Wanacheza na kitu sensitive Cha elimu, hafu PhD wengi ni wabovu kiutendaji, wanazidiwa uwezo Hadi na bachelor, PhD with zero impacts in society's ni useless kabisa, Sasa wanasiasa wanaitumia hyo ka ngazi huku ni vilaza wa kutupwaHii nchi hua nasema..viongozi wake wanalaana..wanaitia unajisi hii nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Hawabebi watu hovyo hovyo, Sasa madilu yenyewe alifanyiwa yake udsm na aliyemfanyia haja malizia kumlipa hela yakeKweli SUA wako vizuri sana.
Hafu huyo shingongo Kuna siku alikuwa anahutubia first year na kuwaambia yeye ni la saba ila Sasa hivi anasoma Masters yake Tumaini, hivi huyu mfano wake si una discourage elimu sahihi na sio hyo yake ya mchongo, no wonder udsm walimnyima admission ya master's.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona ime discusiwa kwenye nyuzi humu Hadi na title take utafte huo Uzi mkuuWeka ushahidi hapa
Miaka 18 mbali itakuchelewesha siku hizi ni kuanzia chipukzi ama uwe na baba mleziUdogoni tafuta pesa achana na shule ukubwani unajipatia PhD yako ,walimu wako hoi mifukoni
Entry requirement uwe na kadi yachama Cha ccm toka miaka 18
Wewe utakua mmoja waoKila chuo kina utaratibu wake, kama mwanafunzi ametimiza matakwa ya utaratibu huo anapewa degree yake.
Kwa kweli inasikitisha sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hafu huyo shingongo Kuna siku alikuwa anahutubia first year na kuwaambia yeye ni la saba ila Sasa hivi anasoma Masters yake Tumaini, hivi huyu mfano wake si una discourage elimu sahihi na sio hyo yake ya mchongo, no wonder udsm walimnyima admission ya master's.
Mark angekua ndio Chancellor wa let say UDOM ama UD hapo, wangezisikia tu kama hawazifanyii academic hours. Mwamdosya for ChancellorMwandosya anafaa sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tanzania ni nchi huru na ina viwango vyake vya Phd ambavyo ni bora na tofauti na vile vya mabeberu, kigezo ni lazima uwe mwanaccm.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hangaya naye atapewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee khaaaah sasa ndo nn iv lolHawabebi watu hovyo hovyo, Sasa madilu yenyewe alifanyiwa yake udsm na aliyemfanyia haja malizia kumlipa hela yake
Mwinyi ambaye hata kuongea amesahau anamuduje kuongoza baraza la chuo? Mabadiliko yanahitajika, SASHA nakuomba unisikie.Walioanza siyo tu UDOM, ni UDSM na OUT. SUA sijawahi kuwasikia wakitoa digrii za kisiasa kwa wanasiasa. Kwa ufupi wanasiasa wanaharibu elimu ya nchi hii kwa kushirikiana na viongozi wa vyuo ambao wanapewa kuviongoza kisiasa. Cheo cha Vice Chancellor (VC) ni muhimu sana ktk uongozi wa chuo cha kitaaluma, bahati mbaya nafasi hiyo sasa wanapewa kutokana na uhusiano wao na wanasiasa. Hii ni kwa vyuo vyote vya serikali; ARDHI, UDSM, SUA, MUHAS, NM-AIST, Mzumbe pamoja na colleges zote! Nasema zote! Watu wanateuliwa hata bila uwezo na kupewa kwa sababu ya kupendana na wanasiasa. wengine hata uhusiano wao na wananchi mitaani ni kama 'wahuni' anaowasma ndg. Polepole. Cheo cha juu ni Chancellor ambacho pia kinashikiliwa na wanasiasa kwa vyuo vyote;
UD - Jakaya Kikwete
SUA - Sinde Warioba
Mzumbe -Mohammed Shein
MUHAS -Ali Hassan Mwinyi
ARDHI -Cleopa Msuya, sasa ni Othman Chande
Sasa wanasiasa wantaka PhD! Vyuo vinawasaidia kwa nguvu zote ili wapate Ph.D. Bahati mbaya sana UDOM imekuwa ni kinara wa kutoa digrii hizi. Nini Sababu kubwa?
Maoni yangu ni kwamba UDOM imekuwa ni chuo cha kufurahisha wanasiasa badala ya taaluma. UDOM ilianza vibaya na sasa inaendelea vibaya. ilianza na viongozi kutoka UD, waliokuwa wameshindikana kuishi na wenzao kijamii, wakapewa nafasi kirafiki, kisiasa. Hata wanafunzi wa digrii ya kwanza wanafundishwa kwa ubora wa matatizo tu, halafu tunashangaa kusikia wakiwa bize na ngono na waalimu wao. Kwa Ph.D Wanakiuka hata sheraia zao za ki-taaluma.
Jafo na Biteko wamepewa Ph.D bila kutimiza vigezo vya kitaaluma. Hawajafanya tafiti za kuwawezesha kupata Ph.D. pia hawajatoa machapisho kutokana na tafiti zao kama zilivyo taratibu za chuo. Mbaya zaidi, Ph.D zao zimeandikwa na wanataaluma hao hao wanaotakiwa kuwasimamia na wataandika machapisho kwamba ni ya wanafunzi wao wanasiasa, kumbe ni wao wenyewe waalimu. Hii ni aibu ya kitaaluma na ni aibu ya kisiasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] std 7, ghafla degree? Sasa ordinary na advance level kasoma mda gan?Hafu huyo shingongo Kuna siku alikuwa anahutubia first year na kuwaambia yeye ni la saba ila Sasa hivi anasoma Masters yake Tumaini, hivi huyu mfano wake si una discourage elimu sahihi na sio hyo yake ya mchongo, no wonder udsm walimnyima admission ya master's.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Miaka 18 mbali itakuchelewesha siku hizi ni kuanzia chipukzi ama uwe na baba mlezi
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Huyu baba nilikua najua anakua mrithi wa JK pale kwenye jumba jeupe, aaaah sijui hata alikutwa na nn, maskini wee.Mark angekua ndio Chancellor wa let say UDOM ama UD hapo, wangezisikia tu kama hawazifanyii academic hours. Mwamdosya for Chancellor
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Tena ktk chuo kilichobeba idara muhimu (afya) muhimbili, hii nchii ina futuhi hadi bas lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwinyi ambaye hata kuongea amesahau anamuduje kuongoza baraza la chuo? Mabadiliko yanahitajika, SASHA nakuomba unisikie.
Just think of Ali H. Mwinyi, a person in his 90's; can't even remember his name yet still leads the university!! 'Wonders shall never end'Hivi jamani hawa wastaafu huwa hawachoki? Sinde Warioba, Cleopa Msuya JK na wengine, kwa nini msikatae hizo nafasi? Kwani hakuna maprofesa waliostaafu toka vyuoni kama kina Mwandosya, na wengine wakapewa hizo nafasi jamani?? Wanasiasa hawa sijui kama wanasaidia hivi vyuo sana
Anadegree toka wapiUnashangaa PHD !!!!mimi mpaka leo naishangaa bachelor degree ya Shigongo
We naye utapewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]