Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
conass wanayo kitu ijulikanayo Kama Departmental gpa yaani una gpa ya 1.8 hauji kupiga sapu unadisco mpaka uwe na gpa ya mbiliMa gwin hao conas wange disco mapema mno, [emoji23][emoji23]hafu usinikumbushe Hawa wachoyo wa marks ukijitahidi sana una b plain
Quality Controler (wadhibiti ubora)wako vizuri.Haina kupeana peana kama njugu.hujapata points unabaki hapo hapo.kuna jamaa pale COSS aliisote phd muda mrefu sana.halafu supervisor wake alikiwa wa college hiyo hiyoWatu wanasotea promotions kwa kuandika kwenye majarida mbali mbali.
Daa mkuu yaani life la bibo nililifurahia Sana. Pale uwanja wa basketball nafungua zipu block A anaikalia huku tunapiga story.Basi nimekupa Sana mademu kavu pale uwanjani
Very soon atakuwa associate professor yuko moto sanaMartin chegere again
Unachamba kasoro DERA tuBro nimesoma Pale. Ni chuo change hadhi yake na kikubwa lakini sio Faculties zote academically ni bora kuliko vyuo vingine.
Nenda tu hata mashule ya secondary utakutana na walimu very Smart na wametoka vyuo local tu. Yaani wamewaacha mbali sana wenzao waliopita UDSM. Nenda kwenye Taasisi au mashirika ulinganishe mtu wa Mzumbe au Tumaini vs UDSM utashika Tama.
UDSM Faculty za Science tu ndio wanastahili heshima kubwa sana. Lakini hizi za Business Administration etc etc wajisifu tu kuwa walisoma chuo kikubwa. Hivyo tu yaani
Kama mtu hujapata ukimwi Bibo. Hupati tenaDaa mkuu yaani life la bibo nililifurahia Sana. Pale uwanja wa basketball nafungua zipu block A anaikalia huku tunapiga story.
Ama tulisoma muda ukienda zile dining na kitchen za block F. Yaani anakaa Mezani romance za kufa mtu afu miguu begani viwili kiafya unaoga unalala kesho main campus desa linapanda bila ya kuwaza
DahTulikua tunapishana weekend jogoo Mbezi anadrive mwenyewe. Mm hapo nipo kituoni kusubiria daladala
[emoji23][emoji23]Basi nimepiga Sana mademu kavu pale uwanjani
Duh kumbe ndio pagumu hivi hukoconass wanayo kitu ijulikanayo Kama Departmental gpa yaani una gpa ya 1.8 hauji kupiga sapu unadisco mpaka uwe na gpa ya mbili
Mkuu,yaani hata nyuma ya Yale blocks zao ama wakifunga field nafanyia dar tunaishi bibo tunachukua room yetu kabisa.Kama mtu hujapata ukimwi Bibo. Hupati tena
[emoji23][emoji23][emoji23] ma block ya wanaume yalikuwa yamezidiwa na watu, huku kwa wanawake ni nadra watu kubebana hovyo nakulikuwaga tulivu mnoMie nilikuwa block D na E pia na C nimekaa sema kujisomea ilikuwa ni block f la postgraduate Mana kule undergraduates sio wengi Mana unakuta Wana kelele Sana Kama fomu wani.
Pagumu Sana Bora Koet kwetu.Duh kumbe ndio pagumu hivi huko
Ila nilikuwa siwezi kujisomea pale kwenu Mana ni harufu ya marashi tu naisikia kwenda mbele.[emoji23][emoji23][emoji23] ma block ya wanaume yalikuwa yamezidiwa na watu, huku kwa wanawake ni nadra watu kubebana hovyo nakulikuwaga tulivu mno
[emoji23][emoji23][emoji23] coet Kuna unafuu gani jamani?Pagumu Sana Bora Koet kwetu.
Umezeeka una miaka mingapia cariha. Saivi nadhani ndo uko vizuri kuliwa.
Mana usikute umeshazaa umemaliza Sasa mwili umerudi mpaka inawazidi mabinti wa undergraduate kwa muonekano na urembo
Block letu lilikuwa kweli liko vizuri tofauti na yenuIla nilikuwa siwezi kujisomea pale kwenu Mana ni harufu ya marashi tu naisikia kwenda mbele.
Kule postgraduate kulikuwa poa Sana.
Mabibo siku hz Ni mwendo wa ARV tuBlock letu lilikuwa kweli liko vizuri tofauti na yenu
2024 Inshallah. Ila asijichanganye kuoa atajutaaa, ataishia na stressVery soon atakuwa associate professor yuko moto sana
Hahaaaaaa. Nimecheka sanaMabibo siku hz Ni mwendo wa ARV tu
Kama yule waziri wa pure broken English na PhD yake itakuwaje naeWatuthibitishie kwanza Phd ya mwendazake ilipatikanaje wakati kila mtu wa kawaida alimuona kulaza kabisa