Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

pole na hongera kwa uzalendo wako, ila kwa hii kitu inayoitwa "bongo" unaweza ukawa unatwanga maji kwenye kinu, sikukatishi tamaa lakini, ni mawazo yangu tu!

Usiogope ndio maana wasomi tunasoma ili tuibadilishe hii bongo itabadilika tu, mbona kuna lecturer nilimuweka sawa semister iliyopita kwa bandiko moja tu hapa JF, na alibadilika ile tabia akaiacha. Mapambano siyo lazimu tuanze watu 10, hata 1 anatosha kuanzisha mapambano.
 
You believe much on evidence? You can not act untill you find evidence? eeh? Real? Do you know rules of jungle? Serious people work on suspicion. I know those whom this thread was created for will act accordingly.

Mkuu it depends on the degree of seriousness of what you are talking about.

Post yako hapo juu ni issue moja serious sana yenye impact kubwa kwa jamii, kwa sababu umepotosha, ndo maana nakwambia uthibitishe madai yako kwa namna yoyote.

Mim nakuthibitishia tena hapa chini kwamba hakuna kuongezewa max, wapo wanaofeli na wanaofaulu.
 
History tells us, people who did wonderful things were school drop out. Enrollment in convention education system does not guarantee one's competence. Afterall most of the people who pushed breakthrough, acquired their true education from the street. To mention few, Bill gate, Steve jobs et al. No wonder why in tanzania problems multiply as more people acquire education.

Kama ndo akili yako inakutuma hivyo basi ulivyodisco UD ungeenda kuvumbua kitu kweli tujue kweli una kipaji.Lakini mambo yakuanza kuwaiga kina Bill Gates wakati unategemea kukopeshwa hela ya kula na bodi inashangaza sana.Au hauna mkopo?Wewe endelea kupiga kelele sasa hivi wenzio wanasoma mwisho wa siku na hapo unadisco.Shauri zako utazeekea shuleni
 
Kijana umeibua issue ya maana ingawa itapotezewa kiaina. Mi ni mmoja wa wadau wa academics kwenye moja ya vyuo Tanzania. Kuporomoka kwa kiwango cha elimu tz kwa kiasi kikubwa inachangiwa na hiyo.
 
Kijana umeibua issue ya maana ingawa itapotezewa kiaina. Mi ni mmoja wa wadau wa academics kwenye moja ya vyuo Tanzania. Kuporomoka kwa kiwango cha elimu tz kwa kiasi kikubwa inachangiwa na hiyo.

Haijapotezewa, ila tunamwambia athibitishe madai yake ameshindwa

Nimempa na ushahidi kuwa hakuna kitu kuongezewa max udom, anapotosha uma wa watanzania.
 
sijasepa natoa elimu kwa wenzako kama wewe wenye maswali, wewe na mwalimu mwenzako aliyebandika matokeo ya walimu wenzake lengo lenu ni kubishana, siwalaumu kwa hiyo calibre because that is the best you can do, but for your information, I can not waste my time to argue with the fools, lest you will drag me to your level and beat me with your experience. I know people who are doing this shit will pass through and get the message. To you fools just enjoy the night.
Bill Gate, Mark Zuckeberg walidrop wenyewe ingawa walikuwa vipanga, hawakudisco kama wewe. Ushauri wangu tulia usome usije kurotate tena dogo. Mimi nina degree tayari sasa tuangalie mimi na wewe nani ni msomi. Kila la kheri, ila usipoangalia, utahamia sijui mzumbe sijui sua na uzee utakukuta ukibadili vyuo
 
Basi kama unaona ..kudisco ud ni sifa na ukamua kutangaza huku uwekee kwenye cv .yako kama utafanikiwa kugraduate udom ..af inaonekana ulifikiri udom ni mteremko sana ulivyoona mziki..ukaja kuleta uzi wa kuchafua chuo..na nina wasiwasi na gpa yako hapo chuoni hapo hutoboi kiulaini ulizia waenzako waliodisco apo udom wakaenda ud.
 
Haijapotezewa, ila tunamwambia athibitishe madai yake ameshindwa

Nimempa na ushahidi kuwa hakuna kitu kuongezewa max udom, anapotosha uma wa watanzania.

Continuous assessment na examination system kwa vyuo vya Tanzania ni totally weak and easily corrupted.
Huyu bwana mdogo alichoongea kipo inawezekana sio kwa degree hiyo but kipo, na sio UDOM tu, hata vyuo vingine.
Kama kweli serikali ipo serious kuboresha elimu ya juu haina budi kuwekeza kwenye modern centralised and controlled continuous assessment and examination system kwenye vyuo vyake...
 
Continuous assessment na examination system kwa vyuo vya Tanzania ni totally weak and easily corrupted.
Huyu bwana mdogo alichoongea kipo inawezekana sio kwa degree hiyo but kipo, na sio UDOM tu, hata vyuo vingine.
Kama kweli serikali ipo serious kuboresha elimu ya juu haina budi kuwekeza kwenye modern centralised and controlled continuous assessment and examination system kwenye vyuo vyake...

Uko sawa kabisa mkuu, nakubali kwamba kuna matatizo mengi sana ya kitaaluma katika elimu yetu.

Lakini mleta amefanya exageration kubwa sana, kwamba udom max hutolewa bure na hakuna anaefeli kitu ambacho si kweli hata kidogo.

Kama anataka kuzungumzia matatizo ya elimu tuzungumze kwa fact na si uzushi
 
Continuous assessment na examination system kwa vyuo vya Tanzania ni totally weak and easily corrupted.
Huyu bwana mdogo alichoongea kipo inawezekana sio kwa degree hiyo but kipo, na sio UDOM tu, hata vyuo vingine.
Kama kweli serikali ipo serious kuboresha elimu ya juu haina budi kuwekeza kwenye modern centralised and controlled continuous assessment and examination system kwenye vyuo vyake...

at least umejitahd ku
nena
 
Naomba nijitambulishe kwanza mimi ni mwanafunzi wa UDOM ambaye nilidisco UDSM. Sasa tokea nimeanza kusoma hapa UDOM kuna mambo nayaona hayako sawa. kama inavyojulikana wanafunzi wa hapa wengi uwezo wa darasani ni mdogo hivyo tunawaburuza tu darasani. Sasa kuna tabia ambayo ni common kwa karibu vyuo vishiriki vyote vya udom ya kuwaongezea maksi za coursework wanafunzi ambao wanakuwa na maksi ndogo ili wasifeli. mara ya kwanza nilipoiona nikajua labda ni kwa somo moja tu, baadae nikaona kila somo, baadae nikaona na course nyingine nao wanafanyiwa hivyo hivyo, baadaye nilipowauliza na wa vyuo vingine naambiwa hiyo ni kawaida hapa udom.

Kwa mfano kuna somo mwanafunzi wa kwanza ana c/w ya 35 out of 40 na wa mwisho ana 1 out of 40, mwalimu alichofanya ni kumpa 20 yule mwenye 1 ili awe na 21 na kumpa 1 mwenye 35 ili kuondoa lawama asijelalamika kuwa yeye hajaongezewa. yaani wote waliokuwa chini ya 10 wameongezewa kati ya 15 - 20, bila fomula yoyote. Yaani mwalimu kapanga kuwa course work ya wanafunzi ianzie 20.

Mimi sikatai wanafunzi magarasa wasisaidiwe ila ninachopinga ni namna wanavyosaidiwa, kwa kuwaongezea maksi wanazidi kulemazwa ndio hawatasoma kwa kuwa wanajua kuwa wataongezewa tena. Nafikiri njia bora ilitakiwa wapewe extra hours za kufundisha especially tutorials na baadaye wapewe make-up test hata kama zitatungwa below standard lakini at least ni njia inayokubalika katika vyuo vyote duniani. Ila hili la kugawa free marks linadidimiza elimu halafu linawakatisha tamaa wale wanaojituma kwa juhudi zao. The whole examination process becomes pointless, its even hardly worth the effort to make a success out of it because it leads you nowhere.

Hili zoezi la kugawa maksi linafanywa na walimu mmoja mmoja huko madarasani, Hiyo yote ni tisa, kumi ni pale malecturer ambao hawaamini kwenye kugawa maksi wanapo-submit matokeo ya UE kwenye uongozi wa chuo, chuo kinaanza kugawa maksi kwa wanafunzi waliofeli sana na kupunguza maksi kwa wanafunzi waliofaulu sana. Hili lilitokea semester iliyopita karibu vyuo vishiriki vyote vya UDOM ndio maana matokeo yalichelewa sana kutolewa. Wenyewe wanadai eti wana-standardize, eti matokeo yoyote yale lazima ya-reflect the so called "Normal distribution curve". waliosoma statistics wanaelewa maana yake ila literally inamaanisha kuwa katika darasa lazima kichwani wawepo wachache tumboni wengi bila kukosa mkia. Sasa kwa kutumia hii style hamuwezi kujua kama somo watu wamefeli sana tatizo ni mtaala au mwalimu anayefundisha haeleweki au delivery methodology au kuna tatizo gani. Sasa kwa kutumia hii style ya kuongeza maksi matatizo mengi ya kielimu UDOM yanajificha yanakuja kuonekana huko makazini ambako mtu aliyesoma UDOM tena kwa ufaulu mzuri anakuja kuonekana ana uwezo mdogo at its best.

Kuna taarifa zisizothibitishwa kuwa walimu wa UDOM wameambiwa wahakikishe wanafunzi hawafeli ili chuo kisikose ada kwa kuwa hakipati ruzuku serikalini ambayo itawalipa wao mishahara. Hii inamaanisha kuwa mwanafunzi kufeli UDOM ni mpaka aamue yeye mwenyewe kuondoka chuo na mabegi yake maana hata kama husomi ila upo around maksi utapata tu labda uende kuwashitaki kwa nini wamekupa maksi wakati wewe mwenyewe hutaki, of which is impossible.

Now I was asking myself, are we still having a university at UDOM or a breeding center for fake proffessionals? Please, I know some of Administrators visit this site, try to work on these concerns for the betterment of our colleges. If anyone disputes these facts, he/she can pm and i will forward the copies of some of the tempered coursework with respective names of their lecturers. Ni hayo tu

Wew kama ulidisco udsm sikuelewe huna jipya hata huko utadisco tu hata ukiongezewa maksi! None sense indid
 
UDOM SR kama wewe sio mnafiki naomba ujibu post yangu pg #3 kwanini za wengine umejibu yangu umeiacha?
 
Umemjibu Mr Econ au kisa amekusifia ujinga? Kweli nimeamini ukitaka kupatana na mjinga muungo mkono #UDOM SR
 
Continuous assessment na examination system kwa vyuo vya Tanzania ni totally weak and easily corrupted.
Huyu bwana mdogo alichoongea kipo inawezekana sio kwa degree hiyo but kipo, na sio UDOM tu, hata vyuo vingine.
Kama kweli serikali ipo serious kuboresha elimu ya juu haina budi kuwekeza kwenye modern centralised and controlled continuous assessment and examination system kwenye vyuo vyake...
serikali ipi? serikali ndiyo chanzo cha wanafunzi kupewa maksi za bure baada ya kuingiza siasa kwenye elimu.
 
Well, the way you argue sound childish a bit but I'll accommodate your reasoning ability, Nowhere i have suggested the cancellation of religious session, but they should be considered as extra curricula activities and should not interfere academic programs. All classrooms and theaters should be vacant for academic activities and with no reservation. Academic first and other activities can follow. My argument was the endless reservation of classrooms for religious rituals, to me this is unacceptable. Btw you sound to be offended somewhere as your signature testifies, that's why you argue blindly.

Given the principality of Islam, it make sense for them to be alocated such buildind without interference. I believe in salvation of Jesus Christ!
 
Hayo ni baadhi ya matokeo kama yanavyoonekana kuna walipass na waliofeli

Haya thibitisha kuwa wanafunzi hawafail na wanaongezewa max.


Yani hizo course work zmenikumbusha mbali sana! Watu tulikuwa tunakesha kusoma tunaumia alafu mpuuzi mmoja alete umbea wake hapa kwa maslahi yake binafsi ategemee ntamchekea yani big nooo! Umenikumbusha mbali sana uzembe nilioufanya nilicarry course hivi hivi nikiwa second year kisa kukosa quiz! Citasahau
 
serikali ipi? serikali ndiyo chanzo cha wanafunzi kupewa maksi za bure baada ya kuingiza siasa kwenye elimu.

Hivi watanzania tukoje?

Una uhakika kwamba wanapewa max za bure?

Weka ushahidi hapa.

Nakubali mapungufu yapo lakini si kiasi hicho cha kupewa maksi za bure, mleta mada umepotosha uma sana
 
Back
Top Bottom