Udom, udom, udom. Hivi hii ni kweli?

Udom, udom, udom. Hivi hii ni kweli?

:ban:
Hako katoto kacheti tu, mpk kakimaliza certificate yake kameenda field mara mbili, vijijini kuapply planning tool, na maofisini kujifunza hizo "planning technique" wakati anayesoma degree hapo UDOM hajui hata Field nini. Sio kwamba tunaponda, huo ndo ukweli unaopaswa tuuseme ili wahusika wasikae na wafanye mabadiliko, na si kupotosha ukwel ambao mwishowe wanaoathirika ni sisi vijana.


Hivi mku ilipokuwa ni IDM Mzumbe na sasa ni UNI unaongleaje suala la practicals????
 
sijui kwanini unakua mbishi kwa vitu ambavyo viko wazi, au unataka tufiche uhozo wadogo zetu waendelee kupotoka kwa kupata elimu duni!...,

Tofautisha Chuo kuwa na mkakati mahususi wa kuwatafutia Wanafunzi Field Placement lakini kwa bahati mbaya nafasi zikawa finyu kwenye Taasisi husika na ile ya kutoonyesha hali ya kutokua na mkakati huo kwa maana kwamba issue ya Field Practical kutokua kwenye mipango ya Chuo.....kwa maelezo niliyoyatoa awali nimesema hivi ndugu yangu anasoma Development Studies(Degree), swala la field kwao hakuna kabisa wanafunzi wanaangika kutafuta wao kama wao na wanaopata hawapatiwi supervision yoyote kutoka Chuo, na pia Field Report hawaandiki.

Tuwe makini jamani tunapokua tunachangia, sifa za kijinga za kuwa mimi nimesoma sijui UDSM sijui wapi hivyo najua kila kitu tuache. kuogopa kukosolewa ni hatari, mimi nitaendelea kusema, ili mhitimu wa Elimu ya Juu aonekane kweli ameiva kabla haja-graduate ni sharti afanye mazoezi ya vitendo(practical) kwa yale aliyoyasoma darasani kama theories. Hakuna umuhimu wowote Chuo kuanzisha program ambayo haina sehemu ya kufanyia Practical.


I thought tunajadili kumbe we unaona nabisha daaaanh haya

Kuna mtu katoa analysis on part timers na lack of practicals hayo ndo mambo we would like kusikia ili yafanyiwe kazi na kaweka departments in specific lakini kusema mdogo wako kakosa field attachment tgen chuo ndo kibaya no way!!!!

Nikatoa mfano mii nimesoma UDSM lakini sikupata field sasa je ni chuo kibovu????!!!

Anyways kama unaona nabisha usipoteze muda wako mkuu
 
Hv ww we uko chuo kwel au umefanya application mwaka huu?maana unadai unasikia UDOM hivi mara UDOM vile wakati hujafanya utafiti wowote mi nadhan umesahau msemo usemao 'NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK', Mi nadhani jipange upya fanya utafiti halafu ukiona kuna ukweli ndo ulete apa jamvini huo ukweli wako.For informations visit www.udom.ac.tz .
 
Wadau,baada ya rumours nyingi,sasa imebidi niiweke hapa ili wadau mnisaidie.at nasikia kuna degree programmes udom zinatolewa kweny skuli,ambapo hakuna waalimu wowote waliobobea katika fani hizo?yaani kozi zingine zinafundishwa na part times kwa asilimia 100%,na zingine unakuta zinafundishwa na waalimu ambao ukiangalia vyeti vyao hawajawahi kusoma kabisa kozi hizo wanazofundisha.na kuna skuli zinatoa hadi masters wakati hakuna specialist wa area hiyo?na kozi zingine wanafunzi hawaendi field kabisa.hata wale wanaoenda,eti wanakuwa hawana supervision.yaan mwanafunzi anajifunza wenyewe na kujisahihishia mwenyewe?.hivi kama ni kweli,elimu ya tanzania tunaipeleka wapi?tcu wapo kweli?au kazi yao ni kuwapangia wanafunz vyuo bila kufanya inspection ya quality ya elimu?

Udom ina gundu dah kama kusemwa imesemwa hadi imekuwa soo mtaani
 
Toa maoni yako. Tatizo huna hoja siku zote hadi Zemacopolo, FaizaFoxy, Mwigulu Nchemba, Nape Nauye, Juliana, ,n.k, wakomenti ndo ulike tu, kazi kweli kweli kwa kizazi cha aina hii.

Duh umewagusa wengi, kaxi ku-mention watu muache tabia hii mbayaa
 
MDOGO WAKO NDIO ICON YA FAMILIA?????
THEORY KASOMA LINI MPAKA AAMBIWE KUANDIKA PROPOSAL??!!!!
MUULIZE WANASOMA RESEARCH METHODS MARA NGAPI NA ZINATOKA IDARA GANI!!!??
KUHUSU FIELD PLACEMENTS SIO VYUO VYOTE WANATAFUTIA WANAFUNZI WOTE AS MAOFISI WAMEKUWA HESITANT KICHUKIA WANAFUNZI,I GRADUATED UDSM 2007 NA FIELD NILOFANYA BUNGE KWA KUTAFUTA MWENYEWE CHUO IDARA ILINIPA INTRO LATER TU

ENDELEA KUMCHUKULIA MDOGO WAKO KAMA THE VALID TRUTH!!!!!

Chalenge; Muulize anasoma course ngapi kwa mwaka na kama wanatumia unit au credits,then akupe GPA yake ndo utajua level ya mdogo wako

Placement ni jukumu la chuo au mwanafunzi? How comes?


Gpa ni kipimo cha kukariri
 
Binafsi mengine yote nayapinga ila nina uhakika 100% kwamba baadhi ya courses hazina field practicals hasa social sciences na humanities. Elimu ya tz kwa ujumla ni feki tu, uwe ud au popote
 
yah hilo swala linawezekana kabisa na sio udom tu, vyuo vingi tu vya umma mchezo huo upo....halafu wenyeew watoto wao wanawapeleka nje kusoma....hii ndo bongo mkuu...!!!!!
 
Acha umbea..
Great thnkers don't pop up frm nowhere with hearsays..
"Nimesoma udom"
Nlikua social,Shule inapgwa sana tu..koz yangu 2lifanya research 2(1st yr & 3rd yr),na field 2lipiga-au niku2mie dissertation?
Hizo siasa..acha watoto wakasome.
Viva udom!
 
Acha umbea..
Great thnkers don't pop up frm nowhere with hearsays..
"Nimesoma udom"
Nlikua social,Shule inapgwa sana tu..koz yangu 2lifanya research 2(1st yr & 3rd yr),na field 2lipiga-au niku2mie dissertation?
Hizo siasa..acha watoto wakasome.
Viva udom!

Hongeraa kwa kusoma chuo cha kataa sijui huko kazini itakuaje? ni mzigo wa miba haubebeki
 
Placement ni jukumu la chuo au mwanafunzi? How comes?


Gpa ni kipimo cha kukariri

Madawati ni jukumu la serikali au mzazi???!!!!
Dawa ni jukumu la mgonjwa au serikali????!!!


Listi ni mdeeefu wala hamna ajabu kwa UDOM wakati hali iko hivi na sisi tunatafuta jinsi ya kujinasua kwa suluhisho endelevu life must go on so you be rigid and break or flexible and get through!!!
 
Madawati ni jukumu la serikali au mzazi???!!!!
Dawa ni jukumu la mgonjwa au serikali????!!!


Listi ni mdeeefu wala hamna ajabu kwa UDOM wakati hali iko hivi na sisi tunatafuta jinsi ya kujinasua kwa suluhisho endelevu life must go on so you be rigid and break or flexible and get through!!!

Tunataka ukubali kwanza UDOM ni chuo cha kata
 
Acha umbea..
Great thnkers don't pop up frm nowhere with hearsays..
"Nimesoma udom"
Nlikua social,Shule inapgwa sana tu..koz yangu 2lifanya research 2(1st yr & 3rd yr),na field 2lipiga-au niku2mie dissertation?
Hizo siasa..acha watoto wakasome.
Viva udom!

Kwa hiyo dissertation UDOM mnaandika mkienda field? Mbona mnatisha.
 
Kwa hiyo dissertation UDOM mnaandika mkienda field? Mbona mnatisha.


Kwani field ni nini???!! Au ni wapi rather??

Dissertetion anaandika mtu au sehemu???!!!

Kama una data tayari ukiwa field nini kinakushinda kuandika???!!!
 
I thought tunajadili kumbe we unaona nabisha daaaanh haya

Kuna mtu katoa analysis on part timers na lack of practicals hayo ndo mambo we would like kusikia ili yafanyiwe kazi na kaweka departments in specific lakini kusema mdogo wako kakosa field attachment tgen chuo ndo kibaya no way!!!!

Nikatoa mfano mii nimesoma UDSM lakini sikupata field sasa je ni chuo kibovu????!!!

Anyways kama unaona nabisha usipoteze muda wako mkuu
...to shorten the story and slightly, let me agree with you: without doing so we can prolong a lot of argumentation for nothing: it seems you know the reality but you dont want to accept.

Dont be conservative man, come on.
 
..Kinachutuharibu Watanzania ni unafiki,kupuuza na kuukwepa ukweli,lakini ukweli haukubali kupuuzwa siku zote.
Ni hivi huu ujumbe alioutoa mtoa mada una ukweli kwa zaidi ya asilimia 90%,course nyingi(degree programes) za social sciences hamna field(mafunzo kwa vitendo),eg B.A Public Administration,B.A PSPA,B.A Sociology to name but afew,nimesoma na kuhitimu sometimes back!
tujadili ukweli ulivyo kwa manufaa ya wadogo zetu,ndugu zetu na watoto wetu wataokuja kusoma UDOM au chuo chochote kingine Tanzania,elimu yetu haiko salama kuanzia vyuo vikuu na kushuka chini!
 
Back
Top Bottom