UDOM na PhD kwa wanasiasa. Nini chanzo cha mchezo huu katika elimu ya nchi hii?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaffo alikuwa na degree ya kwanza ya mapishi sasa hii ya sasa hivi sijui ni PHD ya Mazingira.
Swala LA Elimu limekuwa rahisi sana kwa Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaffo alikuwa na degree ya kwanza ya mapishi sasa hii ya sasa hivi sijui ni PHD ya Mazingira.
Swala LA Elimu limekuwa rahisi sana kwa Tanzania.
My country people[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Muhas nani aende shule serious kiasi hicho, au aende SUA, shule haitaki mbwembwe, zamani walikuwa wanaendaga Open university Sasa hivi wanakimbilia Udom, kwenye mtelezo wa Ganda la ndizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jafo kaandika kuhusu mambo ya Education na ka copy title ya Mkenya ka ilivo sema yeye akaweka tu Tanzania, ikawa imeisha hyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengi wanaokoment hapa ni vilaza na wasiojua nini maana ya PhD. Kama unaona PhD wanaichukua tu si nenda na wewe ukaichukue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akina Shabani Mlacha sijui yuko wapi siku hizi yule mpuuzi.
 
Dr. Nchimbi, sikumbuki vzr kama Master yake au Udr yenye utata. Lkn alitunukiwa SUA
 
.... kama vipi, PhD's za Jafo na Biteko zipelekwe vyuo huru vya nje kuhakikiwa kama kweli zina-qualify kuwa PhD's.
Tanzania ni nchi huru na ina viwango vyake vya Phd ambavyo ni bora na tofauti na vile vya mabeberu, kigezo ni lazima uwe mwanaccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…