UDSM hakuna vya bure

UDSM hakuna vya bure

Bro nimesoma Pale. Ni chuo change hadhi yake na kikubwa lakini sio Faculties zote academically ni bora kuliko vyuo vingine.

Nenda tu hata mashule ya secondary utakutana na walimu very Smart na wametoka vyuo local tu. Yaani wamewaacha mbali sana wenzao waliopita UDSM. Nenda kwenye Taasisi au mashirika ulinganishe mtu wa Mzumbe au Tumaini vs UDSM utashika Tama.

UDSM Faculty za Science tu ndio wanastahili heshima kubwa sana. Lakini hizi za Business Administration etc etc wajisifu tu kuwa walisoma chuo kikubwa. Hivyo tu yaani
Mkuu, "Faculty of science" ndio ipi pale ?

Maana kwa ufahamu wangu hicho ulichokitaja kilikuwepo hapo UDSM miaka ya 70 huko. (Ilikua faculty ya pili kuanzishwa mara baada ya faculty of law iliyokiasisi chuo).

Baadae hiyo faculty of science ilikuja kuizaa CoNAS, hatimaye CoET, CoICT, CoAF, MCHAS, IMS, SoAF, SoMG, n.k

Hii faculty of science unayoizungumzia wewe ni ipi haswa ?
 
Vyuo vyote nilivyopita mimi, teaching inachangia kati ya asilimia 15-25 kwenye packet yako ya tenure/promotion. Kama UDSM hawafanyi hivyo ni makosa kwa sababu kufundisha ni mojawapo ya jukumu la msingi sana kwa mwalimu wa chuo.
Wanafanya hivyo mkuu. Hata ukitazama kwenye hiyo nyaraka hapo utaona wameainisha points zimetoka kwenye nyanja zipi.
Kuna sehemu unao kabisa wameandika teaching na nimetazama hapo kwa wengi teaching imechangia pointi 2.0

Bila shaka "teaching" kwa kiswahili tafsiri yake bado ni "kufundisha" kama tulivyokua tunafahamu zamani.
 
Duh naona ma Dr watatu wamenifundisha kabla hawajawa ma Dr, wako promoted, tena huyo mmoja alikuwa mnoko hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea lol.
 
UDSM hawatakagi mchezo linapokuja Jambo la publications na promotion. Lipo zee flan la Kihaya linasotea mwaka wa 7 huu kuwa prof kila mara wanaliambia points hazijatimia linaishia kunywa bia tu pale Mawasiliano Park
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Kimsingi UDSM huwa inafanya Mambo kujikuza tu. Wanatengeneza mazingira ya Magumu tofauti na uhalisia. Wakati hakuna utofauti wowote kitaaluma na aliyemaliza Theophile K university au St. Augustine.

Labda Muhimbili, Ardhi na jamaa wa Engineering ndiyo wanahitaji heshima. Hawa wengine sijui Law, BCom, Political Sc, Edu, BA... na science zingine za kinadharia nadharia SIJAONA UTOFAUTI WOWOTE NA GRADUATE WA THEOPHILE KISANGI
Hukusoma/hujasoma UDSM? Nmeuliza tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ma gwin hao conas wange disco mapema mno, [emoji23][emoji23]hafu usinikumbushe Hawa wachoyo wa marks ukijitahidi sana una b plain
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] UDSM mbna faculty zote lect ni wachoyo wa marks, sema vile chuo pendwa. Ndo watu wanakomaa kibishi
 
Daa mkuu yaani life la bibo nililifurahia Sana. Pale uwanja wa basketball nafungua zipu block A anaikalia huku tunapiga story.
Ama tulisoma muda ukienda zile dining na kitchen za block F. Yaani anakaa Mezani romance za kufa mtu afu miguu begani viwili kiafya unaoga unalala kesho main campus desa linapanda bila ya kuwaza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kufundusha sio lazima, matokeo yake mnapata graduates vilaza ambao wanashindwa hata kuandika application letters!!!
Uwe unaelewa kwanza maana kila uzi unalalamika kuhusu graduates. Umeelewa nilichokuwa nazungumzia au kwa vile nawe ni graduate wa hii mifumo yetu mibovu umeamua tu kujibu?

Nimesema hivi, si lazima mtu afundishe chuo ndio aweze kupata PhD. Nje na hapo kuna nafasi za maana sana kwenye research institutes, laboratories, etc. Huwezi linganisha PhD ya mtu wa viwandani dhidi ya maprofesa wa SUA wanaomiliki baa na lodge.

Nitajie PhD kutoka chuo cha nchini iliyowahi kuwa na manufaa. Vyuo vyetu sio kama vya nje ambavyo vina mazingira wezeshi. Unakuta departments za makampuni zinakuwa na affiliation navyo, utasikia John Hopkins ina project na Novartis kwenye research flani ya insulin au anti age drugs. Au Boeing imepewa contract na DARPA kutengeneza prototype ya drone iliyobuniwa na wanafunzi wa MIT wakishirikiana na maprofesa wao, wakidhaminiwa na US Air Force. Tanzania hutokaa usikie Superdoll wameshirikiana na DIT, wala Chemicotex na MUHAS.

Mafundi wa chini ya mwembe wengi wanajua magari kuliko lecturers wa Automobile Engineering. Unabisha?
 
Ukiwa na pesa PhD pale mlimani unaipata ndan ya miez miwili !!!!
 
Mafundi wa chini ya mwembe wengi wanajua magari kuliko lecturers wa Automobile Engineering. Unabisha?
Even Warren buffet once said " you can't study sex by having large romances"
Mkuu nimekukubali Sana big up.una maono sema sie hapa TZS tunahitaji akili ya kukubali anachosema mkubwa. Akisema chanjo haifai basi hata Kama wewe daktari una uhakika kuwa inafaa afu uongee kuwa inafaa nadhani wasiojulikana wanakuhusu.
 
Kwakweli maswali yalikuja, huyu kawa Waziri Yuko busy sana na katika mawaziri waliokuwa wako busy ni yeye, pili how comes anaingia kuwa Rais ndio anapewa hiyo PhD?

Halafu alisoma lini yaani aliandika mambo gani maana haikuwa honorary degree, wadadisi wanatafuta alichofanyia thesis
Hivi unakumbuka hiyo PhD alipewa mwaka gani au unaropoka tu kwa chuki zako za kutumbuliwa vyeti feki??!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Even Warren buffet once said " you can't study sex by having large romances"
Mkuu nimekukubali Sana big up.una maono sema sie hapa TZS tunahitaji akili ya kukubali anachosema mkubwa. Akisema chanjo haifai basi hata Kama wewe daktari una uhakika kuwa inafaa afu uongee kuwa inafaa nadhani wasiojulikana wanakuhusu.
Ndio maana huwa nakubali elimu ya Ujerumani. Alafu kwenye sayansi naheshimu zaidi patent kuliko PhD ingawaje vyote vinapatikana kwa research. Kwenye social sciences naona ni vigumu kidogo kuona mchango kiurahisi
 
Back
Top Bottom