Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
chambueni kwa makin madai ya wanafunzi hawa,sio unatoa coment ya kishoga hapa
mavuno ya kujihusisha na siasa ndio haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chambueni kwa makin madai ya wanafunzi hawa,sio unatoa coment ya kishoga hapa
Pia kuna tetesi kuwa kuna fedha za chama fulan zimemwagwa chuoni hapo kuhakikisha watu wao wanashika nafasi za juu katika serikali ya wanafunzi! Kutimiza adhma hiyo fomu za kugombea nyadhifa hizo zimepanda toka 50,000/= hadi 750,000/=
IT ndio nini wewe? acha ushamba , nani kakuambia kuwa kusoma IT ndio inabidi watu wakuhusudu kama king? who are you by the way?nenda uarabuni watakununulia laptop unayoitaka , lakini sio serikali ya Tanzania
you monkey, no one will come and buy laptop 4 you, thats dream, go and ask your parents .Pinda is not your dad.
IT ndio nini wewe? acha ushamba , nani kakuambia kuwa kusoma IT ndio inabidi watu wakuhusudu kama king? who are you by the way?nenda uarabuni watakununulia laptop unayoitaka , lakini sio serikali ya Tanzania
yo homo,i know pinda isnt my dad but he is a pm,n he promised them
IT ni information technology,hawa jamaa wanasoma mambo ya computer science so how do u xpect them 2 xcel in their field without laptops,.acha ushoga ndugu.
kumbe watanzania wengi ha2jui alafu ha2jui kma ha2jui hapo wa2 wanataka kupewa laptopz cz ni haki yao ipo kwenye special requirement ambapo kila mwanafunz anatakiwa kupewa and at da end of day wanalipa so kma hawatapewa meanz ata da end watalipa k2 ambacho hawaja2mia
tatizo madai yao wameyatoa by feelings not reasoning kibaka wewe toka lini ahadi ya mwanasiasa ikatimia?hyo enternet ya bure unayotumia hapo ofsini iskufane uwe unapost upupu wako hapa jitahdi kuandika vitu vya msingichambueni kwa makin madai ya wanafunzi hawa,sio unatoa coment ya kishoga hapa
Dah! Mambo mengine bwana.
Sasa hao madogo wanahisi ni wao tu wanahitaji laptops au?
Tz sahv kuna vyuo vingapi vinavyofundisha IT! Wao je hawaitaji?
Vipi na course zingine inamaana hawana umuhimu na laptops au!!
Mawazo yako ni mazito kana kwamba yamelemewa sana kamavile kuna mimba kichwani, hadi kufikiri huwezi?. Wanafunzi hata kama ni wachache wanahaki zao inabidi wazidai,nanjia iliyo tumika nisahii, vyuo vingine kama wanatatizo la hivi na hawadai ni maboya. Labda jaribu tu kuwa shauri jinsi ya kutetea wenzao.
Ha ha ha, ahadi katoa mwingine ninyi huku mnabishana, I can see now great thinkers are at work.
Mawazo yako ni mazito kana kwamba yamelemewa sana kamavile kuna mimba kichwani, hadi kufikiri huwezi?. Wanafunzi hata kama ni wachache wanahaki zao inabidi wazidai,nanjia iliyo tumika nisahii, vyuo vingine kama wanatatizo la hivi na hawadai ni maboya. Labda jaribu tu kuwa shauri jinsi ya kutetea wenzao.
we bora usingeandika chochote
nyie madogo bado tu hamjapewa laptop zenu? na mbona sijasikia mishe mishe na migomo ili wale waliofukuzwa warudi? au mnaogopa kurudi kwenu vijijini/mijini?unajua usilo lijua ni kama usiku wa giza wewe unaye wapinga wanafunzi wa informatics unakosea kumbuka kwamba shiling inapande mbili je umekutana wa wanafunzi na kuwa uliza wamegomea laptop,swala sio laptop kwani iliposhindika swala la laptop ilibidi kila mwana funzi apatiwe TSH 350,000/= cha ajabu kila mwanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili waliambiwa wasaini Tsh 50,000 badala ya 350,000 na mwaka wa tatu wao awakupewa
Mawazo yako ni mazito kana kwamba yamelemewa sana kamavile kuna mimba kichwani, hadi kufikiri huwezi?. Wanafunzi hata kama ni wachache wanahaki zao inabidi wazidai,nanjia iliyo tumika nisahii, vyuo vingine kama wanatatizo la hivi na hawadai ni maboya. Labda jaribu tu kuwa shauri jinsi ya kutetea wenzao.