Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hiyo SUA inayouza vitabu ili watu wafaulu.sijui ni SUA ipi mkuu, nimesoma mpaka nimemaliza sua lakini hata notes tu sembuse kitabu sijawahi kuuziwa
Sasa my bro kasoma hapo na kamaliza tena ilikua ni lazima uandike na jina usipoandika kwenye UE utaona cha moto imetokea kwenye kozi yao .Labda kozi tofauti ila walikua wanalipushwa kabisa na lecture anachukua list.