Wizara ya Elimu.
Serikali haina dini.
Msikiti umejengwa NDANI ya eneo la serikali.
Kuna thread humu inayosema sasa kuna matatizo mazito hapo shuleni, yanayohusiana na udini.
Najiuliza sasa, je msikiti huo ni mali ya serikali ambayo haina dini, au imekuwaje?
 
Binafsi sioni tatizo na pia sio islamu. Shule niliyosoma ambayo awali ilikuwa shule ya mission na baadaye kutaifishwa na serikali enzi za mwalimu ina kanisa katikati ya shule. Lakini pia kama shule ya Bagamoyo imejengwa na serikali kwa ajili ya wanafunzi wote na ikajenga msikiti katika eneo la shule hilo ni TATIZO!
 
Hawa Christian watakuwa wanajishtukia tu na wameondoka kwa sababu zao binafsi. Wasisingizie ubaguzi wa kidini.

Mkuu, mimi nlidhani ungewapongeza kwa hekima baada ya kusoma mazingira, unaonaje kama wangekomaa na kuwa ngangari? Mwisho wake ingekuwa nini? Kwa mujibu wa taarifa iliyobandikwa na kwa kuwa wao ndio wanajua mazingira yalivyokuwa, nadhani ili kuepusha maafa, ni bora wamefanya hivyo.
 
Binafsi sioni tatizo na pia sio islamu. Shule niliyosoma ambayo awali ilikuwa shule ya mission na baadaye kutaifishwa na serikali enzi za mwalimu ina kanisa katikati ya shule. Lakini pia kama shule ya Bagamoyo imejengwa na serikali kwa ajili ya wanafunzi wote na ikajenga msikiti katika eneo la shule hilo ni TATIZO!

Hilo swali lako ni muhimu kujibiwa ili tuchangie tukiwa na uelewa mzuri.

Lakin jambo la msingi hapa ni funzo gani tunapata hapa; Hakuna umuhimu wa kuwa na haya makanisa ama misikiti kwenye taasisi za serikali kama shule!

Uvaaji wa miwani ya mbao kwenye mambo kama haya tutajuta uko tuendako!
 
Hilo jengo la msikiti ni la zamani sana, inawezekana eneo lilikuwa la jumuia ya kiislamu, wakaipa eneo serikali la kujenga shule, hapo sioni tatizo
View attachment 70185

Shule ya sekondari Bagamoyo ni ya Serikali, Wizara ya Elimu.
Serikali haina dini.
Msikiti umejengwa NDANI ya eneo la serikali.
Kuna thread humu inayosema sasa kuna matatizo mazito hapo shuleni, yanayohusiana na udini.
Najiuliza sasa, je msikiti huo ni mali ya serikali ambayo haina dini, au imekuwaje?
 
Wewe utakuwa umenielewa VEMA. Mimi huwa sipendi dharau ndo maana hata ukristo huwa siudharau bali huwa namdharau mkristo anayepindisha ukweli. Jamaa ameibeza koran mpaka nikamshangaa. kwani kuanza kushoto kisha kumalizia kulia tatizo liko wapi? Kwani mungu aliyeumba kulia na kushoto hakuwa na akili? (hapa sina maana namtukana-nataka ujumbe ufike kwa mlengwa). Yaani kuna watu wakiiona biblia tu wanachukia kisa eti ina rangi nyeusi. Ukiwauliza ni andiko gani linakukataza kuigusa biblia nyeusi? Jibu hakuna....Vivyo hivyo kuna watu wakiiona qurani hataki hata kuigusa! Kisa inamandishi ya kiarabu na eti ni kitabu cha majini!!! Ukiwauliza andiko gani limesema ni kitabu cha majini jibu hawana bali ni chuki tu... Kuna watu hata kupita uwanja wa msikitini hawapiti eti wanaogopa majini. Sasa vitu hivi mimi vinaniudhi. Kwa nini watu wanakuwa apumbavu kiasi kile? Kwa nini wasisome kitu wakielewe ndipo waki challenge?
Mtu anayewadharau waislamu atakuwa hawajui vizuri na uislamu wao haujui. Wamefundishwa elimu kuliko watu wanavyoweza kuwafikiria. kinachotokea ni "frustration" tu. Nitafafanua... Mtu baada ya kupata elimu ya korani tunategemea ya kwamba aifanyie kazi katika maisha yake ya kila siku. Sasa bahati mbaya Taasisi tunayoitegemea inaitwa Bakwata. Taasisi hii inaendesha mambo yake kienyeji sana. Haijiendeshi kibiashara bali inajiendesha kwa kumsikiliza mtu mmoja. Wacha nikupe mfano; BAKWATA inamajengo mengi sana imepangisha lakini Rent hailipwi kwa njia au utaratibu wa misingi ya business. utakuta jengo fulani ni sheikh fulani ndo anakusanya kodi. Utakuta jengo la thamani ya pango la milioni 50 kwa mwaka linatoa milioni sita tu au chini ya hapo. Fedha zinakusanywa kwa utaratibu usioleweka. sasa kama BAKWATA ingekuwa na utaratibu mzuri kijana huyu aliyesoma koran angeajiriwa katika hata kusimamia estates za waislamu. lakini hili haliwezekani maana hata kama ataajiriwa mshahara wa kulipa hautakuwapo. Utatoka wapi? Sasa matokeo yake mwislamu anakuwa na elimu kubwa sana lakini mwisho wa siku anaishia katika kujua mambo ya ibada tu ! mambo mengine ya dunia elimu hii inakuwa haimsaidii. Hapa mwisho wa siku ni frustration!!!! Kwa taarifa tu ni kwamba elimu korani inatosha kabisa kundesha maisha. Elimu dunia yenyewe inakuwa tofauti kidogo kwa kuwa ina zungumzia mchanganyiko wa dunia. Korani yenyewe inazungumzia kanuni na sheria za uislamu tu. Kumbuka hata elimu ya sahihi (signatures) inapatikana katika korani pekee. Huwezi kukuta syllabus yoyote katika elimu hizi zingine inayofundisha mambo ya signature. Kwa hiyo korani inajitosheleza. Na ndo maana mtu aliyesoma korani vizuri kisha akasoma na elimu dunia vizuri, huwa yuko fit sana.
Threads nyingi sana zinadai waislamu waende wakasome kama ilivyo kwa wakristo. Mimi nakubaliana na threads hizo.... lakini waislamu watasoma kwa fedha gani sasa? au shule zao zitajiendeshaje bila ya kuwa na fedha? Maana fedha inayopatikana kutoka miradi ya WAISLAMU (BAKWATA) haitoshi maana haiendeshwi kwa kufuata kanuni za biashara (kama ilivyo kwa wakatoliki-they are pure business oriented). Assume hata kama tutaajiri waalimu wa kikristo wasomi wazuri tu, je watavumilia kufundisha bila ya kulipwa??? Maana wakati mwingine hata waalimu wa shule za kiislamu huwa wanakosa mshahara mpaka tunachangishana misikitini ili walipwe. Kwa kifupi miradi ya kiislamu haina usimamizi wa kibiashara. Na ukijitokeza kijana ukawa na msimamo wa kutaka miradi ya waislamu iendeshwe kibiashara utapigwa vita mpaka utajuta kwa nini ulizaliwa mwislamu. Ndipo makundi ya kutetea waislamu yanapoibuka. Ila kwa kuwa tatizo la mali za waislamu halijulikani (maana mwenye haki ya kusimamia ni BAKWATA ambaye ndiye mfujaji mkuu) makundi haya yanashindwa hoja... yanaonekana ni wahuni na hawana haki. Sorry, nashindwa kuendelea maana hata sijui nikueleze vipi unielewe. Historia ya waislamu kuwa nyuma kielimu hakuletwi na serikali pekee ama ukristo bali hata taasisi za kiislamu (specifically hapa ni BAKWATA). Fikiria waalimu wa madrasa hawana mshahara. Wanachangiwa na wazazi wa watoto wanaosoma madrasa hizo kwa kulipa shilingi 500 (miatano) kwa wiki kwa kila mtoto.
Suala waislam kuwa na elimu dunia tena kubwa sana halina ubishi,na kufaulu kwao ni kukubwa sana.Ila hakuna ulinganifu na maslahi kwa ummah wa waislam.Wafanyacho ni ama wawatose ama wawaibie kwa kuwahadaa na kuwapotosha ili kukwepesha chanzo cha matatizo.Wengi wa viongozi wa kisiasa wa kiislam ndio hao wanaotoa sababua tofauti nyuma ya pazia na tofauti ktk public.Waislam wanaojikuta wanafanya mambo ya kushangaza hawa viongozi wanamumunya maneno.

Jamii ya kiislam si Bakwata tuu ila maeneo mengi Masheikh binafsi wana nguvu huru sana maeneo waliyoyashika vyema,Na hivyo kugeuza miradi mingi kuwa kama binafsi au ya familia zao.

Suala la walimu wa madrassat kuwa na kipato kidogo ni kwa vile waislam matajiri na wasomi hawapo tayari mix elimu dunia na elimu ingine ili waweze imarisha taasisi za Kiislam kwa moyo mmoja.Wameishia kuwa wanafiki na wenye kihimiza wenzao kwa maneno ila kwa vitendo hawaendi zaidi ya kutaka kura za waislam na support yao ili walinde himaya zao kisiasa.
 
Nimefurahishwa na kazi ya iPhone 5, picha utadhani inatembea wakati si video clip.
 
..............kuongezea ..... Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia walikuwa wanaumana Wakristo kwa Wakristo wakichanganyika na wapagani, wakigombea Mali !
.... Mkristo mmjo mwnye asili ya Uyahudi, vita vikamchosha akaenda kumaliza shughuli Nagasaki na Hiroshima !

duh sasa hapa unajrahisi sana kuongelea mamabo yaliyopita na kwa njia iliyopotoka.Kwanini usjitahidi elezea shida tunazoziona ktk macho yetu leo.
 
Hilo jengo la msikiti ni la zamani sana, inawezekana eneo lilikuwa la jumuia ya kiislamu, wakaipa eneo serikali la kujenga shule, hapo sioni tatizo
Kama ndivyo basi sina tatizo maana ukristo wetu unaamini katika kuheshimu dini nyingine maana mungu pekee ndiye atakaye muhukumu yeye aabuduye kakika allah subhana wataala na kumwacha kumkana yesu kristo aliyemuumba!!!Ila mimi binafsi kama ningekuwepo ktk hiyo shule nadhani ningeandika historia ya kuuchoma moto msikiti huo ulipo kwenye wilaya ya Jakaya Kikwete...Potelea mbali motoni siku ya kiyama
 
.........mzee ! wagala wasikushughulishe kiivyo !.......hawa ni viziwi, vipofu na ni Mwenyezi Mungu amesema kupitia Qur'an tukufu !
.....kama mtu na amini mungu kateswa kwa ajili yake, kweli huo si upofu wa imani !

Sidhani kama unachojipa nacho matumaini ni sahihi kihivyo.Ni theology tuu zinapingana hapa ktk fikra za watu na hivyo si vymea sana kujipa moyo kwa kutofahamu theology inayopingana na yako.Mungu kuwa mungu wa haki basi naye ili kumkomboa Binadamu lazima naye alipe deni lote la binadamu alichokubali kuwa anastahili fanyiwa na shetani.pengine kutoona kwako kuwa Mungu anastahili pia lipa deni na mdaiwa kumefunikwa sana na fikra zako juu ya uwezo wa Mungu.

Si wengi waliwaelewa wale Wachungaji na mapadri waliokuwa wakiwanunua watumwa na kuwaachia huru.Kwa kiasi fulani kuna waarabu waliwanunua kwa wakamataji na hivyo ili waridhisha ili wakubali kuwauza ni kuwapa bei ambayo wangeipata kule Arabuni wakiwa hapa.Kwa haraka ingewashawishi kuwauza haraka na kupunguza risk ya kuwapoteza njia kwa magonjwa,vifo vya njaa, kuzama kwa merikebu zao au kujituma majini.

Ukitaka jua kwanini wasemayo wakristu yana maana pana sana tofauti na unavyofikiria.Imagine sheikh au padri anavyoambiwa kuwa anayejiunga na dini ayao ni kiongozi na msomi wa dini pinzani?Imagine ghaddafi angeambiwa Kuna nafasi ya kunchapa Pope benedict fimbo hadharani iwapo angetoa hela kiasi fulani na mafuta ya kiasi fulani..Pengine ndipo utaona angalau kwa mbali ni vipi shetani atafurahi kupata nafasi ya kudhalilisha Yesu au kuwaachia huru Binadamu wote watakaochagua kumfuata Mungu.
 
haya ni matunda ya mwalimu nyerere kila shule mkuu wa shule mkristo
sasa haya mkuu kila dini walikuwa wanampigia kampen mgombea wao kwanini amtoe wa waislam pekee wakati
hata wakristo walikuwa wanampigia kampeni mgombea wao nimeaamini waislam wakidai ndio inaonekanaa
udini la kwa wakristo kawaida na wangepigaje kura wakati mgombea ni mmoja yeye mkuu wa shule ameshachagua udini umefika mwisho na sis waislam tumestuka sasa kipindi cha zidumu fikra sahih za mwenyekiti umwekwishaaaa
 
Labda hilo tatizo liwe siku hizi, miaka hii.
Nakumbuka wakati nasoma O-level pale Azania secondary(early 90's), Head master, second master, displini master na academic master walikuwa ni Wakristo.
Kulikuwa na chumba maalumu ambacho kilitengwa kuwa ni sehemu ya kusalia waislamu na kilikuwa kinatumika exactly kama msikiti. kutokana na ibada za waislamu kuwa ni mara tano kwa siku so chumba kile kilikuwa hakitumiwi na watu wengine na palikuwa panaitwa msikitini.
Kwa Wakristo walikuwa wakitumia madarasa kuendesha ibada ambazo zilikuwa zinafanyika kila siku nyakati za jioni na sometimes hall la shule lilikuwa linatumika kuendeshea ibada za kikristo.
Lakini hakukuwa na maneno wala tatizo lolote kama leo hii.
 
Waislamu bwana. tatizo ni kwamba wakati tunawabeza utayari wao kuua mtu ni guaranteed kama jua kuchomoza asubuhi,I wish UN watoe resolution juu ya islamu

UN Hawataweza!!!!! Waulize wamarekani ni kwa nini wanakumbwa na kimbunga kila mwaka. Waambieni waache kuonea waislamu ndo majanga yatakoma kuwakumba.
 
hahhahah hahahhaa eti huwa mnakatwa marks............hata mjitungie mtihani wenyewe mtafeli tu
nenda shule za kiislamu uone.hii ni dunia nzima sio tanzania tu.nyie mmezaliwa kwa ajili ya vita na ugomvi tu
si kwa ajili ya kwenda shule.kajiunge na boko haram na al shabaab utete dini yako

Mbona IRAN inatechnolojia mpaka wagalatia wa amerika na uingereza wanaiogop??? Au wakristo ndo walikwenda kuelimisha waislamu vilaza wa huko ndo technology ikakua?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom