UDOM wanafunzi wageuka mtaji


Unamaanisha nini unaposema "Lecture"?? au unadhan " Lecturer " na "Lecture" ni sawa??
 
Unamaanisha nini unaposema "Lecture"?? au unadhan " Lecturer " na "Lecture" ni sawa??

Samahani wakuu et RPL inajumlisha na wenye certificate kuomba bachala? mfano certificate in general agriculture kuomba sua
 

Sijawahi ona Mdada anabishana jf jukwaa la elimu ila dipher beyond ndo wa kwanza.
 
Mkuu, ukifeli unarudia mtihani siyo semister(unasup) na ukifeli sup- una carry somo, siyo kurudi nyumbani. Au Labda kama unavyosema elimu ya siku hizi.

mkuu mi nakuambia hivyo nina msela wangu tayari yuko home. waliambiwa kurudia semister nzima yeye hakuwa tayari. na ndio kwanza first year.
 
Sio KWELI.
 
Sasa mkuu ulitaka upewe kitabu bure? ela ya stationary unayopewa unapeleka wapi?? au unadhani mlipopewa pesa ya stationary ni ya kununulia maspika, iphone, kuuzia sura bar na kuhonga!!! tena shukuru mungu mnauziwa na vitabu, acha lawama wewe kijana soma!!!
 
Hiyo ipo kwenye vyuo na taasisi za kata tu.
 
Ushawahi kusoma SUA?

We unafikirije labda kwahyo SUA wanasingiziwa eeh nakuonewa kwa mtazamo wako naona sina mda wa ligi zisizo na kichwa wala miguu. Mimi mana wote mnatetea nakubisha sasa mnataka nini labda ningeweka majina na masomo ya wanaonunupishwa ila naacha sitaki ligi Mimi badala ya Ku argue.
 
We unafikirije labda kwahyo SUA wanasingiziwa eeh nakuonewa kwa mtazamo wako naona sina mda wa ligi zisizo na kichwa wala miguu.
Nani anataka ligi? na kwanini tutake ligi hasa?


  • Mimi mana wote mnatetea nakubisha sasa mnataka nini labda ningeweka majina na masomo ya wanaonunupishwa ila naacha sitaki ligi Mimi badala ya Ku argue.​



Bado hujajibu swali langu, ushawahi kusoma SUA?
 
Sio kweli mkuu mimi ni mwana udom naxoma coes,, nikweli walimu huwa wanauza vitabu kununua au kutonunua ni maamuzi ya mtu na wala hulazimishwi,uwoga wa watu fulani huwafanya wanunue na wabishi tunao komaa na liblary tunaviona hivyo vitabu kama ni summury tu!!!! Usi generalize kitu ambacho huna uhakika nacho,,,unachafua chuo chako!!?? Xaxa hv utaletewa kashfa!!!
 
Weka ukweli wako basi tuuone
Ina maana naisingizia Sua ili iweje Akina profesa Abood na baadhi ya masomo nitaweka hapa wote.

wewe story za udsm, sua na udom unazijua zote!mbona hueleweki au umesoma kote huko ukawa unahama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…