Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Yani hizo course work zmenikumbusha mbali sana! Watu tulikuwa tunakesha kusoma tunaumia alafu mpuuzi mmoja alete umbea wake hapa kwa maslahi yake binafsi ategemee ntamchekea yani big nooo! Umenikumbusha mbali sana uzembe nilioufanya nilicarry course hivi hivi nikiwa second year kisa kukosa quiz! Citasahau
Ndo system iko hivyo mkuu, tena sasa hivi usipofikisha 16, kati ya 40 ya CW unacarry moja kwa moja.
Hata mim jamaa kanikera sana aisee.
Akija huyu SR wa udom plz inform us mkuu! Naona kaenda kutengeneza evidence za uongo uongo
Umbea tu ndo maana umedisco udsm
Mbea anasema ukweli ila tatizo haja ruhusiwa !
Kuwa makini na kauli zako !
Mbea anasema ukweli ila tatizo haja ruhusiwa !
Kuwa makini na kauli zako !
Udism kadisco sociology huyo mkuu.we unategemea nn si umbea tu.
Ni mbea kweli mleta mada, ushahidi huu hapa
Wengine wamefeli na wengine wamefaulu, sasa kuongezewa maksi na standadization zinatoka wap hapo?
Nimemwambia aweke ushahidi kashindwa
Kama Mnapingana na Thread intension ya mleta mada hapa ! Basi hilo neno MMBEA mlitoe tafadhari !
Mana Mtu MMBEA siku zote huzungumza ukweli akiutoa mahala fulani nakuuleta nahala pengine ! Bila kuruhusiwa !
Ila kama anachokizungumza Mleta mada ni Ukweli ! Basi endeleeni hivyo hivyo kumwita Mmbea
Mkimaanisha anatangaza maovu yaliyojificha UDOM
ambayo yalipaswa kuwa siri !
.
Nilikuwa sujajua maana ya neno mmbea, nilifikiri ni muongo kumbe si muongo.
Pamoja sana mkuu
mpu.mba.vu km wapum.ba.vu wengine!
Na bahati yako unatumia fake ID.
hizi stori za kutunga tumezichoka na nashangaa kwanini UDOM ndo iwe inatengeneza headlines humu.
Threads nyingi ni za UDOM..
mTI wenye matunda bila shaka,...mshaiona bright future yao sasa mnataka kuizima mapema.
waacheni vijana wasome!
Kwakweli inatia ghadhabu sana. Mimi kozi nliyosoma hapo tulichaguliwa 39 tukagraduate 28. Washkaji walidisco na mmojawapo ni best friend wangu halafu anakuja mjinga mmoja analeta upuuzi, eti marks za bure.Pumbaff
Kwakweli inatia ghadhabu sana. Mimi kozi nliyosoma hapo tulichaguliwa 39 tukagraduate 28. Washkaji walidisco na mmojawapo ni best friend wangu halafu anakuja mjinga mmoja analeta upuuzi, eti marks za bure.Pumbaff
at last mtu kazungumza
hili liko vyuo vyote! Bila hivi degree holders wangekuwa hawafiki elfu kumi
'....any rumour must have a reason..." old English saying.