OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
:ban:
Hivi mku ilipokuwa ni IDM Mzumbe na sasa ni UNI unaongleaje suala la practicals????
Hako katoto kacheti tu, mpk kakimaliza certificate yake kameenda field mara mbili, vijijini kuapply planning tool, na maofisini kujifunza hizo "planning technique" wakati anayesoma degree hapo UDOM hajui hata Field nini. Sio kwamba tunaponda, huo ndo ukweli unaopaswa tuuseme ili wahusika wasikae na wafanye mabadiliko, na si kupotosha ukwel ambao mwishowe wanaoathirika ni sisi vijana.
Hivi mku ilipokuwa ni IDM Mzumbe na sasa ni UNI unaongleaje suala la practicals????