Udom, udom, udom. Hivi hii ni kweli?

Udom, udom, udom. Hivi hii ni kweli?

du,kumbe hata mimi naweza kuanzishachuo hata kama sina wataalam hata moja,nikitegemea washkaji waliospecialize hiyo fani?inaruhusiwa kisheria?

lakini kumbuka kufata taratibu za tcu,kama upo seriuos huwezi sema utategemea washikaji waliospecialize kwenye fani husika milele,hao watakuwa msaada mwanzoni na pia kukaimu ukuu wa idara wakati umepeleka vijana wako kusomea master, na sera ya vyuo vikuu vingi ipo wazi tutorial assisstant(TA) haruhusiwi kukaa tu chuoni zaidi ya miaka 3 bila kwenda kusoma.

lakini kama chuo husika akipeleki watu kusoma master na phd apo sasa ni jukumu la tcu kutumia mamlaka yake .
 
mkuu naona wewe una ufaham fulani juu yya udom.naomba unipe profile ya waalimu wanaofundisha nursing udom.nilitaka kuapply kufanya diploma this year,lakini nasikia hakuna mwalim aliyespecialize nursing hata mmoja ambaye yupo hapo school of nursing.na nasikia kuanzia mkuu wa kitengo mpaka mahead wa department hawajui nesi anatakiwa kusoma nini.


sina idea kwa nursing school udom, nitakujibu kwa my general knowldge
lakini sina hakika kama ulitaka kumaanisha kwamba ulitaka kuaaply kufanya diploma au degree ya nursing,ndugu kama umemaanisha diploma iyo ni kozi ambayo sidhani kama wakufunzi wake ni shida sana kuwapata na diploma nursing inatolewa na vyuo vingi tu apa tz tena vipo interior na havijawai na havitakuwa na upungufu huo.
kama unamaanisha kusomea degree ya nursing,tatizo linaweza kuwapo kwa kiasi fulani.degree nursing,medicine na dental wanaweza kutumia malecturers walewale hasa kwa kozi za mwaka wa 1 na 2.
 
Hah.. Mi niko udom... 4 sure kwa fani yangu niko nondo balaa hata field now inajionyesha.. Kuliko vyuo hivyo vya zilipendwa.. Viva udom... Nyie endeleeni kubishi tu ila knowledge ndo ya muhimu mitaani....... Sijutii kusomea udom...
 
..Kinachutuharibu Watanzania ni unafiki,kupuuza na kuukwepa ukweli,lakini ukweli haukubali kupuuzwa siku zote.
Ni hivi huu ujumbe alioutoa mtoa mada una ukweli kwa zaidi ya asilimia 90%,course nyingi(degree programes) za social sciences hamna field(mafunzo kwa vitendo),eg B.A Public Administration,B.A PSPA,B.A Sociology to name but afew,nimesoma na kuhitimu sometimes back!
tujadili ukweli ulivyo kwa manufaa ya wadogo zetu,ndugu zetu na watoto wetu wataokuja kusoma UDOM au chuo chochote kingine Tanzania,elimu yetu haiko salama kuanzia vyuo vikuu na kushuka chini!
umemaliza kila kitu nakupa 100%
 
Back
Top Bottom