Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Hata tena enzi zangu nilipata multipleHukupita UD bas ndo hasira unamalizia hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmmmh uongo tyuuh, unajifariji hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata tena enzi zangu nilipata multiple
UDISM -microbiology
SUA- forestry
ATC - information technology
Guess what nilienda Sua
UD ni chuo pendwa, kila mwanafunzi ana ndoto ya kupita hapa.Mie bado napapenda ingawa kidogo ningedisco Ile ya field ikaniokoa
Hahaaaa nacheka kwa dharau kubwa sasa hicho chuo kimetoa msaada gani wa maana hapa nchini km hata kugundua hata jambo la msaada kwetu wa tz hakuna. wasomi wa pale ni ovyo tu hawana lolote la maana kwenye jamii yetu.Wengi mnaishia kujisifu tu ila ni mmejaza ujinga vichawani ndo maana tenda nyingi kuanzia ujenzi hata mambo mengine wemejaa wageni nyie wa Udsm mna kazi gani sasa .Pia mkipewa hata muongoze sehemu lazima mtaharibu tu sijui mnasomea nn.Acha kufananisha udsm na mambo ya kijinga.
Kwa nini nidanganye coca [emoji3] mi born twn manzese dar hivyo niliichoka nilitamani kuiona dunia nadhani hicho pia kilichangiaMmmmmh uongo tyuuh, unajifariji hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muongo, useme ulikosa nafas UD, km kweli hukutaka uliomba nafas ya nn? Kuwa born town sio sababu, wee wa born town ukakosa nafas UD, na wenzio wa huko lupiro ifakara wakapata nafas UD. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa nini nidanganye coca [emoji3] mi born twn manzese dar hivyo niliichoka nilitamani kuiona dunia nadhani hicho pia kilichangia
Sio uwezo mdogo nilipata upper second class, bachelor na Masters kiukweli Mimi huwa siji stress na maisha kiasi nikose Raha, na first year nilipata supplementary mbili first semester vile nilikuwa mgeni wa mambo aiseeIna Mana ikitokea umepata A unawaambia wakuwekee tu c Mana hautaki kufundisha chuo.
Kubali tu ukweli kuwa uwezo haukuweza kufika.
Mie chuo kumenikataa kiukweli darasa langu mie ndiye niliyekuwa bingwa wa kupata sapu nyingi na kuzitoa kwa mkupuo. Napata sapu sita natoa zote afu unakuta mtu anazo mbili na zote zipo ndani ya za kwangu Ila anashindwa kuzitoa.
Huku shuleni nilitokaga na wani pote o and a level Ila huko nimetoka na gentleman.
Sasa hapo mie ni kilaza ama ni nani
[emoji23][emoji23]wa lupiro tukapata nafasi za udsm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muongo, useme ulikosa nafas UD, km kweli hukutaka uliomba nafas ya nn? Kuwa born town sio sababu, wee wa born town ukakosa nafas UD, na wenzio wa huko lupiro ifakara wakapata nafas UD. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna asiyependa udsm bwana tuwe wakweliUD ni chuo pendwa, kila mwanafunzi ana ndoto ya kupita hapa.
Tunavumilia tyuh ivo ivo, mahaba ni upofu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Okay mie ni gentleman first classSio uwezo mdogo nilipata upper second class, bachelor na Masters kiukweli Mimi huwa siji stress na maisha kiasi nikose Raha, na first year nilipata supplementary mbili first semester vile nilikuwa mgeni wa mambo aisee
Marafiki zangu bana hawajamaliza Wana sota mpaka leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan UD panasomesha watu number kichizi lol.
[emoji23][emoji23][emoji23]Okay mie ni gentleman first class
Yaani wewe nicheke tu ,najua haupendi stress Wala bugudha.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni masters au Degree? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Marafiki zangu bana hawajamaliza Wana sota mpaka leo
Nimekumbka advance kila mwanafunzi anazungumzia UD, wale wa PCB ndo walikua wanawazia Muhas na Bugando. [emoji23][emoji23][emoji23]Hamna asiyependa udsm bwana tuwe wakweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na almost wengi wa mikoani huwa tunazama UD.[emoji23][emoji23]wa lupiro tukapata nafasi za udsm
Ni ndoto ya kila mtu kusoma hicho chuo mtu, akienda chuo kingine huwa hana option ndio maana wengi huenda kusoma master's paleNimekumbka advance kila mwanafunzi anazungumzia UD, wale wa PCB ndo walikua wanawazia Muhas na Bugando. [emoji23][emoji23][emoji23]
UD chuo pendwa hakna ubishi.
MastersNi masters au Degree? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani kweli sipendi stress maisha yenyewe mafupi why vitu vya kijinga vinitese aisee[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani wewe nicheke tu ,najua haupendi stress Wala bugudha.
Nishakuambia unicheki pm Ila wanipotezea sana
Nicheki pm tuwe tunachati basi huwa nakukubali bure ujueYani kweli sipendi stress maisha yenyewe mafupi why vitu vya kijinga vinitese aisee[emoji23][emoji23][emoji23]