UDOM hapakaliki; wanafunzi kumi wamefukuzwa bila kosa

UDOM hapakaliki; wanafunzi kumi wamefukuzwa bila kosa

Kwani hao ni wasomi au VICHOMI tu?Wasomi huwa hawakurupuki mkuu

wawe kama wasomi wa udsm bana,wale jamaa wakat wanadai 10000 kwa siku walienda wakawapga maprofesa wao na wanafunz wa masters na kusababsha m1 kupata miscarriage,huo ndo mgomo wa kisomi bana.
 
Kwani hao ni wasomi au VICHOMI tu?Wasomi huwa hawakurupuki mkuu

wewe inanekana hukusoma au elimu yako ni bookish,unakurupuka kuandika,hata mada yenyewe hujui.Sasa kichomi si ni wewe unayeshindwa kutoa hoja nakufanya fitina humu.
 
wawe kama wasomi wa udsm bana,wale jamaa wakat wanadai 10000 kwa siku walienda wakawapga maprofesa wao na wanafunz wa masters na kusababsha m1 kupata miscarriage,huo ndo mgomo wa kisomi bana.

Udsm wanadai sh 10000 wanapewa kuponi alafu unawataja humu?
 
kwani hao ni wasomi au vichomi tu?wasomi huwa hawakurupuki mkuu

wawe kama wasomi wa udsm bana,wale jamaa wakat wanadai 10000 kwa siku walienda wakawapga maprofesa wao na wanafunz wa masters na kusababsha m1 kupata miscarriage,huo ndo mgomo wa kisomi bana.

wewe inanekana hukusoma au elimu yako ni bookish,unakurupuka kuandika,hata mada yenyewe hujui.sasa kichomi si ni wewe unayeshindwa kutoa hoja nakufanya fitina humu.

udsm wanadai sh 10000 wanapewa kuponi alafu unawataja humu?

ahadi ni deni jamani.... **** 'em up
nyie jamaa , badala ya kutetea hoja zenu na kutoa information ili tuwasaidie nyie ndio mnatukakam sio fresh hata kidogo , hivi hatutafika
 
wewe inanekana hukusoma au elimu yako ni bookish,unakurupuka kuandika,hata mada yenyewe hujui.Sasa kichomi si ni wewe unayeshindwa kutoa hoja nakufanya fitina humu.

sawa mkuu hata kihiyo tu nae ni msomi
 
wewe inanekana hukusoma au elimu yako ni bookish,unakurupuka kuandika,hata mada yenyewe hujui.Sasa kichomi si ni wewe unayeshindwa kutoa hoja nakufanya fitina humu.

sawa mkuu hata kihiyo tu nae ni msomi
 
wewe inanekana hukusoma au elimu yako ni bookish,unakurupuka kuandika,hata mada yenyewe hujui.Sasa kichomi si ni wewe unayeshindwa kutoa hoja nakufanya fitina humu.

sawa mkuu hata kihiyo tu nae ni msomi
 
Wanadai Laptops? Duu hi kali, hii imenikumbusha kipindi hicho nipo secondary o'level, vurugu za kudai kupikiwa wali.
 
Udsm wanadai sh 10000 wanapewa kuponi alafu unawataja humu?

afadhari ya hao udsm wanao dai sh. 10000, wanape kuponi, kuliko hao wanaodai laptop! Ukistaajabu ya musa...
 
WHAT IS NOT GOING ON RIGHT AT UDOM ALL THIS TIME????

Kuna kila dalili kwamba pale UDOM kuna leadership incompetency, CCM chauvinism in professional activities and outright elements of corruption that daily keep the ping pong between and among the teaching staff as well as students.

An eagle eye by JF most seriously need to strain itself on this university. Fukuza fukuza hii something is seriously wrong somewhere. And in my hypothesis here, it could all come out in NOT A DISTANT FUTURE that the person who is currently chasing others from UDOM is but the very candidate who ought to have been pointed out to the UDOM-Gates long time ago.

Nasema UDOM kuna tatizo!!!
 
Hizo laptop ziliahidiwa siku nyingi sana, na wala hazijawahi kuonekana sijui ndio uchakachuaji LAKINI YOTE HAYA ANASABABISHA MLACHA INABIDI WAMVUE GAMBA ili chuo kiondokane na migomo.
 
YA WANAFUNZI 27 UDOM KAMA YA BOUAZIZI KULE TUNISIA: SUBIRINI MTAONA MAJUMUISHO YAKE KITAFA ZIMA HIVI KARIBUNI!!!

Nadhani katika hili umenena na hivyo pindi hawa wanafunzi 27 watakapowaendea kituo chochote cha wanaharakati nchini na kutufafanulia undani wa nini kinachoendelea pale UDOM basi nadhani wengi huenda wakashangazwa suala hili linapobadilika ghafla na kuwa suala la kitaifa endapo POLITICAL CONVICTION AND ALIGNMENT is the immediate cause.

Wala sitoshangaa serikali mbalimbali za wanafunzi nchini, BAVICHA, CDM, Mhe Julius Mtatiro wa CUF, Zitto Zuberi Kabwe, Mzee Mwenyewe wa siasa za vyuo vikuu huko nyuma Mhe James Mbatia wakilichukulia uzito unaostahili hili jambo ambalo sehemu ya uongozi UDOM huenda inalichezea miythili ya mtoto na kipande cha kaa la moto mkononi!!!

Nasema wala sitoshangaa Dr Mumbo wa UDASA wakihoji rationale iliotumika kuwafukuza wanafunzi hawa. Pengine wanafunzi wa vyuo vikuu vya huko Arusha na Iringa wakapendezewa kujua undani wa suala hili hata kabla Waziri Nyambari Nyangwini hajastukia danger iliomo mle.

Nasema tena, UDOM huenda kuna shida kubwa kuliko hata gamba la nyoka kuvuliwa!!!!

Poleni sana wadogo zangu lakini ili kufikia demokrasia ya KWELI ni lazima kuwe na Sacrifice...so iwapo CCM Wanawanyanyasa wanavyuo wenye mlengwa wa CDM ..Then tuchukulie kama COST OF DEMOCRACY na kuangalia watasaidiwaje hata KISHERIA iwapo wananafunzi wana ushahidi wa kutosha
 
wawe kama wasomi wa udsm bana,wale jamaa wakat wanadai 10000 kwa siku walienda wakawapga maprofesa wao na wanafunz wa masters na kusababsha m1 kupata miscarriage,huo ndo mgomo wa kisomi bana.

Kujua tatizo na namna ya kulishughulikia ni hatua muhimu kuelekea kupata ufumbuzi wa tatizo. Vijana mara nyingi wanakuwa na madai ya msingi, lakin wanakosa maarifa ya jinsi ya kushughulikia matatizo yao. Hawamjui mchawi wao. Kwa mfumo wa vyuo vikuu nchini, sioni waalimu(maprofesa) wanahusika vipi na madai ya wanafunzi.Si kila mhadhiri ni kiongozi chuoni(mtawala), kwa hiyo sioni mantiki ya kushashadidia kupigwa wahadhiri.

Ili vijana wapate watu wa kuwaunga mkono, ni lazima wajitofautishe na wahuni. Yaani, unakuta kuna mgomo wa kudai allowances,lakin wakati wa mgomo watu wanavunja vioo, milango na madirisha-eti wana hasira! Kwa kitendo kama hicho, ni ngumu kupata watu wa kuwatetea na hata madai yenu hayawezi kusikilizwa na hivyo kuishia kufukuzwa chuo. Ni kweli kuna ubabaishaji kuhusiana na mikopo ya elimu ya juu kwa sasa, na pia kugoma na kuandamana ni haki yenu, lakin busara lazima itumike badala ya ghadhabu. You can not continue acting like loose canons-firing in all directions!
 
jamani sio fair wanavyowafukuza,tumechoka kuelezwa sipiyu wataifahamu lini?solution ni kujifunza kwa vitendo na ni haki yao kupata elimu bora sio bora elimu
 
Hebo, hawana akili kabisa hawa wanafunzi. Na wakiendekezwa kasho wataai mkate na siagi.
Mkuu naona wewe unaenda mbali sana!tatizo hapa ni ahadi hewa,hawa jamaa hawakujiahidi bali waliahidiwa!!
 
Back
Top Bottom