Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maisha bora kwa kila mtanzania sio?hivi JK si naye aliahidi watasambaza internet kwenye shule zote? kwa hiyo watu waandamane sio?Wakuu walihaidia kila mwanafunzi wa hiyo collage atapatiwa laptop sasa naona ahadi haijatimia leo hawakuingia class asubuhi wakaanza maandamano hadi kwenye ofisi pinda sasa kijana wangu sasa hivi hapatikani sijui kipi kinaendelea
kwa hiyo tatizo ni JK sio?udom ni chuo kinacho ongozwa kifisadi pinda hawezi kutatua mgomo kwa vile mwizi wa kompuyuta ni mlacha shemeji yake na kikwete .wanaiba kuanzia pesa za wananchi mpakaka za miradi acha tunasubiri majibu ya wizi wa hela zetu kesho kutwa ulikua sio mgomo mkubwa kwa hiyo sio wa kufukuza watu .lakini mlacha wanaweza ndio kazi yake.pia subiri jumamosi utapata tarifa kamili kwa vile watu wanaofukuzwa hupigiwa simu na huchukuliwa kama wanapelekwa detation sasa mtu huwezi kukurupuka na kusema tu si unajua kwenye mgomo watu wengine hutoroka huenda mbali kwa hiyo mtu usipomuona inatakiwa ufanye uchunguzi kama kakimbia mgomo au kajifungia kafukuzwau mgomo sio kazi rahisi
point takenNdugu yangu unakuwa kama mgeni wa TZ hujui sera za hawa jamaa wa ccm.
Labda alifikiri ni kofia, kanga na mafulana. Wanafunzi sio wapumbavu kiasi hicho kuandamana bila kuwa na kigezo cha msingi. Kama Mh Pinda aliahidi na wanafunzi wanaona muda unazidi kusonga mbele bila kufanya au kuwa na mazoezi ya kutosha ni lazima wakumbushie.
kama sio anasa kwa nini kila mtanzania hana hii kitu basi?nyie mnataka mpewe ili muwe mnachati face book, but in other side offcourse laptop sio kitu cha anasa kama una uwezo wa kujinunulia mwenyewe , hivi unajua kunywa soda kwa watu wengine ni kitu cha anasa?
Hebo, hawana akili kabisa hawa wanafunzi. Na wakiendekezwa kasho wataai mkate na siagi.
Kwa ulimwengu wa Teknolojia laptop si kitu cha anasa ila wewe umeamua kuisemea mioyo ya wenzako, facebook hayo pia ni mawazo yako binafsi ila laptop kwa mwanafunzi wa elimu ya juu ni muhimu, soda ni mfano ambao hauna uwiano na hili swala mpwa
Hawawezi kufukuzwa bila kosa, lazima watapewa barua zitakazoonyesha makosa yaoJamani hali tete udom more info zinakuja asubuhi kulikuwa na taarifa wamego collage of information and virtual study sasa mgomo wao umepelekea wanafunzi kumi kufukuzwa bila hatia walikuwa wanadai laptop walizohaidiwa na pinda more to come stay tuned
kama sio anasa kwa nini kila mtanzania hana hii kitu basi?nyie mnataka mpewe ili muwe mnachati face book, but in other side offcourse laptop sio kitu cha anasa kama una uwezo wa kujinunulia mwenyewe , hivi unajua kunywa soda kwa watu wengine ni kitu cha anasa?
![]()
hizi zitawafaa ngoja nimtafute pinda tuongee dili la tenda hapa
ok, ivuga katuma aina za comp hapa down,ok chaguaMtu mzima anapopayuka kuwa laptops ni anasa, me namshangaa. Kila kitu kina mahala pake na wakati wake. Desktops kwenye vyuo vini zipo labs, ambako kunafunguliwa kwa ratiba. Remember hiyo ni college inayo deal na IT, it demands practise to be competent. Dont call laptops Anasa!! Labda kwa watu wanaosoma mambo mengine.
![]()
hizi zitawafaa ngoja nimtafute pinda tuongee dili la tenda hapa
au apple i-mac nini?
![]()
oo nop. i pad zitawafaa zaidi
![]()
watu wamefukuzwa chuo then unadai kuwa thread ni ya kitoto?sichangii hii sredi imekaa kitotototo sana