UDOM na PhD kwa wanasiasa. Nini chanzo cha mchezo huu katika elimu ya nchi hii?

UDOM na PhD kwa wanasiasa. Nini chanzo cha mchezo huu katika elimu ya nchi hii?

Jaffo alikuwa na degree ya kwanza ya mapishi sasa hii ya sasa hivi sijui ni PHD ya Mazingira.
Swala LA Elimu limekuwa rahisi sana kwa Tanzania.
Degree ya Kwanza ya Jafo sio ya mapishi. Ni degree haswa ni Bsc human nutrition SUA . Usilione jina la degree ukafikiri ni degree ya kwenda na kurudi nayo SUA Ile ni pure science kuna mambo magumu mule mengi mfano Biochemistry, mathematics n.k. ungehoji hiyo PhD basi Ila first degre lile ni jiwe hasa pia kusoma first degree ya kitu Fulani haikulazimishi na master au PhD usomee hicho hicho . Unaweza kusoma mambo mengine kama entry requirements zinakuruhusu. Ila elimu nyingine napata wasiwasi nayo ni Ile ya OPEN University mtu anapataje nafasi ya Kusoma, kufanya assignment, quiz , kufanya mitihani, lab work na kufanya research ilhali hayupo chuoni
 
Msihofu, ipo siku tutachukua nchi alafu tutahakikisha hizo PhD tunazifuta zote. Ngoja wajidai leo😃😃😃😃
 
Degree ya Kwanza ya Jafo sio ya mapishi. Ni degree haswa ni Bsc human nutrition SUA . Usilione jina la degree ukafikiri ni degree ya kwenda na kurudi nayo SUA Ile ni pure science kuna mambo magumu mule mengi mfano Biochemistry, mathematics n.k. ungehoji hiyo PhD basi Ila first degre lile ni jiwe hasa pia kusoma first degree ya kitu Fulani haikulazimishi na master au PhD usomee hicho hicho . Unaweza kusoma mambo mengine kama entry requirements zinakuruhusu. Ila elimu nyingine napata wasiwasi nayo ni Ile ya OPEN University mtu anapataje nafasi ya Kusoma, kufanya assignment, quiz , kufanya mitihani, lab work na kufanya research ilhali hayupo chuoni
Kwa nini ni sahihi kama angehoji PhD? Kwa kuwa imetoka Udom?
 
Kuna jamaa anaitwa Msemakweli alishtukia hizo PhD za mchongo akatoa na kitabu wahusika hawakuchukuliwa hatua zozote.Sasa watanzania wameona kuwa ili upate uteuzi au madaraka makubwa ya kisiasa na kiserikali basi lazima jina lako lianze na Dr of Professor .Hata kwenye vikao vyetu vya mtaani ni ujiko sana mtu kuitwa Doctor .Tuseme ukweli nani hataki kuitwa Doctor.Big up wenye PhD za kweli na za mchongo.Kwahiyo Mzee Mwandosya atulie pale wazee waliopoanzia vijana wanamalizia nao wanataka kula keki ya Taifa.
Acha wivuu
 
UDOM si chuo cha kupeleka mwanao, kila Kona ni utumbo si katika ndaki si utawala mkuu, yani ni hovyo mpaka unajiuliza ni chuo kikuu au ni primary iliyochangamka
 
Hivi jamani hawa wastaafu huwa hawachoki? Sinde Warioba, Cleopa Msuya JK na wengine, kwa nini msikatae hizo nafasi? Kwani hakuna maprofesa waliostaafu toka vyuoni kama kina Mwandosya, na wengine wakapewa hizo nafasi jamani?? Wanasiasa hawa sijui kama wanasaidia hivi vyuo sana
Kwani hao maprofesa wastaafu wao hawachoki?
 
Biteko na Jaffo kutwa wako kwenye kazi za uwaziri, na kwa kipindi cha Mwendazake wizara zao(madini na TAMISEMI) pamoja na ya Nishati zilikuwa ndiyo mawaziri wako "on the move 24/7". Wanapata wapi muda wa kufanya utafiti chini ya Magufuli?

Labda kwa vile Magufuli naye PhD yake ilikuwa ya hivyo hivyo pengine alibariki UHUNI huu wa PHD mchongo. Wananunua tu, hamna namna wanaweza kufanikisha kwa miaka 4.

Ni bora usome Master's degrees hata 2 kwa sasa kuliko PhD kwa watu wasio vyuoni au kwenye tafiti. Hizi PhD zimepoteza hadhi na ndiyo maana hata yule mjinga wa darasa la Saba kutoka Geita ameagiza ya kwake kwa USD 500 na kapewa.

Nashauri ikiwezekana TCU ifanye academic audit ya haya matakataka ya UDOM na ikikuta kuna mianya iwachukulie hatua stahiki
[emoji28][emoji1][emoji2][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mamlaka husika zijitakari,ili kuleta heshima na weledi katika taaluma.TCU sijui Kama Wana misuri ya kuingilia Kati shahada zinazotolewa kwa waheshimiwa.
 
Kwa hiyo UDOM kimefanywa chaka la kutoa PhD za mchongo kwa wanasihasa..........ni kiwanda cha kufyatua akina Dr. Msukuma, hatari sana tunaua thamani ya elimu kwa kujifanya hamnazo.
 
Hivi jamani hawa wastaafu huwa hawachoki? Sinde Warioba, Cleopa Msuya JK na wengine, kwa nini msikatae hizo nafasi? Kwani hakuna maprofesa waliostaafu toka vyuoni kama kina Mwandosya, na wengine wakapewa hizo nafasi jamani?? Wanasiasa hawa sijui kama wanasaidia hivi vyuo sana
Mwandosya anafaa sana.
 

Mwandosy alikuwa mwenyekiti wa bodi ya chuo Mwalimu Nyerere memory academy kama sikosei akakosana na mwendazake akafurushwa kwa spidi ya wahuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio PHD tu hadi master wanapewa kuna jamaa alisomaga hapo alishangaa siku ya graduation eti wapo na simbachawene naye amegraduate wakati hakuwahi kumuona hata siku moja class.
Akawauliza jamaa wa evening program wakasema hawajawahi kumuona.
Wakati huo simbachawene naibu waziri wa nishati muda mwingi alikuwa dsm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SUA huwa wako strictly na huwa hawajipendekezi kwa wanasiasa ma orof wamejikita kwenye kuandika miradi na tafiti so hawana njaa ya kujipendekeza kwa wanasiasa Ili wateuliwa, Mimi mwanasiasa aki graduate SUA, nitaamini hyo PhD yake
Kweli SUA wako vizuri sana.
 
wakuu wa vyuo wanajidhalilisha kwa njaa zao za kupenda teuzi.vyuo vyetu sasa vimeguka majalala ya kutoa Phd feki.nashangaa mkuu wa UDOM alikuwa mwalimu wangu pale chuo cha ushirika moshi enzi hizo na baadaye tukakutana tena enzi ya MUcoBs na alikuwa very smart lkn namshanga kapelekwa UDOM kabadilika kabisa.sijui nn kimempata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njaa.
 
Back
Top Bottom