Mbona unanishambulia sana kiongozi? Au na wewe una tabia hizo?Ata ukienda kusema kwa mange si nk hale yale tu maana ushamegewa tu kushnei zindegi merinae
Mkuu malecturer ya Udom mazuzu sana. Ungeweka picha yake huyo lecturer ionekane vzr maana haionekani fresh.Wanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.
Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.
Tabia hii ipo sana sanaaa
Source: Mange
View attachment 1988796
mbona picha inaonesha jamaa kaloa jasho ni amekula au kakulwaWanafunzi wa UDOM wamemkamata mkufunzi anayewapa supplementary ili apate kigezo cha kuwatafuna. Ushahidi wa kila kitu hadharani.
Si UDOM tu hata vyuo vingine ipo hivyo.
Hata mimi nimempoteza mchumba wangu anayesoma DUCE mwaka huu ktk mazingira haya. Sijajua alipigwa sup ama alikubaliana naye huyo mkufunzi wake. Nimeumia sana sanaaa.
Kuna uzi niliuweka humu pia UPDATES yake nimeiweka juzi. MIMI NIMEMWACHIA MUNGU, ATANITENDEA NA AMEANZA KUNITENDEA.
Tabia hii ipo sana sanaaa
Source: Mange
View attachment 1988796
Kama mtihani wa kozi za afya unavuja unafikiria nini katika degree ya hapa nchini[emoji23]Degree za wanawake waliosoma bongo/east africa huwa nazitiliaga shaka sana
hiyo ipo lakini na nyie ma lecturer muache tamaa, kuna demu aliitwa ofisini kwa lecturer akajua tu ni kutongozwa so akaenda ameweka voice recorder on kwenye simuAssignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
Kama udom wana under 16 wanatakiwa waongeze iwe 25. Tukiwa kikazi pale Dodoma vijana wanazurula sana.Assignment hufanyi, test 1 na 2 jumla una 6, quiz hufanyi, lab report mbovu, CA ya 16, UE unapata 10,, matokeo yanaoka una supp, unanipigia simu nikusaidie na unajijua ni pisi kali,, pesa ya kunipa yenyewe huna,,, unategemea nn?? Nkuache?? Wewe kama nan?
Kama ntafanya sexual harassment ya aina yeyote, bas nimefanya kosa,, ila kutongoza maybe inaweza nishushia heshima na sio kufutwa kazihiyo ipo lakini na nyie ma lecturer muache tamaa, kuna demu aliitwa ofisini kwa lecturer akajua tu ni kutongozwa so akaenda ameweka voice recorder on kwenye simu
upuuzi wote wa yule lecturer ukarekodiwa na hajui hata kutongoza eti "nataka nikufanya mama mdogo wa huyu mtoto" yani lile jamaa fala sana,audio ipo mpaka sasa so kazi yake limeiweka rehani kisa ka papuchi ambako hakana uzito hata wa kilo 2
16 yenyew wanalia kweliKama udom wana under 16 wanatakiwa waongeze iwe 25. Tukiwa kikazi pale Dodoma vijana wanazurula sana. Waweke angalau 20
alitoa na vitisho kibaoKama ntafanya sexual harassment ya aina yeyote, bas nimefanya kosa,, ila kutongoza maybe inaweza nishushia heshima na sio kufutwa kazi
Degree is not a skill is just a Manila sheet nowadays.Degree za Tanzania?