UDOM na PhD kwa wanasiasa. Nini chanzo cha mchezo huu katika elimu ya nchi hii?

Hii nchi hua nasema..viongozi wake wanalaana..wanaitia unajisi hii nchi.

#MaendeleoHayanaChama
Wanacheza na kitu sensitive Cha elimu, hafu PhD wengi ni wabovu kiutendaji, wanazidiwa uwezo Hadi na bachelor, PhD with zero impacts in society's ni useless kabisa, Sasa wanasiasa wanaitumia hyo ka ngazi huku ni vilaza wa kutupwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hafu huyo shingongo Kuna siku alikuwa anahutubia first year na kuwaambia yeye ni la saba ila Sasa hivi anasoma Masters yake Tumaini, hivi huyu mfano wake si una discourage elimu sahihi na sio hyo yake ya mchongo, no wonder udsm walimnyima admission ya master's.
 
Kwa kweli inasikitisha sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shigongo kuruka toka la saba hadi kupata degree...na ajabu chuo kilimtunuku ubest student[emoji119],,hapa ndipo ninapoishangaa elimu yetu watanzania[emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hawabebi watu hovyo hovyo, Sasa madilu yenyewe alifanyiwa yake udsm na aliyemfanyia haja malizia kumlipa hela yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee khaaaah sasa ndo nn iv lol
 
Mwinyi ambaye hata kuongea amesahau anamuduje kuongoza baraza la chuo? Mabadiliko yanahitajika, SASHA nakuomba unisikie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] std 7, ghafla degree? Sasa ordinary na advance level kasoma mda gan?
 
Mwinyi ambaye hata kuongea amesahau anamuduje kuongoza baraza la chuo? Mabadiliko yanahitajika, SASHA nakuomba unisikie.
Tena ktk chuo kilichobeba idara muhimu (afya) muhimbili, hii nchii ina futuhi hadi bas lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Just think of Ali H. Mwinyi, a person in his 90's; can't even remember his name yet still leads the university!! 'Wonders shall never end'
 
Panga muda wako vizuri, utafanya yote kwa ufanisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…