UDOM: Wanafunzi wamkamata mkufunzi anayewapa 'Sup' ili afanye nao ngono

Ata ukienda kusema kwa mange si nk hale yale tu maana ushamegewa tu kushnei zindegi merinae
Mbona unanishambulia sana kiongozi? Au na wewe una tabia hizo?

Asante kaka Mshana Jr na Extrovert kwa kuweka picha,mkiweza wekeni hadi video ile.
Serikali okoeni hawa mabinti.
 
Nzi kufia kwenye kidonda sio ufaler ila kupenda...
 
Wamfunge maisha, iwe funzo kwa wakufunzi wengine, huu ni unyanyasaji mbaya sana sanaaa
 
Assignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
 
Mkuu malecturer ya Udom mazuzu sana. Ungeweka picha yake huyo lecturer ionekane vzr maana haionekani fresh.

Hao wanafunzi waliomkamata nawapongeza sana. Wapewe degree ya heshima. Na iwe funzo, na waendelee kuwakamata hivohivo wasichoke kabisa.
 
mbona picha inaonesha jamaa kaloa jasho ni amekula au kakulwa
 
hiyo ipo lakini na nyie ma lecturer muache tamaa, kuna demu aliitwa ofisini kwa lecturer akajua tu ni kutongozwa so akaenda ameweka voice recorder on kwenye simu
upuuzi wote wa yule lecturer ukarekodiwa na hajui hata kutongoza eti "nataka nikufanya mama mdogo wa huyu mtoto" yani lile jamaa fala sana,audio ipo mpaka sasa so kazi yake limeiweka rehani kisa ka papuchi ambako hakana uzito hata wa kilo 2
 
Kama udom wana under 16 wanatakiwa waongeze iwe 25. Tukiwa kikazi pale Dodoma vijana wanazurula sana.
 
Kama ntafanya sexual harassment ya aina yeyote, bas nimefanya kosa,, ila kutongoza maybe inaweza nishushia heshima na sio kufutwa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…