UDOM hapakaliki; wanafunzi kumi wamefukuzwa bila kosa

UDOM hapakaliki; wanafunzi kumi wamefukuzwa bila kosa

This TOO SERIOUS a matter that need to be thoroughly investigated by caring media sections and non-governmental organisations to make headway with the whole issue.

It is a clear affront to the basic human rights; an affront to FREEDOM OF ASSOCIATION, FREEDOM OF SPEECH and more so an assault on the very purpose of why people need to acquire university education - if at all the results were to be true.

I think this tells a rather bigger story as to why most of us that take entire studies locally are often too timid, dull to appreciate issues freely and rampant lack of critical thinking by higher magnitudes.

Professor Mlach, with this do you really trust and believe that you could be preparing so well our brothers and sisters for a first-rate global competitiveness both in the job and own-business markets???

Think about a lot deeper mzee.

Pia kuna tetesi kuwa kuna fedha za chama fulan zimemwagwa chuoni hapo kuhakikisha watu wao wanashika nafasi za juu katika serikali ya wanafunzi! Kutimiza adhma hiyo fomu za kugombea nyadhifa hizo zimepanda toka 50,000/= hadi 750,000/=
 
IT ndio nini wewe? acha ushamba , nani kakuambia kuwa kusoma IT ndio inabidi watu wakuhusudu kama king? who are you by the way?nenda uarabuni watakununulia laptop unayoitaka , lakini sio serikali ya Tanzania

we ****** nilijua 2 hutanielewa,peleka ushoga wako huko
 
IT ndio nini wewe? acha ushamba , nani kakuambia kuwa kusoma IT ndio inabidi watu wakuhusudu kama king? who are you by the way?nenda uarabuni watakununulia laptop unayoitaka , lakini sio serikali ya Tanzania

IT ni information technology,hawa jamaa wanasoma mambo ya computer science so how do u xpect them 2 xcel in their field without laptops,.acha ushoga ndugu.
 
jamani hamjawafahamu kwamba huu uongozi wa chichiemu ni wamajibu mepesi kwenye maswali magumu....ndiyo maana wakiambiwa black market wanamaind....ndugu zangu wa info jitahidini kuwarudisha wenzenu...
 
IT ni information technology,hawa jamaa wanasoma mambo ya computer science so how do u xpect them 2 xcel in their field without laptops,.acha ushoga ndugu.

unaona ulivyo na akili fupi?mimi nimesema IT ndio nini sio kwamba sijui maana ya IT im a programmmer if you dont know and dont think that im a fool like you demanding laptop from CCM, you was supposed to demand laptop before election, but now is even less than a year just after election, dont you think that ya a fool?
who told you that IT is laptop? or without laptop you cant study IT? na tuache kutukanana hapa ndugu yangu, mimi sipingi wewe kuwa na laptop...na nataka kabisa ununuliwe hiyo laptop bcoz nchi ina hela na rasilimali nyingi tu.hapa ninachopinga ni nyinyi kuandamana na kusababisha baadhi yenu kufukuzwa shule kwa sababu ya ndoto za Alinacha,
 
kumbe watanzania wengi ha2jui alafu ha2jui kma ha2jui hapo wa2 wanataka kupewa laptopz cz ni haki yao ipo kwenye special requirement ambapo kila mwanafunz anatakiwa kupewa and at da end of day wanalipa so kma hawatapewa meanz ata da end watalipa k2 ambacho hawaja2mia
 
kumbe watanzania wengi ha2jui alafu ha2jui kma ha2jui hapo wa2 wanataka kupewa laptopz cz ni haki yao ipo kwenye special requirement ambapo kila mwanafunz anatakiwa kupewa and at da end of day wanalipa so kma hawatapewa meanz ata da end watalipa k2 ambacho hawaja2mia

hapo mkuu nimekupata, kama hii kitu ipo kwenye special requirement basi ni haki yenu ya msingi kupata
 
chambueni kwa makin madai ya wanafunzi hawa,sio unatoa coment ya kishoga hapa
tatizo madai yao wameyatoa by feelings not reasoning kibaka wewe toka lini ahadi ya mwanasiasa ikatimia?hyo enternet ya bure unayotumia hapo ofsini iskufane uwe unapost upupu wako hapa jitahdi kuandika vitu vya msingi
 
Dah! Mambo mengine bwana.
Sasa hao madogo wanahisi ni wao tu wanahitaji laptops au?
Tz sahv kuna vyuo vingapi vinavyofundisha IT! Wao je hawaitaji?
Vipi na course zingine inamaana hawana umuhimu na laptops au!!
 
Dah! Mambo mengine bwana.
Sasa hao madogo wanahisi ni wao tu wanahitaji laptops au?
Tz sahv kuna vyuo vingapi vinavyofundisha IT! Wao je hawaitaji?
Vipi na course zingine inamaana hawana umuhimu na laptops au!!

Mawazo yako ni mazito kana kwamba yamelemewa sana kamavile kuna mimba kichwani, hadi kufikiri huwezi?. Wanafunzi hata kama ni wachache wanahaki zao inabidi wazidai,nanjia iliyo tumika nisahii, vyuo vingine kama wanatatizo la hivi na hawadai ni maboya. Labda jaribu tu kuwa shauri jinsi ya kutetea wenzao.
 
Mawazo yako ni mazito kana kwamba yamelemewa sana kamavile kuna mimba kichwani, hadi kufikiri huwezi?. Wanafunzi hata kama ni wachache wanahaki zao inabidi wazidai,nanjia iliyo tumika nisahii, vyuo vingine kama wanatatizo la hivi na hawadai ni maboya. Labda jaribu tu kuwa shauri jinsi ya kutetea wenzao.

Ha ha ha, ahadi katoa mwingine ninyi huku mnabishana, I can see now great thinkers are at work.
 
unajua usilo lijua ni kama usiku wa giza wewe unaye wapinga wanafunzi wa informatics unakosea kumbuka kwamba shiling inapande mbili je umekutana wa wanafunzi na kuwa uliza wamegomea laptop,swala sio laptop kwani iliposhindika swala la laptop ilibidi kila mwana funzi apatiwe TSH 350,000/= cha ajabu kila mwanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili waliambiwa wasaini Tsh 50,000 badala ya 350,000 na mwaka wa tatu wao awakupewa
 
Mawazo yako ni mazito kana kwamba yamelemewa sana kamavile kuna mimba kichwani, hadi kufikiri huwezi?. Wanafunzi hata kama ni wachache wanahaki zao inabidi wazidai,nanjia iliyo tumika nisahii, vyuo vingine kama wanatatizo la hivi na hawadai ni maboya. Labda jaribu tu kuwa shauri jinsi ya kutetea wenzao.

we bora usingeandika chochote

unajua usilo lijua ni kama usiku wa giza wewe unaye wapinga wanafunzi wa informatics unakosea kumbuka kwamba shiling inapande mbili je umekutana wa wanafunzi na kuwa uliza wamegomea laptop,swala sio laptop kwani iliposhindika swala la laptop ilibidi kila mwana funzi apatiwe TSH 350,000/= cha ajabu kila mwanafunzi wa mwaka wa kwanza na wa pili waliambiwa wasaini Tsh 50,000 badala ya 350,000 na mwaka wa tatu wao awakupewa
nyie madogo bado tu hamjapewa laptop zenu? na mbona sijasikia mishe mishe na migomo ili wale waliofukuzwa warudi? au mnaogopa kurudi kwenu vijijini/mijini?
na kama mshapewa hizo laptop wenzenu waliofukuzwawanarudui lini?
 
Mawazo yako ni mazito kana kwamba yamelemewa sana kamavile kuna mimba kichwani, hadi kufikiri huwezi?. Wanafunzi hata kama ni wachache wanahaki zao inabidi wazidai,nanjia iliyo tumika nisahii, vyuo vingine kama wanatatizo la hivi na hawadai ni maboya. Labda jaribu tu kuwa shauri jinsi ya kutetea wenzao.

nyie madogo wa college ya informatics mnajiaibisha na mnavyojibu pumba hapa. Akili yangu ina mimba, yako ishajifungua mapacha. Jibu hoja vizuri sasa.
Hebu kwanza gomeni tena wenzenu warudi. Halafu kuna mwalimu wenu mmoja ameniambia tofauti na information mliyoileta hapa. Sijui yupi mkweli.
Poleni.
 
Back
Top Bottom