Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hiyo SUA inayouza vitabu ili watu wafaulu.sijui ni SUA ipi mkuu, nimesoma mpaka nimemaliza sua lakini hata notes tu sembuse kitabu sijawahi kuuziwa
Sasa my bro kasoma hapo na kamaliza tena ilikua ni lazima uandike na jina usipoandika kwenye UE utaona cha moto imetokea kwenye kozi yao .Labda kozi tofauti ila walikua wanalipushwa kabisa na lecture anachukua list.
Wewe uliyesema SUA, ni course gani wanayouziwa vitabu? Sema ukiwa na uhakika siyo kuleta porojo hapa.
Kozi gani kasoma bro wako? Maana kuna mwalimu alikuwa anadiriki kuwaprintia notes wanafunzi wake bure. Ninachojua mnapewa handouts na kutoa kopi basi. Hata compedium nyingine tunapewa kutoa kopi na ukipenda kununua kitabu kwa baadhi ya wenye navyo ni uamuzi wako na hulazimiashwi. Hiyo ya hadi jinsia naisikia kwako.
Wewe hapo juu acha kuropoka wewe hata kama ni chuo chako ulichosoma. Penye ukweli lazima pasemwe tu hafu acha kupaniki isingiziwe SUA ili iweje unafikiri think out of the box sio ushabiki wa maandazi hapa
Sasa si umeshasema huyo lecture alikua ana wa printia na kuwapa madesa bure. Sasa wao huyo lecture wao ni lazima uandike jina ununue na kitabu usipofanya hivo lazima ukome ngoja nimuulize jina LA huyo lecture ikiwezekana nimuweke hapa.
Hiyo SUA inayouza vitabu ili watu wafaulu.sijui ni SUA ipi mkuu, nimesoma mpaka nimemaliza sua lakini hata notes tu sembuse kitabu sijawahi kuuziwa
Achana nae huyo anaropoka kutaka sifa kwa asiyo yajua,SUA hakuna upumbavu huo.
Sio udom tu kuna mdogo wangu anasoma MOCU zamani Muccobs anasema kuna lecturer mmoja aliyepewa uproffessor hivi majuzi anaitwa Magigi. Unaambiwa yeye ana kitabu chake cha research na project planning na kila mwaka anatoa new edition so huwezi kutumia cha mwaka uliotangulia....ukitaka usitoboe acha usinunue kitabu maana nasikia hata class hutapewa nafasi ya presentation. Kwa kweli huu ni ujinga uliopitiliza kwa wanafunzi wa elimu ya juu kufanyiwa mambo kama haya.
Dada acha kupanick, alielalamika ni mtu wa UDOM na kaamua kuwa mkweli, siitetei sua ila nasema kweli, acha kuishi kwa kukariri maisha, mimi nimesoma na kuishi sua, wewe umeambiwa ya SUA..no research no right to speak. Pia hapa naona umejibu watu wawili kwa kunishambulia mimi, Hiyo aliyosoma kaka ako itakuwa China.
Aliye paniki ni Mimi au wewe soma komenti zangu vizuri unielewa simuanza Ku attack hapo juu mkijiona wajuaji. Ulitaka research gani sasa kwa watu kununulishwa vitabu kwa lazima kweli we ndo zero brain kweli toka lini Sua ikawa China use your common sense jambo dogo unapaniki. Sasa unafikiri niisingizie Sua uongo ili nifaidike nini labda? Eti kuishi Sua ndo point ya kuhalalisha kuwa walikua hawanunui vitabu na kuandika majina really? Think out of the box uache ujinga tu kujiona bora hadi swala dogo tu lina kushinda. My foot Eti Sua ya China umefilisika kimawazo na fikra.
Aliye paniki ni Mimi au wewe soma komenti zangu vizuri unielewa simuanza Ku attack hapo juu mkijiona wajuaji. Ulitaka research gani sasa kwa watu kununulishwa vitabu kwa lazima kweli we ndo zero brain kweli toka lini Sua ikawa China use your common sense jambo dogo unapaniki. Sasa unafikiri niisingizie Sua uongo ili nifaidike nini labda? Eti kuishi Sua ndo point ya kuhalalisha kuwa walikua hawanunui vitabu na kuandika majina really? Think out of the box uache ujinga tu kujiona bora hadi swala dogo tu lina kushinda. My foot Eti Sua ya China umefilisika kimawazo na fikra.
Aliye paniki ni Mimi au wewe soma komenti zangu vizuri unielewa simuanza Ku attack hapo juu mkijiona wajuaji. Ulitaka research gani sasa kwa watu kununulishwa vitabu kwa lazima kweli we ndo zero brain kweli toka lini Sua ikawa China use your common sense jambo dogo unapaniki. Sasa unafikiri niisingizie Sua uongo ili nifaidike nini labda? Eti kuishi Sua ndo point ya kuhalalisha kuwa walikua hawanunui vitabu na kuandika majina really? Think out of the box uache ujinga tu kujiona bora hadi swala dogo tu lina kushinda. My foot Eti Sua ya China umefilisika kimawazo na fikra.
Haya tajiri wa mawazo asiyefilisika, mwambie huyo kaka ako akasome tena sua primary na secondary ambazo wanauza notes but never sua chuo kikuu, endelea kukaza ubongo na usitake kuelewa. Tchao
hivi najiuliza huu utaratibu wa kila mwl kuingia drsn nakutangaza kuwa lazima ununue kitabu chake km hununui ye ndo ana degree yako upo udom tu au vyuo vyote tz na je haki elimu hmuna maspy hapa udom inakela sana tena sana nanyi wanafunz wa udom mkitishiwa tu munabak kulialia amken nyie co shamba la bibi sawa
hiyo ipo sana kwa wanaosema education, st.john dodoma pia nilisikia hivyo kwa wale wa first year na kweli waliokaidi wengi walifelisha wakaambiwa kurudia semista, ambao hawakuwa tayari kirudia wamerudi nyumbani....
Ndio elimu ya siku hizi ma lecturer nao njaa tupu
Elimu ya bongo magumashi,wenye hela zao wanawapeleka watoto wao mbele...