Hao wanafunzi wa college nyingine wanasubiri nini. I understand that kule educatio ndo kuna tatizo kubwa la miondombinu hasa maji wanatakiwa waungane wote pamoja kudai haki. Nimeshangazwa sana na hili suala na kutokwenda mafunzo kwa vitendo!!! Inakuaje mwanafunzi anamaliza miaka 3 hajafanya mafunzo kwa vitendo? Hiyo assessment inafanyika vipi! Hao watakua wahitimu wa chuo kikuu au sekondari. Serikali iache uswahiba hao viongozi wa juu wanapaswa kuchunguzwa inawezekana wanafanyia biashara pesa za wanafunzi.