Dini ya kiislamu ni janga la dunia.
Ugaidi wao(Alqaida,bokoharam,alshaabab na makundi mengine meng)
Wao siku zote hawapend Aman wanataka shari tu
Thank u God nlzaliwa mkristo
wakati nasoma korogwe girls ilizuka the same thing kti ya wakristo na waislam tena wanawake ilifika mahali ikawa balaa kabisa wakristo walikuwa watulivu sana ,wakaanza kujipigia kampeni kwenye vipindi vya dini hawa watu kuna dada mmja alikuwa anaitwa subira mapunda she was mdini kweli kweli,ila mkuu wa shule aliwafyeka na kilichokuwa kinawaumiza sana katika vidato vyooote kuanzia Olevel mpaka a leve hamnaga muislam alikuwa anaiona hata top tena so ilikuwa ni dharau sana kwao
ndiyo maana mnafundisha watoto wakikojolea quran wanakua mijusi kweli?
Wanafunzi wa kiislam hawaingii darasani, hivo tunaomba NECTA iwajali ktk usahihishaji hapo mwezi wa pili 2013
kama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples.
Wanakimbia harufu ya minyama yenu ya nguruwe mnayokulaga pale ubungo!!!!!
Dini ya kiislamu ni janga la dunia.
Ugaidi wao(Alqaida,bokoharam,alshaabab na makundi mengine meng)
Wao siku zote hawapend Aman wanataka shari tu
Thank u God nlzaliwa mkristo
they make them because they see very far away called todaykama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples.
Mkuu hii shule ina milikiwa na taasisi gani ya kiislamu? Naona kwa mara ya kwanza shule ya taasisi ya kiislamu ikiajili walimu wa kikiristu, ni hatua nzuri kwa kweli, nadhani ni mwamko mzuri sana, naipongeza taasisi husika. Ila sijajua kama siye wa dini ya asili tutawekwa kundi gani hapo.Mgogoro mkubwa umeibuka katika Shule ya Sekondari ya Bagamoyo mkoani Pwani kati ya wanafunzi wa Kiislamu na Kikristo na kusababisha Mkuu wa Shule hiyo, Bonus Ndimbo, kuikimbia shule na familia yake kuhofia usalama wa maisha yake.
Pia, baadhi ya wanafunzi wa Kikristo wamekimbia shule hiyo na kurejea majumbani mwao kutokana na vitisho wanavyopewa.
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salehe Mbaga, akizungumza na NIPASHE jana kwa simu, alithibisha kuwepo kwa mgogoro huo, lakini alisema hajapata taarifa za kukimbia kwa Mkuu wa Shule.
Kama kweli Mkuu wa Shule amekimbia shuleni atakuwa amefanya vizuri kwa sababu alikuwa hatakiwi na wanafunzi, alisema Mbaga ambaye hata hivyo, hakutaka kufafanua zaidi chanzo cha mgogoro huo.
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi, alipotafutwa, alisema mgogoro huo upo, lakini alikataa kutoa maelezo zaidi na hatua zilizochukuliwa yatolewe na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo.
Hata hivyo habari zilizopatikana shule hapo zinaeleza kuwa mgogoro huo ulianza wakati wa mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa serikali ya wanafunzi.
Wakati wa uchaguzi huo walijitokeza wagombea wawili wa nafasi ya Kilanja Mkuu wa Shule, Answal Abdul na Emmanuel Mmari ambao walikuwa wakichuana nafasi hiyo. Wote ni wanasoma kidato cha tano.
Chanzo cha habari kinaeleza kuwa kampeni zilipoanza wanafunzi wa Kiislamu ambao baadhi yao ni viongozi wa msikiti uliopo shuleni hapo, walianza kumpigia kampeni mgombea wa dini yao na wa dini ya Kikristo walianza kufanya hivyo.
Habari zaidi zinaeleza kuwa wakati kampeni zikiendelea, inadaiwa Mkuu wa Shule aliwasihi wanafunzi wa Kiislamu waache kupiga kampeni kwa kufuata misingi ya dini.
Kauli hiyo ya Mkuu wa Shule inadaiwa iliwakera wanafunzi wa Kiislamu ambao walichukua uamuzi wa kumuondoa katika kinyanganyiro mgombea wa waliyekuwa wakimpigia kampeni, Answal Abdul na kubakia mgombea pekee Emmanuel Mmari.
Habari zinaeleza kuwa siku ya uchaguzi wanafunzi wote walishiriki, lakini wanafunzi wa Kiislamu licha kupewa karatasi za kupigia kura hawakuandika chochote katika karatasi hizo huku wanafunzi wa Kikristo wakipiga kura.
Baada ya uchaguzi huo, Mmari alichaguliwa kuwa Kiranja Mkuu wa shule hiyo.
Mkuu wa Shule hiyo, Ndimbo baada ya kukamilika uchaguzi huo alitangaza siku ya kuapisha viongozi wa serikali ya wanafunzi waliochaguliwa na ndipo mgogoro ulioanza.
Siku ya kuapisha viongozi hao, wanafunzi wa Kiislamu inadaiwa walimvamia Mkuu wa Shule na kumnyanganya karatasi zilizokuwa zimeandika majina ya viongozi waliopangwa kuapishwa, hali iliyozua vurugu ambazo hata hivyo, baadaye zilitulia.
Mtoa habari watu amesematangu siku hiyo wanafunzi wa Kiislamu walianza kushinikiza Mkuu wa Shule ahamishwe na kwamba hawautambui uongozi wa shule uliochaguliwa na pia hawataki walimu Wakristo shuleni hapo.
Habari zaidi zinasema kuwa vitisho viliendelea na kuwa nyakati za usiku watu wasiofahamika walikuwa wakipita na pikipiki kuzunguka mabweni na shule.
Kutokana na hali hiyo, wanafunzi wa Kikristo waliamua kuondoka shuleni hapo kurejea majumbani hadi sasa kuhofia usalama wa maisha yao.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Bagamoyo, Samuel Saliyanga, alipoulizwa alisema bodi ya shule hiyo ilikuwa inakutana jana kutoa maamuzi ya suala hilo na kwamba yeye atapata taarifa kupitia kwa Afisa Elimu ya Sekondari.
CHANZO: NIPASHE
Bora umejua kuwa 'kufungua nati ndio kushoto, which means kuharibu' lakini kufunga na kufanya iwe imara unaelekeza kulia.
Acha kujishtukia na dini yako, quran sio lugha, kinachoandikwa kulia kwenda kushoto ni kiarabu. Au ndio ule utumwa wa kiimani kwamba akisemwa mwarabu basi mnaona kasemwa mungu wenu.
hahahha ahahhaha ahahahha ahahahha ahahha kweli akili kumkichwa
mbona walikuwa hawatukimbii darasani,mbona hostel walikuwepo
kwa akili km zako ndo napata majibu kuwa na wala nguruwe wakifanya kazi waislamu huwa wanawakimbia kwa sababu ya harufu na kwenda kukaa vibarazani na kunywa kahawa.........
Umerudi kwenye hoja ya msingi!!! Kumbe kiebrania pia kinaandikwa kutoka kushoto kwenda kulia!!!! Lugha ambayo Yesu alikuwa akiitumia? Very good!!!!! Sasa kwanini mtoa mada alibeza kwa kusema dunia inatushangaa kwa maandishi yetu kutoka kushoto kwenda kulia? Yaani korani inaonekana kituko zaidi maandishi yake kwenda kushoto kuliko biblia ya kiebrania yenye maandishi kutoka kushoto kwenda kulia kama korani???? Kumbe imethibitika kuwa waislamu hubezwa kwa chuki binafsi tu!!!!! Tuanze kwanza kwa kumbeza yeus aliyetumia Lugha maandishi yake kutoka kushoto kwenda kulia kisha ndo tuje kwenye korani ili dunia itushangae sote!!!!!
kama wakristo watu wa amani kwanini wametengeneza silaha za maangamizi.jetfighter,nuclear missile,atomic bomb,bunduki,pinde,submarine .silaha zote za kuuwa wanadamu .na zinatumika.kama ni watu wa amani why did they make them.?
And they use them to kill millions of innocent peoples.
Hivi kweli bado tu tuseme nchi hii haina uDini!? Kamanda wa Polisi wa mkoa (muIslamu) anashabikia mkuu wa shule (mKristo) kukimbia akihofia maisha yake na familia yake kudhuriwa na wanafunzi wake wa kiIslamu! Aisee....kama kuna jambo JK amefanikiwa/atafanikiwa katika miaka 10 ya uRais wake basi ni kueneza chuki za kiDini!
Kumbe mbumbumbu wako wengi japokuwa wanasema wao kwa kuwa ni wakristo wana akili na wamesoma!!! Aliyekwambia kufungua nut ni kuiharibu ni nani? Wewe ndo unajiita msomi wewe? Pole sana.... na je kususu kitasa kinafungwa na kufunguliwaje? Si kutoka kulia kwenda kushoto au vice versa? kwa hiyo kama kufungua inamaanisha ni "kuharibu" je linapokuja suala la kufunga kitasa kwa kukizunguusha kutoka kushoto kwenda kulia maana yake pia hapo ni kuharibu? Pole sana wasomi wa kikristo mnaogawiwa majibu ya mitihani na Dr. ndalichako ili mfaulu vizuri kushinda wailsamu. Pole sana. Mnajifanya mnaelimu kumbe hamna kitu bali mmejaa chuki dhidi ya Waislamu!! na hasa mkigundua kuwa na wao wameelimika kama ninyi (japo wao hawapewi majibu ya mitihani bali hunyang'anywa maksi kwa kisingizio kuwa "kompyuta ilikosea"). Hamtuwezi kielimu kabisa. tunaupeo mkubwa sana japo tukivaa kanzu tunaonekana kama washamba.
Mkuu hii shule ina milikiwa na taasisi gani ya kiislamu? Naona kwa mara ya kwanza shule ya taasisi ya kiislamu ikiajili walimu wa kikiristu, ni hatua nzuri kwa kweli, nadhani ni mwamko mzuri sana, naipongeza taasisi husika. Ila sijajua kama siye wa dini ya asili tutawekwa kundi gani hapo.
but hey..slow down.NImeakuambia tamaduni zao zinawapa changamoto tofauti.Sasa unakimbia mbali mpaka kwenye chuki binafsi kwanini?Usiwe mwepesi kama waislam wengi wanaopenda kuangalia viashiria fulani kwa wengine na kukimbilia kuvitumia kusupport dini yao.
Huyo jamaa alisema hivyo kwa kutojua na pia pengine yeye binafsi hapendezi na uandishi huo.Pengine unampa shida kifikra na pia anaweza kuwa si spekee hata waislam wengi waliofundishwa kwa misingi ya kuanzia kushoto kwenda kulia,nao wanaweza kuwa hawawezi uelewa uislma maisha yao yote, na kuishia laumu wengine.
Uislam una vionjo vingi vya tamaduni,dini na imani nyingine ambvayo hata kwenye vitambu original hizo habari hazipo au ni tofauti sana.Na hii ndio inayowapa waislam shida zaidi.Kwani wana kazi ya kudanganya dunia kuwa vitabu vyao ndivyo original.Wakati kimeandikwa miaka ya karibuni kuliko wengine.
Kwa ujumla sioni kuko kuthibitika unapokusema.Jaribu jadili hoja kwa uwazi na uadilifu ndugu yangu.Ndio maana nilisema nilijualo hata kama nilijua waislam wasiopenda fikiri mbali watalitumia kama proof kuwa dini yao itakuwa ya kweli au inafanyiwa chuki na fitna.Kwa kiasi fulani mtu anaweza sema sikuwa responsible writer,ila bado nitakuwa nimesimamia kweli .Pia hii si big deal kihivyo ndugu yangu.pengine mhoji zaidi mhusika kwa nini kadharau kusoma tokea kulia.Lugha nyingi zina vitu awkward kwa mitazamo ya wengine.