Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

My concern does not base on their prayer's time table, The issue here is how can they be allowed to hold the building intended for classes indefinitely while there is a shortage of classrooms? Can we give in to any religious demand at the expense of the academic routine? Afterall the main purpose of the institution is to offer education and not faith based activities. Any activity around the college should not interfere with the main purpose. Btw unaposema "waisilamu wanatakiwa kuswali si chini ya mara tano" wanatakiwa na nani? na chuo au? ni part ya curricullum yao au? Ebu tuache kuendekeza imani kwenye mambo ya msingi. Kila mtu na dini yake tukisema tumsikilize dini yake inataka nini na haitaki nini tutapoteza mwelekeo ndio maana kuna vyuo wasabato wamekataa kufanya mtihani jumamosi wamedisco. kuna shule wasabato wamekataa kuimba wimbo wa taifa wamefukuzwa. By the way mambo ambayo dini yao maustaadhi inawataka wafanye mbona ni mengi tu ikiwepo na kutozini na mengineyo mbona hawayafuati?

Wanafanya haya kwa kuwa wameona administration inawa-favor, na ipo religios bias.

akija vc anayejali elimu na kuwapa eneo wajenge msikiti watadai wameonewa!
 
Vema kabisa kujieleza mbele za watu/mtu hakufundishwi hii ni hali ya mtu binafsi mfano nina jamaa nimesoma nae kwenye suala la presentation utamuone hata huruma ila leta test no 1 touch his first place hata katika field his the best till now ofisini

Mkuu mwenye huu uzi amedhalilisha chuo cha watu bila ushahidi siyo jambo zuri suala la elimu halitakiwi kuwa na chuki binafsi

Ed n Edd nEddy @
Nafikiri kuna kitu alitaka kueleza ila amaeshindwa na badala yake ame-pollute uzi wake kwa kuingiza mambo ambayo ni non-academic. But, honestly udom kuna issues zinahitaji kushughulikiwa check post yangu #150.Habari ya kuongezewa marks na kutofelisha wanafunzi hilo sina ushahidi nalo sasa,ila ninachojua chuo kina tatizo kubwa la system ya matokeo, Na hili ni la muda mrefu sana kama nilivyojaribu ku-point out kwenye post yangu hiyo! Kiasi kwamba mtu anaweza kuwa amedisco lakini hajijui , simply coz system ya matokeo haipo accurate!
 
Dreadnought @
Mtoa mada nahisi sio mwanachuo na ameelezwa hayo mambo na mtu ambaye pengine kadisco hapo UDOM. Anyway, mimi sijasoma hapo ila kwenye suala la Matokeo ya wanafunzi kuna shida kubwa sana. Mfumo wa matokeo hapo ni mbovu sana na unahitaji marekebisho makubwa sana ukilinganisha na ukubwa wa chuo

Mkuu mfumo uliokuwa unatumika udom ni ARIS ambayo ni sawa na huo wa UDSM, lakini kuanzia 2012 wameanza kutumia mfumo mpya wa UDOM SR kama anavyojiita mleta mada



swali ambalo naomba kuwauliza Je, mwanafunzi wa Udom saivi anaweza print matokeo yake akaenda nayo utawala akadai kama amaeonewa au lah? hasa pale ambapo amekuta yameshuka?

Mkuu iwe ni matokeo au course registration lazima uprint kwan mara nyingi mtandao huwa unasumbua, lakin hii haimaanishi kwamba matokeo huongezeka, matokeo huweza kufutika au kuvurugika n.k

Na kwa nini matokeo ya udom yanabadilika hovyo sana kwenye aris yao? Je, wanaudom mmechukua jitihada gani kupambana na hilo? au kwenu sio priority? mnaona ni bie tuu..!

Mkuu matokeo hayabadiliki kama una C huwezi kukuta A hata siku moja, mara nyingi huwa inatokea incomplete ua kufutika. Lakini toka nimeanza kusoma hapa sijawahi kuona mtu matokeo yake yamebadilika

Inawezekanaje, upo likizo unampigia simu Prof. unamuuliza umepata ngapi anakujibu umefaulu ama C au B afu chuo kikifunguliwa ukichek tena aris unakuta una Sapp! How this happens?

Mkuu kwa nini umuulize prof matokeo yako? Badala ya kwenda kuangalia mwenyewe.

Kuna mtu mmoja amedisco hivi hivi kwa sababu alimpigia sim lecturer kumuuliza matokeo, lecturer kamwambia ana D jamaa akasikia B, akaacha kufanya sup matokeo yake akadisco.

Kwa hiyo kumuuliza matokeo prof si njia nzuri mkuu ni bora uingia mtandaon uangalie

Mwisho, kwa hakika Udom inahitaji mabadaliko makubwa kwenye quality hasa ukizingatia ndio chuo kikubwa.

Nakubaliana na wewe moja kwa moja, bado safari ni ndefu na mkumbuke chuo chetu ni kichanga challanges haziepukiki.
 
Ed n Edd nEddy @
Nafikiri kuna kitu alitaka kueleza ila amaeshindwa na badala yake ame-pollute uzi wake kwa kuingiza mambo ambayo ni non-academic. But, honestly udom kuna issues zinahitaji kushughulikiwa check post yangu #150.Habari ya kuongezewa marks na kutofelisha wanafunzi hilo sina ushahidi nalo sasa,ila ninachojua chuo kina tatizo kubwa la system ya matokeo, Na hili ni la muda mrefu sana kama nilivyojaribu ku-point out kwenye post yangu hiyo! Kiasi kwamba mtu anaweza kuwa amedisco lakini hajijui , simply coz system ya matokeo haipo accurate!

Mkuu Chemiker nimekuelewa ila siku zote matokeo ni muhimu kuyajua mwenyewe zaidi ya kuuliza then una relax cos huwa kuna barriers za communication mfano ya D ukasikia B utadisko kwa kutokufanya sup sababu namjua mtu aliyedisko kupitia hilo

System ya computer ni siizungumzie sana sababu inategemea anaye-i-run kwa kiasi gani ameiprotect

Kubadilika kwa matokeo some time ni errors huwa zinatokea mfano kuna time nishawahi pata matokeo yangu baadhi ya masomo ni incomplete ambayo yako kweye system ila yaliyobandikwa notice bord i pass nikafatilia ku-change kwa academic so hili utaliita kuongezewa maksi?

Kweli sijawahi shuhudia marks za bure chuo nilichosoma kuna kipindi hadi mark up zilifutwa ili ku-boost study za wanafunzi

For free marks ukipewa hasa course work I believe huwezi pass UE kwa njia yoyote
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Dreadnought nashukuru kwa majibu yako, umekuwa very open, humble & polite much thanks. Ningependa kufahamu, upo college gani na mwaka wa ngapi, kama utakuwa radhi ni PM tu. Nimekuuliza hivyo sababu nataka kufahamu experince yako kwenye hiyo changamo hapo chuo, pengine shida ipo kwa Education , Humanities na sio Informatics or whatever.! Ila nafikiri sasa hivi kipaumbele kiwe hicho cha mfumo wa matokeo ili watu wakae na Amani kwenye mioyo yao, na Utawala wahakikishe mfumo unakuwa thabiti.
 
Mkuu mfumo uliokuwa unatumika udom ni ARIS ambayo ni sawa na huo wa UDSM, lakini kuanzia 2012 wameanza kutumia mfumo mpya wa UDOM SR kama anavyojiita mleta mada





Mkuu iwe ni matokeo au course registration lazima uprint kwan mara nyingi mtandao huwa unasumbua, lakin hii haimaanishi kwamba matokeo huongezeka, matokeo huweza kufutika au kuvurugika n.k



Mkuu matokeo hayabadiliki kama una C huwezi kukuta A hata siku moja, mara nyingi huwa inatokea incomplete ua kufutika. Lakini toka nimeanza kusoma hapa sijawahi kuona mtu matokeo yake yamebadilika



Mkuu kwa nini umuulize prof matokeo yako? Badala ya kwenda kuangalia mwenyewe.

Kuna mtu mmoja amedisco hivi hivi kwa sababu alimpigia sim lecturer kumuuliza matokeo, lecturer kamwambia ana D jamaa akasikia B, akaacha kufanya sup matokeo yake akadisco.

Kwa hiyo kumuuliza matokeo prof si njia nzuri mkuu ni bora uingia mtandaon uangalie



Nakubaliana na wewe moja kwa moja, bado safari ni ndefu na mkumbuke chuo chetu ni kichanga challanges haziepukiki.


Yani umenikosha
Perfect Answers
 
ilitakiwa uangalie mazingira ya ibada zinazofanywa na waislamu kabla ya kulalamika. kwa siku wanatakiwa kuswali si chini ya mara tano. hivi ingekuwaje kama kila baada ya masaa matatu wanakutoeni darasani ili wao wapate nafasi ya kufanya ibada. jambo lingine lipo hivi kwa upande wa waislamu hususani mashuleni na vyuoni hawana utengano wa kimadhehebu hivyo basi waislamu wote huswali sehemu moja hali inayopelekea kuwa na uhitaji wa sehemu kubwa ya kufanya ibada kwa pamoja tofauti na wakristo mara utasikia wasabato wapo darasa hili casfeta kule na waroma darasa lao pia. Tunahitaji uvumilivu wa kiimani ili tuweze kusonga mbele kama Taifa.

Hii kuswai mara tano ndo nini kama sio wanafiki wakubwa hao? Ama ndo hao wanaongezewa maksi za bure maana sasa inaonekana wao wanashinda msikitini. Udini ni mbaya sana hasa inapofikia dini moja kugundua kwamba kuna dini nyingine inapendeewa waziwazi. Ukianzishwa mgogoro wa kidini hapo chuoni nadhani hata huyo mkuu wa chuo hatabaki.

Ndio maana UDSM will remain to be UDSM na huwezi kuinganisha na vyuo vingine labda SUA na Muhhimbili ndio vina hadhi hiyo. Lakini Mzumbe sijui wapi UDOM the same thing, haya mambo ya kudahiri failures aimradi tu ionekane umesomesha wanafunzi wengi ni tatizo. UDOM imeshapoteza adha mapema kabisa.
 
Mkuu matokeo hayabadiliki kama una C huwezi kukuta A hata siku moja, mara nyingi huwa inatokea incomplete ua kufutika. Lakini toka nimeanza kusoma hapa sijawahi kuona mtu matokeo yake yamebadilika


Mkuu kwa nini umuulize prof matokeo yako? Badala ya kwenda kuangalia mwenyewe.

Kuna mtu mmoja amedisco hivi hivi kwa sababu alimpigia sim lecturer kumuuliza matokeo, lecturer kamwambia ana D jamaa akasikia B, akaacha kufanya sup matokeo yake akadisco.

Kwa hiyo kumuuliza matokeo prof si njia nzuri mkuu ni bora uingia mtandaon uangalie
Kuna College Moja, Prof alitoa no. akasema mtu akiulizia matokeo yake atweza kumtajia. Hiyo ilikuwa mwaka jana 2nd sem wakati wanaudom wengine wapo field. Kilichotokea ni kuwa mtu katajiwa marks na Prof. kuwa ana B tarehe za kufungua chuo zinakaribia mtu anapata taarifa kutoka kwa kiongozi kuwa ana sapp. katika mazingira hayo unashindwa kuelewa na huna namna nyingine ya kufanya zaidi ya kufanya. kuna mtoto wa Jirani yangu anasoma hapo !
 
mkuu uko college gani mbona haya unayoyasema kwangu mimi ni mageni kabisa muogope mola ndugu kugeneralize college zote labda college uliopo.Ninaomba kwanza nifahamu college ulipo ili nami nifanye utafiti kidogo
Halafu mkuu unasema ulidisco udsm umekuja udom unawabuluza vibaya unahisi ni kwanini unawabuluza ninamaana kwamba hawasomi au ni vilaza tuu
 
Ndio maana UDSM will remain to be UDSM na huwezi kuinganisha na vyuo vingine labda SUA na Muhhimbili ndio vina hadhi hiyo. Lakini Mzumbe sijui wapi UDOM the same thing, haya mambo ya kudahiri failures aimradi tu ionekane umesomesha wanafunzi wengi ni tatizo. UDOM imeshapoteza adha mapema kabisa.

Mkuu hivi unajua Central Admission System ya TCU ikoje au inafanyaje kazi?

Kwa nini useme UDOM wanadahili failures wakati ni kazi ya TCU?

Labda nikusaidie tu, siku hizi wanaomba vyuo kupitia TCU, kwa hiyo TCU ndo wanajua wakupeleke wapi. Lakini pamoja na hayo bado kuna suala la points kwa kozi husika, kwa kuwa wewe unasema udom kuna failures hebu kapitie TCU guidebook uangalie points za kujiunga Udom halafu ufananishe na vyuo vingine.
 
Kuna College Moja, Prof alitoa no. akasema mtu akiulizia matokeo yake atweza kumtajia. Hiyo ilikuwa mwaka jana 2nd sem wakati wanaudom wengine wapo field. Kilichotokea ni kuwa mtu katajiwa marks na Prof. kuwa ana B tarehe za kufungua chuo zinakaribia mtu anapata taarifa kutoka kwa kiongozi kuwa ana sapp. katika mazingira hayo unashindwa kuelewa na huna namna nyingine ya kufanya zaidi ya kufanya. kuna mtoto wa Jirani yangu anasoma hapo !

Hilo huweza tokea na ni kweli kabisa, ndo maana nasema haya mambo ya matokeo ni heri uangalie mwenyewe ujiridhishe kuliko kuuliza kwa sababu huyo umuulizae naye ni binaadamu
 
mkuu uko college gani mbona haya unayoyasema kwangu mimi ni mageni kabisa muogope mola ndugu kugeneralize college zote labda college uliopo.Ninaomba kwanza nifahamu college ulipo ili nami nifanye utafiti kidogo
Halafu mkuu unasema ulidisco udsm umekuja udom unawabuluza vibaya unahisi ni kwanini unawabuluza ninamaana kwamba hawasomi au ni vilaza tuu

Mkuu hiyo kisaikolojia tunaita self saving bias, huyu si mwanafunzi wa udom
 
We mwenyewe boya ndo maana ulidisco UDSM, xa umeenda uko na msuli wako wa mende unaanza kupayuka,au unanataka na wenzako wadisco kma ww, Nyambafu mkubwa ww, usikute ata uliyeongezwa izo 20 ni ww
 
Naomba nijitambulishe kwanza mimi ni mwanafunzi wa UDOM ambaye nilidisco UDSM. Sasa tokea nimeanza kusoma hapa UDOM kuna mambo nayaona hayako sawa. kama inavyojulikana wanafunzi wa hapa wengi uwezo wa darasani ni mdogo hivyo tunawaburuza tu darasani. Sasa kuna tabia ambayo ni common kwa karibu vyuo vishiriki vyote vya udom ya kuwaongezea maksi za coursework wanafunzi ambao wanakuwa na maksi ndogo ili wasifeli. mara ya kwanza nilipoiona nikajua labda ni kwa somo moja tu, baadae nikaona kila somo, baadae nikaona na course nyingine nao wanafanyiwa hivyo hivyo, baadaye nilipowauliza na wa vyuo vingine naambiwa hiyo ni kawaida hapa udom.

Kwa mfano kuna somo mwanafunzi wa kwanza ana c/w ya 35 out of 40 na wa mwisho ana 1 out of 40, mwalimu alichofanya ni kumpa 20 yule mwenye 1 ili awe na 21 na kumpa 1 mwenye 35 ili kuondoa lawama asijelalamika kuwa yeye hajaongezewa. yaani wote waliokuwa chini ya 10 wameongezewa kati ya 15 - 20, bila fomula yoyote. Yaani mwalimu kapanga kuwa course work ya wanafunzi ianzie 20.

Mimi sikatai wanafunzi magarasa wasisaidiwe ila ninachopinga ni namna wanavyosaidiwa, kwa kuwaongezea maksi wanazidi kulemazwa ndio hawatasoma kwa kuwa wanajua kuwa wataongezewa tena. Nafikiri njia bora ilitakiwa wapewe extra hours za kufundisha especially tutorials na baadaye wapewe make-up test hata kama zitatungwa below standard lakini at least ni njia inayokubalika katika vyuo vyote duniani. Ila hili la kugawa free marks linadidimiza elimu halafu linawakatisha tamaa wale wanaojituma kwa juhudi zao. The whole examination process becomes pointless, its even hardly worth the effort to make a success out of it because it leads you nowhere.

Hili zoezi la kugawa maksi linafanywa na walimu mmoja mmoja huko madarasani, Hiyo yote ni tisa, kumi ni pale malecturer ambao hawaamini kwenye kugawa maksi wanapo-submit matokeo ya UE kwenye uongozi wa chuo, chuo kinaanza kugawa maksi kwa wanafunzi waliofeli sana na kupunguza maksi kwa wanafunzi waliofaulu sana. Hili lilitokea semester iliyopita karibu vyuo vishiriki vyote vya UDOM ndio maana matokeo yalichelewa sana kutolewa. Wenyewe wanadai eti wana-standardize, eti matokeo yoyote yale lazima ya-reflect the so called "Normal distribution curve". waliosoma statistics wanaelewa maana yake ila literally inamaanisha kuwa katika darasa lazima kichwani wawepo wachache tumboni wengi bila kukosa mkia. Sasa kwa kutumia hii style hamuwezi kujua kama somo watu wamefeli sana tatizo ni mtaala au mwalimu anayefundisha haeleweki au delivery methodology au kuna tatizo gani. Sasa kwa kutumia hii style ya kuongeza maksi matatizo mengi ya kielimu UDOM yanajificha yanakuja kuonekana huko makazini ambako mtu aliyesoma UDOM tena kwa ufaulu mzuri anakuja kuonekana ana uwezo mdogo at its best.

Kuna taarifa zisizothibitishwa kuwa walimu wa UDOM wameambiwa wahakikishe wanafunzi hawafeli ili chuo kisikose ada kwa kuwa hakipati ruzuku serikalini ambayo itawalipa wao mishahara. Hii inamaanisha kuwa mwanafunzi kufeli UDOM ni mpaka aamue yeye mwenyewe kuondoka chuo na mabegi yake maana hata kama husomi ila upo around maksi utapata tu labda uende kuwashitaki kwa nini wamekupa maksi wakati wewe mwenyewe hutaki, of which is impossible.

Now I was asking myself, are we still having a university at UDOM or a breeding center for fake proffessionals? Please, I know some of Administrators visit this site, try to work on these concerns for the betterment of our colleges. If anyone disputes these facts, he/she can pm and i will forward the copies of some of the tempered coursework with respective names of their lecturers. Ni hayo tu

Kwanza kabisa nikushaus ujikte ktk maxomo yako ili ucje uka-disco kwa mara nyinge maana ulivoongea hp n vitu ambavyo huna ushahdi navyo na kama unao na lengo ni kusaidia elimu yetu basi uweke hapa kama alivofa ndugu yako hapo juu
 
Ni mbea kweli mleta mada, ushahidi huu hapa

Wengine wamefeli na wengine wamefaulu, sasa kuongezewa maksi na standadization zinatoka wap hapo?

Nimemwambia aweke ushahidi kashindwa

Mimi nilipata bahati ya kusoma hapo udom mwanzoni kabisa wakati Chuo ndio kinaanza,nilishuhudia wanafunzi wengi sana wakidisco,darasa letu mpaka tunamaliza watu 22 hatukuwa nao,ni wakati huo pia nilishuhudia marafiki zangu 3 wakicarry baadhi ya course baada ya kushindwa kusapua,sasa nashindwa kuelewa kwa nini huyu mleta mada anaamua kuleta upotoshaji wa wazi wazi kwa Chuo chetu.
 
Mimi nilipata bahati ya kusoma hapo udom mwanzoni kabisa wakati Chuo ndio kinaanza,nilishuhudia wanafunzi wengi sana wakidisco,darasa letu mpaka tunamaliza watu 22 hatukuwa nao,ni wakati huo pia nilishuhudia marafiki zangu 3 wakicarry baadhi ya course baada ya kushindwa kusapua,sasa nashindwa kuelewa kwa nini huyu mleta mada anaamua kuleta upotoshaji wa wazi wazi kwa Chuo chetu.

Mimi mwenyewe nimeshangaa sana kuona habari kama hizi tena kutoka kwa anayejiita mwanafunzi wa udom.
 
Aaaaa!mbona unalalamika sana kijana unakaribia kudisco nini?kumbe we kilaza umesema hapa kama ushadisco udsm ukajua udom mchekea na uku umekuta maji marefu unaleta visababu vyako avina macho wala miguu,utadisco tu pumbavuuuuuuuuuuuuuu!
 
We ndo walewale hauna kitu kichwan half unajifanya mjuajiii kumbe mbulula tu.ndomaana uliDIScO UDSM coz uwezowako pia n mdogo
 
Hivi umesema ni "Choo Kikuu" au "Chuo Kikuu"? Sijaelewa!!!:sleepy:
 
Back
Top Bottom